Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
haha kwahiyo leo ile charismatic uliyokua unaisema ndiyo imeanza kuonekana live ??Halafu Sweety wangu Shunie kuna Wanawake Wenzako hapa JamiiForums siku zote tu Wananichunia leo Kudadadeki zao wameona GENTAMYCINE naenda Kuzawadiwa Mamilioni na Gari wameanza Kunisumbua PM na Wengine wanaonijua katika simu yangu.
Hivi hawakujui na hawajui Mziki wako jinsi ulivyo Mtata hasa pale uonapo kuna Wanawake Wenzako hapa JamiiForums kila mara tu Wanashoboka na Mimi GENTAMYCINE wako?
Juzi tu alilita uzi katamani wadada wa chura kwenye daladalaHivi Genta hukuwa na gari? Naomba kama utapewa gari kawe ka Toyota IQ halafu kawe kamepigwa machata ya Jamii Forum kila sehem
Kwani kuna kupostiwa[emoji23][emoji23] wachaaaa
Ngoja sasa kamati ipost picha
Naelewa sasa… IWD walipost mods wa kike.Kwani kuna kupostiwa
Yote Kheri.tetesi mtapewa toyo na vi-swaswadu
Akhsante sana Mkuu na tuko pamoja.Hongera genta
Kama Hela ya Kula tu sina na ni Shida hiyo ya Kununulia Gari nitakuwa nayo Mkuu?Hivi Genta hukuwa na gari? Naomba kama utapewa gari kawe ka Toyota IQ halafu kawe kamepigwa machata ya Jamii Forum kila sehem
Kwasababu ana Utajiri mkubwa wa Followers hapa JamiiForums wanaofikia 148 hadi sasa.Ivi ilikuaje huyu popoma akashinda??
Mjeda miss youIvi ilikuaje huyu popoma akashinda??
aah mrembo wewe.. nakumiss pia aisee umeadimika humu, au ndo maelekezo makali ya popoma wako?Mjeda miss you