Hongereni Uongozi wa JamiiForums kwa kutoweka Hadharani Zawadi zetu Nono kwani Wengine Simu zetu sasa zinaisha Chaji tu kwa Kukopwa

Hongereni Uongozi wa JamiiForums kwa kutoweka Hadharani Zawadi zetu Nono kwani Wengine Simu zetu sasa zinaisha Chaji tu kwa Kukopwa

Halafu Sweety wangu Shunie kuna Wanawake Wenzako hapa JamiiForums siku zote tu Wananichunia leo Kudadadeki zao wameona GENTAMYCINE naenda Kuzawadiwa Mamilioni na Gari wameanza Kunisumbua PM na Wengine wanaonijua katika simu yangu.

Hivi hawakujui na hawajui Mziki wako jinsi ulivyo Mtata hasa pale uonapo kuna Wanawake Wenzako hapa JamiiForums kila mara tu Wanashoboka na Mimi GENTAMYCINE wako?
tetesi mtapewa toyo na vi-swaswadu
 
Hamu yangu ni kuwajua wachache nisiowajua ila kaka Mohamed Said huyo namjua ukimtaka nenda youtube tafuta vipindi UTV kipindi Zumari utamuona huyo mzee kwa hilo jina .

Mdogo wangu Mshana Jr huyu nenda kwenye uzi wa selfika page ya kwanza utamkuta kwa sura yake kabisa .

Wakili Pascal Mayalla huyu tafuta vipindi vya IPP huko Youtube utampata kwa sura kabisa .

Bwana charistmatic fella , entertainer ndugu GENTAMYCINE huyu usihangaike kama uliangali mechi ya Simba iliyopita hapo taifa , tizama dakika ya ishirini na nane kuna muda mtangazaji aliwataja wachezaji wakongwe waliokuwa jukwaani huyu bwana alikuwa miongoni mwao kwa mavazi yake na sura yake .

Sikutajii alivaaje ila nakutuma uhangaike kuwajua wachezaji wakongwe ukishawajua utajua fika kuwa Genta ni yupi kwakuwa ni miongoni mwao ila sio kwa kuwa mkongwe mpirani .

Ahsanteni , wewe GENTAMYCINE usiwasahau wanao wa kawe na makongo hata kwa kidogo.
 
Back
Top Bottom