Hongereni wagunduzi wa kondomu

Hongereni wagunduzi wa kondomu

popoma

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
2,378
Reaction score
3,363
Mimi popoma nawapongeza sana mliogundua kondomu.Maana zinanisaidia sana njia nilizopita ni mbaya sana natamani nirudi kwa mungu ila nahisi sitapokelewa.Uovu nilioufanya hata shetani ameniogopa.All in all nimefika hapa kwa ajili ya condoms nawasilisha hii Tanzania ya viwanda asubuhi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
69b544220ed1d73672f03a3f6e68597a.jpg
 
Back
Top Bottom