Hongereni Wakenya kwa kuwa na Prof. Patrick Lumumba

Hongereni Wakenya kwa kuwa na Prof. Patrick Lumumba

Ninaitwa Athumani Ntoga, ni mtanzania na pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam. Wiki iliyopita tulitembelewa na ugeni mzito katika chuo chetu na nchi yetu ya Tanzania kwa ujumla. Tulitembelewa na Prof. Patrick Lumumba (P.L.O) katika kumuenzi Mwl. Julius Nyerere katika "Kigoda cha Mwalimu Nyerere" na siku hiyo PLO alikuwa mhadhiri aliyewasilisha mada. Kiukweli sikuwahi kuona mzungumzaji bora Afrika Mashariki kama Patrick Lumumba na siku hiyo alibadilisha mawazo ya watanzania wengi mno. Hakika wakenya mmebarikiwa kuwa n mtu kama PLO na ninatamani angekuwa ni Mtanzania ili tuwe tunayapata aliyonayo kila siku. Nimalizie kwa kunukuu aliyoyasema
"We are the authors of our own misfortunes"
presenter,
Nilipata bahati ya kuhudhuria 2nd general assembly ya ASARECA ilifanyika mwaka jana december Bujumbura. Huyu Professor alikuwa kivutio kikubwa sana kwa washiriki toka nchi zote 11 za ECA kwa ushupavu wake wa mada na kupangilia ayasemayo.

Kwa bahati kuna professor Mtanzania anaitwa Nuhu Hatibu ambaye ni CEO wa International body (Kilimo Trust) iliyoko Uganda, huyu aliongea baada ya Lumumba. Professor Hatibu ni kivutio kikubwa na authority sana kwenye agricultural sciences/development kwenye ECA region.

Ki-ujumla afrika mashariki na kati tuna magwiji na wanataaluma wazuri sana wanaoheshimika sana na wenzetu Ulaya.

Ahsante kwa mada Athuman.
cc lawmaina78
 
Last edited by a moderator:
One of the best speaker,,ever in our times,,,,spoke so passionately
about rampant corruption in our country,,,,and,,surprise, surprise,,
Mwai Kibaki appoints him as the head of anti corruption in Kenya.


Then,,we thought that,, it was the end of corruption in Kenya.

But,,,we waited and waited,,,until questions started being asked,,,he
told us that he was lining up a least of big 'fishes' as he called
it.

We continued to wait,,,then,,,he told us that before going for the big
fishes,,,he had to start with the,,small ones.

So,,we had to wait for this messiah to come up with,, best formulas
and answers,,,, we had been waiting for.

All this time,,,he was earning a fat salary,,,about 2 million
and something kshs, per month.


We waited and continue to wait and nothing was happening
until,,,,,suddenly,,,he was removed from that office.

This was the end of him. Those fiery speeches were no more.

If he was sacked because of asking too many questions,,,that,,
we don't know,,,for we never heard him complaining of it.

But,,there is one thing i have come to learn,,,that are two different
things,,,that is,,,

Talking and,,,,,,,,,,,,,,, walking the talk.

Si kwa ubaya. But why do you write with commas? It's very difficult to read what you write and i normally just move on. Thanks
 
Wewe unazidi kujichanganya na kufanya makosa, kwanza siyo "kwenyu" bali ni "kwenu", na hakuna kitu kama tumbo nyingi, na tatu unapaswa uandike Wanasiasa wenye tumbo lisiloshiba ndio sahihi!

:frusty::frusty::frusty::frusty:

Karudi shule jamani. Unapomkosoa mtu, kuwa na uhakika kuhusu unachokisema. Kwanza, Kwenu na Kwenyu ni mamoja. Ni kama Ninyi na Nyinyi; acha na wacha.

Pili, uwingi wa tumbo ni matumbo. Neno hili liko katika ngeli ya Li-Ya.

Tumbo lisiloshiba
Matumbo yasiyoshiba

Hata kama lingekuwa halina uwingi, basi tungeliweka katika ngeli ya I-Zi

Nyumba ile
Nyumba zile

Ndizi ile
Ndizi zile
 
Ni tumbo lisiloshiba!
Nadhani tungejikita kwenye hoja na sio kurekebishana lugha. Kimsingi na wewe umekosea kwa sababu yeye ameongelea wanasiasa wengi hivyo angekosea iwapo angesea wanasiasa wenye tumbo lisiloshiba.
 
Back
Top Bottom