Hongereni wananchii, leo Dar ilikua ni kijani na njano

Yuzo mawe

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2019
Posts
494
Reaction score
551
Achana na shoo ya konde boy,tangu nianze kufuatilia hizi Simba day na wananchii day,Leo kwa mara ya kwanza nimeshuhudia timu ya yanga sc wakifanikiwa kuujaza uwanja kwa asilimia 99.9.

Niipe "heko" marketing management na watu wote waliohusika kufunikisha hili wakiwemo muhamasishaji Nugaz,na msemaji wa timu Hassan bumbuli.

Simba sio mbaya mkajifunza kupitia kwa hili ambalo yanga walilolifanya,Kwani kujifunza kwa mtu mwingine kitu ambacho kinajenga sio mbaya.

Hakika leo nimeiona nguvu ya umma.

Ukinina,you must have a reason.
 
kelele zote za manara kila siku wasafi bado wakashindwa kujaza....leo inakuja yanga bila hata kutumia nguvu kubwa wanajaza...apa ndipo ninapo amini sometime pesa sio kila kitu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Simba ilitumia viwanja viwili Mkapa na Uhuru laiti kama ingetumia kiwanja kimoja nadhani Mkapa ingejaa sana
 
Halafu kumbuka tupo katika kipindi cha kampeni na harakati za kiuchaguzi.

Kwaiyo sio kila njano na kijani unayoiyona ni jezi ya yanga
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
kelele zote za manara kila siku wasafi bado wakashindwa kujaza....leo inakuja yanga bila hata kutumia nguvu kubwa wanajaza...apa ndipo ninapo amini sometime pesa sio kila kitu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kumbuka pia hata hao Yanga walifanya kampeni hapo hapo Wasafi engineer helse alifanya exclusive interview na sports Arena siku ya ijumaa na kupata promo kubwa na akina Maulidi kitenge na mwenzake Yusuph mkule na crew nzima ya sports Arena na sports court au umesahau?
 
Yuzo mawe Kiufupi harmonize kawachafulia Tamasha lenu mazuri yote mliofanya yameharibiwa na show yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…