SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Manara hakuja wasafi mzee baba? Mbona hakukujaa na huwa ana tambo kwamba simba ndo ijazayo uwanja tuKumbuka pia hata hao Yanga walifanya kampeni hapo hapo Wasafi engineer helse alifanya exclusive interview na sports Arena siku ya ijumaa na kupata promo kubwa na akina Maulidi kitenge na mwenzake Yusuph mkule na crew nzima ya sports Arena na sports court au umesahau?
Harmonize alijifanya commando akawa anapita na kamba juu ya uwanja akadondoka chini, tukio Hili limenifanya nijue si kila u ubunifu Ni mzuri ubunifu mwingine Ni vichekesho.
Ndugu, ajali hutokea. Alichokifanya ni kikubwa tu, ukilinganisha na anavyojiita basi ilileta mantiki.Harmonize alijifanya commando akawa anapita na kamba juu ya uwanja akadondoka chini, tukio Hili limenifanya nijue si kila u ubunifu Ni mzuri ubunifu mwingine Ni vichekesho.
Haji amesema kwamba ukataji wa tickets ulikuwa kikwazo kikubwa na hii Ni kweli kwasababu hata Mo mwenyewe ticket yake ilishindwa kusoma kwenye mtandao wao, pia idadi kubwa ya watu walishindwa kuingia uwanjani.Manara hakuja wasafi mzee baba? Mbona hakukujaa na huwa ana tambo kwamba simba ndo ijazayo uwanja tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Sio tu hivyo pekee angalia sauti ilikuwa aikiki vizuri plus sound mbovu ya uwanjani ilikuwa majanga kwani wewe ukuona Hilo?Ndugu, ajali hutokea. Alichokifanya ni kikubwa tu, ukilinganisha na anavyojiita basi ilileta mantiki.
Shida wewe ndugu, unatazama zaidi kwa jicho la kutafuta makosa.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Haya sawa.Sio tu hivyo pekee angalia sauti ilikuwa aikiki vizuri plus sound mbovu ya uwanjani ilikuwa majanga kwani wewe ukuona Hilo?
yna2 To be honest Tamasha mlilipangilia vizuri na mlienda na wakati. Me binafsi nimependa ila ninachoona kinachowahukumu Ni show ya Harmonize na hapa ndio watu wanajifichia kama kichaka baada ya kuona angle zingine zote mlifanya poaWatani roho zinawapaa..hamuishiwi kasoro.
Walichana msamba matokeo yake pote pakapwaya!!!Simba ilitumia viwanja viwili Mkapa na Uhuru laiti kama ingetumia kiwanja kimoja nadhani Mkapa ingejaa sana
Nachojua Mkapa haikujaa, sasa unapelekaje chakula kwa jirani wakati kwako hakijatoshaSimba ilitumia viwanja viwili Mkapa na Uhuru laiti kama ingetumia kiwanja kimoja nadhani Mkapa ingejaa sana
Tena alikuja manara na boss wake na diamond, so wasilete zao hapaManara hakuja wasafi mzee baba? Mbona hakukujaa na huwa ana tambo kwamba simba ndo ijazayo uwanja tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Acha kudanganya watu , magape yote hayo unasema mmejaza uwanja , sema mlichokifanya ni kutawanyika kwenye viti muonekane mmejaza uwanjaAchana na shoo ya konde boy,tangu nianze kufuatilia hizi Simba day na wananchii day,Leo kwa mara ya kwanza nimeshuhudia timu ya yanga sc wakifanikiwa kuujaza uwanja kwa asilimia 99.9
Niipe "heko" marketing management na watu wote waliohusika kufunikisha hili wakiwemo muhamasishaji Nugaz,na msemaji wa timu Hassan bumbuli
Simba sio mbaya mkajifunza kupitia kwa hili ambalo yanga walilolifanya,Kwani kujifunza kwa mtu mwingine kitu ambacho kinajenga sio mbaya
Hakika leo nimeiona nguvu ya umma
Ukinina,you must have a reason
Haaaaaahaaaa viwanja viwili? Acha kuongopa hilo ndio lilikuwa lengo lenu ila hamkujaza tuweke ushabiki pembeni siku ile taifa haikujaa shamba la bibi hakukuwa na watu kabsaaaaa nusura ile bigscreen iibiwe hao Madrid wenyewe huwa wanajaza uwanja mmoja nyie digidigi eti mnaongea kwa kubana pua "tutajaza viwanja viwiliiiii" km upo mkoani hata TV hukuangalia unaongopewa vilijazwa tuskilize tuliomjini hapa uongo mlibumaSimba ilitumia viwanja viwili Mkapa na Uhuru laiti kama ingetumia kiwanja kimoja nadhani Mkapa ingejaa sana
Ndio hpo ninaposhangaa huo mmoja haulujaa hivyo viwili vipi wanaongelea? au wenzetu waliangalia kupitia television ipi? Taifa haikujaa anayesema ilijaa aje hapa mwaka jana simba day walijaza uwanja mwaka huu mmepotea huo ndio ukweliUhuru hata watu 50 hawakuwepo
Achana nao hao wamevurugwa walikuwa wanasubiri tushindwe kuujaza uwanja waongee hawaamini kilichotokea leo wanaropokwa tu kwa hasira siku yao ile hadi kiza kinaingia kulikuwa na mapengo leo saa kumi tu full packageManara hakuja wasafi mzee baba? Mbona hakukujaa na huwa ana tambo kwamba simba ndo ijazayo uwanja tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Wamevurugwa vibaya mnoWatani roho zinawapaa..hamuishiwi kasoro.
Mabingwa wa kihistoriaNa kwenye Makombe je?
Nawe unakubali kwamba alidondoka wenzetu mliangalia TV ipi? Unaingizwa kingi na hao mikia nawe unaingia tu nahisi hujafatilia show hakuna sehem konde alidondoka!Ndugu, ajali hutokea. Alichokifanya ni kikubwa tu, ukilinganisha na anavyojiita basi ilileta mantiki.
Shida wewe ndugu, unatazama zaidi kwa jicho la kutafuta makosa.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Waliokuwepo Uhuru baada ya gap kuwa kubwa kwa Mkapa walihamishiwa kwa Mkapa kwa buku mbili zao.Nachojua Mkapa haikujaa, sasa unapelekaje chakula kwa jirani wakati kwako hakijatosha