Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
"Eeh... unajua Dada" Wewe Kinyago kubali yaishe""Dada Habari samahani naomba nikuulize swali,? Samahani kaka hii Ngoma ya Gariii ".Prof J zali la mentali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Eeh... unajua Dada" Wewe Kinyago kubali yaishe""Dada Habari samahani naomba nikuulize swali,? Samahani kaka hii Ngoma ya Gariii ".Prof J zali la mentali.
"Dada mbona mkali? We vipi hebu nipishe..""Eeh... unajua Dada" Wewe Kinyago kubali yaishe"
Kivipi Equation xWengi wanatanguliza hela; wengine wanatafsiri mtu kwa muonekano
Wengine wanahisi muonekano wa mtu, ndio unaoonyesha mafanikioKivipi Equation x
Hahahaaa!Mimi Kitambo hicho kipind najitafuta kuna mmoja Nilimtongozaga akanijibu Kampende Babako,
Aisee mpak Leo nawachukia sana Wanawake wa kichaga ni Washenzi sana
Kwa uzoefu wangu, mwanamke akicheka wakati ninamtongoza, maana yake ni kuwa kanikataa
Na ww ufanye mambo ya kijinga[emoji23][emoji23][emoji23]Daah, hilo tusi limrudie mwenyewe,
Moja ya kitu sipendi mtu ahusishe wazazi kwenye mambo ya kijing.
Tafuta pesa mwanamke hatongozwi siku hizi, anatolewa out analishwa executive meal, wine, champagne, beer whatever yeye ndio atafeli hata Kama Ana bwana atakupa chiu tu usisahau kumpa handsome money for repetitive business [emoji120]
na wanajaa kwenye mfumo 😃3____Hawakatai,wala hawakubali,unawaongeleaje hawa[emoji3]