Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Habari za jioni watanzania!

Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa.

Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji kura lakini mmewadhibiti vilivyo. Tunapoelekea oktoba 28 tuhakikishe tunaitunza tunu ya amani tuliyoachiwa na waasisi wa Taifa letu. Tukapige kura kwa utulivu na kuwachagua viongozi wetu kwa amani.

Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.kamwe tusikubali mabeberu watuletee vihoja...mwaka huu fedha ya kufanyia uchaguzi hatujaomba nje ya nchi, hii ni hatua muhimu.

Piga kura rudi nyumbani na ushindi mkubwa utakuja.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Yale Mabom yanayopigwa kila dakika wewe kwako ndio umeona ni Amani?
Watu wengine sijui mnajaribu kufundisha watu nini?

Mimi hapa nilipo Polisi wamekusanya watu usiku wa manane eti wanatafuta watu wa chadema,ukikutwa umevaa nguo ya chadema unawekwa ndani.

Juzi polisi waliingia hadi sokoni kupiga watu mabomu na wakaaribu vitu vya watu sokoni.
Hii ndio Amani?
 
Yale Mabom yanayopigwa kila dakika wewe kwako ndio umeona ni Amani?
Watu wengine sijui mnajaribu kufundisha watu nini?
Mimi hapa nilipo Polisi wamekusanya watu usiku wa manane eti wanatafuta watu wa chadema,ukikutwa umevaa nguo ya chadema unawekwa ndani.
Juzi polisi waliingia hadi sokoni kupiga watu mabomu na wakaaribu vitu vya watu sokoni.
Hii ndio Amani?
Ni wapi huko?
 
Ivi bado wewe mtanzania unaishi kwa story zakusikia kuna waliotumwa wakat huwajui hao waliotumwa zaidi yakuadisiwa.. Acha dhana potofu kuwa wamarekani au wote hao mnaowaita mabeberu waangaike na wajinga wa kitanzania wakat wana mambo mengi yakufanya . unadhani wangeacha kazi zao na ku deal na nchi za dunia 3 wenyewe wangeitwa nchi za dunia ya kwanza ?
 
Ivi bado wewe mtanzania unaishi kwa story zakusikia kuna waliotumwa wakat huwajui hao waliotumwa zaidi yakuadisiwa.. Acha dhana potofu kuwa wamarekani au wote hao mnaowaita mabeberu waangaike na wajinga wa kitanzania wakat wana mambo mengi yakufanya . unadhani wangeacha kazi zao na ku deal na nchi za dunia 3 wenyewe wangeitwa nchi za dunia ya kwanza ?

Ushaanza story za elimu ya kata
 
Amani ndo kila kitu,, amani ikipotea hamtairudisha kamwe hadi mwisho wa dunia unafika.
 
Kuna mlinzi wa Magufuli kwa bahati mbaya kapost picha ya chagua Tundu lissu!! Japo alidai kakosea lkn akaendelea kudai hata wao sometimes wanamchoka Magufuli.

Huyu mtu ni balaa na mkosi kwa Taifa!!
 
Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.
Hii ndio kauli muhimu kwenye hii mada.

Kuhusu kuwapongeza watanzania kwa kudumisha utulivu, ningeshauri tusitishe zoezi hadi December mwishoni.
 
Yale Mabom yanayopigwa kila dakika wewe kwako ndio umeona ni Amani?
Watu wengine sijui mnajaribu kufundisha watu nini?

Mimi hapa nilipo Polisi wamekusanya watu usiku wa manane eti wanatafuta watu wa chadema,ukikutwa umevaa nguo ya chadema unawekwa ndani.

Juzi polisi waliingia hadi sokoni kupiga watu mabomu na wakaaribu vitu vya watu sokoni.
Hii ndio Amani?
Mimi nilipo hali ni shwari wanachadema wanagonga vyombo na wanaccm wanakula nyama
 
Yanayoendelea huko Zanzibar umeyaona au unaandika tu ugoro hapa?
 
Ivi bado wewe mtanzania unaishi kwa story zakusikia kuna waliotumwa wakat huwajui hao waliotumwa zaidi yakuadisiwa.. Acha dhana potofu kuwa wamarekani au wote hao mnaowaita mabeberu waangaike na wajinga wa kitanzania wakat wana mambo mengi yakufanya . unadhani wangeacha kazi zao na ku deal na nchi za dunia 3 wenyewe wangeitwa nchi za dunia ya kwanza ?
Una muono mdogo Sana wewe na Kwa namna hiyo, huwezi elewa!!
 
Yale Mabom yanayopigwa kila dakika wewe kwako ndio umeona ni Amani?
Watu wengine sijui mnajaribu kufundisha watu nini?

Mimi hapa nilipo Polisi wamekusanya watu usiku wa manane eti wanatafuta watu wa chadema,ukikutwa umevaa nguo ya chadema unawekwa ndani.

Juzi polisi waliingia hadi sokoni kupiga watu mabomu na wakaaribu vitu vya watu sokoni.
Hii ndio Amani?
Mkileta ukaidi mtapigwa tu.
 
Kama ukileta uhuni "utapigwa,utachakaa"
Yale Mabom yanayopigwa kila dakika wewe kwako ndio umeona ni Amani?
Watu wengine sijui mnajaribu kufundisha watu nini?

Mimi hapa nilipo Polisi wamekusanya watu usiku wa manane eti wanatafuta watu wa chadema,ukikutwa umevaa nguo ya chadema unawekwa ndani.

Juzi polisi waliingia hadi sokoni kupiga watu mabomu na wakaaribu vitu vya watu sokoni.
Hii ndio Amani?
 
Kamanda huishiwi vituko
Kuna mlinzi wa Magufuli kwa bahati mbaya kapost picha ya chagua Tundu lissu!! Japo alidai kakosea lkn akaendelea kudai hata wao sometimes wanamchoka Magufuli.

Huyu mtu ni balaa na mkosi kwa Taifa!!
 
Back
Top Bottom