Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

Mmezima mitandao mtekeleze wizi halafu unakuja hapa kuleta story za ajabu! Nkt
 
Wakala wa mabeberu yupo chaliiii na usikute yupo vunga vya Brussels hahaha.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Wakaendelee na Yale matamko yao hukohuko
 
Kuna mlinzi wa Magufuli kwa bahati mbaya kapost picha ya chagua Tundu lissu!! Japo alidai kakosea lkn akaendelea kudai hata wao sometimes wanamchoka Magufuli.

Huyu mtu ni balaa na mkosi kwa Taifa!!
Porojo tupu.
 
Back
Top Bottom