KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Jifunze kutumia nafsi ya umoja.Hamkubali ww na nani?Naam hatukubali viongozi wa kupandikizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kutumia nafsi ya umoja.Hamkubali ww na nani?Naam hatukubali viongozi wa kupandikizwa
Turudi nyumbani kufanyaje CCM mtarudi sisi tutabakiHabari za jioni watanzania!
Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa.
Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji kura lakini mmewadhibiti vilivyo. Tunapoelekea oktoba 28 tuhakikishe tunaitunza tunu ya amani tuliyoachiwa na waasisi wa Taifa letu. Tukapige kura kwa utulivu na kuwachagua viongozi wetu kwa amani.
Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.kamwe tusikubali mabeberu watuletee vihoja...mwaka huu fedha ya kufanyia uchaguzi hatujaomba nje ya nchi, hii ni hatua muhimu.
Piga kura rudi nyumbani na ushindi mkubwa utakuja.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sipigi kura ng'o kwa sababu hakuna haki. Iweje mgombea anayetetea kiti aseme washindani wake sio halali na tume kukaa kimya?Habari za jioni watanzania!
Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa.
Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji kura lakini mmewadhibiti vilivyo. Tunapoelekea oktoba 28 tuhakikishe tunaitunza tunu ya amani tuliyoachiwa na waasisi wa Taifa letu. Tukapige kura kwa utulivu na kuwachagua viongozi wetu kwa amani.
Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.kamwe tusikubali mabeberu watuletee vihoja...mwaka huu fedha ya kufanyia uchaguzi hatujaomba nje ya nchi, hii ni hatua muhimu.
Piga kura rudi nyumbani na ushindi mkubwa utakuja.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kabisa mkuuKutoka Lumumba(OND)
Bin Shib hapana HAKI hurudisha amani mbonaa..fanya reference kwa Wajerumani baada ya Hitler kuondoa amani ikarudi..Rwanda pia hata UgandaAmani ndo kila kitu,, amani ikipotea hamtairudisha kamwe hadi mwisho wa dunia unafika.
Magufuli anarudi ChatoMvua ya Amani imeanza kunyesha
Magufuli anarudi Chato
Abunuas!Magufuli anarudi Chato
Yeye na sisi sote tuliopiga kura za kumkataa mgombea pandikizi/kuadi/kibaraka wa mabeberu.Jifunze kutumia nafsi ya umoja.Hamkubali ww na nani?
Kwenye hekaya zake 😂😂😂Abunuas!
Lkn tutalia wote wakati ukifikaYeye na sisi sote tuliopiga kura za kumkataa mgombea pandikizi/kuadi/kibaraka wa mabeberu.
Ngoja tusubiri tuone.Lkn tutalia wote wakati ukifika