Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

Uchaguzi 2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

Habari za jioni watanzania!

Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa.

Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji kura lakini mmewadhibiti vilivyo. Tunapoelekea oktoba 28 tuhakikishe tunaitunza tunu ya amani tuliyoachiwa na waasisi wa Taifa letu. Tukapige kura kwa utulivu na kuwachagua viongozi wetu kwa amani.

Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.kamwe tusikubali mabeberu watuletee vihoja...mwaka huu fedha ya kufanyia uchaguzi hatujaomba nje ya nchi, hii ni hatua muhimu.

Piga kura rudi nyumbani na ushindi mkubwa utakuja.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Turudi nyumbani kufanyaje CCM mtarudi sisi tutabaki
 
Habari za jioni watanzania!

Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa.

Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji kura lakini mmewadhibiti vilivyo. Tunapoelekea oktoba 28 tuhakikishe tunaitunza tunu ya amani tuliyoachiwa na waasisi wa Taifa letu. Tukapige kura kwa utulivu na kuwachagua viongozi wetu kwa amani.

Haki na amani vitawale uchaguzi wetu wa awamu hii.kamwe tusikubali mabeberu watuletee vihoja...mwaka huu fedha ya kufanyia uchaguzi hatujaomba nje ya nchi, hii ni hatua muhimu.

Piga kura rudi nyumbani na ushindi mkubwa utakuja.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sipigi kura ng'o kwa sababu hakuna haki. Iweje mgombea anayetetea kiti aseme washindani wake sio halali na tume kukaa kimya?
 
Amani ndo kila kitu,, amani ikipotea hamtairudisha kamwe hadi mwisho wa dunia unafika.
Bin Shib hapana HAKI hurudisha amani mbonaa..fanya reference kwa Wajerumani baada ya Hitler kuondoa amani ikarudi..Rwanda pia hata Uganda
 
Wakala wa mabeberu yupo chaliiii na usikute yupo viunga vya Brussels hahaha.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom