Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,215
Nipo Dar, nataka kupata hospitali inayotoa huduma nzuri ya uzazi akajifungulie hapo mke wangu. Hiyo ni mimba ya kwanza. Naombeni ushauri niende hospitali ipi yenye huduma nzuri na malipo nafuu.
Natanguliza shukrani kubwa.
Natanguliza shukrani kubwa.