Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Kwamba hiyo sheria ni dhaifu?
Umesomea kipengele Cha mwisho kwenye fair termination?
Lakini unajua maana ya Kampuni kufilisika kweli? Achana na hizi za serikali.... It's sad
Vituo vingu vya Aga Khan visingefanya vizur on the go hata walivyoanza tu..
Bunda, Mabibo, Kahama (at least) nk
Kingine ni ku set premier pricing wakati wananchi wengi ni masikini sana ...
It's more of a business knowledge kuliko Kaz perse...
Good intention but bad idea from the inception....
Umesomea kipengele Cha mwisho kwenye fair termination?
Lakini unajua maana ya Kampuni kufilisika kweli? Achana na hizi za serikali.... It's sad
Vituo vingu vya Aga Khan visingefanya vizur on the go hata walivyoanza tu..
Bunda, Mabibo, Kahama (at least) nk
Kingine ni ku set premier pricing wakati wananchi wengi ni masikini sana ...
It's more of a business knowledge kuliko Kaz perse...
Good intention but bad idea from the inception....