johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hospitali ya Aga Khan imesema siyo kweli kwamba wodi zake zimejaa wagonjwa wa Corona bali wapo wagonjwa wenye matatizo mbalimbali.
Mtendaji mkuu wa hospitali hiyo amemwambia Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Mchembe kwamba akina mama wajawazito wameacha kwenda Kliniki kufuatia uvumi huo na akatumia nafasi hiyo kuwataka watu wote wenye ratiba za kliniki waendelee kuja kwani hospitali iko salama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
Mtendaji mkuu wa hospitali hiyo amemwambia Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Mchembe kwamba akina mama wajawazito wameacha kwenda Kliniki kufuatia uvumi huo na akatumia nafasi hiyo kuwataka watu wote wenye ratiba za kliniki waendelee kuja kwani hospitali iko salama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama