johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Bwashee hakuna anayekataa maana hata maalim Seif kaizungumzia!Maana yake ni kwamba wagonjwa wa covid19 wapo pale japo wodi hazijajaa. Anauekataa kwamba corona haipo anajidanganya na anajua anachokifanya