#COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

#COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

Daaahh, tatizo yule Kinjikitile mkuu alikuwa na elimu kubwa ambayo haijamkomboa kifikra.
Alionesha imani kubwa sana kwa muumba wake, akampenda akamchukua akawe kiongozi wa malaika kama alivyojitabiria.
 
Subiri kwanza tujenge sanamu la malaika mkuu,

View attachment 1844046

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1625492965153.jpg
 
Kwamba:

"Ushauli wangu:
1. Ushi kama vile hakuna covid
2. Usikubali kutishwa na barakoa
3. Treat hii kitu kama mafua tunazouguaga
4. Usikubali kupandishiwa pressure na huu msemo wa wimbi la 3."


Hata yule aliyekwenda alifuata.ushauri wako na anaendelea kuuzingatia kule chattle.
Corona haijaanza leo ndugu yangu, kama ingekuwa tishio, tungeona mass graves mtaani
 
Unakuta hospital yenyewe ina mitungi mitatu halafu unakuja na uzi kuwa imekumbwa na uungufu. Tuambie kwanza ina jumla ya mitungi mingapi iliyo active na mingapi inatumiwa na wagonjwa hadi muda huu.
Swala ni kuongeza mitungi,wanazidiwa na wagonjwa nlikua wodi ya private nauguza,kwa siku ilikua inapangwa mitungi zaidi ya hamsini ikifika mchana imeisha...mgonjwa wa covid kumaliza mitungi 5 akiwa serious ni jambo la kawaida
 
Baba yake rafiki yangu kafariki Musoma na Mama yake yupo kwenye oxygen. Rafiki yangu naye kafariki mwaka jana mwezi wa nne na kaka yake katoka hospitali lakini alikaa zaidi ya siku 40 Houston, TX kwenye ICU . Kaka yake bado anatumia oxygen baada ya kupata matatizo kwenye mapafu. Yote hii ni Corona. Mama wanasema atapona anaweza kutoka wiki hii lakini atakuta mzee wamesha zika wiki iliyopita
Hata mimi mjomba wa rafiki yake na rafiki yangu,mama yake ambaye ni shangazi wa bibi yake,juzi kakutwa kwa mjukuu wake akiwa hoi hajitambui.

Wanasema hiyo ni corona.
 
Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Nani huyo aliekulazimisha kuvaa? 😳
 
hakuna corona kuna delta tanzania mwisho tulikuwa na wagonjwa mia tano na sasa wako mia hapo chanjo ya nini.
 
Habari wadau.

Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.

Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.

Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.

Chanzo: ITV Habari 06/07/2021.
View attachment 1844061
Inashangaza sana waziri husika yuko kimya sana na hili tulitegemea angetoa taarifa ya idadi ya wagonjwa Mwanza waliolazwa ni wangapi na wangapi wanahitaji msaada wa oksijeni na Hospital za Mwanza zina mitungi kiasi gani na GVT ina mkakati gani wa kuongeza uzalishaji wa oksijeni kukabili uhaba huu kwani oksijen ni muhimu sana watu watakuwa wanaangamia tunaficha ficha tu this can happen only
in Tanzania
 
Wewe hiyo hela ni ndogo sana kwa serikali. Ni hela ya chai na mikate kwa siku moja tu.

Acha kuiaibisha serikali na kuitukana.

Afu unaonekana una mawazo ya kimasikini masikini sana wewe!

Sio kila kitu ni madawati tu. Hata kumuenzi na kumuheshimisha Rais Magufuli ni jambo pia, tena la muhimu.

Kwanza hako kahela kadogo mnoooo ukilinganisha na mambo ambayo Magufuli amelitendea Taifa hili.

Nyinyi majizi mnaogopa hata sanamu ya aliyekufa?

Mwanzoni nilikuwa nafahamu kwamba nyinyi majizi na wauza unga mnamuogopa Magufuli kutokana na namna alivyowaadabisha, kumbe hata sanamu yake mnaiogopa pia?
Dikteta hafai kuwekewa hata sanamu, Ni wakulaaniwa na kila mwenye akili timamu
 
Kwamba toka mwaka jana ambapo ndio corona ilitangazwa kuingia Tanzania na hatuwa tukichukua tahadhari ila hatukuwahi kusikia upungufu wa mitungi ya oksijeni, kwanini sasa?
 
Back
Top Bottom