Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Daaahh, tatizo yule Kinjikitile mkuu alikuwa na elimu kubwa ambayo haijamkomboa kifikra.Mkuu, nimecheka kwa nguvu sana. Mungu awarehemu vinjeketile wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaahh, tatizo yule Kinjikitile mkuu alikuwa na elimu kubwa ambayo haijamkomboa kifikra.Mkuu, nimecheka kwa nguvu sana. Mungu awarehemu vinjeketile wetu
Alionesha imani kubwa sana kwa muumba wake, akampenda akamchukua akawe kiongozi wa malaika kama alivyojitabiria.Daaahh, tatizo yule Kinjikitile mkuu alikuwa na elimu kubwa ambayo haijamkomboa kifikra.
sasa mbona kutwa mnateseka sana nyie mbweha na mafisi wa Mbooye lijitu ongo tapeli katili na jsmbazi lililokoswa mvuto wa kisiasa nchini
Subiri kwanza tujenge sanamu la malaika mkuu,
View attachment 1844046
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mtanzania mwenzangu, Tumia lugha za staha utaeleweka...
Corona haijaanza leo ndugu yangu, kama ingekuwa tishio, tungeona mass graves mtaaniKwamba:
"Ushauli wangu:
1. Ushi kama vile hakuna covid
2. Usikubali kutishwa na barakoa
3. Treat hii kitu kama mafua tunazouguaga
4. Usikubali kupandishiwa pressure na huu msemo wa wimbi la 3."
Hata yule aliyekwenda alifuata.ushauri wako na anaendelea kuuzingatia kule chattle.
Wananchi wa wapi hao wanaokufa kwa kukosa oksijeni?Wananchi wanakufa kwa kukosa oxygen
Swala ni kuongeza mitungi,wanazidiwa na wagonjwa nlikua wodi ya private nauguza,kwa siku ilikua inapangwa mitungi zaidi ya hamsini ikifika mchana imeisha...mgonjwa wa covid kumaliza mitungi 5 akiwa serious ni jambo la kawaidaUnakuta hospital yenyewe ina mitungi mitatu halafu unakuja na uzi kuwa imekumbwa na uungufu. Tuambie kwanza ina jumla ya mitungi mingapi iliyo active na mingapi inatumiwa na wagonjwa hadi muda huu.
Wanakufa wapi? Lini na saa ngapi?Huo uchumi utakuwa wa nini kama wanaotakiwa kuufaidi wanakufa!
Hata mimi mjomba wa rafiki yake na rafiki yangu,mama yake ambaye ni shangazi wa bibi yake,juzi kakutwa kwa mjukuu wake akiwa hoi hajitambui.Baba yake rafiki yangu kafariki Musoma na Mama yake yupo kwenye oxygen. Rafiki yangu naye kafariki mwaka jana mwezi wa nne na kaka yake katoka hospitali lakini alikaa zaidi ya siku 40 Houston, TX kwenye ICU . Kaka yake bado anatumia oxygen baada ya kupata matatizo kwenye mapafu. Yote hii ni Corona. Mama wanasema atapona anaweza kutoka wiki hii lakini atakuta mzee wamesha zika wiki iliyopita
Nani huyo aliekulazimisha kuvaa? 😳Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
CORONA ipo na mama yetu alishatoa tahadhari ,atakaeshindwa kuchukua tahadhari ni shauri yakeHAKUNA KORONA
Inashangaza sana waziri husika yuko kimya sana na hili tulitegemea angetoa taarifa ya idadi ya wagonjwa Mwanza waliolazwa ni wangapi na wangapi wanahitaji msaada wa oksijeni na Hospital za Mwanza zina mitungi kiasi gani na GVT ina mkakati gani wa kuongeza uzalishaji wa oksijeni kukabili uhaba huu kwani oksijen ni muhimu sana watu watakuwa wanaangamia tunaficha ficha tu this can happen onlyHabari wadau.
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Chanzo: ITV Habari 06/07/2021.
View attachment 1844061
Ubaya wake ni kukosa mahitaji muhimu na wafanyabiashara hasa wadogo kukosa pesaTuacheni masihara. Kweli mnasugest lockdown iwepo? Watu watakula wakijifungia?
Dikteta hafai kuwekewa hata sanamu, Ni wakulaaniwa na kila mwenye akili timamuWewe hiyo hela ni ndogo sana kwa serikali. Ni hela ya chai na mikate kwa siku moja tu.
Acha kuiaibisha serikali na kuitukana.
Afu unaonekana una mawazo ya kimasikini masikini sana wewe!
Sio kila kitu ni madawati tu. Hata kumuenzi na kumuheshimisha Rais Magufuli ni jambo pia, tena la muhimu.
Kwanza hako kahela kadogo mnoooo ukilinganisha na mambo ambayo Magufuli amelitendea Taifa hili.
Nyinyi majizi mnaogopa hata sanamu ya aliyekufa?
Mwanzoni nilikuwa nafahamu kwamba nyinyi majizi na wauza unga mnamuogopa Magufuli kutokana na namna alivyowaadabisha, kumbe hata sanamu yake mnaiogopa pia?
Hahahaaaaaa...Dikteta hafai kuwekewa hata sanamu, Ni wakulaaniwa na kila mwenye akili timamu