Hospitali ya Mloganzila ndiyo mfano wa utoaji wa huduma za Afya nchini

Hospitali ya Mloganzila ndiyo mfano wa utoaji wa huduma za Afya nchini

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Hii hospitali imetengenezwa kisasa kuanzia miundombinu, mpangilio na kila setting.

Vifaa vya kutosha na wahudumu wanaonekana kuwa na ari nzuri tofauti na tulivyosikia hapo nyuma.

Tukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania

995d8df55971eaf5081abc41e588e1fa.jpg
 
Hii hospitali imetengenezwa kisasa kuanzia miundombinu, mpangilio na kila setting.

Vifaa vya kutosha na wahudumu wanaonekana kuwa na ari nzuri tofauti na tulivyosikia hapo nyuma.

Tukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania

View attachment 3050574
Ndio inaongoza Kwa kulalamikiwa
 
Hii hospitali imetengenezwa kisasa kuanzia miundombinu, mpangilio na kila setting.

Vifaa vya kutosha na wahudumu wanaonekana kuwa na ari nzuri tofauti na tulivyosikia hapo nyuma.

Tukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania

View attachment 3050574
Ndio hata mishahara yao ipo vizuri usilinganishe na huku local government. Kupandishwq daraja tu lazima upambane haswa
 
Ni kweli usemayo. Nishawahi muuguza mgonjwa wangu hapo. Mgonjwa wangu alishakaa muhimbili akaniambia hajaona hospitali yenye huduma nzuri kama mloganzila. Mwanzo tuliogopa kutokana na maneno ya watu lakini baada ya kufika tukashangaa kwanini tulichelewa kufika hapo.
 
Ni kweli usemayo. Nishawahi muuguza mgonjwa wangu hapo. Mgonjwa wangu alishakaa muhimbili akaniambia hajaona hospitali yenye huduma nzuri kama mloganzila. Mwanzo tuliogopa kutokana na maneno ya watu lakini baada ya kufika tukashangaa kwanini tulichelewa kufika hapo.
Maneno ya watu bwana kuna time ynaweza kukupoteza kabisa. Japo ni muhim kusikiliza ushauri
 
Ni kweli usemayo. Nishawahi muuguza mgonjwa wangu hapo. Mgonjwa wangu alishakaa muhimbili akaniambia hajaona hospitali yenye huduma nzuri kama mloganzila. Mwanzo tuliogopa kutokana na maneno ya watu lakini baada ya kufika tukashangaa kwanini tulichelewa kufika hapo.
Utashaangaa watu wanabishana na ww mwenye experience
 
Back
Top Bottom