Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Ndio inaongoza Kwa kulalamikiwaHii hospitali imetengenezwa kisasa kuanzia miundombinu, mpangilio na kila setting.
Vifaa vya kutosha na wahudumu wanaonekana kuwa na ari nzuri tofauti na tulivyosikia hapo nyuma.
Tukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania
View attachment 3050574
Kulalamikiwa kwa lipiNdio inaongoza Kwa kulalamikiwa
Huduma mbovu ,watu wanakufa sana kisa eti wanatibiwa na wanagunziKulalamikiwa kwa lipi
Ulishawai peleka Mgonjwa?Huduma mbovu ,watu wanakufa sana kisa eti wanatibiwa na wanagunzi
Hujawahi sikia malalamiko?Ulishawai peleka Mgonjwa?
Unalinganisha rate ya vifo kwa Mloganzila dhidi ya hospitali zinazopokea wagonjwa wa kuharisha, ukurutu na kikohozi?Huduma mbovu ,watu wanakufa sana kisa eti wanatibiwa na wanagunzi
Nitajie hospital kubwa ambayo haina wanafunziHuduma mbovu ,watu wanakufa sana kisa eti wanatibiwa na wanagunzi
Tofautisha teaching hospitals na hospital ambazo sio maalumu Kwa kifundishiaNitajie hospital kubwa ambayo haina wanafunzi
Ndo maana umeambiwa achana na siasaHujawahi sikia malalamiko?
Politics is life ,ukiacha utafanya nini? So utakuwa mbuziNdo maana umeambiwa achana na siasa
Ndio hata mishahara yao ipo vizuri usilinganishe na huku local government. Kupandishwq daraja tu lazima upambane haswaHii hospitali imetengenezwa kisasa kuanzia miundombinu, mpangilio na kila setting.
Vifaa vya kutosha na wahudumu wanaonekana kuwa na ari nzuri tofauti na tulivyosikia hapo nyuma.
Tukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania
View attachment 3050574
HujaelewaPolitics is life ,ukiacha utafanya nini? So utakuwa mbuzi
Maneno ya watu bwana kuna time ynaweza kukupoteza kabisa. Japo ni muhim kusikiliza ushauriNi kweli usemayo. Nishawahi muuguza mgonjwa wangu hapo. Mgonjwa wangu alishakaa muhimbili akaniambia hajaona hospitali yenye huduma nzuri kama mloganzila. Mwanzo tuliogopa kutokana na maneno ya watu lakini baada ya kufika tukashangaa kwanini tulichelewa kufika hapo.
Naomba mfano wa teaching hospital na ambayo sio maalum kwa kufundishiaTofautisha teaching hospitals na hospital ambazo sio maalumu Kwa kifundishia
Utashaangaa watu wanabishana na ww mwenye experienceNi kweli usemayo. Nishawahi muuguza mgonjwa wangu hapo. Mgonjwa wangu alishakaa muhimbili akaniambia hajaona hospitali yenye huduma nzuri kama mloganzila. Mwanzo tuliogopa kutokana na maneno ya watu lakini baada ya kufika tukashangaa kwanini tulichelewa kufika hapo.