Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
- Thread starter
- #101
Nitajie hospital ambayo hakuna wanafunziWanafunzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie hospital ambayo hakuna wanafunziWanafunzi
Tatizo hospitali zetu za serikali watumishi wanawaacha wanafunzi na interns kutoa huduma bila usimamizi.Nitajie hospital ambayo hakuna wanafunzi
Ndo umejibu swali hivo?Tatizo hospitali zetu za serikali watumishi wanawaacha wanafunzi na interns kutoa huduma bila usimamizi.
Vzr maana umesema kwako ndo the bestBenjamin Mkapa dodoma kwangu mm ni the best
Ila Mliloganzila kama ni Majengo ni nzuri jamani....
Sidhani kama kuna Hospitali Binafsi au Serikali Nchini inafikia ule Ubora....
Bado sana.....Mzena
Idadi ya intern waliopo pale ni ndogo kuliko idadi ya intern walioko muhimbiliWatu Wanakufa pale balaa.Ingawa Vifo ni kawaida ila watu waliotibiwa pale wanasema shida pale ni Ma Intern Wengi
Agakan Hawana madaktari wamejaza vijana wadogo woa wanachofanya ni usafi wanafanya ukifika unadhani wanajua kumbe usafi wa jengo. Kwa ufupi tiba TZ ni janga.Idadi ya intern waliopo pale ni ndogo kuliko idadi ya intern walioko muhimbili
Na idadi ya intern waliopo mloganzila inazidi id Kwa Ufupi adi ya intern waliopo agha Khan kwa watu watano tu
Unataka kusema hii kashfa ipo mpaka agha Khan?
Elewa neno siasa
Na watu ndo wanasema kuna huduma nzuri nawahakikushia wakizidiwa wanawapa rufaa kuja muhimbili hawataki lawama waleAgakan Hawana madaktari wamejaza vijana wadogo woa wanachofanya ni usafi wanafanya ukifika unadhani wanajua kumbe usafi wa jengo. Kwa ufupi tiba TZ ni janga.
Madaktari wao hawapo serious kulinganisha na muhimbili..Kulalamikiwa kwa lipi
Kila siku ispokua jumamosi na jumapili.Hilo jopo la wataalam 5 mpaka wabobezi, walikuwa wa nakuja kukuhudumia kila siku mkuu?
Kaka Mimi sio tajiri lakini I am wealthy. Room tu nilikua nalipa zaidi ya 50k kwa siku.Hongera,ulikuwa na hela au someone who knows you.
Madaktari wa upanga ndio wale wale wa Muhimbili Mloganzila. Ndio maana kwenye klinik utasikia akikuambia njoo siku Fulani na Fulani nyingine hizo nitakua upanga.Madaktari wao hawapo serious kulinganisha na muhimbili..
Sumu haijaribiwi kwa kuonjaUlishawai peleka Mgonjwa?
Mzee vifaa vilivyopo hapo hakuna private hospital yoyote Tanzania vinavweza kuwa navyoMpeleke ndugu yako alafu uje na hiyo mada
Hizo propaganda za private hospitalNdio inaongoza Kwa kulalamikiwa