Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Rudi kwenye post #27Mbona wengi wanaopelekwa hapo huwa hawatoboi? Unalizungumziaje hilo ndugu msemaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kwenye post #27Mbona wengi wanaopelekwa hapo huwa hawatoboi? Unalizungumziaje hilo ndugu msemaji?
Wanapelekwa hapo wakiamini watakutana na mabingwa kumbe ni tofauti wanaenda kukutana na wanafunzi ambao wapo lab kwa hio ikifika mtu IPO dhofurihali wanaiona km Maiti fulani hivi imefika kwenye mafriji ya mochwari kiufupi wale wanafunzi wamekula Mafunzo ya kukaa mochwari zaidi kuliko kuokoa Uhai wa watuWagonjwa wengi wanaenda pale wakiwa kwenye last stages za maisha, kosa sio la wahudumu...hospitali nyingi za private wakishaona huu mzigo hautoboi wanampa rufaa, mtu anaenda pale ameshafikia hatua za mwisho kabisa unategemea atoboe au kosa liwe kwa nani.
Mloga ni moja ya hispitali bora kabisa kuanzia design yake, space, facilities nk.
kukupetipeti, howKwamba ukienda pale Kifo Mkononi, Mimi sio Mloganzila tu hospital yoyote nikienda nikiona Dokta na Manesi hawanipetipeti najua hapa Muda wowote nakufa Hawa wataishia kuniangalia tu hivi mwisho wanifunike lile shuka la blue au Jeupe
Km mfalme fulani nimeingia hospitalkukupetipeti, how
ni kweli kuwa wahudumu wa hospitali wakionesha kujali, wagonjwa hupata nafuu haraka! utafiti umethibitisha hilo. Unachosema nimekuelewaKm mfalme fulani nimeingia hospital
Kabla ya pesa walinu wanakuwa wapKwenye pesa wanakuja Walimu wao
Sasa unaingia hospital unachukuliwa km Paka fulani hivi anavizia Mifupa ya supu za walevi wa Bar hio hapanani kweli kuwa wahudumu wa hospitali wakionesha kujali, wagonjwa hupata nafuu haraka! utafiti umethibitisha hilo. Unachosema nimekuelewa
ilishawahi kunitokea kwenye ka kituo ka afya mahala flani huko maporini. Nilikuwa admitted saa mbili asubuhi, ilipofika saa kumi jioni niliomba kuondokaSasa unaingia hospital unachukuliwa km Paka fulani hivi anavizia Mifupa ya supu za walevi wa Bar hio hapana
Hapo lazima ukimbilie kwa Mitume na Manabii hakuna namnailishawahi kunitokea kwenye ka kituo kwa afya mahala flani huko maporini. Nilikuwa admitted saa mbili asubuhi, ilipofika saa kumi jioni niliomba kuondoka
Mbona tumesikia ni machinjio na hamjakanushaTukiachana na figisu za kisiasa hii hospitali ndo standard ya utoaji wa huduma za afya Tanzania
Vingunguti kwenye 1 na 2Mbona tumesikia ni machinjio na hamjakanusha
kina Mwamposa hawawezi kunipata bro, kwa vyovyote vile! Bora kupata huduma mbovu kuliko kutapeliwa mchana kweupe!Hapo lazima ukimbilie kwa Mitume na Manabii hakuna namna
Hauchinji Mbuzi au Kuku kuweka mambo sawa, niliwahi kwenda hospital Dokta akaniambia waziwazi Dawa hii nikikupa usipopona uje nikupeleke kwa Mitume na Manabii ukaombewekina Mwamposa hawawezi kunipata bro, kwa vyovyote vile! Bora kupata huduma mbovu kuliko kutapeliwa mchana kweupe!
ni uongo.Watu Huwa wanasema ukipewa rufaa ya kwenda mloganzira ujue unaenda ku r.i.p kumbe ni uongo?
Hilo jopo la wataalam 5 mpaka wabobezi, walikuwa wa nakuja kukuhudumia kila siku mkuu?Binafsi nimekua admitted pale x 2. Huduma niliyoipata Ni nzuri Sana, kila asubuhi saa tatu mpaka sita Kuna jopo la madaktari wasiopungua watano wanaokuja kunihudumia ikiwa Ni pamoja na mbobezi 1, Prof 1. Resident wa ward, intern 1 na labda mwanafunzi mmoja.
Aisee pale hawabahatishi.
Wagonjwa wanaokufa Mloganzila Ni walioshindikana hosp zote za Dar ikiwa Ni pamoja za private na za mkoa wa Pwani. Na wengi wanakua wamefia kwenye ambulance Ila anayetangaza kwamba wamevuta Ni daktari wa Mloganzila ndio maana watu wanahisi wamefia Mloganzila.
Tofauti na za hapa kwetu huko ulaya, kama kuna wanafunzi huwa wana tambulishwa kwako Mgonjwa. Na wanaomba ruhusa toka kwako kama uko radhi wa naweza kushiriki kukupa huduma, ukisema no wanaondolewa.Hospital gan kubwa dunian haina wanafunzi
Mchezo ganBabu Ubaya ubwela huu Mchezo hauujui