jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Nasikitika kuona "kiherehere" cha hospitali ya Taifa ya Muhimbili katika kutoa Taarifa zinazohusu majanga bila kuzingatia chain of command.
Sio afya kwa hospitali hii as an entity kukimbilia kwenye media na kutoa taarifa bila kuzingatia taratibu za uhabarishaji umma wakati wa tukio la majanga.
Nilitegemea kuona strictly taarifa zinatoka kutokea kwa mamlaka zilizokasimiwa kutoa taarifa wakati wa majanga.
mfano:Mganga Mkuu wa Serikali...Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamu.
Haitakiwi kuwa na taarifa zilizo vipande vipande bali taarifa moja tu kutoka kwa relevant authority...sasa kama tunaanza kuwa na taarifa za Muhimbili,Amana,Mnazi mmoja n.k hii ni chaos ...tuzingatie weledi bana!!
Maoni yangu :Tupunguze kukurupuka linapokuja swala la majanga na dharura na tuzingatie weledi !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sio afya kwa hospitali hii as an entity kukimbilia kwenye media na kutoa taarifa bila kuzingatia taratibu za uhabarishaji umma wakati wa tukio la majanga.
Nilitegemea kuona strictly taarifa zinatoka kutokea kwa mamlaka zilizokasimiwa kutoa taarifa wakati wa majanga.
mfano:Mganga Mkuu wa Serikali...Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamu.
Haitakiwi kuwa na taarifa zilizo vipande vipande bali taarifa moja tu kutoka kwa relevant authority...sasa kama tunaanza kuwa na taarifa za Muhimbili,Amana,Mnazi mmoja n.k hii ni chaos ...tuzingatie weledi bana!!
Maoni yangu :Tupunguze kukurupuka linapokuja swala la majanga na dharura na tuzingatie weledi !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!