Soma vizuri sehemu ya. Public, military mbele ikachaguliwa militaryWapi Pameandikwa Jeshi ?
Hospital ya Jeshi ni Lugalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri sehemu ya. Public, military mbele ikachaguliwa militaryWapi Pameandikwa Jeshi ?
Hospital ya Jeshi ni Lugalo
Kama wapi wanaopatiwa wengine MkuuKuna diversity ya utoaji huduma mkuu sio hao pekee.
Sasa hao ndugu walioko Tiss kuwajua ndio kipengele, anaweza kuwa nao na asijueKama una ndugu anafanya kazi Tiss nenda kapewe huduma kama hauna we nenda temeke hospital tu huko achana napo
Naunga mkono hojaSasa hao ndugu walioko Tiss kuwajua ndio kipengele, anaweza kuwa nao na asijue
😂😂😂😂😂😂😂😂Masaa 24 tuko tayari kukuhudumia mtanzania mnyonge.
Kuna yule mama UK ndoa miaka 40, amekuja Gunduwa kazi ya mumewe baada ya kufariki na kuzikwa😂Sasa hao ndugu walioko Tiss kuwajua ndio kipengele, anaweza kuwa nao na asijue
Mzee wa Kipogolo kutoka Sali, Mahenge.Ni kweli Mkuu na hata jina lake limetokana na Mkuu wa usalama TISS wa kwanza anaitwa Emilio Mzena
Sasa mtu kakwambia ni mgonjwa wewe unamuuliza kama mzima kweli? Naona wewe pia mgonjwa.Mkuu, Wee mzima kweli[emoji23]
Mi naomba mwenye picha za hiyo hospitali pendwa Mzena aziweke hapa tuzione inafananaje
NB: Tiss watupishe kidogo.
Kwani Lugalo ni Mzena?Mbona Lugalo tunatibiwa
Ni sehemu ya mapunziko🤓Hiyo Military ni nini?
Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam
Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover
Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam
Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo
Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts
JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.
Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi
Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka kabisa
Kati ya Makumbusho na VictoriaKwani ipo mitaa gani?
🦅Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam
Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover
Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam
Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo
Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts
JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.
Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi
Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka kabisa
😆😅😅Mzee wa Kipogolo kutoka Sali, Mahenge.
Kama utafanikiwa kuingia, hata hivyo dawa za ugonjwa wako hazipo.Sijisikii vizuri Wakuu, kesho nataka kufanya checkup.
Nipeni mwongozo wa kuingia hapo hospitali ya Mzena kufanya matibabu.
Mode of payment nimepanga kutumia kadi ya NHIF.