Hospitali ya Mzena wanapokea bima ya NHIF?

Hospitali ya Mzena wanapokea bima ya NHIF?

Mi naomba mwenye picha za hiyo hospitali pendwa Mzena aziweke hapa tuzione inafananaje

NB: Tiss watupishe kidogo.

Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam

Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover

Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam

Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo

Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts

JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.

Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi

Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka kabisa
 
Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam

Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover

Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam

Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo

Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts

JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.

Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi

Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka kabisa

Kwa hiyo tuseme Mzena ni VIP Dispensary?
 
Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam

Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover

Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam

Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo

Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts

JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.

Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi

Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka kabisa
🦅
 
Back
Top Bottom