Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Asante , Je mwanzo wake ni awamu ya 6 kama chawa mnavyotaka kutuaminisha ?Sio ya Lindi ni hospital ya Rufaa ya Kanda Mtwara.
Jiridhishe kabla ya kupuyanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante , Je mwanzo wake ni awamu ya 6 kama chawa mnavyotaka kutuaminisha ?Sio ya Lindi ni hospital ya Rufaa ya Kanda Mtwara.
Jiridhishe kabla ya kupuyanga.
Wewe Ni mama Bora.Miradi mikubwa ya CHADEMA;
1. Utafunaji wa michango ya Join The Chain
2. Kutafuna Tsh 1.5b kwa ununuzi wa pagale huko Mikocheni.
3. Utafunaji wa pesa za ruzuku.
Hiyo namba 1 & 2 huwa zinawakasirisha sana nyumbu na kuishia kutukana.
Ni vema tukaweka sawa hizi kumbukumbu, Hospitali hiyo ya Lindi inayozinduliwa leo na Rais Samia ni mipango ya Mwl Nyerere na ujenzi wake ulianza 1978.
Wala halikuwahi kuwa wazo la awamu ya 6, Mradi mkubwa sana ulioanzishwa na Awamu ya 6 na ambao utakumbukwa milele kwa kuwakutanisha akina Ally Kiba, Giggy Money, Mashehe na Maaskofu, akiwemo Malasusa ni Tamasha kabambe la kizimkazi, huu ndio mradi halali wa awamu ya 6.
View attachment 2754436
Onesha chawa Aliyesema hospital ya Mtwara imeanza kujengwa awamu ya 6.Hiyo taarifa akitoa Waziri wa Afya.Asante , Je mwanzo wake ni awamu ya 6 kama chawa mnavyotaka kutuaminisha ?
Sio ya Lindi ni hospital ya Rufaa ya Kanda Mtwara.
Jiridhishe kabla ya kupuyanga.
Sasa kinachokuliza nini , si wote waliokuwepo awamu zote ni wanaccm tu !Onesha chawa Aliyesema hospital ya Mtwara imeanza kujengwa awamu ya 6.Hiyo taarifa akitoa Waziri wa Afya.
Pili kama ni hospital ya Lindi nayo tusubirie taarifa ya Waziri kama itasema ulianza awamu ya ngapi
Umeambiwa mradi mkubwa kabisa ni wa Kizimkazi huko Unguja, huu uliwakutanisha na wazungu pia.Miradi ya Samia ni ipi haswa?
Kheeee 😳Sawa ni hatua Pia
Aisee 🤔Ni vema tukaweka sawa hizi kumbukumbu, Hospitali hiyo ya Lindi inayozinduliwa leo na Rais Samia ni mipango ya Mwl Nyerere na ujenzi wake ulianza 1978.
Wala halikuwahi kuwa wazo la awamu ya 6, Mradi mkubwa sana ulioanzishwa na Awamu ya 6 na ambao utakumbukwa milele kwa kuwakutanisha akina Ally Kiba, Giggy Money, Mashehe na Maaskofu, akiwemo Malasusa ni Tamasha kabambe la kizimkazi, huu ndio mradi halali wa awamu ya 6.
View attachment 2754436
Jamaa wa CDM ameweka ushahid, ww mbona huweki ushahid? Na picha za hilo pagala tuone!Miradi mikubwa ya CHADEMA;
1. Utafunaji wa michango ya Join The Chain
2. Kutafuna Tsh 1.5b kwa ununuzi wa pagale huko Mikocheni.
3. Utafunaji wa pesa za ruzuku.
Hiyo namba 1 & 2 huwa zinawakasirisha sana nyumbu na kuishia kutukana.
Chawa wa mama chaliNi vema tukaweka sawa hizi kumbukumbu, Hospitali hiyo ya Lindi inayozinduliwa leo na Rais Samia ni mipango ya Mwl Nyerere na ujenzi wake ulianza 1978.
Wala halikuwahi kuwa wazo la awamu ya 6, Mradi mkubwa sana ulioanzishwa na Awamu ya 6 na ambao utakumbukwa milele kwa kuwakutanisha akina Ally Kiba, Giggy Money, Mashehe na Maaskofu, akiwemo Malasusa ni Tamasha kabambe la kizimkazi, huu ndio mradi halali wa awamu ya 6.
View attachment 2754436
Tumewamaliza kirahisi sana !Chawa wa mama chali
Subiri shambulizi za maana kwani umetia mchanga kitumbua chaoTumewamaliza kirahisi sana !
Hawana hoja , nimepiga kwenye mshonoSubiri shambulizi za maana kwani umetia mchanga kitumbua chao
Na kwanini aanze mipya ikiwa ipo kibao ambayo watangulizi wake hawakuikamilisha? Na akiiacha pia mpate cha kuongea kuwa nchi haina dira kila rais anajianzishia tu la kwake!!Miradi ya Samia ni ipi haswa?
Wana chadema wabishi kweli kweli.Usinilishe maneno
Wala hatukatai tunachotaka muwe mnasema ukweliNa kwanini aanze mipya ikiwa ipo kibao ambayo watangulizi wake hawakuikamilisha? Na akiiacha pia mpate cha kuongea kuwa nchi haina dira kila rais anajianzishia tu la kwake!!