Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo miradi ya Nyerere ilikamilishwa na Magufuli,na ipo iliyouawa na kufa, kinachonishangaza mradi aanzishe Nyerere hapo kati wapite Marais 5,wasikamilishe wa sita mwenye kujali afya za wana kusini aumalizie!Asante , Je mwanzo wake ni awamu ya 6 kama chawa mnavyotaka kutuaminisha ?
muwe mnanyoosha maelezo basiIpo miradi ya Nyerere ilikamilishwa na Magufuli, kinachonishangaza mradi aanzishe Nyerere hapo kati wapite Marais 5,wasikamilishe wa sita mwenye kujali afya za wana kusini aumalizie!
KAA KIMYAJamaa wa CDM ameweka ushahid, ww mbona huweki ushahid? Na picha za hilo pagala tuone!
Hakai mtu kimya hapa !KAA KIMYA
Kwa nini akae kimya?KAA KIMYA
Hata ya Mtwara LIGULA ilianza kujengwa mwaka 2019 enzi za JPM pamoja na soko la CHUNO lakini wapambe utawasikia nani kama mama kaleta pesa za ......wakati ni uongo mtupuNi vema tukaweka sawa hizi kumbukumbu, Hospitali hiyo ya Lindi inayozinduliwa leo na Rais Samia ni mipango ya Mwl Nyerere na ujenzi wake ulianza 1978.
Wala halikuwahi kuwa wazo la awamu ya 6, Mradi mkubwa sana ulioanzishwa na Awamu ya 6 na ambao utakumbukwa milele kwa kuwakutanisha akina Ally Kiba, Giggy Money, Mashehe na Maaskofu, akiwemo Malasusa ni Tamasha kabambe la kizimkazi, huu ndio mradi halali wa awamu ya 6.
View attachment 2754436
Mimi na nani?Wala hatukatai tunachotaka muwe mnasema ukweli
na chawa wenzioMimi na nani?
Wewe ni mwanaCCM mwenzetu. Endelea kufanya kazi tuliyokutuma hapo Ufipa.Hakai mtu kimya hapa !
Mkuu ni heri unitukane matusi yote lakini si kama hilo ulilonitukana ! Tafadhari sana !Wewe ni mwanaCCM mwenzetu. Endelea kufanya kazi tuliyokutuma hapo Ufipa.
Yaan nyie kweny segment ya hoja ni watupu!!KAA KIMYA
😆😆😆😆Yaan nyie kweny segment ya hoja ni watupu!!