Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hospitali ya rufaa kitete mkoa wa Tabora imetangaza ajira za mkataba 126 kwa wataalamu wa afya mbalimbali mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25/06/2024.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia mitandaoni usiwe mvivuMbona kitengo kinaonekana kimoja tu unaweza kusaidia kuweka nakala zote kwa manufa.ya jobless wenzangu [emoji56]
Mpaka mfumo upate tatizoTangazo limetoka Toka tarehe 18/06/2024 lakini akina flani walilifahamu ili wafanye mambo yao, ombeni kwa fujo zote Sasa..
Una maanisha nini yaani sijakuelewaNatamani ajira zote za serikali ingekuw ivi tungeheshimiana.
Namaanisha ivi mkuu watumishi wa umma asilimia kubwa hawana uadirifu na kazi zao mara ngapi wauguzi wanawafokea wagonjwa au kuwatelekeza na kuwapa customer care mbovu mfano juzi tu apo katika kufatilia nida watu wazima mnafokewa kama watoto sasa kama kutakuwa na ajira za mkataba na maana yake kutakuwa na merit kwa watumishi kuwa na good customercare na uadilifu kwa maana mkataba utambana mtumishi asiye na uadilifu au itazame uda tu jinsi wananchi wanavoletewa dharau na watumishi hasa madereva mtu anatelekeza gari na abiria kisa anajua hakuna mtu wa kumuwajibisha moja kwa moja.Una maanisha nini yaani sijakuelewa