DOKEZO Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital) angalieni roho za watu

DOKEZO Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital) angalieni roho za watu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kalpana

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
32,603
Reaction score
62,269
Kuna hali ya sintofahamu hapa kwenye hii hospital sijui ni uzembe wa makusudi au hospital imekabidhiwa wanafunzi

Case 1: kuna ajali ilitokea ya magari yaligongana na ktk hyo ajali kuna watu naowafahamu, wakapelekwa general abiria mmoja kati ya waliopata ajali alifika hapo hospital akiwa amevunjika kabisa mkono na exray alopigwa pia ilionyesha hivyo lakini huyo mtu akawa analalamika mguu unamuuma wakampiga na exray ya mguu cha kushangaza wakasema mguu uko vzr haujavunjika.

Hivyo kwa mujibu wao ni mkono tu ndo umevunjika lakini mgonjwa analalamika sana mguu na kilichoshangaza kuliko vyote walimfunga pop mkono na kumruhusu aende nyumbani wakampa dawa za kutuliza maumivu tuu. Kurudi nyumbani kuangalia mguu umevimba kuushika mguu umejitenga kabisa yani ulivunjika na wenyewe lakini wao walisema mguu haujapata shida.

Ndo kumpeleka mgonjwa hospital nyingine muda huo huo na kulazwa kushughulikiwa mguu huo. Mpk sasa yupo kitandani tushukuru Mungu waliweza kugundua na hela ikawa ipo ya kumpeleka hospital nyingne najiuliza kama hali ya mtu mwingine ambaye hana si anakufa?

Case 2: Jana kuna mtoto aligongwa na bodaboda usiku. Mtoto huyo wakampeleka kwny hospital binafsi ya krb kwa first aid kufika hapo daktari wa hyo hospital akasema hali ya mtoto si nzuri maana alikua anapumua kwa shida mpelekeni general wakampeleka mida ya saa mbili.

Kufika general sijui kweli walimpiga exray au ni walimwangalia kwa macho tuu? But familia wanasema walimpiga exray na wakasema kua hana tatizo kubwa wakaandikiwa dawa na ilibidi kununua nje na kurudi na mtoto nyumbani

Wanasema usiku hawakulala mtt analia tuu alfajiri leo wakaamkia General tena ndo kulazwa mtoto hajitambui, muda huu nasikia mtoto amekufa.

Imeniuma sana sana Serikali hebu angalieni hyo hospital kama hizo exray kuna mtaalamu kweli au ni wanafunzi..kipaumbele cha serikali kiwe kwenye afya za watu.

General Dodoma watu wanaenda hapo wakitegemea kupata huduma nzuri ya madaktari wabobevu ila ndo yanatokea kama haya. Kama mnataka mlipwe semeni watu watoe hela na sio kujiita hospital ya serikali huduma mbovu kila siku vilio.
 
Ufanyakazi idara ya afya ni wito; inapotokea kuwa kibiashara, ndio maana hizi changamoto zinatokea
 
Pesa za afya zinatumika ziara za nje na kununua magari ya bei kubwa.
 
Daahh! general uwe na Pesa ndo utahudumiwa km mfalme
 
Kuna hali ya sintofahamu hapa kwenye hii hospital sijui ni uzembe wa makusudi au hospital imekabidhiwa wanafunzi

Case 1: kuna ajali ilitokea ya magari yaligongana na ktk hyo ajali kuna watu naowafahamu, wakapelekwa general abiria mmoja kati ya waliopata ajali alifika hapo hospital akiwa amevunjika kabisa mkono na exray alopigwa pia ilionyesha hivyo lakini huyo mtu akawa analalamika mguu unamuuma wakampiga na exray ya mguu cha kushangaza wakasema mguu uko vzr haujavunjika.

Hivyo kwa mujibu wao ni mkono tu ndo umevunjika lakini mgonjwa analalamika sana mguu na kilichoshangaza kuliko vyote walimfunga pop mkono na kumruhusu aende nyumbani wakampa dawa za kutuliza maumivu tuu. Kurudi nyumbani kuangalia mguu umevimba kuushika mguu umejitenga kabisa yani ulivunjika na wenyewe lakini wao walisema mguu haujapata shida.

Ndo kumpeleka mgonjwa hospital nyingine muda huo huo na kulazwa kushughulikiwa mguu huo. Mpk sasa yupo kitandani tushukuru Mungu waliweza kugundua na hela ikawa ipo ya kumpeleka hospital nyingne najiuliza kama hali ya mtu mwingine ambaye hana si anakufa?

Case 2: Jana kuna mtoto aligongwa na bodaboda usiku. Mtoto huyo wakampeleka kwny hospital binafsi ya krb kwa first aid kufika hapo daktari wa hyo hospital akasema hali ya mtoto si nzuri maana alikua anapumua kwa shida mpelekeni general wakampeleka mida ya saa mbili.

Kufika general sijui kweli walimpiga exray au ni walimwangalia kwa macho tuu? But familia wanasema walimpiga exray na wakasema kua hana tatizo kubwa wakaandikiwa dawa na ilibidi kununua nje na kurudi na mtoto nyumbani

Wanasema usiku hawakulala mtt analia tuu alfajiri leo wakaamkia General tena ndo kulazwa mtoto hajitambui, muda huu nasikia mtoto amekufa.

Imeniuma sana sana Serikali hebu angalieni hyo hospital kama hizo exray kuna mtaalamu kweli au ni wanafunzi..kipaumbele cha serikali kiwe kwenye afya za watu.

General Dodoma watu wanaenda hapo wakitegemea kupata huduma nzuri ya madaktari wabobevu ila ndo yanatokea kama haya. Kama mnataka mlipwe semeni watu watoe hela na sio kujiita hospital ya serikali huduma mbovu kila siku vilio.


Hayo mbona ni mambo ya kawaida Sana Mkuu.
Kama huna hela ya kwenda private kufa ni rahisi sana
 
Ila hapo general wanafunzi ni wengi Sana
Ebu liangalieni hili jambo
Wafanyakaz wanakula bata Sana
 
Back
Top Bottom