Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuwaje za private vyoo ni bure na wmejenga kwa hela zoo.Upigaji kila konaBora vilipiwe ilimradi vinakuwa safi wakati wote.
Vyoo vya umma vya bure vingi ni vichafu kupindukia!
Hili lipo sana hata kwenye mastendi haya ya Luxury ya Magufuri unapoingia ndani lazima ulipie wakati walijitapa kuwa yanajengwa kwa pesa zetu za ndani.Ni Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Hii hata kwenye Pure Capitalist countries hakuna huu ujinga,Ni Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Hii ni zaidi ya ujinga, hata mataifa ya Kibepari hakuna aina hii ya ujinga naona na wewe unatetea ujingaKulipia siyo gharama za kulipa mradi bali ni gharama za uendeshaji kuna bill za maji, umeme, mfanya usafi na nk si vigumu mwananchi kuchangua
Hospitali inatoa huduma then ulipie tena vyoo? makusanyo hayatoshi? Huu sio ubunifu ni ujinga yaani ni full ujinga.Bora vilipiwe ilimradi vinakuwa safi wakati wote.
Vyoo vya umma vya bure vingi ni vichafu kupindukia!
Kuna wajinga humu wanasema ni ubunifu, huu ni ujinga, ni wizi wa kijinga,Choo cho hospital ni kama Choo cha Bar, huwez anzisha biashara inayowakusanya watu na usiwe na choo.
Swala kulipia choo cho hospital ni wiz wa waziwazi kabisa ni kuwadharau wananchi kwamba hawazijui haki zao.
Gharama za uendeshaji wa hospital ziko ndani ya ada ya matibabu na huduma ya choo iko ndani yake.
Ni wapi uko wanafanya huo ufala tumuite Dr. Gwajima
Mkuu kwa hilo na kupinga hospital kuwa na choo Cha kulipia haimake sense at all hizo gharama zinaweza kuwa covered na serikaliKulipia siyo gharama za kulipa mradi bali ni gharama za uendeshaji kuna bill za maji, umeme, mfanya usafi na nk si vigumu mwananchi kuchangua
😹😹😹 wafanyaje makwao??Dawa zinanunuliwa kwa kodi za serikali na choo kinajengwa kwa kodi za serikali sasa kama unalipia huko kwingine kwa nini ukatae kulipia choo?
Kwanza unakuwa umeikosea adabu hospitali
Unaondoka na uchafu tumboni toka nyumbani kwenu badala ya kujisaidia kwenu ndio uende hospitali huyo unasafiri na huo uchafu tumbonib hadi hospitali kwenda kuuacha kwenye vyoo vyao wakati kwenu vyoo vipo
Siku ingine jisaidie kabisa kwenu ukienda hospital unatibiwa tu na kuondoka
Ni aina ya wizi,Hili lipo sana hata kwenye mastendi haya ya Luxury ya Magufuri unapoingia ndani lazima ulipie wakati walijitapa kuwa yanajengwa kwa pesa zetu za ndani.
Hii nimeikuta Mwanza pale Hospital ya Sekou Toure Kuna choo cha kulipiaNi Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Ubunifu wa kuiba? Shida ni Wakurugenzi wezi badala ya kuwekeza mapato katika uendeshaji wao wanabania ili nyingi iingie mfukoni matokeo yake hawaajili wafanyakazi (wa usafi) mpaka wawachangishe tena Raia.Kuna wajinga humu wanasema ni ubunifu, huu ni ujinga, ni wizi wa kijinga,
Iko hivi kaka kama umeingia ndani ya hosp kuna vyoo vinavyosafishwa na watu wa usafi wa hospitali na wagonjwa na ndugu za wagonjwa hutumia ndani ya hospitali hiki choo kinachosemwa ni cha nje ya hospitali kama umewahi kufika hospitali ya mkoa mwanza waweza nielewa.Mkuu kwa hilo na kupinga hospital kuwa na choo Cha kulipia haimake sense at all hizo gharama zinaweza kuwa covered na serikali
Sitetei ujinga jiulize wagonjwa mpaka wanaolazwa watozwa fedha kwenye hivyo vyoo?Hii ni zaidi ya ujinga, hata mataifa ya Kibepari hakuna aina hii ya ujinga naona na wewe unatetea ujinga
IringaChoo cho hospital ni kama Choo cha Bar, huwez anzisha biashara inayowakusanya watu na usiwe na choo.
Swala kulipia choo cho hospital ni wiz wa waziwazi kabisa ni kuwadharau wananchi kwamba hawazijui haki zao.
Gharama za uendeshaji wa hospital ziko ndani ya ada ya matibabu na huduma ya choo iko ndani yake.
Ni wapi uko wanafanya huo ufala tumuite Dr. Gwajima
Ukiwa hauna hoja kaa kimya😹😹😹 wafanyaje makwao??
Hii ilisaidia sana pale awamu ya 5unakula chakula cha elf10 kuchangia huduma kwa mia 3 ku-download uchafu unaona taabu bac kaeni na mizigo yenu