KERO Hospitali ya Taifa Muhimbili (Mloganzila) Madaktari wanafunzi ni Janga. Watu wanakufa kwa uzembe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ukweli mtupu, ni nchi nzima siyo tu huko. Kuna daktari mwanafunzi mmoja ilibidi nimzuie alichokuwa akimfanyia mwanangu baada ya kugundua anajifunzia Kwa mwanangu na kumsababishia maumivu makali Kwa matibabu aliyokuwa akiendelea kumfanyia!
 
Mm nahisi matokeo ya elimu yetu ya bongo yameanza kutoka
Mwezi uliopita kuna mgonjwa alipata ajari tumeanza nae sinza Palestine kwa huduma ya kwanza kwavile ilikuwa usiku wakasema muda wa kunya x ray umeisha kwahyo tumpeleke Mwananyamala tumeenda mwanyamala kwanza nakuta madaktari wote vijana ambao wanaonekana hawana muda mrefu kazin wakamfanyia mgonjwa x ray ya kwny kiuna na kwny ankle majibu yalivyotoka naona wanashauriana hii itakufracture wakarudisha majibu kama walivyoo shauliana kesho yake mgonjwa kamiishiwa MOI majibu yametoka vingne kbsa
 
Mloganzila, a.k.a lango la kuzimu, hata tafsiri ya jina "mloga-nzila" ni jibu tosha
 
Mimi kwa kweli sitaki kubeza hospital, Maana ni sehemu pekee ambapo unaweza jikuta upo hapo na unahitaji msaada ukiwa hata hujoelewi
Hata mimi sibezi mkuu lakini lazima tuseme penye kasoro. Madaktari wanafunzi wasiachiwe kufanya kazi zenye uhitaji utaalamu mkubwa bila usimamizi wa wakuu wao wa kazi.
 
Kweli kabisa mm pia nj muhanga WA Hilo bila specialist kuingilia kati siku hiyo nilikuwa napoteza hope kwa kada hii ya udaktari. We eti madaktari hawakujua naumwa nni wakaanza kukugoogle
 
Nimeishia hapo kwenye upupuπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…