Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Huyu Mange amelelewa na wana jf wenyewe na wengine wanao jiita wana harakati hasa wanachadema na amekuwa akishangiliwa sana na amedharirisha watu wengi sana sana na wengi walikuwa wanamuona shujaa na wakitaka aendelee kudhalilisha watu....

Maumivu ya dhambi yana tabia ya kumrudi anayeishangilia... sasa waliokuwa wanashangilia dhambi zile zile zimegusa watu wanao wauma sasa wameanza kutafuta mchawi....

Huyu Mange anasifiwa kuwa shuja sasa ndio matokeo yake......
Jaribu kuionea huruma familia ya joeephu haule inahusiana nin na chadema sio kila jambo ni siasa ndo ujinga wa hii nchi, mbona huyo mange akutoa video ya mwele malechela wakati anaumwa ubinafsi ndo kitu ambacho kinamtesa mwafrika kumbuka ugonjwa Hauna chama
 
Hapa ndio unapokosea kudhani hili ni swala la chadema badala ya kusema ni swala la kudhalilisha utu wa watu au mtu! Kwa hiyo unataka kusema umeguswa kwakuwa aliyefanyiwa ni mwanachadema? Ninyi ndio mmelea hili tatizo! Kwa hiyo asingekuwa mwanachadema amefanyiwa haya wewe usingelilalamika?
Ujinga ni tatizo kubwa sana nchi hii kila jambo linaangaliwa kwa sura ya siasa
 
Mmeshamfungia mange maana sijajiunga nlitaka nijiunge ila naona magumashi tu
C7E4C180-BE79-43C3-8B93-CF686E2EED99.jpeg


👾👾👾😂😂
 
Huyu dada anajiharibia maisha yake,haijui kesho yake anahisi kwakua yupo USA basi kashamaliza kila kitu, ipo siku 1 isiyo najina Ataingia Rais kichwa mbovu atapiga simu 1 Tu na hiki kibaraka kitarudishwa TZ kuonja segerea milele na milele.

Njia aliyoamua kutumia kumfanya apate kula yake hapa duniani ni mbaya na isiyopendeza wengi hasa wanaojitambua,ataendelea kupumbazwa na hongera hongera toka kwa wapumbavu wenzie na wasio jielewa.

Nilishangaa sana Rais kwenda kupga picha na takataka kama hiii, nilishangaaa sana na bado siamini team nzima iliyo nyuma ya madam president isijue yupi wakuruhusiwa hata kusogea karibu na rais.

Anyway! HII takataka iliyonyoooka mithili ya toothpick itanasa tu siku 1 nawaonea huruma wale watoto wake,kuna maumivu makali sana mtoto huyapata kwenda kumuona mzazi wake nyuma ya nondo na jezi zenye maandishi "magereza"
 
Back
Top Bottom