Jamani, kuna dokta wa Mloganzila tunamuonaga huko snapchat akiwa analewa usiku kucha saa zingine kuuuutwa nzima, alafu anaingia kazini, na anakiri kwamba she's hungover and hajalala. Kweli tunategemea wagonjwa watahudumiwa ipasavyo? Diagnosis itafanyika ipasavyo?