nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,801
- Thread starter
- #21
Okay, mahakama ya kisutu ikikataa hoja za mawakili wake kuhusu umri ushindi unaousema ambao uko kwenye headline utatoka wapi?
Kumbuka kuwa wasomaji wa blog hii ni wengi, ukiweka story ya namna hiyo kumbuka kuwa itasomwa na watu wengi sana. Wanaofuatilia na wasiofuattilia, Angalau ungeweka background kwanini kesi ilienda mahakama kuu.
Mlaumu Mwandishi wa Habari sio Mimi