Hot Nuuz: Mahakama Kuu leo Imempa Ushindi Lulu Michael Kuhusu Umri Wake

Hot Nuuz: Mahakama Kuu leo Imempa Ushindi Lulu Michael Kuhusu Umri Wake

Okay, mahakama ya kisutu ikikataa hoja za mawakili wake kuhusu umri ushindi unaousema ambao uko kwenye headline utatoka wapi?

Kumbuka kuwa wasomaji wa blog hii ni wengi, ukiweka story ya namna hiyo kumbuka kuwa itasomwa na watu wengi sana. Wanaofuatilia na wasiofuattilia, Angalau ungeweka background kwanini kesi ilienda mahakama kuu.

Mlaumu Mwandishi wa Habari sio Mimi
 
...Kwa maana hiyo hata Marhum alikuwa anatembea na mtoto under age? Hii kweli Bonholand...
 
Kwa Ajili ya Umri wake; Mahakama ya Kisutu iligoma kujadili Umri wake

Sio sahihi kusema mahakama iligoma kwani haina Jurisdiction ya kusikiliza kesi ya mauwaji au madai mengine yeyote yatakanayo na kesi hiyo kwahiyo move iliyochukuliwa ni sahihi...
 
Sasa yule mzee mwenye tumbo ambaye alikuwa na uhusiano naye si afunguliwe kesi ya kutembea na mtoto chini ya miaka kumi na nane. Ni mbunge wa chama cha magamba. Haha

Huyo mzee mwenye tumbo kubwa kama mjamzito, anayependa kulala mjengoni anaitwa Jon Kombaaa...
 
Naomba watahalamu wa sheria mnijuze,hivi kwenye tuhuma za murder mtu kumtetea kuwa ana miaka 17 na sio 18 inamsaidia kweli?umri wa mtu kuwajibika kisheria kwa kosa la jinai ni miaka mingapi?je mtu wa miaka 17 anaweza kusemwa kuwa hakujua aanallofanaya wakati wa kutenda kosa?mbona sheria inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa?Je mtu mwenye miaka 17 anapelekwa mahakama ya watoto?
 
Watampeleka China huyu............huko asifanye madudu wata mdudumisha ohoooooooooo
 
Huyo mzee mwenye tumbo kubwa kama mjamzito, anayependa kulala mjengoni anaitwa Jon Kombaaa...
Mkuu jibu lako siyo sahihi, Maana hujaanza na "Mheshimiwa ....". Au labda hujui kwamba huyo tumbo kubwa ni mtunga sheria za inji yako??
 
Le Kapten

IMG_1390.jpg
 
Baada ua kuchoropoa Mimba sasa anavaa Jinziii, aisee Bongo tambarare, kwa mtindo huuu sijui kama ataacha vijitabia vyake akitoka ! Mungu amuongoze
 
Naomba watahalamu wa sheria mnijuze,hivi kwenye tuhuma za murder mtu kumtetea kuwa ana miaka 17 na sio 18 inamsaidia kweli?umri wa mtu kuwajibika kisheria kwa kosa la jinai ni miaka mingapi?je mtu wa miaka 17 anaweza kusemwa kuwa hakujua aanallofanaya wakati wa kutenda kosa?mbona sheria inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa?Je mtu mwenye miaka 17 anapelekwa mahakama ya watoto?
..hakuna hukumu ya kifo kwa watoto..hata kama walikusudia kufanya hivyo sentensing yake kubwa sana ni kifungo cha maisha...ndio kuna advantage kubwa tu kwa mtuhumiwa kuwa juvenile..kesi yake haisikilizwi in public crts bali in chambers ambapo hakuna watu wengine wanaoruhusiwa kushiriki zaidi ya upande wa mashtaka , mshtakiwa na mashahidi tu..kwa jule jamaa aliyesema kuwa mahakama ya kisutu ikikataa itakuwaje..napenda kumjibu hivi..mahakama ya kisutu kisheria haina mamlaka ya kusikiliza kesi za muaji..bali inafanya hivyo kwa ridhaa ya mahakama kuu kupitia kitu kinaitwa extended jurisdiction..kwahiyo uamuzi wa mahakama kuu kuhusu hili swala hauwezi kupingwa na mahakama nyingine yoyote ile iliyo chini yake..ukitaka kupinga maamuzi haya..unaweza fanya kitu kinaitwa review ta order au kukata rufani mahakama ya rufani tanzania ambayo ni mahakama ya juu zaidi hapa nchini..
 
kwani ameachiwa huru? La, ila sasa wanasheria wanaruhusiwa kubishania umri wake. Hat ahivyo hakuna mtoto anayeweza kutenda ya Lulu-kama anaweza kulala na mabwana kibao, kuchomoa mimba-utoto upi tena? Ana utambuzi kamilifu wa matendo yake, hata kama ni suala la umri, bado hayuko huru kuachiwa na mahakama, bali kesi itasikilizwa kwenye mahakama ya watoto. Yeye ni mkubwa kwa matendo lkn eti mdogo kwa umri. akipatikana na hatia gereza la watoto haki yake, lkn wasiwasi ni kuwabaka watoto wengine huko kwani tayari amezoea dozi za wakubwa na karibu kila siku:clap2:
 
mkaliwakitaa-kumbuka kuwa hata mazingira yana nafasi kubwa katika kum-implicate mtu katika jambo, japo kifo si sahihi kwa mtoto (adhabu) lkn maisha ni pale pale, wasiwasi wangu ni kuhusu filing of the case -is she a murder or caustive to death? washitaki wamegonga mwamba, sina hakika kama lulu aliua (kumpiga, kumpa sumu, nk. ) Take care -filling may deprive the right judgment and hence setting free the victim
:angry:
 
Back
Top Bottom