Okay, mahakama ya kisutu ikikataa hoja za mawakili wake kuhusu umri ushindi unaousema ambao uko kwenye headline utatoka wapi?
Kumbuka kuwa wasomaji wa blog hii ni wengi, ukiweka story ya namna hiyo kumbuka kuwa itasomwa na watu wengi sana. Wanaofuatilia na wasiofuattilia, Angalau ungeweka background kwanini kesi ilienda mahakama kuu.
Ushindi? Upi?
Kesi ilienda mahakama kuu kwa ajili ya nini?
Hii inaitwa kesi ya kipuuzi!
Wait to confirm my saying!
Lulu Asubirie adhabu ya raia kwan mahakaman hakuna haki icpokua sheria!Hii nchi ya kusadikika kwel duh!
Kwa Ajili ya Umri wake; Mahakama ya Kisutu iligoma kujadili Umri wake
Sasa yule mzee mwenye tumbo ambaye alikuwa na uhusiano naye si afunguliwe kesi ya kutembea na mtoto chini ya miaka kumi na nane. Ni mbunge wa chama cha magamba. Haha
Mkuu jibu lako siyo sahihi, Maana hujaanza na "Mheshimiwa ....". Au labda hujui kwamba huyo tumbo kubwa ni mtunga sheria za inji yako??Huyo mzee mwenye tumbo kubwa kama mjamzito, anayependa kulala mjengoni anaitwa Jon Kombaaa...
Mzee yupi huyo tena? Tufahamishe basi?
..hakuna hukumu ya kifo kwa watoto..hata kama walikusudia kufanya hivyo sentensing yake kubwa sana ni kifungo cha maisha...ndio kuna advantage kubwa tu kwa mtuhumiwa kuwa juvenile..kesi yake haisikilizwi in public crts bali in chambers ambapo hakuna watu wengine wanaoruhusiwa kushiriki zaidi ya upande wa mashtaka , mshtakiwa na mashahidi tu..kwa jule jamaa aliyesema kuwa mahakama ya kisutu ikikataa itakuwaje..napenda kumjibu hivi..mahakama ya kisutu kisheria haina mamlaka ya kusikiliza kesi za muaji..bali inafanya hivyo kwa ridhaa ya mahakama kuu kupitia kitu kinaitwa extended jurisdiction..kwahiyo uamuzi wa mahakama kuu kuhusu hili swala hauwezi kupingwa na mahakama nyingine yoyote ile iliyo chini yake..ukitaka kupinga maamuzi haya..unaweza fanya kitu kinaitwa review ta order au kukata rufani mahakama ya rufani tanzania ambayo ni mahakama ya juu zaidi hapa nchini..Naomba watahalamu wa sheria mnijuze,hivi kwenye tuhuma za murder mtu kumtetea kuwa ana miaka 17 na sio 18 inamsaidia kweli?umri wa mtu kuwajibika kisheria kwa kosa la jinai ni miaka mingapi?je mtu wa miaka 17 anaweza kusemwa kuwa hakujua aanallofanaya wakati wa kutenda kosa?mbona sheria inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa?Je mtu mwenye miaka 17 anapelekwa mahakama ya watoto?