***TANGAZO, TANGAZO, TANGAZO***
FROM:C.E.O-EDDZARIA G.MSULWA
Hi
Ninapenda kutanguliza samahani, kwa wale nilio waunganisha kwenye magroup ya whatsapp, kisha sijapost story kama nilivyo waahidi.Kutokupost kumesababishwa na kuaribika kwa mashine yangu ya kuandikia(LAPTOP).Ambayo nimeisafirisha mkoani Tanga kwa fundi wangu anaye nifanyia matengenezo kila inapopata tatizo.
Pia watu wa kwenye page yangu ya story za Eddy, pia ninawaomba radhi kwa hilo, kwani mfumo wangu wa utendaji wa kazi ni mmoja kwa wote.
Pia wasomaji wangu wa mtandao wa Jamii Forams, ambao kwa sasa mumefika 85,000 na zaidi, kwani mfumo ni mmoja wa kupost story.
***KWA WALE WA WHATSAPP, NIKIANZA KUPOST STORY KAMA SEX DEALLER, na nyinginezo.Nitakuwa ninazirusha private inbox, kwa malipo ya sh.2000
Kwa mwzi, hata wale wataka ihitaji inbox FACEBOOK, JAMII FORAMS.***
Sababu ya kurusha private na si kwenye magroup, nikutokana kwenye magroup kuna msongamano wa fujo za meseji za watu zinazo pelekea wengine kukwazika na kuleft kwenye magroup na hata wanao baki story wanashindwa kuzipata kwa muda naalumu.
Pia wale walio nitumia meseji za kuwaunganisha kwenye magroup au meseji za kawaida kwenye whatsapp, na sijawajibu.Whatsapp yangu ilipata matatizo na kunilazimu kuifuta na kupotezs data zote za nyuma, ukiona kimya tambua wewe ni miongoni mwa watu ambao sikuwajibu chochote, kwani ilifika zaidi ya watu 500 wakinitumia meseji kwa siku moja na kuifanya Whatsapp, ishindwe kufanya kazi vizuri.
NOTE:Nini maoni yako juu ya hili?
Wasiliana nami 0657072588(whatsapp)-T-pesa
0768516188 M-pesa
KUBIPIWA SIHITAJI, WALA VIDEO CALL PIA SIHITAJI:ASANTENI