[17:30, *****SORY MADAM******(6)
18+..................... AGE
ILIPOISHIA
Nikageuka na kumkuta ni Salome ndio anaye niongelesha,nikasogea kidogo akapita mbele yangu kwa jinsi mstari wa chakula watu walivyo banana nikajikuta karoti yangu iliyoanza kusimama ikigusa makalio ya Salome na kumfanya ageuke geuke nyuma na kuniangalia usoni huku akitabasamu akionekana akifurahi kwa jinsi ninayo mgusa gusa na koroti yangu katika makalio yake yaliyo makubwa kiasi
ENDELEA
Mstari wa chakula ukaanza kusogea taratibu kuelekea mbele huku mimi na Salome tukiwa kimya hakuna aliye msemesha mwenzake.Ikanibidi niukate ukimya
"Salome leo tunaweza kuonana?"
"Saa ngapi?"
"Kabla ya prepo"
"Sawa nitaangalia kama kuna uwezekeno"
"Nitashukuru sana.Ila vipi shemeji hajambo?"
"Hajazaliwa bado"
"Acha kuniongopea"
"Kweli shem wako bado hajazaliwa"
Kabla sijazungumza kitu chochote akaja kaka mkuu sehemu tuliyo simama katika mstari na kunifanya nikae kimya
"Ahaa Salome mbona umepanga mstari si ungepita mbele?"
"Naogopo yule prefect(kiongozi) anayesimamia pale mkali kama nini?"
"Twende nikupitishe wewe ni mtu mkubwa bwana hapa shule"
Jamaa akamshika mkono Salome na kumtoa kwenye mstari na kuondoka naye kitendo ambacho kimenikera kupita maelezo kwani kaka mkuu kanipeperushia ndege wangu.Nikiwa najifikiria kupita na mimi mbele ili niwahi kuchukua chakula na kumfwata Salome ili tuzungumze vizuri jamaa mmoja wa kidato cha tano akaja sehemu niliyo simama
"Oya Eddy unaitwa na mwalimu wa nidhamu"
"Yupo wapi?"
"Ofisini kwake"
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kwani katika waalimu ninao waogopo katika shule hii ni mwalimu wa nidhamu ambaye anaonekana kutokuwa na masihara na mwanafunzi wa aina yoyote.Nikampa vyombo vyangu John anishikie huku nikianza kujichunguza kuanzia miguuni hadi kwenye shati.Sikuwa nimevaa sare za darasani kwani tangu juzi sikwenda bwenini zili po nguo zangu.Niaanza kuelekea katika ofisi za nidhamu.Maigo ya moyo yakaanza kunienda mbio zaidi baada ya kuliona gari la baba aina ya Hammer wanayo tembelea wakuu wa jeshi huku dereva wake akiwa ndani ya gari hilo.Nikaenda kumsalimia dereva kutokana nina juana naye,
"Shikamoo brother P"
"Marahaba vipi Eddy?"
"Safi vipi home munaendeleaja?"
"Tunaendelea vizuri vipi masomo?"
"Safi,vipi mzee mbona kaja fasta fasta kwema"
"Kwema yupo huko ofisini kwenu''
Nikajaribu kumchunguza dereva kuniambia juu yam zee kama amekasirika au laa ili niweze kujiandaa kwa chochote kwani mzee(baba) kurusha ngumi kwake ni kitu cha kawaida sana.Nikaachana na dereva na kwenda ofisini.Nikamkuta baba akiwa na Mwalimu wa nidhamu Mr Karata wakiwa wanazungumza maswala yao huku wakicheka .Nikawasalimi kwa pamoja wakaniitikia huku sura zao zikiwa na tabasamu
"Oohh my first born how you?"(Ooh mtoto wangu wa kwanza hujambo?)
"Am fine dady"(Nipo sawa baba)
"Why your looking so scare what's wrong of you?"(Mbona unaonekana kuogopa,Una tatizo gani?)
"Nothing dady"(Hakuna kitu baba)
"Ok be happy my son"(Sawa kuwa na furaha mwanangu)
Nikaweka tabasamu usoni mwangu huku nikiwa ninashangaa leo baba anafuraha na mimi wakati katika vipindi vyote alivyokuwa akinitembelea shuleni alikuwa kauzu hadi waalimu wakawa wanashangaa ni maisha gani ambayo tunaishi na baba yangu na sheria nyingine ya baba akianza kuzungumza kingereza ni lazima na mimi nimjibu kwa lugha hiyo hiyo
"Hapa nilikuwa nazungumza na mwalimu wako akinielezea kisa chako cha kuvunja fimbo ya mwalimu"
Nikakaa kimya huku nikimtazama mwalimu wa nidhamu huku kimoyo moyo nikimlaani ni kwanini amemuadisia baba yangu juu ya mkasa huo kwani hashindwi kunichapa mikanda mbele yake
"Mwanangu usiwe mkorofi sawa first born"
"Sawa baba nimekuelewa"
"Mimi nilikuja kukutembelea mara moja kwani wiki ijayo ninakwenda Iraq kwa ajili ya kazi maalumu huko tunakutana wakuu wa majeshi wan chi mbali mbali nitakaa mmwaka mmoja na nusu"
"Sawa na mama anarudi lini?"
"Mama yako anarudi kesho kutwa"
"Atakuja huku kunitembelea?"
"Nitamwambia aje kukutembelea ila cha msingi hakikisha unasoma kwa juhudi matokeo yako mwalimu hapa nimempatia Email yangu kila ripoti yako ya masomo atakuwa ananitupia…Sasa kazana na kusoma sawa?"
"Sawa baba"
Baba akatoa pesa na kunipa laki tano za matumizi ya kipindi chote ambacho nitakuwepo shule.Mwalimu wa nidhamu akaomba anishikie laki nne ili kuepuka kuibiwa,Sikuwa na ubishi nikampatia laki nne na nusu nikabakiwa na elfu hamsi nikachananya na pesa nyinine nilizo kuwa nazo.Baba akanipa simu mbele ya mwalimu wa nidhamu japo sheria za shule haziruhusu mwanafunzi kuwa na simu
"Sasa Eddy uwe makini na simu yako ili waalimu wengine wasiione wakakupokonya kwa mimi ninakuruhusu kuwa nayo"
Mwalimu wa nidhamu alizungumza huku akiwa anajichekesha chekesha baada ya kupewa laki moja na baba ila sikujua ni ya nini.Baba akaniombea ruhusa ya kwenda na mimi nje ya shule.Baada ya kuipata ruhusa hiyo tukaondoka shule na kwenda katika hoteli moja iliyopo karibu na shule.Tukanunua chakula tukiwa na dereva wa baba tukaanza kula huku mara kwa mara mzee akinihusia kusoma kwa juhudi huku akinipondeza kwa kumbishia mwalimu
"Wale waalimu wenu wanaonekana wana tabu sana.Ila wakikuzingua kwa kosa ambalo utaona hawakutendei haki wewe wazingue.Ila wakiniletea kesi ambayo ni ya kijinga jinga kama umekamatwa na demu sijui umegoma kufanya mtihani jua nikirudi nitakuvunja kiuno tume elewana?"
"Sawa baba"
Baba akaniomba nimpeleke katika hospitali ya shule akamuone Madam Mery.Tukafika katika hospital ya shule tukamkuta Madam Mery akiwa na kaka Lucka ambaye baada ya kumuona mzee akampigia saluti.Wakazungumza na Madam Mery huku mazungumzo yao akimuhimiza anifwatile sana katika masomo yangu huku awe anampa taarifa kwa kili kitu nitakachokuwa ninakifanya
Tukatoka hospitalini mida ya saa moja kasoro usiku baba na dereva wakanipeleka nyumbani kwa Madam Mery kuchukua madaftari na vitabu vyangu kisha wakanirudisha shuleni na kuagana nao wakaondoka mimi nikaelekea zangu bwenini.
"Oya Eddy kuna kiji message chako hapa"
"Kimetoka kwa nani?"
"Aliye nipa ameniambi nisikuambie"
Baraka akanipa kikaratasi nikakifungua na kukuta ujumbe ulio andikwa kwa mwandiko wa kike
{Naomba tuonane kabla ya prepo kwenye kordo ya madarasa ya Arts ‘S'}
Nikatambua kuwa ni Salome kwani tulipanga tuonane katika muda kama huo.Nikajiandaa haraka haraka na kumpa taarifa John anayeonekana kuto kuamini kwa kitu ninacho kizungumza.Tukafika katika madarasa ya Arts tukawakuta Salome na rafiki yake wakiwa wanatusubiria.Tukasogea pembeni na Salome na kuwaacha John akiwa amesimama na Claudia
"Salome nashukuru kwa kukubali ombi langu la kuonana na mimi hapa"
"Eddy hauna haja ya kushukuru wakati hata mimi ninapaswa kukushukuru kwa msaada wako wa pesa ulionipatia majuzi kwani bila wewe wala nisinge weza kushiriki mashindano ya umiss na kushinda"
"Hakuna tabu vile ni vitu vy kawaida…..Salome na…."
Kabla sijazungumza kitu nikamuona mwalimu wa zamu akija eneo tulilo simama na ikabidi tubadilishe mada
"G.S(General study) sijaandika naomba uniadhimishe daftari lako"
Salome akafungua begi lake na kujifanya anatoa daftari la somo nililo muomba huku tukimsubiria mwalimu wa zamu apite
"Eddy nenda darasani kwenu muda wa kujisomea sasa acheni stori"
"Sawa ticha hapa nimekuja kuazima daftari la G.S"
Mwalimu akapita na kutuacha na kutuacha tumesimama na Salome.
"Salome kama huto jali njoo class kwetu mida ya saa tatu tatu"
"Powa nenda na hili daftari ili nipate kisingizio cha kuja Class kwenu"
Tukaachana na Salome kila mtu akaelekea darasani kwao
"Eddy nimempiga Sound Claudia amenikubalia"
"Wee"
"Chezea mimi,dogo ameniambia kesho tunane"
"Haya mwaya"
"Vipi na wewe huyo miss wako amekukubalia?"
"Yule kwangu haruki mimi ndio Eddy mwengine photocopy"
"Mmmmm unaweza ukawa una jiproud bure kumbe domo zege"
"Haya mimi si domo zege utaona"
"Nitaona nini sasa?"
"Twende darasani tuachane na hizo mada"
Tukaingia darasani na kila mmoja akakaa sehemu yake na tukaanza kusoma huku akili yangu ikihesabu masaa ya Salome kuja darasani kwetu kuchukua daftari alilo nipa.Mida ya Saa tatu kasoro Salome akaingia darasani kwetu na kuwafanya watu wengine kushangaa huku wengine wakimpongeza kwa ushindi nikawa najiuliza kwani siku zote hawakumuona ili wampe pongezi
Salome akafika katika meza yangu,Nikachukua kiti ambacho hakina mtu na kmuwekea pembeni.Salome akakaa na kumfanya John akibaki akisikitika huku akinikonyeza
"Eddy unasoma nini?"
"Nisome wapi hapa nilipo nilikuwa ninahesabu muda wa wewe kuja"
"Acha kunichekesha Eddy unataka kuniambia saa zote hujasoma kitu hata kimoja?
"Kweli sijasoma hapa pia nashukuru kukuona hapa"
Salome akaanza kucheka kwa sauti ya chini hapo ndipo nikapata fursa ya kumchunguza vizuri na kukubali kimoyo moyo kwamba Salome ni mzuri kwani kila kitu kilichokaa katika mwili wake kimekaa kwa mpangilio
"Eddy mbona unanitazama sana?"
"Salome si siri wewe ni mzuri yaani mpaka unafanya moyo wangu unauma"
"Eddy wewe muongo"
"Kweli yaani kila nikikuangalia mwili wangu unasisimka"
"Asante ila hata wewe pia ni mzuri."
"Mzuri wapi best"
"Wewe hujioni ila sisi tuna kuona ndio tunajua wewe ni mzuri"
"Salome kusema ukweli ninakupenda japo wewe upo na kaka mkuu"
"Hapana yule si mpenzi wangu"
"Ila ni nani yako?"
"Yule jamaa alinitongoza ila kwa muda mrefu sikumpa jibu lake"
"Mmmm haya sisi yetu macho"
"Kwa nini yenu ni macho?"
"Sisi tulio wabaya tutaishia kufaidi tu kwa mimacho yetu"
"Ila usijali mbina hata wewe unaweza kuf……"
Kabla Salome hajamaliza kuzungumza kitu chochote gafla umeme ukakatika na watu wakaanza kushangilia.Salome akanisogelea na kunipiga busu la haraka la mdomoni na kunifanya mwili wangu kusisimka kwa raha
"Eddy twende zetu huku"
Salome akanishika mkono na kuanza kutoka darasani huku kukiwa na giza totoro ila wenye tochi zao waliombwa kuzizima na watu wenye kufanya yao na mademu zao.Tukafika katika vyoo vya shule na kuingia katika vyoo vipya ambavyo havijaanza kutumika.Tukaanza kunyonyana denda huku kila mmoja akionekana kuwa na humu na mwenzake japo kuna giza ila nikajikuta nikijiamini.Nikaipandisha sketi ya Salome juu na kumvua nguo yake ya ndani huku na yeye akinivua suruali yangu kwa haraka
Kidole changu kimoja nikakiingiza katika mgodi wa Salome na kuanza kukichezesha na kumfanya Salome kuanza kutoa miguno ya raha huku naye akijitahidi kuanza kuichua karoti yangu,Sikutaka kupoteza muda nikaunyanyu mguu wake na kuushika na mkono mmoja kisha karoti yangu ikazama ndani ya mgodi na kuanza kuuchimba.Salome akanza kutoa miguno huku mara kwa mara nikimnyonya denda ili kuepuka kelele zake zisikike nje japo vyoo hivyo vipo mbali kidogo na madarasa.Nikazidisha kasi ya kuchimba kisima na kumfanya Salome alie kama mtoto mdogo
Gafla tukajikuta tunakatisha zoezi baada ya kusikia mtu akifungua milango ya vyoo vya mwanzo na hapo tulipo ni choo cha tano kutoka choo cha kwanza.Salome akaanza kutetemeka huku akianza kuvaa nguo zake.Nikapandisha suruali yangu haraka haraka na sote tukaanza kuskilizia ni nani anafungua katika vyoo tulivyopo.Tukaanza kuuona mwanga wa tochi kwa kupitia uwazi wa mlango ukija katika choo tulichopo huku miguu ya mtu huyo ikizidi kusogea karibu na choo tulichopo.Tukasikia mtu huyo akigusa kitasa cha mlango wa choo tulichopo na kuanza kukivuta
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio na kujikuta nikianza kuomba sala ya kuniepusha na kukamatwa kwetu kwani ni muda mchache ulio pita baba alitoka kunionya kwa ujinga kama huo.Nikamtazama Salome na taratibu nikamuona mwenzangu akilegea kabla hajaanguka nikamuwahi kumkumbatia ili asianguke chini na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa
ITAENDELEA
**SORRY MADAM
EPISODE 5
AGE.....................18+
ILIPOISHIA
"Samahani kaka sijui wewe ni nani mwenzangu?"
"Unaniuliza mimi ni nani ndani ya nyumba yangu?"
Moyo ukanipiga paaaa kama jiwe lililotua juu ya bati tena la nyumba ya uswahilini.Nikajua jamaa anaweza akawa mume wa Madam Mery mapigoa ya moyo yakazidi kunienda mbio pale jamaa alipoanza kupiga hatua za kwenda chumbani kwa Madam Mery kwani boxer na tisheti ya shule vyote vipo ndani ya chumba hicho na vipo sehemu ya wazi kwa mtu yoyote anayeingi lazima ataviona,na kingine kilichozidi kunipagawisha ni kitanda nilivyo kiacha kimevurugika kwani kinaonyesha hivi hivi kilikuwa ni kiwanjwa cha mechi za wakubwa
ENDELEA
Jamaa kabla hajafunua pazia ili aingie ndani simu yake ikaita.Akaitoa kwenye mfuko wa suruali kisha akaipokea na kuanza kuzungumza mazungumzo ambayo yalianza na ndio bosi.Jamaa akanitazama kisha akatoka nje nikahisi mazungumzo yake ni muhimu sana na niya siri sana ndio maana akatoka nje huku begi lake akilivua na kuliweka pembeni ya mlango wa kuingilia chumbani kwa Madam Mery.Ikawa nafasi kwangu kuingia chumbani nikachukua kila kilicho changu huku shuka lililo changungaka nikilitoa na kulisokomeza mvunguni mwa kitanda na kuliacha godoro likiwa na foronya yake tu pasipo kuwa na shuka,Nikarudi hadi sebleni na kumuona jamaa akirudi ndani kwani mlango aliuacha wazi kidogo.Ikanibidi boxer yangu niiweke mfukoni mwa suruali yangu huku tishet yangu nikiwa nimeishika mkononi huku nikitaka kuivaa
"Dogo unakenda wapi?"
"Ehee"
"Hujasikia…! Unakwenda wapi?"
"Kununua vitafunio vya chai"
"Dogo mbona unajifanya mjanja sana?"
Maswali ya jamaa yakazidi kunichanganya akili na kunizidisia presha ambayo sikuelewa kama inapanda au inashuka.
"Mjanja wa nini brother?"
"Huendi kununua vitafunio ila sema ninakwenda kununua vitafunwa kwani vitafunio ni hayo meno yako"
"Sawa bro nimekuelewa"
"Ehee kwanza hujaniambia wewe ni nani? Nakuona upo upo tu humu ndani?"
"Mimi ninaitwa Eddy"
"Yuko wapi Mery?"
Nkaanza kufikiria cha kumjibu huku maswali mengine nikijiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe ndani ya moyo wangu hadi nikapata muafaka wa nijibu nini
"Amelazwa kwenye hospitali ya shule"
"Lini?"
"Leo asubuhi"
Lengo la kumjibu jamaa kiufasaha kila swali analo niuliza ni ili akienda kumuangalia Madam Mery iwe nafasi ya mimi kuondoka katika nyumba hiyo ili nikatafute hata sehemu ya sehemu ya kuishi nikisubiria siku zangu za kusimamishwa masomo ziishe
"Powa dogo vaa tisheti yako unipeleke huku alipolazwa"
Sikuwa na ujanja zaidi ya kuivaa tisheti yangu na kumalizia kuvaa viatu vyangu na kitu kilichozidi kuniweka mpole mbele ya jamaa ni pale alipoitoa bastola yake na kutazama kama inarisasi za kutosha kwenye magazine yake na kuirudisha kiunoni bastola yake huku akionekena kuridhika na risasi zilizomo.Safari ikaanza huko sote tukiwa kimya ila mimi nimetangulia mbele kama hatua moja huku yeye akifwatia kwa nyuma.Akili yangu ikawa inanituma nipige hatua za haraka haraka na kama kuna uwezekano nikimbie kwani ichochoro vyote ninavijua katika mji huo
"Dogo nasikia kuna majambazi sana wamezuka kipindi cha hivi karibuni?"
"Kusema ukweli bro mimi mwenyewe ninasikia ila sina uhakika kivile.Ila ni juzi kuna benki pale mbele ilivamiwa na pesa zote zikaibiwa"
"Dogo subiri ninunue P.K hapa dukani si utakula?"
"Ndio"
Jamaa akaingia kwenye moja ya duka,nikamchungulia kwenye duka hilo nikamuona yupo bize na muuza duka.Nikaanza kupiga hatua za taratibu huku nikizuga zuga watu waliopo katika eneo hilo wasistukie kitu chochote ili nikifika mbali na duka hilo nianze kukimbia.Kabla sijafika mbali kidogo gafla nikastukia nikiguswa bega kwa nyuma.Nikageuka na kukutana na muuza mahindi
"Oya broo yule jamaa pale mjeda ameniambia nikuletee maindi uchague"
Nikatamani nimtukane muuzaji wa watu ila nikaona hana kosa taratibu nikaanza kuyatazama mahindi yaliyo chomekwa kwenye spoke za baiskeli zipatazo kumi na kuunganishwa katika mti mmoja.Nikachangua indi laini laini kwani sikuwa nimekula kitu cha aina yoyote tangu asubuhi.Jamaa akaja hadi tulipo akatoa noti ya elfu kumi na kumpa muuza maindi na kumuambia chenchi akae nayo
"Aisee kamanda wangu Mungu akubariki sana"
Muuza maidi alizungumza kwa lafudhi ya kichaga huku akipiga saluti na kumfanya jamaa acheke ila mimi sikuwa na hata hamu ya kuyakenua meno yangu.Tukaendelea na safari ya kwenda katika hospitali ya shule ambayo haikuwa mbali sana na shule kwani ilikuwa pia inatoa msaada wa kuwahudumia wananchi wa kawaida tofauti na wanafunzi
Tukafika hospitalini na tukakutana na Madam Rukia akiwa nje ya wodi ya wagonjwa,nikamsalimia nikabaki nikiwatazama jinsi anavyo salimiana na jamaa huku wakicheka kwa furaha na kuonekana wakifahamiana kwa muda mrefu
"Huyo mwenzako anaendeleaje?"
"Kidogo joto lake limeshuka kwani asubuhi hali yake haikuwa nzuri kivile"
"Tatizo lake ni nini haswa?"
"Maleria alikutwa na vidudu sita ndio vimemlaza."
"Sasa mbona umekaa huku nje?"
"Nilitoka mara moja kupunga punga hewa ila twende ukamuone"
Wakati wote wanazungumza nilikuwa kimya nimetulia kama maji ya mtungini huku moyoni nikifurahia jamaa aingie ndani na mimi niondoke .Jamaa na Madam Rukia wakaanza kuingia ila jamaa akasimama na kuniangalia
"Oya dogo twende ukamuangalie mgonjwa"
"Huyu mwalifu umemtoa wapi?"
Madam Rukia alimuuliza jamaa na kumfanya atabasamu ila kwangu nikazidi kuogopa,cha kumshukuru Mungu jamaa hakulijibu swali la Madam Rukia kwani tayari tulishafika ndani ya chumba alicholazwa Madam Mery.Jamaa akakaa kitandani na kumkumbatia madam na wote kwa pamoja wakawa wanatokwa na machozi ya furaha,sikujua kinacho waliza ni nini
Wakaachiana huku jamaa akianza kumfuta Madam Mery machozi kwa kutumia kitambaa chake na kunifanya roho yangu kuanza kuhisi maumivu ya wivu
"Lucka mdongo wangu ni wewe?"
"Ehee….!"
Nikajikuta nikihamaki hata kabla jamaa hajamjibu Madam Mery nikamfanya Madam Rukia kunitazama kwa jicho kali lililoashiria kunionya nifunge domo langu
"Ndio dada yangu ni mimi kwanza pole kwa kuumwa"
"Asante za huko Pakistani?"
"Dada huko kuseme kweli si kwema ni kudra za mwenyezi Mungu miaka yote saba tuliyokuwepo kule ni kwarehema za Mungu"
"Kweli hilo ni la kumshukuru Mungu mdogo wagu kwani kila siku nilikuwa nafwatilia taarifa ya habari kujua muna endeleaje ila sikuwa ninapata majibu kamili"
"Yaani dada maisha ya kule ni bunduki mkononi wakati wote.Kuisikia milio ya risasi ni kitu cha kawaida"
"Sasa mbona walikuongezea miaka miwili ya kuishi?"
"Dada jeshini ni kufwata amri tuu huwezi kujiamulia kuwa nataka hichi hichi sitaki"
"Basi miaka mitano ilipoisha nikawa kila mara ninakwenda makao makuu yenu.Basi wakawa wananizingu hadi baba yake huyo kijana ndio alinisaidia katika kujua taarifa zenu kidogo matumaini ya kukuona yakarudi upya kwani nilidhani umefariki ndio maana wakawa wanakataa kuniweka bayana"
"Baba yake Eddy ni nani pele makao makuu?"
"Ndio mkubwa wa sasa hivi katika makao makuu yenu,Baada yule muliye muacha si aliugua kansa ya damu na kufariki"
"Ahaa sasa Napata picha unajua nilipomkuta Eddy kule kwako sura yake nikwa ninaifananisha na sura ya Mzee Godwin yaani hadi ongea zao zinafanana"
"Tena wamefanana sana.Eddy huyo ni mdogo wangu wa damu baba mmoja mama moja na tupo wawili tu kwetu"
Hadi wakati huo sikuwa ninaamini kama jamaa ni mdogo wake Madam Mery mawazo na fikra zangu zote zilipelekea mimi kujua ni mume wake na kwajinsi alivyokuwa akini hoji hoji maswali yake yaliyokuwa yakinichanganya
"Nashukuru kukufahamu bro Lucka"
"Alafu mzee wako alinipigia ule muda niliokuwa ninazungumza naye akaniambia nimuandalie mazingira kwani kesho au kesho kutwa anaweza kuja kukutembelea"
Mawazo yakarudi upya,Tena ya safari hii yakazidi kunichanganya kabisa kwani mziki wa mzee ninaujua mimi mwenyewe na hapa nilipo ndio kwanza nina siku moja tangu nisimamishwe shule kwa wiki moja
"Alafu Madam Rukia uliniambia Eddy ni mualifu?"
"Tena mualifu sana mwambie mwenyewe akuadisie"
Madam Rukia kama kawaida yake ya kuwachochea wanafunzi ndivyo alivyofanya kwa Lucka .Ikanilazimu nimuadisie mkasa mzima kuanzia wakati wa sherehe hadi waliponipa barau ya kusimamishwa wiki moja
"Huyo mwalimu aliye kuchapa ---- kweli kwani mtu ni lazima kukaa hadi mwisho wa sherehe?"
Kauli ya Lucka ikamfanya Madam Rukia kunyamaza huku akionekna kuto pendezwa na Lucka kunitetea mimi
"Hata mimi nashangaa yule Sir sijui anakisa gani na mimi"
"Haya Eddy amka twende nikupeleke shuleni.Dada zangu jamani nitakuja muda si mrefu ndoja huyu raia nikamkabidhi kwa waalimu wake walio msimamisha.Alafu Rukia vipi lile ombi langu la kukuoa?"
"Nilikuwa nakusubiri ni wewe tu kupeleka posa kwetu"
Wote wakache natukatoka njee ya hospitali na kuelekea hadi shuleni.Moja kwa moja jamaa akanipeleka katika ofisi za mku wa shule hii ni baada ya kumuonyesha zilipo ofisi hiyo.Kwa bahati mzuri tukamkuta mkuu wa shule tena akiwa pamoja na mwalimu Kikole katika ofisi yake,akasalimiana nao kisha wakamkaribisha kukaa katika kiti ila kaka Lucka akasimama na kuniomba mimi nikae katika kiti hicho
"Samahani mzazi wa Eddy hatutoweza kuizungumzia kesi ya mwanao kwani muda wake wa kutumikia adhabu yake haujapita"
Head master alizungumza kwa suti ya upole huku akimtazama Lucka ambaye kwa jinsi sura yake alivyoiweka katika hali ya umakini nikahisi mkuu wa shule pamoja na Mr Kikole wakiogopa
"Sikuja kusikiliza kesi yake ila nimemleta aendelee na masomo sawa"
"Ila kijana wako ni mkorofi"
Mr Kikole alidakia na kumfanya kaka Lucka kumtazama kwa jicho la hasira
"Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa kwahiyo funga bakuli lako"
Jibu la Kaka Lucka alilomjibu Mr Kikole likanifanya nicheke na waalimu wote wakanitazama huku mkuu akionekana kuto kupendezwa na jibu la Kaka Lucka
"Nimetoka jeshini nimeacha shughuli muhimu za kufanya na sijaja kupoteza muda cha msingi ni kumrudisha dogo darasani sawa"
Head master akatingisha kichwa akionekana kukubaliana na kaka Lucka japo Mr Kikole alionekana kukasirika
"Eddy yule mwalimu aliye kuchapa ni yupi.Nionyeshe ili niondoke naye nikamuhoji kambini?"
Moyo wangu ukaingia furaha huku nikimtazama Mr Kikole nikamuona jinsi anavyo haha haha huku akiwa anatamani kuondoka katika ofisi hiyo.Mr Kikole akaanza kunikonyeza pasipo Kaka Lucka kumuona ili nisimtaje
"Bro achana naye bwana"
"Si alikuzalilisha mbele ya wanafunzi wezako ngoja na mimi nikamzalilishe kambini"
Kusema kweli mwalimu Kikole anatetemeka hadi nikahisi kaka Lucka anaweza kumgundua ni yeye.Nikamtazama katika suruali yake nikaona jinsi inavyoanza kuchorra uwa lisilo na umbo maalumu kwani haja ndogo inaanza kumtoka hadi nikajikuta nikimuonea huruma.Kaka Lucka akatoa simu yake na kuiminya minya na kuiweka sikioni
"Ndio mkuu"
"Nimemfikisha dogo hapa shule hapa nasubiri anitajie huyo mwalimu aliyemdhalilisha na pia ningeuomba uwasiliane na mkuu wa hapa arusha ili aniletee vijana wawili na defender moja"
Mazungungumzo ya kaka Lucka yakazidi kumchanganya Mr Kikole hadi nikashuhudia haja ndoho ikianza kuchuruzika kwenye kapeti lililopo katika ofisi ya mkuu wa shule
"Eddy nionyeshe fasta fasta niondoke naye si unajua nipo kwa muda maalumu hapa"
"Kaka hembu tufanye kama umemsaehe kwani mmmmmm"
Nilizungumza huku nikicheka na kumfanya kaka Lucka kunitazama huku akinishangaa
"Dogo unacheka nini.Alafu mbona mzee unatetemeka kiasi hicho ni wewe nini?"
Kaka Lucka alizungumza haku akimpiga piga Mr Kikole kwenye bega lake cha kumshukuru Mungu hakumuangalia chini kwani Mr Kikole alikuwa amekaa kwenye kiti ambacho kanatazamana na mimi na hali yake ya hewa ilisha haribika muda mrefu.Nikamshika mkono Kaka Lucka na kutoka naye nje ya ofisi huku nikiendelea kucheka
"Eddy mbona unacheka kiasi hicho"
"Kaka nticha mwenyewe ni yule mzee pale uliyekuwa unampiga piga bega"
"Haaa sasa mbona hukuniambia nikamnyanyua nimchangamshe damu kwa kichura chura?"
"Ohhh mwenzako pale alipo kojo nje nje"
"Amejikojolea?"
"Ndio"
"Masikini mzee wa watu,nilikuwa nawachimba biti kumbe muhusika yupo pale?"
"Ndio"
Sote tukajikuta tunacheka ila mimi nilizidi kucheka hadi machozi yakaanza kunimwagika.tukaagana na kaka Lucka akurudi zake hospitali kisha mimi nikaelekea darasani.Kabla sijafika darasani kuna mwanzafunzi akaja kuniita
"Head master anakuita"
"Yupo wapi?"
"Ofisini kwake"
Sikuwa na wasi wasi,nikaanza kwenda ofisni kwa mkuu wa shule nikamkuta yupo peke yake huku Mr Kikole akiwa hayupo,Nikakaa atika kiti ambacho nilikuwa nimekalia hapo awali na kutazamana na mkuu wa shule huku miwani yake akiiweka vizuri
"Kijana nataka kukuambia kitu kimoja tu na ukiweke akilini na ukishike……..Usione kuwa tumekukubalia urudi shule kabla ya muda wa azabu yako kuisha ukazani tumekuogopa.Sasa ni hivi utafanya kazi ya kuchimba mashimo 15 ya taka hadi jumamosi adhabu yako itakapokwisha na utafyeka kila eneo la shule lenye nyasi ndefu.SAWA"
Nikamtazama mkuu wa shule kwa macho ya dharau huku nikiwa ninajiamini na kumfanya mkuu wa shule kuikunja sura yake huku akianza kuhema kwa hasira.Nikajikuta ninamuuliza mkuu wa shule swali
"Mbona hukuzungumza hivyo wakati kaka yangu yupo hapa?"
Mkuu wa shule akasimama kwa hasira huku akiuvua mkanda wa suruali yake akitaka kunichapa
"Wewe ni mshenzi kweli lala chini"
Ikanibidi kuwa mnyonge nikamuomba msamahaa mkuu wa shule adi akanielewa na tukakubaliana adhabu ya kuchimba mashimo ianze kesho asubuhi.Nikafika darasani na kuwakuta wezangu wakijisomea.Wakanishangaa kuniona ninaingia darasani
"Oya Eddy si tumetangaziwa una Sas P ya wiki moja?"
John aliniuliza huku akinipisha kwenye kiti changu ninacho kalia darasani huku yeye akihamia kwenye kiti kingine
"Kesi imeisha juu kwa juu ila nimepewa adhabu ya kuchimba mashimo……Ehee nipe stori vipi yule Salome umebonga(Zungumza naye) naye?"
"Yule dogo anajisikia sana kama vipi kamdai zile pesa zako ulizo mpa"
"Hembu acha masihara ndugu vipi aliniulizi?"
"Akuulizie wewe ni nani?,Mbaya zaidi dogo nasikia anapigwa na yule jamaa aliye cheza naye ila sasa hii dogo tunapishana kama magari mabovu NO salamu"
"Nikumbushe baadaye nikusimulie kilicho mkuta Mr Kikole"
"Huyo msen** leo pia kanichapa zamu si yake ila ana kihere here kama amenyimwa penzi na mkewe"
"Yule si kihere here ngoja nitakuambia wewe mwenyewe utacheka hadi mbavu zikuume"
Tukaendelea kuzungumza na John hadi muda wa kutoka darasani mchana ukafika.Kendele ya chakula ikagongwa ikiashiria kidato cha tano wote tukachukue chakula.Tukaelekea katika sehemu ya kuchukulia chakula na tukapanga foleni kama walivyo panga wanafunzi wengine wa kidato chetu tulio wakuta
"Samahani ninaweza kukaa mbele yako?"
Nikageuka na kumkuta ni Salome ndio anaye niongelesha,nikasogea kidogo akapita mbele yangu kwa jinsi mstari wa chakula watu walivyo banana nikajikuta karoti yangu iliyoanza kusimama ikigusa makalio ya Salome na kumfanya ageuke geuke nyuma na kuniangalia usoni huku akitabasamu akionekana akifurahi kwa jinsi ninayo mgusa gusa na koroti yangu katika makalio yake yaliyo makubwa kiasi
ITAENDELEA
****SORY MADAM*****(7)
AGE……………………………………18+
ILIPOISHIA
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio na kujikuta nikianza kuomba sala ya kuniepusha na kukamatwa kwetu kwani ni muda mchache ulio pita baba alitoka kunionya kwa ujinga kama huo.Nikamtazama Salome na taratibu nikamuona mwenzangu akilegea kabla hajaanguka nikamuwahi kumkumbatia ili asianguke chini na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa
ENDELEA
Nikaendelea kumshikilia Salome ambaye anahema Kwa pumzi za taratibu kutokana na giza sikujua kama ameyafumba macho yake.Mlango ukatingishwa kidogo kama mtu anayetaka kufungua na kuingia.
"Eddy…..Eddy"
Nikasikia ni sauti ya chini ya John ikiniita nje ya mlango, Nikawa na wasiwasi huenda atakuwa yupo na walinzi au mwalimu ili iwe rahisi kwa kunikamata endapo nitaitiaka.Akarudia kuniita tena ila nikakausha kimya nikamsikia akiendelea kufjngua fungua vyoo vingine na baada ya muda sikumsikia tena.
"Salome Salo"
Nilimuita Salome huku nikimtingisha taratibu ila mwenzangu hakunijibu kitu chochote.Nikakumbuka baba alinipa simu nikaitoa mfukoni na kuiwasha nikammulika Salome nikakuta mwenzangu macho yake yamebadilika na kiini cheusi cha kati kati ya jicho sikukiona na kulifanya jicho lake lote kuwa jeupe.Mwili mzima ukaanza kunitetemeka huku taratibu nikihisi umoto moyo kwenye mapaja yangu na kuifanya suruali yangu kulowana nikajua moja kwa moja mtu mzima nimesha limwaga mbele ya Salome ambaye sielewi amepatwa na nini.
Kwa jinsi miguu inavyotetemeka nikashindwa kuizuia hali ya kulimwaga kojo ambalo linachuruzika kwenye mapaja kwa kasi huku likiwa la moto moto na mbaya zaidi nimetoka kuchimba mgodi muda si mrefu na sikufiki mwisho wa uchimbaji.Kwa uzito wa Salome na kukosa kangu muhimili wa kusimama nikajikuta nikianza kushuka chini taratibu huku mgongo ukiwa una buruzika ukutani hadi nika kaa chini,Nikaendelea kumnong'oneza Salome ila mwenzangu hakuitika sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kumkumbatia huku kichwa chake akiwa amekilaza juu ya kifua changu,cha kumshukuru Mungu ni vyoo tulivyopo hakuna hata kimoja ambacho kimetumika kwani ndio kwanza vipya vinamsubiria diwani aje kuvizindua siku mili mbeleni.Nikaanza kumlaani John kwa masihara yake nikahisi kwamba ilikuja kunitania na utani wake umweniachia majanga ambayo sijui niyamalize vipi kwani hata kusimama ninashindwa kwa jinsi suruali yangu ilivyo lowana na mbaya zaidi mwili mzima unanitetemeka
Nikatazama saa ya kwenye simu nikakuta ni saa tano kasoro usiku,nikaendelea kusubiri huku mara kwa mara nikiwa ninamtingisha Salome ili azinduke.Baada ya masaa mawili kupita huku nikiwa nipo macho gafla Salome akaiga chamfya nikaiwasha simu na kummulika Salome usoni nikakuta anaanza kufumbua fumbua macho na matumaini ya kuto kulala chooni yakaanza kunijia kwani nilishakata tama nikajua ni lazima nitalala chooni.
"Salome"
"Mmmm"
"Unajisikiaje"
"Mmmmm"
"Unajisikiaje….?"
"Kidogo afadhali"
"Unaweza kusimama?"
"Mwili hauna nguvu"
Ikanilazimu kusubiri ili Salome nguvu ziweze kumrudia.Masaa yakazidi kukatika huku kila nikimuuliza Salome juu ya kurejewa na nguvu anadai bado.Nikaanza kupata wasiwasi kwani hadi sasa hivi imesha timu saa tisa usiku.Kijimwanga kikaanza kuchomoza na kuingia katika uwazi wa chini katika choo.Nikashangaa Salome akikurupuka na kusimama kama mtu aliyekuwa akiota ndoto mbaya
"Eddy tupo wapi?'
"Chooni"
"Tupo chooni Eddy…..bwenini kwetu hawajachukuliwa rollcal?"
Swali la Salome sikujua nilijibu vipi kwani hata mimi mwenyewe sikujua kama bwenini kwetu watu wamehesabiwa namba
"Salome cha msingi wewe uende mbwenini kwenu sasa hivi mambo mengine tutazungumza baadaye tukionana"
"Kwani ni saa ngapi Eddy?"
"Saa kumi na mbili kasoro"
Nikafungua mlango wa chooni nikachungulia nje,nikaona kupo salama hakuna mtu nikampiga busu Salome kisha nikatoka na kuelekee kwangu bwenini kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya msomo.Nikamkuta John akiwa bado amelala sikutaka kumsumbua nikapanda kwenye kitanda changu ambacho kipo juu nikajilaza ili kuupuumzisha mwili ila nikakumbuka kuwa nimejikojole.Nikaivua suruali pamoja na boxer yangu japo kuna baridi kali ila ikanilazimu kwenda bafuni kuoga
Nikarudi na kukuta watu wengeni wakianza kuva nguo za darasani huku wengine wakiwa wanaelekea kupiga mswaki
"John vipi hembu amka kwanza?"
"Eddy mwanangu nina umwa?"
"Una umwa na nini?"
"Eddy wee acha tu mwanangu jana yaliyo nikuta nimakubwa"
Kwa jinsi ninavyo mjua John kweli nikagundua anauwmwa kwani hata kuzungumza kwake ni kwa shida
"Sasa nikufanyie mpango kwa Patroni(Mlezi wa kiume) akupeleke hospitali"
"Ndio mwanangu hapa sijielewi kabisa"
Nikavaa nguo za darasani na kwenda katika chumba cha Patron na kumueleza juu ya kuumwa kwa John.Ila Patron akaniomba nimsindikize John hospitali kwani yeye anakwenda kushuhulikia kumtafuta msichana mmoja aliye potea jana usiku.Moyo ukaanza kunienda mbio huku nikiwa na wasi wasi
"Patroni huyo msichana aliye potea ni wakidato cha ngapi?"
"Kidato cha tano"
Sikutaka kujitia mawazo kwani moja kwa moja msichana aliyelala nje ya bweni alikuwa ni Salome na kwa jinsi wasichana wanavyo lindwa huwa huesabiwa kila mara wakati wa usiku nikamuaga Patroni na kutoka kwenda bwenini kumchukua John.Nikaikuta hali yake ikiwa imezidi kuwa mbaya kwani mwili mzima ulikuwa ukimtoka jasho.Nikasaidiana na rafiki zangu wengine kumuwahisha John hospitali huku moyo ukianza kupata mashaka juu ya hali ya John.Tukafika hospitali ya shule akapokelewa na manesi na kumtundikia dripu la maji.
Wezangu wengine wakaenda darasani mimi nikabaki hospitali huku nikiwa na kazi ya kumfuta John jasho linalo mwagika huku wasiwasi ukizidi kunijaa juu ya afya ya John
"Eddy"
"Niambei ndugu yangu"
"Eddy ninakufa kaka"
"John husi kamanda wangu"
John akacheka taratibu huku akinishika mkono huka anatetemeka.Nikazidi kupata wasi wasi huku machozi kwa mbali yakianza kunilenga lenga.Dokta akaanza kumfanyia John vipimo vyote ila hakumkuta na ugojwa wowote
"Eddy jana mwenzako ni….nili…..kuwa nipo na Clau….."
"Ndio kaka"
"Tulikuwa darasa la kule chini basi kuna ki…..tu ki….linipiga kifuani il…a siku..jua ni ni..ni"
"Ikawaje kaka?"
"Nikaja kukufwata kule ulipo ila sikukupata wakati naru…I pale darajani nikao…….oo….oo.."
Gafla John akaanza kutingishika kama mtu mwenye kifafa huku akiwa amening'ang'ania mkono wangu.Manesi wakaanza kumshika ili kuutuliza mwili wake huku nikisaidiana naye.Machozi yakaanza kunimwagika kwani hali ya John ikazidi kuwa mbaya,Puvu jingi likaanza kumtoka huku puani akiwa anatokwa na damu
"ED……."
John akajitahidi kuniita ila kinywa chake hakikuweza kufunguka na suati yake ikakata gafla na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa.Sikuweza kuyazuia machozi yangu baada ya kumuona John akiwa ametulia kimya kitandani huku vidole vyake vikiwa vinajifungua taratibu kwenye mkono wangu alio ushika.
"John…..John…..John kaka please wake up you can not die brother you my soujar please"(John…..John……John kaka amka huwezi kufa kaka wewe ni mwanajeshi wangu tafadhali)
Nilizungumza huku machozi yakinitoaka nikiwa najitahidi kumtingisha huku kichwa chake kikiwa nimekiweka kwenye mapaja yangu.Dokta akampima John mapigo ya moyo na nikamuona akitingisha kichwa akimaanisha John amefariki dunia
"John amka rafiki yangu nitasoma na nani mimi"
Manesi wanishika na kunitoa nje huku nikiona wakimfunika John kwa shuka mwili wake mzima.Nikazidi kuchanganyikiwa na kujua hiyo ndio safarai yangu ya mwisho ya kumuona rafiki yangu John ambaye kwangu amekuwa zaidi ya ndugu.Manesi wakanikalisha kwenye benchi huku wakiendelea kunibembeleza
Nikaana kundi kubwa la wanafunzi wa kike wa kidato cha tano likija hospitali huku wakiwa wamembeba mwenzao ambaye anaonekana kupoteza fahamu.Nikasimama na kumuona ni Salome aliye bebwa huku akionekana kuwa na hali mbaya kupita maelezo
ITAENDELAE
*****SORY MADAM******(8)
AGE………………………………18+
ILIPOISHIA
Manesi wakanishika na kunitoa nje huku nikiona wakimfunika John kwa shuka mwili wake mzima.Nikazidi kuchanganyikiwa na kujua hiyo ndio safarai yangu ya mwisho ya kumuona rafiki yangu John ambaye kwangu amekuwa zaidi ya ndugu.Manesi wakanikalisha kwenye benchi huku wakiendelea kunibembeleza
Nikaona kundi kubwa la wanafunzi wa kike wa kidato cha tano likija hospitali huku wakiwa wamembeba mwenzao ambaye anaonekana kupoteza fahamu.Nikasimama na kumuona ni Salome aliye bebwa huku akionekana kuwa na hali mbaya kupita maelezo
ENDELEA
Nikazidi kuchanganyikiwa sikujua Salome kimempata nini,Nikataka kwenda kumuuliza mmoja wa rafiki zake ila Nesi akanizuia kwa kunishika mkono.Nesi mmoja akaondoka kwenda kusaidiana na wanafunzi wa kike wa kidato cha tano na kumuingiza katika chumba cha wagojwa mahututi.Kila nilipojaribu kuyazuia machozi yangu nikajikuta nikishindwa na nikaendelea kulia hadi wanafunzi wa waliobaki nje wakanifwata kwenye benchi huku kili mmoja akiwa anahamu ya kutaka kujua ni kitu gani kinacho niliza
Nesi akanizuia nisizungumze chochote huku akiwa amenifnga mdomo kwa kiganja chake
"Jamani mwenzenu anaumwa nawaomba mkakae kule"
Nesi alizungumza na kuwafanya mwanafunzi mmoja baada ya mwengine kuondoka katika eneo nililopo kasoro Claudia ambaye anaonekana kuwa na mashaka
"Nesi Maria dokta anakuhitaji haraka"
Nesi aliyeniziba mdomo akanyanyuka haraka na kumfwata nesi mwenzake aliyekuja kumuita nikawaona wakiingia katika chumba alichoingizwa Salome.Claudi akaja kwa haraka hadi sehemu niliyokaa mimi huku naye machozi yakimwagika na akazidi kunichanganya akili kwani sikujua kinacho mliza ni kitu gani
"Eddy Salome anaumwa sana ten asana"
"Ooooh Mungu wangu naye anaumwa na nini?"
"Yaani hata sisi hatujui amekutwa ameanguka nje ya vyoo vipya kule chini huku damu zikimtoka puani"
"Ahaaa Mungu wangu ni nini hichi umefanya John naye amekufa,Salome naye aahaaa……Nakuomba Mungu usiwachkue wote"
"Eddy what are you say…..!?"(Eddy unasemaje……!?)
"John is dead"(John amekufa)
Nilizungumza kwa uchungu huku machozi yakinimwagika yakiandamana na makamasi yakinishuruzika katika pua zangu.Claudia akaachia ukulele mkali a kulia huku akipiga hatua za kwenda walipo wezake huku akiwa anakimbia.Kwa bahati mbaya nikamshuhudia Claudia akikanyaga kamba ya kiatu chake cha shule na kumfanya miguu yake kugongana na kwa kasi kubwa akaanguka chini huku kichwa chake kikipiga kwenye ukingo wa msingi wa baraza ya kuelekea katika chumba alicho ingizwa Salome na kusababisha damu nyingi kuanza kusambakaa chini kwenye mchanga.
Nikanyanyuka kwa haraka na kwenda kumuangali Claudia na kukuta akiwa yupo katika kauli ya mwisho huku akiwa ananiomba msaada nimnyanyue.Kila mwanfunzi aliyekuja katika eneo hilo nikamuoana akiondoka huku akilia na wengine wakiwa wanaziba macho yao wasione kilichotokea kwani ubongo uliochanganyikana na damu ulitapakaa chini huku mimi nikawa kama nimepigwa butwaa.
Madaktari wawili wakaja tulipo simama huku wakishangaa ni kitu gani kimetokea,Mmoja akaniuliza swali ni kipi kilicho mpata Claudia sikuwa na chakumjibu kwani mdomo wangu haukuweza kufunguka.Nikaanza kupata wasi wasi na kwa mwendo wa haraka nikaenda katika chumba cha wagojwa mahututi nikaufungua mlango kwa nguvu na kumstua nesi anayemalizia kumfunika Salome shuka kichwani kwa shukanla kijani….Nesi akajaribu kunizuia huku akiniomba nitoke nje nikajikuta ninamsukuma na kwenda kwenye kitanda alicho lazwa Salome na kumkuta mwili wake umekuwa wa baridi huku macho yake yakiwa yamejifumba.Nikamtingisha huku nikikimuita
"Salome mpenzi na wewe unakufa ni nani atabaki na mimi eheee amka mpenzi tafadhali"
Salome hakunijibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya kama nilivyo mkuta nikarudia kumtingisha ila sikupata jibu.Nikaanza kulia huku nikilitaja jina la Salome
"Salome Salome nakupenda mpenzi wangu yaani penzi letu limedumu kwa masaa please baby amka basi hata nione kicheko chako"
Maneno yangu hayakuwa na nguvu ya kumrudisha Salome dunia,Nikastukia kitu chenye ncha kali kikinichoma mgongoni,nikageuka taratibu na kukuta nesi akichomoa bomba lenye sindano na taratibu macho yakajawa na usingizi na kichwa changu nikakiangushia kwenye kifu cha Salome
***
"Wewe ---- Eddy"
Nikastuka huku nikinyanyuka kwa hasira nikitaka nimpige mtu aliye nitukana na kumkuta ni John,Moyo wangu ukanipasuka na kunifanya nianze kurudi nyuma huku nikiwa nina muogopa
"Eddy jana umepiga bao ngapi best hadi umeshindwa kurudi bwenini?"
John aliendelea kunisemesha na kunifanya nizidi kuchanyanyikiwa na kuanza kujiuliza kama nipo peponi mbona John mwenzangu amevaa nguo za shule na sote tupo bwenini isitoshe kama kawaida yake anatukana kiasi kwamba amenikasirisha
"Eddy mwangu saa hizi saa moja kamili wewe bado umelala tena unaota unatupigia kelele za kumtaja Salome wako hapa…….Kumbe Eddy na ujanja wako wote unaweza ukamuota demu?"
Jonh akaanza kucheka huku akinitazama nikayazungusha macho yangu chumba kizima nikamuona John peke yake,Nikajitazama nguo nizizo zivaa nikastuka kuona ni nguo za jana nilizozivaa prepo na sehemu niliyo kaa ni juu ya kitanda changu
"John nipo wapi?"
"Eheee wewe Eddy leo hii unaniuliza upo wapi kwani rafiki yangu wewe unavyohisi au unavyo ona upo wapi wewe?"
"Nina maana yangu kukuuliza nipo wapi?"
"Best upo kwenye Air Force One ya Obama"
John alizungumza huku akizidi kucheka hadi akakaa kwenye kiti kilichopo ndani ya chumba chetu
"Aisee Mzee bado munajichekesha chekesha hapa tokeni nataka kufunga milango"
Patron alizungumza huku akiwa ameshika funguo nyingi kwenye mkono wake wa kushoto
"Patroni tunaomba dakika kumi jamaa avae nguo"
"Nakwenda mabweni ya O level nikirudi nisiwakute"
"Sawa Patron…….Oya Eddy hembu hamsha ke**e zako hapo juu tumeshachelewa assemble"
Nikashuka kitandani na kusimama chini na kusogelea John na kumgusa mkono nikaona ni John kweli kwani hana mabadiliko yoyote ikanibidi kutoka nje kuangalia mandhari nikayakuta ni bwenini na mbaya zaidi nikamuona mwalimu wa zamu akiwafukuza wanafunzi wa vidato vyengine ili wawahi mstarini huku akiwa anawachapa
"Oya John mfumuko huyo anakuja"
"Yuko wapi?"
"Bweni la form four kule"
"Oya mwanangu hembu vua basi hizo nguo zako fasta tuondoke na jamaa lilivyo na mijisifa lile litatucharaza bakora humu humu"
Ikanibidi nikubaliane na hali halisi kuwa John hajakufa nikaanza kuivua surualia yangu haraka haraka huku John akifugua begi langu la nguo na kunitolea nguo za shule
"Alafu Eddy mwanagu umelimwaga eheee?"
"Kwanini?"
"Wewe huoni suruali yako ilivyo chora mchoro hapo mbele sijui ni ramani ya kuendea wapi"
"Mwanangu wee acha tu yaliyonikuta jana mmmmmm……"
"Alafu jana ninakuja kukustua kwenye vyoo kule mwangu upo na huyo demu wako ukanikaushia"
"Unajua wewe ndio chanzo cha kunifanya nirudi hapa saa kumi na mbili"
"Weee umerudi saa kumi na mbili?"
"Ndio jana dogo alizimia"
Mwalimu Mfumuko akaingia chumbani kwetu huku mkononi akiwa na fimbo ya munzi
"Munafanya nini?"
"Ticha jamaa anamalizia kuvaa mara moja"
"Munajua nyinyi Adivnce muna jeuri sana.Munataka kuifanya hii shule kama wamejega baba zenu si ndio…….Nyoosha mkono"
Mwalim mfumuko akaishika fimbo yake vizuri na kumchapa John fimbo mbili za mkononi.Kisha na mimi akanichapa fimbo mbili za mkononi
"Sasa ole wenu niende nirudi niwakute hapa"
Akatoka na kutuacha ndani,Nikabadilisha boxer nikvaa nyingine safi,Nikajipilizia BODY SPRAY mwili mzima kisha nikavaa nguo zangu na kujiweka sawa.Nikachukua begi langu la madaftari na safari ya kuelekea shule ikaanza kwani mabweni yetu yapo mita chache kutoka shule ilipo.Tukaingia kwenye darasa moja kwa ajili ya kujificha kwani wachelewaji waote wa mstarini wanachapwa na mwalimu aliye simama katika eneo amalo huona kila mwanafunzi anayeingia katika eneo la mastarini
"Eddy na mwenzoko muna fanya nini huku wakati wezenu wapo Assemble?"
Madam Rukia alizungumza huku akiiingia kwenye darasa tulilo jificha na kutufanya tukae kimya
"Alafu Eddy wewe mtoto mbona unamatatizo hivyo yaani hufananii na ukorofi unao ufanya?"
"Madam you know……"(Madam Unajua……
😉
"Najua nini wakati wewe umejificha na huyu mwenzako huku.Hembu waangalie macho yenu yanavyo wawaka kama ya bundi"
"Rukia wana tatizo gani hao?"
"Sir Masolwa hawa vijana nimewakuta wamejificha huku wakati wezao wapo mstarini"
"Njooni…..Tena huyo mrefu si ndio alimgomea mwalimu Kikole?"
"Ndio yeye mwalimu yaani huyu kijana sijui ana matatizo gani"
Mwalimu Masolwa akatuamuru tulale chini kisha kila mmoja akatuchapa fimbo nne nne za nguvu.
"Nahitaji mukafyeke nyasi zote zinazoelekea barabara ya getini.Mtafuteni kiranja was Stoo akawape makwanja na ole wenu mukimbie hiyo kazi mutanijua mimi ni nani.Poteeni mbele ya macho yangu"
Tukaondoka na kwenda mstarini na kukuta watu ndio wanachanguka kuelekea kwenye madarasa yao.Salome alipo niona akanifwata na tukasimama pembeni
"John yule kiranja yule pale muwahi basi atufanyie mpango wa makwanja"
"Eddy mambo mpenzi wangu?"
"Safi vipi kwema?"
"Kwema tu ulifika salama bwenini?"
"Ndio vipi wewe jana hamujahesabiwa?"
"Jana hatujahesabiwa nahisi Matroni aliogopa giza.Alafu mwezio bado nina hamu kama nini?"
"Usijali zitakwisha hapa tumepewa azabu ya kwenda kufyeka"
"Mume fanyaje?"
"Tumechelawa kuja hapa"
"Yaani Eddy mpenzi wangu natamani hapa nikirukie tufanye hata hapa"
"Hembu acha utoto..Claudia yupo wapi?"
"Anamalizia kudeki kibaraza cha bwenini kwetu"
"Ahaa powa bwana ngoja sisi tukafyeke tutaonana baadaye"
"Powa I love you"
"Love you too Salome"
Tukaachana kila mmoja akaelekea sehemu yake huku akili yangu ikianza kuifikiria ile ndoto mbaya niliyo iota,Kila nikimuangalia John ninajihisi kulia lia huku hali hiyo ikiwa sawa ninapo muangalia Salome.Tukaelekea sehemu aliyotuagiza mwalimu Masolwa kufyeka,Tukaanza kufyeka huku tukiwa tunapiga story
"Eddy yule Salome ni mtamu?"
"Tena sana nanilio yake inajoto kama nini?"
"Weee mjinga kweli kwani hizo naniliu za wengine hazina joto?"
"Joto lina tofautiana wewe kuna wengine joto lake si kali kivile na huwa hazina utamu kivilee ila za wenye joto hata kama hujui ku Duu lazima tuu kiuno kitacheza"
"Nyoo yako ni hayo tu"
"Vipi na wewe Claudia?"
"Ahhaa jana kazingua yule.Pale umeme ulivyo katika nikamfwata kule madarasani kwao.Nikashindwa kumuomba hata mchezo nikajikuta ninamuomaba tochi ndio niliyokuja nayo kule mulipo"
Nikaanza kumcheka John kwa sauti ya juu na kumfanya Mr Kikole anayepita katika barabara inayotoka getini kuelekea shule kunitazama.Kicheko kikazidi kuongezeka nilipo muona Mr Kikole na nikajikuta nikilikumbuka tukio lake la kujikojolea jana ofisini.Akanitazama kwa macho ya unyonge kisha akaendelea na safari yake ya kuelekea shuleni
"Mbona unacheka sana wewe kuomba tochi ndio unacheka kiasi hicho?"
"John sikucheki wewe"
"Ila?"
"Unajua jana si nilikuambia kuna story nitakuambia iliyonikuta ofisini?"
"Ndio"
Nikaanza kumuadisia John kila kilichomkuta Mr Kikole hata kabla sijamaliza John akakaa chini huku akicheka huku akipiga piga ngumi chini
"Eddy utanivnja mbavu zangu"
"Kweli John jana mtu mzima alilimwaga…..Tena alilimwaga pale bro alipojidai anapiga simu kambini akiomba msaada wa defender ili amchukue Best kumbe hata yule Kikole ni muoga"
‘Chezea mjeda nahisi kwenye akili yake alikuwa akifikiria jinsi ya kwenda kuruka kichura chura na pombe anazo kunywa angekufa"
"Alafu nasikia hanywi bia anakunywa matapu tapu?"
"Mwenyewe ndio ninavyo sikia"
Tukaendelea na kazi ya kufyeka huku tukipiga story mbali mbali ila nikajizuia kumuadisia John nilicho kiota.Hadi inafika mida ya saa nne bado hatukumaliza kufyeka eneo zima.Akapita Madam Rukia ikanibidi nimuite
"Madam wapi hiyo?"
"Ndio Kiswahili gani hicho?"
"Ok unakwenda wapi?"
"Unataka kujua ili iweje?"
"Nilidhani unakwenda kwa Madam Mery ninataka kwenda kumuona"
"Ninakwenda kwanza kwangu kisha nitakwenda kwa Mery"
"Kwani ametoka hospitli?"
"Amenipigia simu hii asubuhi kuwa amesharuhusiwa"
"Madam tunaomba basi twende tukamuone mara moja"
Madam Rukia akajifikiria kwa muda kisha akakubali,tukayaficha makwanja yetu kwenye michongoma kisha tukaongozana na Madam Rukia.Tukapita getini pasip kuulizwa na walinzi kwani tumeongozana na mwalimu ambaye yupo kwenye zamu
"Tena nimekumbuka twendeni kwangu mukanisaidie kubeba trey za mayai ili tuzipeleke kwa Mery"
"Sawa"
Tukaelekea nyumbani kwa Madam Rukia na akatukaribisha ndani kwake mabapo ni pazuri.John kitu cha kwanza alichokiwahi ni kuchukua PAD za gemu ya PLAY STATION ambayo mara nyinyi huchezwa kwa kupitia TV.Akawasha na kukuta ina CD ya Game ya mpira
"Oya Eddy njoo nikufunge funge"
"Utaweza"
Nikakaa karibu yake na kuchukua PAD nyingine na tukaanza kuchagua timu za kuchezesha huku Madam Rukia akiwa chumbani kwake hatukujua ana fanya kitu gani.Akatoka akiwa amejifunga tenge huku sketi yake ikiwa imechomoza kwa chini kwenye tenge lake
"Haya nahitaji mmoja wenu aje anisaidie kuokota mayai kwenye mabanda ya kuku"
"Eddy nenda mimi hapa nilipo ninajihisi vibaya vibaya"
Sikutaka kubishana na John taratibu nikanyanyuka na kuongozana na Madam Rukia hadi kwenye mabandaya ya kuku wake wa kizungu(Kuku wa mayai).Uzuri wa nyumba anayoishi Madam Rukia imezungushiwa ukuta mrefu ambao si rahisi kwa vibaka kuingia na kuiba kuku.Tukaanza kuokota mayai huku tukiyaweka kwenye kindoo kidogo
"Eddy nasikia wewe ni mtaalamu"
"Mtaalamu wa nini?"
"Ahhhaa unajua ila unataka kuwapa kuku faida"
"Sasa Madam kama ningekuwa ninajua si ninge sema"
"Hembu tutoke kwanza kwenye hawa kuku twende tukachukue trey za mayai"
Tukatoka nje ya banda la kuku na kuingia kwenye chumba kimoja kisicho na kitu kingine zaidi ya trey za mayai zipatazo hamsini
"Madam hapa unaishi na nani?"
"Peke yangu sema hii nyumba bado mpya ila siku si nyingi itahamia watu"
"Ni yako?"
"Hapana ni ya mzee mmoja hivi wa kichaga"
"Sawa"
Madam Rukia akanitazama kwa sekunde kadhaa huku akiwa kama anahitaji kuzungumza kitu ila akawa anashindwa.Akalifungua tenge lake na kubaki na sidiria huku akiniomba nimkune mgongoni.Nikaanza kumkuna mgongoni taratibu kwa kucha zangu ndogo ndogo.Akaniambia nishushe mkono hadi chini chini kwenye kiuno nimkune sehemu hiyo.Nikafanya huku nikimeza vijimate vya uchu,Taratibu nikaushusha mkono na kuuingiza kwenye sketi yake sehemu ya nyuma kwenye makalio yake.
Madam akageuka na kunishika shingo huku taratibu tukaanza kunyonyana denda,Nikamfungua sidiria yake na kuanza kuzitomasa chuchu zake taratibu taratibu.Nikaishika zipu ya sketi yake iliyopo nyuma na kuanza kuifungua kwa kwenda chini kisha sketi yake akaishusha haraka haraka huku nami nikivua shati langu la shule
"Oya mwanagu Eddy Tanesco wamekata umeme bwana"
Tuliisikia sauti ya John kwa nje na kunifanya nichungulie kwenye dirisha nikamuona John akiwa anaelekea kwenye mabanda ya kuku huku akichungulia chungulia ndani ya mabanda hayo akionekana kututafuta sisi
ITAENDELEA
*****SORY MADAM*****(9)
AGE…………………………………….18+
ILIPOISHIA
Madam akageuka na kunishika shingo huku taratibu tukaanza kunyonyana denda,Nikamfungua sidiria yake na kuanza kuzitomasa chuchu zake taratibu taratibu.Nikaishika zipu ya sketi yake iliyopo nyuma na kuanza kuifungua kwa kwenda chini kisha sketi yake akaishusha haraka haraka huku nami nikivua shati langu la shule
"Oya mwanagu Eddy Tanesco wamekata umeme bwana"
Tuliisikia sauti ya John kwa nje na kunifanya nichungulie kwenye dirisha nikamuona John akiwa anaelekea kwenye mabanda ya kuku huku akichungulia chungulia ndani ya mabanda hayo akionekana kututafuta sisi
ENDELEA
Tukavaa nguo zetu haraka haraka baada ya kuona tupo sawa nikachungulia dirishani na kumuona John akiwa amejishika kiuno huku hajui wapi tulipo
"Oya John sisi tupo huku"
"Ahhh mwanagu hukuwa unanisikia kipindi ninakuita au?"
"Sijasikia bwana tatiz lako wewe una wenge sana"
Nilizungumza huku nikitoka katika chumba tulichokuwa huku nikiwa na trey nne sisizo na mayai.Nikaingia katika banda la kuku na kuchukua kindoo kidogo kilicho na mayai kisha nikatoka nacho na kuanza kupanga yai moja baada ya jengine huku Madam Rukia akitoka akiwa ameshika trey mbili zisizo na mayai
'"Wewe mbona umesimama humsaidii mwenzako katika kupanga mayai"
"Madam hapa nilipo nimechoka kama nini ninaogopa ninaweza nikayavunja hayo mayai ikawa ni kesi juu ya kesi"
John alizungumza huku akiwa anatafuta sehemu ya kukaa kabla hata hajakaa akasikia redio ya madam ikitoa sauti ya mziki
"Umeme huo umerudi ngoja nikamalizie mechi yangu"
John akatoka mbio na kutuacha mimi na madam tukicheka kwani kwa vitendo anavyo vifanya John ni sawa na mtoto mdogo wa kidato cha kwanza
"Hivi huyu mwenzako anaakili nzima"
"Ndio tena ndio anaye tushikia darasani"
"Ehhee makubwa basi mshauri akue aache utoto"
"Sawa"
Tukaendelea na kazi ya kuyapanga mayai kwenye tery huku mara kwa mara tukiwa tunatazamana kwa macho ya wizi wizi.Tukamaliza tukasaidiana kuzibeba trey hizo hadi kwenye meza ya sebleni kwake
"Alafu Eddy kama utahitaji kuoga bafu hilo hapo kwani ninakuona unatokwa na jasho"
"Sawa madam….Vipi chai tunakunywa au ndio siku inapita kavu?"
"Ngoja niwachemshie mayai mangapi mangapi yatawatosha?"
"Kumi kumi"
"Eddy mwenzako anakazi ya kuakia wakati hata kuokota yai hata moja kwenye banda hajaokota"
"Mwaya madam usimsikilize huy mayai mawili mawili yanatutosha"
Madam akaondoka akaingia kwenye chumba nikagundua kitakuwa ni jiko kwani nilisikia akigonganisha visufuria vinavyoonekana vimewekwa kwenye mpangilio usio mzuri.Nikaingia katika bafu alilo ninyesha Madam Rukia nikavua nguo zangu na kufungua maji ya bomba la mvua nikabaki nimesimama huku mawazo juu ya ndoto niliyo iota yakanijia upya
"Hivi si nilienda kuoga baada ya kupanda kitandani?"
Sikuwa na kumbukumbu za kutosha kama wakati nilipo panda kitandani kuupumzisha mwili wangu nilikwenda kuoga au usingizi ulinipitia na kuanza kuota vitu vya ajabu.Nikasimama kwenye mchuruziko wa maji kisha nikaanza kujisugua kila kona ya mwili wangu.Nikamaliza kuoga na nikamuomba Madam anipe msaada wa wa taulo la kujifutia maji.Akampa John na akaniletea bafuni,Nikajifuta maji kisha na kuvaa nguo zangu za shule,sikuwa na jinsi zaidi ya kuzivaa hivyo hivyo japo zina nuka jasho kwa mbali
Nikarudi sebleni na kumkuta John akiwa anaendelea kunywa chai,nikajumuika naye.Tukamaliza kunywa chai.Nikamuomba Madam Rukia anipatie japo pafyumu ili mwili uishiwe na kajiarufu ka jasho ambacho kalianza kunikera
"Ingia ndani kwangu utakuta dressing table utachagua ni pafyumu gani unayo ihitaji"
Nikaingia chumbani kwa Madam Rukia na nikaanza kutafuta ni pafyumu gani nitaweza kupulizia kwa bahati nzuri nikakuta body spry kama yangu.Nikaanza kujipulizia taratibu huku nikiwa nimefungua vifungo vya shati ili niweze kujipulizia katika makwapa vizuri huku nikiwa ninacheza.Mlango ukafungulia na Madam Rukia akaingia na akaanza kunishangaa kwa jinsi ninavyo cheza cheza
"Kumbe wewe na rafiki yako akili yenu ni moja?"
"Kwanini Madam?"
"Kinacho kuchezesha chezesha hapo wewe ni kipi wakati wezako tunakusubiri?"
Nikanyamaza kimya,Madam Rukia akapiga hatua na kunifwata na kuanza kunifunga vifungo huku akinitazama usoni
"Mery anaonekana ana faidi"
"Ana faidi nini?"
"Ahaaa hakuna kitu"
Hapa ndio nikaanza kupata picha ya swali alilo niuliza Madam Rukia kipindi tunaokota mayai.Alipo niuliza kuwa mimi ni mtaalamu nikajua moja kwa moja watakuwa wameadisiana na Madam Mery kila kitu tulichokuwa tunakifanya.Tukatoka huku mimi nikiwa nimetangulia mbele na kumuacha akiufunga mlango wa chumbani kwake
"Haya hapo kila mmoja wenu abebe tray tatu tatu na mutembee kwa uangalifu musije mukaziangusha"
Safari ya kwenda kwa Madam Mery ikaanza huku njia nzima John akiwa anatupigisha story zisizo na kwichwa wala miguu.Tukafika nyumbani kwa Madam Mery na tukakaribishwa na kaka Lucka,Kutokana nimekuwa mwenyeji katika nyumba hiyo nikazipeleka tray mayai hadi jikoni na kurudi sebleni
"Broo Madam yupo wapi?"
"Yupo ndani kwake amepumzika kwani ametoka kunywa dawa muda si mrefu"
Tukakaa kidogo mimi na John tukaaga na kurudi zetu shuleni na kumuacha Madam Rukia akizungumza na kaka Lucka.Njiani tukaingia katika mgahawa mmoja na kuagiza chakula ili kuyaweka matumbo vizuri
"Eddy kuna kitu nataka nikuulize?"
"Niulize?"
"Hivi huyu Madam Rukia wewe unamuonaje onaje?"
"Kivipi?"
"Ni mlaini au mgumu kama mtu akimtoke?"
"Best hilo nalo jipya kwa hiyo unataka kwenda kumtokea Madam Rukia?"
"Ndio mwangu yaani nikimuangalia kwa jinsi mapigo yake anayo tupia mimi mwili mzima unanisisimka"
"Jitahidi"
"Nijitahidi na nini?"
"Ahaaa wewe si unamtaka….Jitahidi katika kumtogoza"
"Laiki Madam mwenyewe kauzu kama nini"
"Ndio maana nakumbia jitahidi"
Tukamaliza kula na kurudi shuleni,kwa jinsi tulivyo shiba hatukuwa na hamu ya kufyeka tukatafuta sehemu yenye kivuli cha mti mkubwa tukakaa huku tukivuta vuta muda wa wanafunzi wengine kutoka darasani
"Eddy hembu nimbie ukweli jana Salome ulimla au hukumla?"
"Sasa John best yangu unataka kusema kwamba sijamla Salome au?"
"Inawezekana ukawa umekwenda kupiga naye story tuu chooni alafu unanishangaa mimi niliyekwenda kuomba tochi"
"Best najua huto niamini ila kusema ukweli jana Salome nilimla japo alizimia baada yaw ewe kuanza kuuvuta uvuta mlango wa kuingilia chooni"
"Sasa alizimia nini?"
"Mawazo na fikra zetu zote tulijua ni mwalimu au mlizi"
"Eheee Eddy cheki yule demu pale anayeshuka darasa la kidato cha nne"
"Ndio ana nini?"
"Basi unaambiwa yule demu hapa shule hajawahi kuliwa na boy hata mmoja"
"Kwa hiyo?"
"Sasa ndio una nishushua au?"
"Sio nakushushua wewe John sasa hivi umeshaanza tabia ya kupenda penda unakuwa kama chiriku"
"Haya basi nisamehe mimi niliye kuonyesha huyo demu"
Tukaendelea na mazungumzo ya kawaida hadi muda wa saa nane na nusu watutu kutoka madarasani tukajumuika nao kwenda mabwenini kuadilisha nguo.Nikavua suruali yangu ya darasani pamoja na shati la shule na kuvaa suruali ya kushindia pamoja na tisheti.Nikatoka na kwenda darasani kuchukua madaftari yangu ambayo ninahitaji nirudi nayo
Nikakutana na Salome akiwa ameongozana na Claudia wakielekea katika Cantin ya shule kununua chakula.Nikasalimiana nao kisha Claudia akachukua vyombo alivyokuwa amebeba Salome na kutangulia mbele na kutuacha mimi na Salome tukiwa tumesimama
"Salome nikuulize kitu?"
"Niulize"
"Unauginjwa wa kuzimia?"
"Hapana mpenzi wangu ila jana nilijikuta tuu nina legea na kuisgiwa nguvu na jinsi ulivyokuwa ukiniita nilikuwa nikikusikia ila nikawa niashidwa kukujibu"
"Basi nilidhani una ugonjwa huo ili tufanye mchakato wa kukutafutia dawa"
"Mbona dawa ninayo?"
"Dawa gani?"
"Si hiyo nanilio yako"
"Nini?"
Sote kwa pamoja tukajikuta tunaanza kucheka na kuwafuanya watu wengine kutushangaa
"Ehee munakwenda kununua nini?"
"Chipsi na maandazi"
"Powa ngoja basi nikupe hela na mimi uninunulie samaki kamongo watano"
Nikajipapasa mfukoni nikastuka sina walett na nikakumbuka nimeiacha kwenye suruali yangu ya shule na kwa bahati mbaya nimeicha juu ya kitanda changu kwani nilitaka niifue nikirudi kuchukua madaftari
"Mbona umestuka hivyo?"
"Walett yangu ipo kwenye suruali yangu ya darasani na hapo nilipo iacha mmmm"
"Basi nenda kaiwahi wasije wakakuibia.Nitakununulia hao samaki sawa baby?"
"Powa"
Nikaachana na Salome na kuanza kukimbia kuelekea bwenini huku akili yangu kuwa ikiwazia simu aliyonipa baba kwani ni simu ya gharama.Nikafika katika chumba chetu sikukuta mtu kwani watu wengine wamekwenda kuchukua chakula cha kwanza kukifunua ni begi langu la nguo na kuingiza mkono chini kwenye nguo cha kushukuru nikaikuta simu yangu kidogo mapigo ya moyo yakanitulia.Nikaichukua suruali yangu na kuikuta wallet ndani ya mfuko wa nyuma wa suruali.Nikaitoa haraka na kuifungua,Mapigo ya moyo yanakipasuka baada ya kukuta pesa zote hakuna zaidi ya shilingi hamsini iliyo baki na sikujua hata imeingiaje kwenye wallet yangu.
Nikafungua zipu ya pembeni ambapo pia ninahifadhia hale ndogo ndogo za noti,nako pia sikukuta kitu zaidi ya karatasi ambayo sikujua ni nani aliye iweka.Nikaitoa na kuiangalia vizuri nikakuta imechongwa kwa urefu wa sawa na noti ya shilingi elfu kumi huku ikiwa imechorwa picha zinazo onekana katika noti hiyo huku ikiwa na maandishi makubwa yaliyo andikwa kwa wino mwekundu yanayosomeka ‘PESA HALALI YA MALIPO YA SHILINGI ELFU KUMI' huku ikifwatiwa na tarakimu iliyo chorwa kwa ukubwa huku ikipinda pinda ya 10,000/=
Nikajikuta nikianza kucheka mwenyewe huku nikirudia rudia kuisoma karatasi niliyo ikuta
"Oya Emma hujamuona mtu aliye ishika suruali yangu?"
"Hapana ndugu ndio ninarudi hivi kutoka class kwani vipi…?"
"Mwanangu wamesha niliza na cheki wameniachia kikaratasi tuu"
Nikampa Emmanuel kikaratasi na akaanza kukisoma naye akajikuta akianza kucheka hadi machozi yakawa yanamwagika
"Mwanagu Eddy jamaa wamekukomoa"
"Weee acha tuu"
"Wamekuibia bei gani?"
"Laki na ishirini"
"Duuu best ilikiwaje na wewe ukaacha wallet kwenye suruali?"
"Si unajua kusahau sahau"
"Daaa pole ndugu yangu ngoja wanachumba waje tuwatangazie"
"Alafu walivyo na roho za ajabu….Walet yangu wakairudishia kama walivyo ikuta"
"Alafu wenye mtindo wa kuiba na kuandika vikaratasi ni O Level kwani juzi asubuhi niliona dogo mmoja analia huku naye akiwa ameshika kikaratasi kama chako"
Hamu hata ya kukaa shule ikaanza kunipotea gafla huku mawazo yakianza kunitawala ni jinsi gani nitaaishi bila pesa na kila mwanachumba niliye muuliza akasema hajui.Na mbaya zaidi John naye amefulia kupita maelezo na kwa kipindi cha wiki mbili anakula kwa kupitia mfuko wangu
"Mwanangu Eddy ndio tumesha fulia hivi"
"Weee acha kaka yaani hapa nachanganyikawa na mbaya zaidi mzee atakuwa amesafiri"
"Mmmm best hata shibe ya chipsi tulizo zila pale kibandani imesha kwisha"
"Nimekumuka kitu"
"Kitu gani"
"Mwalimu wa ni zamu ana pesa zangu"
"Mwalimu gani kwani waalimu wa nidhamu wapo wengi"
"Sir Mayange"
"Doo yule nilimuona anaondoka zake na kale kajipiki piki kake"
"Kwake ninapajua"
"Sasa itakuwaje?"
"Itanibidi nitoroke niende kwake muda wa nyinyi mukiwa assemble ya jioni"
"Hato kuzingua?"
"Si dhani nitamuambia ukweli kwani sasa hivi muda wa ruhusa si muesha pita?"
"Ndio"
"Itanibidi nivae nguo za nyumbani"
Nikasubiria muda wa saa kumi na moja kufika nikavaa nguo za nyumbani pamoja na kofia kubwa aina ya bushori wakati wezangu wakienda mstarini jioni mimi nikarika ukuta na kwenda nyumbani kwa Mwalimu Mayange.Kwa mwendo wa kujificha ficha nisionewe na waalimu ikanichukua kama nusu saa kufika nyumbani kwa mwalimu Mayange.Nikagonga na mlango wake ukafunguliwa na msichana kwa makadirio ya umri ni kama miaka 25.Ikanilazimu kumsalia ila hakitikia salamu yangu zaidi ya kunijibu powa
"Sir Mayange nimemkuta?"
"Ametoka kwenda kutafuta majani ya Ng'ombe"
"Ninaweza kumubiria?"
"Ndio unaweza kumsubiria ila siwezi kukuruhusu kuingia ndani pasipo kukujua wewe ni nani na una shida naye gani?"
Ikanibidi kuivua kofia yangu aina ya bushori kwani ninahisi ndio inampa wasiwasi wa kunihisi mimi ninaweza kuwa mtu mbaya kwani kwa mkoa wa Arusha una waalifu wengi
"Mimi ninaitwa Eddy ni mwanafunzi katika shule anayo fundisha nimekuja kuchukua pesa za matumizi"
"Sasa mbona umevaa hivyo kama jambazi umetoroka?"
"Ndio"
Nikaanza kujiuliza mbona huyu msichana ana maswali mengi kiasi kwamba anaanza kunipa mashaka ya kuto zipata pesa zangu.Akanikaribisha ndani na nikakaa kweye kochi moja na macho yangu kuyaelekezea katika TV inayo onyesha miziki ya wamarekani weusi huku naye akikaa katika kochi jengine akinitahdimini
"Wewe hapo shuleni kwenu unasoma kidato cha ngapi?"
"Cha tano?"
"Mchepuo gani?"
"Sayansi"
"Ahaaa nilikudanganya mwaya shemeji amekwenda kwenye kikao cha harusi pamoja na dada yangu hapa kurudi hadi saa mbili usiku kama utaweza endelea kumsubiria"
"Sawa kutokana nina shida itanilazimu kusubiri hata kama ni asubuhi itabidi nikae hapa hapa"
"Sasa kama unasema utalala hapa hapa je shuleni kwenu itakuwaje?"
"Nitajua cha kufanya ila kutokana wanarudi basi itanilzimu kukaa hapa hapa niwasubirie"
"Ahaaa ila vipi masomo?"
"Kidogo tunajitahidi tahidi"
"Mimi ninaitwa Manka ninasoma kidato kama chako na nipo sayansi"
"Sasa wewe mbona upo nyumbani"
"Kidogo kuna ishu Fulani hivi ilitokea katika shule ninayo soma ikatulazimu tufunge shule"
"Ishu gani"
"Mabweni yaliungua so hapa tunasubiri tamko la serikali kama tuhamishe kwenye shule nyingine za serikali au wajenge haraka haraka ili turudi uendelee na kitabu"
"Kumbe nyinyi ndio ile shule ya girls iliyo ungua?"
"Ndio tana afadali hivi kwenye Biology kuna topic ya Classifacation mumesha ifikia?"
"Duu hiyo mbona tumeipita zamani"
"Nisubiri mara moja"
Akaondoka na kuniacha sebeleni hapo ndipo nikapata wasaa wa kumtadhimini vizuri.Baada ya muda akarudi akiwa na na daftari pamoja na kitabu kikubwa.Akaniita nikae katika kocho alilo kaa yeye.Akafunua kitabu katika sehemu anayo ihitaji na nikaanza kumuelekeza hatua moja baada ya nyingine katika kitau hicho.Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo jinsi alivyonisogelaa na tukawa tumebanana
"Hivi ulisema unaitwa nani vile?"
"Manka ina maana mara moja hii umelisahau jina langu?"
"Mawazo mengi ndugu"
Nikaendelea kumuelekeza ila ikafikia hatua hata kasi ya kumuelekeza ikaanza kupotea kwani mkono wake mmoja ameuweka juu ya paja langu huku taratibu akiusogeza hadi kwenye karoti yangu.Kwa mara ya kwanza niliusogeza ila akaurudisha tena huku akinitazama machoni kwa macho yakulegea kiasi kwamba nikaanza kuhisi uvumilivu unaanza kunishinda.Tatatibu tukajikuta tunasogezeana modomo yetu na kuanza kupigana mabusu yaliyo fwatiwa na kunyonyana lipsi zetu.
Manka akasogeza madaftari hadi yakaanguka chini kisha akakaa juu ya meza huku mikuguu yangu ikiwa nimeipitisha katikati ya miguu yake.Nikamshika kiuno chake kisha taratibu huku tukiendelea kunyonyana lipsi zetu hadi nikaanza kujishangaa mwenyewe imekuaje kwa Manka kunikubali gafla wakati kipindi ninakuja alinitisha kwa maswali yake adi nikahisi ni polisi.Nikamsimamisha na kumvua Suruali aliyo ivaa sikutaka kumvua nguo za juu kuhofia na mazingira tuliyopo si salama sana.
Nikafungua zipu ya suruali yangu na kuitoa kariti yangu kisha Manka akaikalia na kuanza shuhuli ya kupeana raha.Manka anaonekana ana kipindi kirefu hajakutana na mwanaume kwani kwa mihemo ya fujo ina dhihirisha kitu hicho.Raha zikazidi kuongezeka kwani Manka kwa kitu alicho barikiwa ni kukata mauno kiasi kwamba anaanza kuziteka hisia zangu kwani raha ninayo ipata si yakiyoto.Nikasikia mlio wa pikipiki ukisimama nje ya nyumba nikastuka na kujua moja kwa moja ni Sir Mayange kwani mlio huo ni wa piki piki yake
INAENDELEA HAPA