Hot story

Hot story

*****SORY MADAM*****(43)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Nikapata matumaini ya uwepo wake na moja kwa moja nikaufungua mlango wake na sikuamini macho yangu baada ya kumkuta akiwa ananyonyana denda na mwanaume mwengine ambaye kwa haraka nikamtambua ni Derick mume wa madam Mery

ENDELEA
Sheila akastuka sana kuniona nikiwa nimesimama mbele yao,hata Derick ambaye mimi na yeye ni maadui kama paka na paya akakastuka sana na wakaachiana.Macho yangu kwa hataka nikayazungusha katika enoe la chini kutafuta kitu kizuri ambacho ninaweza kupambana nacho ila sikuona.Nikatazama nje nikaona kupande cha mbao kilicho chongonga vizuri na kina unene mkubwa kiasi.Nikakifwata kwa haraka na kurudi ndani na kumkumba Derick ambaye alikuwa anakimbilia kuufunga mlango kwa ndani,akaanguka vibaya na kunipa nafasi ya kuanza kumshambulia kwa haraka.Kwa nguvu zangu zote nikakitulisha kipande cha mbao kwenye magoti yake na kumfanya anguke chini akitoa ukulele wa maumivu makali.
Sheila akaanza kubabaika kwani siku zote ananijua nikiwa na hasira ninakuwa ziadi ya mnyama mkali,kwa kutumia kigoti ya mguu wa kulia nikakitulisha kwenye kidevu cha Derick na kumfanya arushwe juu kidogo huku meno kadhaa yakidondoka sakafuni
"EDDY UTAMUUA....."
"Wewe Malaya funga bakuli lako"
Derick akajaribu kurusha teke,nikalidaka huku nikimtazama kwa hasira.Nikamsukuma na akajigonga kwenye kabati lenye Tv na redio kubwa.Derick akaanza kutokwa na machozi akijaribu kuniomba msamaha ila sikumuelewa kabisa kwa kitu anacho niambia.Kwa kutumia gongo nikaanza kumshambulia kwenye miguu yake,nikitumia nguvu zangu zote kuiamiza kwa kipande cha mbao na kuzidi kumpa maumivu Derick.Sheila akanidandia mgongoni akijaribu kunizuia,Nikageuka na kumshika Sheila kichwa chake na kumtazama kwa macho makali.Nikampiga kichwa kichwa cha uso na kumfamya ayumbe kama tiara,nikampiga buti nililo muangushia kwenye sofa na kuanza kulia kwa maumivu kalali.
Nilipo hakikisha miguu ya Derick haifanyi kazi yoyote,nikaingia jikoni na kuchukua kishoka cha kukatia nyama chenye makali,kabla sijatoka nikaona kamba ikiwa kwenye mfuko.Nikavichukua kwa pamoja na kutoka sebleni na kumuona Derick akijiburuza akijaribu kwenda nje huku akilia.Nikaishika miguu yake na kumburuza hadi alipo Sheila,
"Eddy mpezi wangu,nakuomba unisamehe....nisikilize nakuomba"
Sikuwa na haja ya kumsikiliza Sheila,nikamshika Sheila kichwa chake na nikachukua vipande vya vitambaa vya masofa na kumkandamiza navyo mdomoni na kumfanya ahangaike agaike,Nikamfunga kwenye mikono na miguu.Derick wakati wote anakoroma kwa kulia na maumivu.Nikatoka nje na kulifunga geti na kurudi ndani na kuufunga mlango wa kuingilia
"Sheila naamini mimi kwako si wakusimuliwa,ninaroho ya binadamu na Shetani.....leo nahitaji unijue mimi ni nani?"
Nilizungumza kwa hasira na sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo mingi.Nikamshika Derick mkono wake wa kulia,kumbukumbu ya mwanangu alivyompiga chini ikapita kwa haraka kichwani kwangu,nikanyang'ata meno yangu kwa hasira.Nikachukua kishoka na vidole vya Derick nikavilaza sakafuni huku nikivikandamiza kwa kutumia mkono wangu wa kushoto
"No...Usinifa......."
Nishoka kikatua kwenye vidole vyake na kuvitawanyisha kwenye sakafu,Dericka akatoa ukulele mkali ila nikamzaba ngumi ya shavu na akabaki akigugumia.Sheila akabaki akiwa ameyatoa macho kama amepigwa mshale wa mgongo.Nikavikunyanya vidole vyake vyote na nikaviweka kwenye meza ya kioo.
"Derick leo utakufa kifo cha taratibu kama mwanangu ulivyo mfanya."
Nikavua tisheti niliyo ivaa,nikaingia jikoni na kuchukua sahani na kurudi nayo ndani sebleni.Nikamfunga Derick akamba za miguu,Nikamsokomeza vitambaa na yeye kwenye mdomo.Nikauchukua mkono wake wa kushoto ulio na vidole vyake kamili.Nikamtazama machoni kwa macho ya dharau,kisha nikaupitisha katikati ya miguu yangu na akabaki akinitazama,Nikaizungusha miguu yangu na kuusababisha mkono kutoa mlio wa kuvunjika mifupa iliyopo kwenye mkono wake.Dericka akaendelea kulia huku akigaragara chini.Nikaibaeba sahani yenye vidole hadi jikoni,nikaweka kikaangio kwenye jiko la gesi na kuliwasha,nikamimina mafuta mengi ya kula kisha nikavidumbukiza vidole vyote kwenye kikaangio na kuongeza moto ili viive haraka na kurusi sebleni.
Sheila akanitazama huku machozi yakimwagika,Mlio wa simu kutoka kweney mfuko wa suruali ya Derick ukaanza kusikika.Nikaitoa simu yake ikiita na kukuta ni madam Mery ndio anapiga simu kwani imeandikwa ‘wife' na pembeni kuna picha yake.Nikamtazama Sheila na kumfwata,nikamshika nywele za kichwa chake
"Sikia wewe Malaya,zungumza na huyu mjinga mwenzako.Jitambulishe kuwa wewe ni mke mwenzake sawa?"
Sheila akatingisha kichwa,simu ikakata na baada ya muda ikaanza kuita tena,Nikamtoa Sheila vitambaa mdomoni.
"Zungumza naye"
Nikaminya kitufe cha kupokea na kuiweka simu iwe kwa sauti kubwa(Laudspeker) na kuisikia sauti ya madam Mery ikaanza kuzungumza
"Haloo mume wangu"
"Wewe mshenzi nimekuambia achana na mpenzi wangu."
"Kwani wewe ni nani na namba ya mume wangu umeipataje?"
" Hadi hapo ujaelewa tuu,mimi ni mke mwezio"
"Jamani kwa nini uanifanyia hivyo wewe dada kumbe wewe ndio umeficha mume wangu wiki nzima harudi nyumbana"
"Mjini hapa"
Nikaikata simu na kuizima huku nikijiuliza maswali ni kwanini Madam Mery aliamua kurudia na mume wake baada ya tukio la kuuawa kwa mwanangu
"NA YEYE LAZIMA AFE"
Nilizungumza kwa sauti ya hasira huku nikimtazama Sheila,nikamdumbukiza tena Sheila vitambaa vya mdomoni.Nikakimbilia jikoni na kukuta vidole vya Derick vikiungulia kwenye mafuta,Nikazima jiko na kuvitoa kwenye vikaangio na kuviweka kwenye sahani,Nikaona nyanya mbili juu ya friji,nikazikataka kata vizuri na kurudi sebleni nikiwa nimeishika sahani,Nikaviweka juu ya meza na kumgeuza Derick aliye lala kifudi fudi akiugulia maumivu.
"Derick nimekukangia miskaki iliyonona,karibu ule"
Derick akanitazama kwa macho ya hasira,nikamuitamia na kuvitoa vitambaa mdomoni mwake kisha nikachukua kidole kimoja na kukikandamiza mdomoni mwake,Gafla akanitemea kidole usoni na kuzidi kunipandisha hasira na nikaanza kumshindilia ngumi za pua hadi ikatepereka na kumwaga damu nyingi.
Nikajibwaga kwenye sofa huku nikimtazama Derick nikifikiria nini cha kumfanya ili apate uchungu kama nilio upata mimi kipindi alipo muua mwanangu.Nikapata wazo ambalo likanifanya nisimame na kumburuza Derick hadi nje kisha nikarudi ndani na kumchukua Sheila na kumbeba begani,Nikafungua mlango wa gari na kumuingiza upande wa dereva huku mikono na miguu yake nikiwa bado nimeifunga kwa kamba.Nikaaingia ndani na kuchukua kishoka changu na kurudi nje nikamchukua Derick na kumlaza chini ya gari,nikaingia ndani ya gari na kuifungua mikono ya Sheila
"Washa gari lako"
Nilizungumza huku kishoka nikiwa nimekiweka kwenye shingo yake.Sheila akaanza kutetemeka na akafanya kama nilivyo muagiza
"Endesha gari lako umkanyage huyo mwehu wako"
Sheila akatingisha kichwa,akiashiria kukataa.Nikamtoa vitambaa ambavyo nilimsokomeza mdomoni
"Endesha gari"
"Huoni tutamuua"
Nikamzaba Sheila kofi la shavu,na kumfanya kuweweseka na akakanyaga mafuta na gari ikasogea mbele na kupanda kwenye mwili wa Derick kama imepata kwenye matuta yaliyo tengenezwa barabarani.Nikashuka kwenye gari na kumkuta Derick akiwa yupo katika hali mbaya,kwa kutumia kishoka changu nikamkata Derick kichwa chake na kukirusha ndani ya gari alipo Sheila na kumfaya akarupuke kwa woga
"Sheila Sali sala yako ya mwisho,unamfwata mwehu wako kuzimu"
Nilizungumza kwa sauti nzito isiyo na huruma hata kidogo

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(44)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Kwa kutumia kishoka changu nikamkata Derick kichwa chake na kukirusha ndani ya gari alipo Sheila na kumfaya akarupuke kwa woga
"Sheila Sali sala yako ya mwisho,unamfwata mwehu wako kuzimu"
Nilizungumza kwa sauti nzito isiyo na huruma hata kidogo

ENDELEA
"Eddy ni nini kimekupata unakuwa naroho mbaya kiasi hicho"
Sheila alizungumza kwa woga huku akitetemeka,Nikapiga hatua za taratibu hadi sehemu aliyo simama pembezoni mwa gari,
"Wewe ni mtu wa kunisaliti mimi?"
Swali langu likamfanya Sheila kutingisha kichwani,Nikamshika mkono na kuanza kumburuza hadi tukaingia ndani na kumsukumia kwenye sofa
"Eddy,kumbuka mimi na wewe tumetoka mbali........nilikuwa nipo radhi kufa kwa ajili yako.Leo hii huioni dhamani yangu kwanini lakini Eddy"
Sheila alizungumza huku akiendelea kumwagikwa na machozi mengi,Hasiri ikazidi kunipanda kila nilipo kumbuka tukio la wao kukumbatia na Derick
"Eddy mimi nilijua kuwa wewe umeniacha,Tazama nilikuokoa kwenye ndege nikawa nipo tayari mimi kufa ili wewe upone,Ila hata siku moja sijakuona hospitalini.Niliiungua kwa ajili yako wewe.Ila dhamani yangu ipo wapi au kwa sababu mimi ni mwanamke ndio unaamua kuninyanyasa?"
Sheila alizidi kuzungumza kwa uchungu na kunifanya niwe kimya nikimtazama huku asira ikinishuka
"Eddy nipo tayari kufa,Nichinje kama ulivyo mchinja Derick,NICHINJE"
Sheila alinamisha kichwa chake mbele ya miguu yangu na kujikuta nikikinyanyua kishoka changu juu kwa hasira machozi yakinimwagika taratibu
"Eddy ,najua nitakwenda kuzimu kwa maana nimekukosea sana.Ila sistahili kuendelea kuishi mip tayari uniue."
Nikakitupa kishoka kwa nguvu kwenye meza ya kioo hadi meza ikavunjika.Taratibu nikakaa chini huku nikimwagikwa na machozi,Sheila akainyanyua sura yake iliyo lowana machozi na kuniangalia kwa uchungu
"Eddy kwa nini umeua,ulishwa kutuambia kiustarabu"
Kiganja cha mkono wangu wa kulia kwa haraka kikatua shingoni mwa Sheila na kuanza kuibana kwa nguvu,mikono ya Sheila ikawa na kazi ya kuuzuia mkono wangu usiendelee kuibana shingo yake
"UNAMAJUA DERICK VIZURI WEWE?"
"Mm..mmmmmmmm.....?"
Nikaiachia Shingo ya Sheila na kumfanya asogee mbali kidogo na nilipo mimi.Ukimya ukatawala kati yetu huku ikisikika mihemo yangu ya hasira jinsi inavyo panda na kushuka.
"Eddy ninakupenda sana,tena sana.Maishani mwangu nilikuambia kuwa sijawahi kupenda mwanaume yoyote kama wewe.Umenifundisha mengi Eddy,Upendo,Ujasiri,Huruma......Ila mimi sio kosa langu kuwa na Derick"
"Ila?"
"Derick mimi alinisaidia sana kipindi nipo Kenya,Sikuwa na mtu wa kunilipia hata pesa ya hospitali ambayo nilikuwa ninatibiwa.Aliweza kunihudumia kwa kila jambo,alininunulia dawa za gharama kuwa zilizo nisaidia ngozi yangu kurudi katika hali ya kawaida kama awali.Nilikuwa nimebabuka mwili mzima mimi,nilikuwa sitamaniki na......"
"Ukaamua kumpa mwili wako?"
"Sio kama niliamua kumpa mwili wangu,Aliweza kunishawishi na wewe sikujua ni wapi ulipo.Nilijariu kukuulizia shule ambayo ulikuwa unasoma ila sikupata jibu"
Nikaachia tabasamu la dharau lililo jaa hasira nzito inayo ifanya royo yangu kutamani niyanyofoe masikio ya Sheila,nikawa ninajikaza nisifanye kitu ninacho kiwaza
"Tangu tupoteane,imepita kipindi gani?"
"Miezi mitatu"
"Ulishindwa kuzizuia hisia zako hadi utakapo niona?"
Sheila akaa kimya huku macho yake akiyakwepesha kukutana na macho yangu yalio jaa ukali kama chui aliye jeruhiwa mwili wake kwa risasi.
"Dawa yako ipo jikoni"
Nilizungumza huku nikinyanyuka na kwenda njee,Nikauvuta mwili wa Derick na kuutoa chini ya gari,Nikaurudi ndani na kumkuta Sheila akiwa amejinamia chini akilia
"Funguo ya handaki lako iko wapi?"
"Ndani?"
"Wapi?"
"Kwenye dreasing table yangu"
Nikamtazama Sheila kwa muda,nikafunga mlango wa kutokea nje kwa funguo zilizokuwa zikining'inia ndani ila kumfanya Sheila asikimbie kwenda sehemu yoyote.Nikaingia chumbani kwake na kuiona rimoti ndogoi iliyopo juu ya kakabati kake kadogo kalicho jaa vipodozi.Nikaichukua kabla sijaondoka kwa bahati mbaya nikaangusha kichupa cha mafuta,nikakiokota na kukirudisha juu sehemu kilipo kuwa ambapo chini yake kuna karatasi iliyo geuzwa upande wa pili ambao hauna maandishi yoyote,Nikaichukua karatasi na kuigeuza upande wa pili
Nikaanza kusoma maandishi yaliyo andikwa kwa muandiko wa kulala na juu yake kuna jina la hospitali ambayo dokta huyo ndio ameandika vipimo vilivyo anza kuufanya mwili wangu kurudi katika hali ya hasira kali.Vipimo alivyo viandika daktari vinaonyesha Sheila ni mjamzito wa mimba ya wiki mbili na kwa pembeni yake baba wa mtoto ni Derick Malki
"ANAMIMBA YA DERICK....?"
Nilijiuliza swali ambalo jibu lake ninalo kichwani,Nikiwa ninaendelea kuitazama karatasi yangu ni kama Mungu aliye niambia nitazame kwenye kioo,Nikauona mkono wa Sheila akiwa ameunyanyua juu huku akiwa ameshika kishoka nilicho kuwa nacho mimi.Nikakikwepa na kuruka pembeni,Sheila akakirusha kishoka,nikainama na kikanikosa na kutua kitandani.Kama gari iliyo poteza breki zake,nikajirusha na kwakutumia bega langu la mkono wa kulia,likatua tumboni mwa Sheila na sote tukaanguka chini,Sheila akaanza kutoa kilio cha maumivu.Nikainyanyua ngumi yangu na kushusha kwa kasi na kabla haijafika usoni mwake nikaisimamisha na kumtazama jinsi alivyo fumba macho akiogopa mzigo utakao shuka kwenye uso wake
"UNATAKA KUNIUA WEWE MALAYA SI NDIO?"
Sheila hakunijibu chochote zaidi ya kuwa kimya.Nikampiga vibao vinne vya mashavu ili kuiweka akili yake sawa.
"Upendo wangu kwako usije ukageuka ukawa kifo chako,Sheila....nimezaliwa siku moja nia nitakufa siku moja,Hakuna kama mimi Eddy na hatotokea kama mimi.PUMBAVU"
Nikamalizia na kibao cha tano kilicho mfanya azidi kuwagikwa na machozi.Nikamnyanyua na kumuweka begani nikakichukua kishoka changu na tukatoka nje.Nikambwaga kwenye sofa kama zigo wa kuni na kabla sijatoka nje Sheila akaniita
"Nini?"
"Naomba unisamehe,haikuwa akili zangu"
"Zilikuwa akili za nani?"
"Ni shetani amenipitia,nikatamani kukuua"
Sheila alizungumza huku akiwa amejishika tumbo lake.
"Sheila mimi sina roho mbaya,ila inapobidi niwe na roho mbaya itakuwa.Mimi siwezi kumuua mtoto wa Derick uliye naye tumboni kama yeye alivyo fanya kwa mwanangu"
Sheila akakosa la kuzungumza na mimi,nikaufungua mlango na nikatoka nje,Kwa kutumia kirimoti nikaufungua mlango wa handaki na kisha nikabeba mwili wa Derick hadi ndani.Nikarudi juu na kuchukua kicha chake na kuingia nacho ndani.Nikalichunguza handaki na kugundua lina majiko mengi ya umeme ambayo yana sehemu ya kuwokea mikate.Nikaisogeza meza kubwa iliyipo pembeni yangu na nikauweka mwili wa Derick juu
"Eddy"
Sauti ya Sheila ikanifanya nimgeukie,Akainisogelea karibu na kunishika mkono wenye kishoka
"Hii roho ya kikatili umeitoa wapi?"
"Kwenye kazi zangu huwa sihitaji kuingiliwa,Ondoka kabla sijafanya maamuzi mabaya kwako"
"Eddy,mimi ndio nilikuwa ninakupunguza hasira zako.Hakuna mwanamke ambaye aliweza kufanya hivyo kama si mimi au mama yako"
"Mama anakutaka uende nyumbani,amekutafuta kwa kipindi pasipo mafanikio yoyote.Nakuomba twende sote kwa mama leo"
Nikayatazama macho ya Sheila na kuyaona yanamaanisha kitu anacho kizungumza.
"Rudi ndani?"
"Unataka kuufanya nini huo mwili?"
"Rudi ndani usiniulize chochote"
Sheila taratibu akasogea pembeni yangu.Pasipo kuwa na haruma nikaanza kuucharanga kwa kishoka mwili wa Derick,Nikaufanya mwili wa Derick kuwa katika vipande vipande.Nikaliwasha jiko kubwa lenye visahani vinne vya kupikia.Nikaviingiza vipande vya mwili wa Derick.
"MUNGU ninaomba unisamehe katika hili"
Niliomba sala ya msamaha kwa Mungu wangu,Nikaifanya kazi yangu ya kuvikausha vipande vya mwili wa Derick hadi nikamalizia na kichwa chake kwa kukipasua.Nikaviweka kwenye turubai kubwa la kufunikia gari la Sheila kisha nikatoka nje,Nikamkuta Sheila kusafisha sehemu zote zenye damu.Macho ya Sheila yamevimba kidogo kwa kulia huku mashavu yake yakiwa na alama za vidole vyangu
"EDDY,hii ni siri kati yangu mimi na wewe."
"Ukiitoa nikufanye nini?"
"Nifanye chochote upendacho"
"Sawa"
Tukasaidia kufamya usafi,Nilipo hakikisha hakuna uchafu wa ina yoyote tukarudi ndani na Sheila akawa wa kanza kuoga kisha nikafwatia na mimi,nikavaa suruali ya Sheila ambayo inanitosha na tisheti yake hii ni kutokana na kutokuwa na nguo.Mida ya saa mbili usiku tukafunga safari hadi nyumbani kwa mama,Sheila akapiga honi na geti la nyumba likafungulia na akaingiza gari hadi sehemu ambayo kuna magari yetu mengine.Nikashuka ndani ya gari ila Sheila akaniomba atangulie.Akaufungua mlango na kuanza kumuita mama ambaye niliisikia sauti yake akiitika.
"Ohoo karibu mwanangu"
Nikawachungulia ndani na kumuona Sheila akikumbatiana na mama.Nikaingia na kumfanya mama kunishangaa kwa muda huku akionekana kama kuto amini kwa kile anacho kiona mbele yake.Kwa Furaha mama akanikumbatia na sote machozi yakaanza kunimwagika.Mama akanikaribisha ndani huku akiwa na furaha kubwa
"Mwanangu Eddy ndio umevaa nini?"
Mama alinitazama kuanzia juu hadi chini na kumfanya Sheila kucheka
"Nimempisha pamba zangu zimemtoa chikopa kama nini?"
"Mwanangu ungekuwa mwanamke ungevutia kama nini"
"Mama.....!!"
"Ndio....ila ndio hivyo umezaliwa dume la mbegu"
Mama akatukaribisha mezani na kutakapa chakula cha usiku.Kutokana na mawazo mengi sikuweza kuzungumza sana na mama.Nikapanda gorofani kulala,nikajitupa kitandani ila usingizi haukunichukua kabisa.Tukio la uuwaji wangu wa kikatilii ulianza kunisumbua sana akilini mwangu.Taswira ya madam Mery ikaanza kukisumbua kichwa changu,Nikanyanyuka na kwenda cumbani kwa mama.Niifungua droo yake ambayo anahifadhia astola yeke.Kwa bahati nzuri nikaikuta.
Nikaitazama na kuikuta na risasi za kutosha,Nikafungua droo nyingine na kukuta pesa za kutosha,Nikachukua kibunda kimoja na sikujua idadi ya pesa iliyopo.Nikashusha pumzi vya kutosha,nikatoka chumbani kwa mama nikiwa ninakatiza kwenye kordo nikirudi chumbani kwangu nikayasikia mzungumzo ya mama na Sheila
"Wee unataka kuniambia kuwa mwangu amekuwa na roho mbaya kiasi hicho?"
"Ndio mama,Mbele ya macho yangu amemuua mwanaume mmoja ambaye anadai kuwa alimuulia mtoto wake"
"Mtoto?"
"Ndio mtoto ila sijajua huyo mtoto amezaa na mwanamke gani?"
"Ina maana Eddy alikuwa na manamke mwengine zaidi yako?"
"Ndio mama,Imeniuma sana mama yangu"
"Ila mama chonde chonde ninakuomba usimuambie Eddy chochote kwa maana,amekuwa kama mtu aliye changanyikiwa"
"NANI KACHANGANYIKIWA"
Nilishindwa kuvumilia ikanibudi nizungumze,taratibu nikiwa ninashuka kwenye ngazi na mkononi nikiwa nimeshika bastola na kuwafanya mama na Sheila kustuka

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(45)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
"NANI KACHANGANYIKIWA"
Nilishindwa kuvumilia ikanibudi nizungumze,taratibu nikiwa ninashuka kwenye ngazi na mkononi nikiwa nimeshika bastola na kuwafanya mama na Sheila kustuka

ENDELEA
Sheila kwa haraka akarudi nyuma ya mama na kujificha,Mama akanitazama kwa macho yaliyo jaa mshangao
"Eddy mwanangu unataka kufanya nini?"
"Nataka kujua huyu mwanamke kwa nini amesema kuwa mimi nimechanganyikiwa"
"Hujachanganyikiwa mwanangu,tulikuwa tunazungumza kuhusiana na baba yako mzee Godwin kwamba amechanganyikiwa"
"Mama na wewe unashiriki zambi ya uongo?"
"Kweli mwanangu,aliniambia kuwa amemuona sehemu fulani katikati ya jiji akiwa anaruka ruka"
Nikamtazama mama kisha nikakaa kwenye sofa na kuiweka bastola pembeni yangu.Sheila akabaki akinitazama huku akiwa hana la kuzungumza.Wote wakaka na kunitazama,ukimya ukatawala ndani ya dakika kadhaa mama akaamua kuuvunja ukimya.
"Eddy na hiyo bastola yangu unakwenda nayo wapi?"
"Kuna kazi ninataka kwenda kuifanya"
"Eddy mwanangu,hembu niambie ni nini tatizo linalo pelekea kuwa na roho kama hiyo kwa maana umerudi hujazungumza na mimi vitu vingi zaidi ya kwenda kulala?"
"Mama bado mimi nipo,tutazaungumza kila kitu"
"Sawa,ila kwanini ume......"
Nikauona mguu wa Rahma ukiukanyaga mguu wa mama na kumfanya asiimalizie sentesi yake.
"Kwa nini umekaa huko mbali pasipo kuwa kunijulisha?"
"Huyo hajakuambia?"
"Yeye atajuaje mtoto wa watu?"
"Ahaa mama hiyo mada tutazungumza kesh😵ya ninaomba funguo"
"Za nini?"
Sheila alizungumza kwa sauti ya upole na yenye unyeyekevu mkubwa
"Funguo za gari na nyumba yako."
Sheila akafungua pochi yake na kunipa.
"Mbona umevaa nguo hizo hizo ulizo kuja nazo?"
Nikajitazama kuanzia chini hadi juu,nikarudi chumbani kwangu na kuvaa nguo zangu vizuri,nikaichomeka bastola kiunoni mwangu na kuifunika na tisheti nyeusi niliyo ivaa,nikurudi sebleni.
"Wewe twende basi home"
Sheila akatazama na mama kisha akanitazama na mimi
"Mmmm nitalala na mama"
"Hutaki au?"
"Eddy muache mwenzako alale hapa,kwani huku kwake unakwenda kufanya nini?"
"Kulala"
Nikataka kutoka na mama akaniita
"Bastola yangu ipo wapi?"
"Nimeirudisha"
"Wapi?"
"Kwani mama ilikuwa wapi?"
"Basi baba nenda salama"
Nikatoka na kuufunga mlango vizuri.Nikasimama pembeni ya dirisha na kusikilizia ni nini mama na Sheila watakizungumza,kwa kupitia uwazi ulioachwa na dirisha nikawaona wakikaa kwenye sofa
"Mbona mwanangu amebadilika namna hii?"
"Mama wee acha tuu,Eddy mimi ninampenda ila kwa hapa alipo fikia ninamuogopa mama"
"Mmmm usimuogope"
"Mama Eddy kuna kipindi alipokuwa na hasira mimi nilikuwa nikimtuliza na kumsogelea,ila sasa hivi mmmmmm ni bora nimtoroke toroke hadi atakapo kaa sawa"
"Itabidi nitafute madaktari watakao muhudumia"
"Ni kweli mama,yaani mtu anazungumza kwa sauti nzito kama simba dume"
"Ila mwanangu huyu anaugonjwa wa asira,mimi wala simshangai sana kwani kuna kipindi akiwa mdogo alisha wahi kumuua mwenzake shule kwa kumpiga na chupa ya soda kichwani"
"Weeeee?"
"Ooohhh ilikuwa ni kesi kubwa kilicho muokoa ni udogo wake kwa alikuwa na miaka mitano"
"Mama ina maana Eddy kuua hakuanza leo?"
"Eddy mwangu akiwa na hasira si mtu wa kumsogelea,nilisha mpeleka hadi kwa wachungaji wamuombee ila wapii.Nilijaribu kutafuta wana saikology labda wakae nao ila imeshindikana.Kila dawa ambayo niliambiwa inafaa kwa kipindi hicho kuwa kama kitulizo cha ugonjwa wake ila wapi?"
"Mmmm"
"Yaani na haya matatizo yaliyo tokea hichi kipindi cha hivi karibuni naona pia yanachangia sana"
Nikataka kuondoka niwahi ninapotaka kwenda ila swali la Sheila likanifanya nipige hatua kadhaa kurudi dirishani
"Kweli mama,Hivi mzee Godwin yupo wapi?"
"Hadi leo sijamuona,Mimi mwenyewe ninafanya uchunguzi nije kumuona ila hadi sasa hivi sijapata jibu"
"Mama tutasaidiana katika hilo,yule mzee ni muuaji sana"
Sikuona haja ya kuendelea kusikiliza mazungumzo yao zaidi ya mimi kuondoka,Nikaingia ndani ya gari na mlinzi akanifungulia geti na kuondoka,Nikafika kwenye kituo cha kuongeza mafuta.Nikajaza tanki la gari na kulipa kiasi ambacho kimegharimu kiasi hicho cha mafuta.Njia nzima nikawa ninafikiria ni wapi alipo Mzee Godwin.Nikafika nyumbani kwa Sheila na kushuka kwenye gari na kufungua geti,nikaliingiza gari ndani na kufunga geti.Nikafungua ndani na kuchukua kirimoti cha kufungulia sehemu ya kuifadhia gari,Nikaingia na kuchukua turubai lenye mwili wa Derick ambao niliubanika vizuri
Nikauingiza ndani ya buti la gari na kulifunga vizuri,nikafunga kila sehemu kama nilivyo iacha,kabla sijatoka nikakumbuka simu ya Derick niliiacha sofa nikiwa nimeizima,Nikaingia ndani na kuichukua ila sikuiwasha,Nikafungua geti na kutoa gari.Nikarudi kulifunga na safari ya kuelekea Arusha ikaanza,Kutokana ni usiku sana hapana magari mengi zaidi ya maroli ya mizig ambayo yanakwenda kwa kasi na usipo kuwa makini utajikuta ukigongwa.Nikazidi kuongeza mwendo na kimoyo moyo nikawa na kazi ya kumuomba Mungu nisipate ajali kwani mwendo ninao tembea nao endapo nitakubwa hata na baiskeli basi kitakaocho endelea kwenye kuanguka nahisi kitakuwa ni kifo tu.Kwa hofu nikapunguza mwendo kutoka spidi 250 hadi mia moja japo gari bado ipo kwenye mwendo mkali sana.
Mwanga mkali wa gari linalokuja nyuma yangu ukaanza kuniumiza macho,Nikapunguza mwendo na kumuwashia taa nikimuashiria apite kwani sikuweza kuendesha kwa jinsi taa zake zinavyo niumiza macho kupitia vioo vya pembeni.Nikashuhudia gari aina ya ‘HAMMER' yenye rangi nyeusi na vioo vyake vyote vikiwa ni vyeusi na limefungwa likinipita,Haikuwa ni moja zikapita nyingine mbili zikiwa katika kwendo kama ilivyo gari ya kwanza
"Mmmmmm ni kina nani hawa?"
Nilijiuliza maswali,Na mimi nikaanza kuongeza mwendo wa gari langu.Jinsigari hizi zinavyozidi kwenda ndivyo nami nilivyodidi kuongeza mwendo,Nikaanza kuzikaribia kwa karibu.Nikawasha taa zote za gari langu ili na mimi nimtese dereva wa gari la nyuma.Nikashanga kuona gari mbili za nyuma zikitanda barabarani na kunizuia kupita.Nikaanza kupatwa na mashaka baada ya madereva hao kuanza mtindo wa kupunguza punguza mwendo gafla gafla na usipo kuwa makini unazigonga kwa nyuma.
Kwa mbele likawa linakuja lori ikatulazimu sote kubana upande mmoja kuliacha lipite na mchezo ukarudi na kuwa wa kuzuiana kupita.Hadi tunafika daraja la wami ndio gari hizo zikapunguza mwendo kulikwepa fuso lililo haribika pembezoni mwa barabara
Tukalimaliza daraja,nikaona jamaa wananichelewesha nikamuomba dereva wa nyuma kuweza kupita akaniruhusu,Nikiwa ninamaliza kuliacha gari la nyuma gari la pili kutoka mbele likatanda barabarani na kuongeza mwendo.Dereva wa gari la nyuma akaongeza kasi zaid na kutanda kwa nyuma wakawa wameniweka katikati.Kwenye kioo kidogo kilichopo pembeni ya mskani kwenye gari langu nikaanza kuwaka taa nyekundu na kutoa maandishi yaliyo andikwa kwa herufi kubwa.
{HABARI YAKO BWANA EDDY,GARI YAKO IPO KWENYE WAKATI MGUMU WA USALAMA.KAMA UNATAKA ULINZI MINYA HAPA AU UNAWEZA KUKATA}
Nikaminya sehemu yenye alama ya tiki(pato).Sikushangaa sana kwa maana hili gari aina ya BMW 007 limetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu na ninakumbuka Sheila aliniambia kwamba amepewa na Wamarekani weusi alio cheza nao filamu ya ngono.Gari ikaanza kurudi chini kidogo kisha vioo vyote kasoro cha mbele vikapitiwa na ukungu mweusi ambao sikujua ni wa nini.
Kwenye kioo kidogo nikaona gari la mbele na la nyuma,nikaonyeshwa jinsi zivyo ndani na idadi ya watu waliomo ndani wakiwa katika hali ya mifupa(mafuvu).Nikiwa ninashangaa shangaa nikastukia nikigongwa na gari ya nyuma na kunifanya nishindwe kulizuia gari na likamgonga gari la mbele.
Nikastukia kuona jamaa wawili kwenye gari la mbele wakichomoza kwenye vioo vya pembeni na kuanza kunishambulia kwa kutumia bunduki zao,Kitu kilicho nistaajabisha ni jinsi risasi hizo kushindwa kuingia ndani ya gari langu.Nikaanza kujiamini kuwa gari yangu imepata kweli ulizi,Nikakanyaga breki za gafla na kusababisha gari la nyuma kunigonga na kuanza kuzunguka barabarani kwa kasi na kuacha njia na kuvaamiti iliyopo pembezoni mwa barabara na kupinduka.Nikaachia breki na kulifukuzia gari la mbele ambalo kidogo liliniacha kutokana na mwendo wao wa kasi,Nikalisogelea kwa ukaribu,kila ninapo jaribu kulipita wananizuia.Nikaongeza mwendo,kutokana na gari yangu kuwa chini kidogo likaweza kupiga tairi za nyuma na kulifanya linyanyuke kidogo na dereva wake kushindwa kulimudu na kuanguka vibaya na kuanza kubingirika likiingia msituni.
Gari la mbele likapunguza mwendo na kutokana lipo mbali kidogo na mimi, likafunga breki za nguvu na kwa utaalamu mkubwa dereva wa gari hilo aliweza kuligeuza na likawa limegeuka nilipo mimi.Nikapunguza mwendo hadi nikasimama mita chache kutoka lilipo gari langu.Derevaa wa gari lililopo mbele yangu akaanza kuvuta mafuta huku akiganyaga breki na kuzifanya tairi za gari lake kuzunguka kwenye lami pasipo kwenda mbele na kuzifanya zitoe mlio fulani.Nikazima taa za gari langu na dereva akazima za kwake.Nikawasha za kwangu ila nikajikuta nikinshangaa dereva wa gari hilo kwani anafanana sana na Manka japo simuoni vizuri ndani ya gari hilo.Gafla nikalishuhudia roli linalo malizia kona iliyopo karibu na lilipo simama ‘Hammer',Sikujua kama dereva wa Hammer ninaye mfananisha na Manka kama ameliona lori hilo au la kwani anaendelea kuzifunga breki za gari lake katikati.Nikazisika honi za lori zikimuashiria dereva wa Hammer kuondoka barabarani,ndani ya sekunde kadhaa nikastukia kuona lori likiligonga kwa nyuma Hammer na kulisogeza pembeni ya barabara na lori likapita pasipo kusimama.
Ukimya ukatawala kesemu nzima,nikataka kuondoka ila nikataka kujua niliye muona ni Manka kweli au sio yeye.Nikalisimamisha gari pembeni,nikaichomoa bastola yangu,nikafungua mlango na kushuka ndani ya gari.Nikatazama pande zote za barabara hapakuwa na gari lolote linalo kuja.Nikaanza kutembea kwa mwendo wa tahadhari hadi sehemu lilipo anguka gari la watu ambao ninahisi sio watu wazuri.Nikalisogelea taratibu.Nikachunguza ndani na kumuona mtu moja aliye kaa pembezoni mwa dereva akiwa amekitwa na kisiki cha mti kwenye kichwa na amefariki hapo hapo,Siti za nyuma zilijaa maboksi makubwa na hapakuwa na mtu wa aina yoyote.Dereva wa gari ambaye ni mwanamke aliendelea kujitahidi kutoka ndani ya gari pasipo kugungua kama mimi nipo eneo hilo.Akasimama huku nywele zake nyingi zikiwa zimemfunika usoni mwake,akakutana na mdomo wabastola yangu.Akajiweka nywele vizuri na nikahakikisha ni Manka kwani akawa ni wakwanza kuliita jina langu
"Eddy"
"Naam"
Tukakosa cha kuzungumza,Uvaaji wa Manka unaashiria kuwa ni jambazi kwani kuanzia juu hadi chini amevaa nguo nyeusi tupu zinazo endana na nguo za jeshi.Mikono yake amevaa gloves nyeusi.Kifuani amejifunga jaketi la kuzuia risasi(bullet proof).Kiunoni mwake anabastola mbili zilizo chomekwa kwa kwenye kiuno
"Umeumia?"
"Hapana"
"Tuondoke"
"Hapana ngoja kuna kitu tusaidiane"
"Nini?"
"Kutatoa haya maboksi"
Sikutaka kuuliza yana nini zaidi ya kusaidiana kwa pamoja kuyatao maboksi mawili makubwa kiasi.Kwa uzuri yakaingia kwenye gari langu siti ya nyuma.Manka akachomoa bastola yake na akaifunga kiwambo cha kuzuia sauti na kuftatua risasi kazaa kwenye tanki la mafuta ya gari lao na likalipuka.Akaingia ndani ya gari langu na safari ikaendelea.Dakika kumi nzima ndani ya gari hakuna aliye msemesha mwenzake.
"Eddy usiku huu unakwenda wapi?"
"Arusha"
"Kuna nini?"
"Kuna ishu ninakwenda kufanya na wewe je?"
"Nitakuambia tukitulia"
"Boksi zina nini?"
"Pesa"
"Pesa.....!!?"
"Ndio"
"Za nani?"
"Ndio maana ninakuambia nitakuambia tukitulia"
Nikazidi kuongeza mwendo na ndani ya masaa mawili tukawa tumefika Arusha.Tukafika hadi kwenye mtaa wa wachaga na tukaingia kwenye moja ya nyumba iliyo tulia sana.Manka akashuka kwenye gari na kufungua geti na mimi nikaliingiza gari ndani akafunga huku akitazama pande zote kisha akalifunga geti.Akafungua mlango wa nyumba hiyo na tukayaingiza maboksi yote ndani.Tayari mwanga wa jua ulisha anza kuchomoza kwa mbali ikiashiria ni asubuhi
"Oya mimi ngoja nikapige mishe ninayo itaka kisha nitakustua"
Nilimuambia Manka ambaye alianza kukata biksi moja kwa kutumia kisu.Nikashuhudia vibunda vya elfu kumi kumi vikiwa vimejaa ndani ya boksi
"Nimeshatoka kimaisha mpenzi"
"Mmmm...."
Manka akanirushi kibunda kimoja cha pesa kuku vingine akivitoa na kuvirusha rusha juu kwa furaha.Manka akanifwata na kunikumbatia kwa furaha huku akinipiga mabusu mdomoni
"Eddy furaha yangu imekamilika sasa"
"Kwa nini?"
"Nina pesa na nimekupata wewe,nilikutafuta kwa siku nyingi mpenzi wangu"
Wazo la Manka kuwa ni dada yangu likanijia akilini mwangu.Nilipo kumbuka kuwa baba yake ni baba mkubwa nikakaa kimya pasipo kujibu chochote.
"Nikupeleke sehemu ambayo unataka kwenda?"
"Hapana"
"Twendwe wote bwana"
"Ila ubadilishe nguo zako"
"Unadhani sina akili,nilazima nibadilishe"
Manka akaniachia na kuingia kwenye moja ya chumba.Baada ya muda akatoka akiwa amejiremba na mtu unaweza kumsahau kama yeye ndie aliyekuwa akiliendesha gari la majambazi.Nikalitoa gari nje,akafunga geti lake,akaingia ndani ya gari nasafari ikaanza.Nikalisimamisha gari nje ya geti la madam Mery
"Hapa kama napajua?"
"Ni kwa mwalimu wangu mmoja"
"Namjua si yule Mery?"
"Ndio,ila nisaidie kitu"
"Kitu gani?"
"Ninaomba ukagonge"
"Alafu"
Nataka kuingiza gari humo ndani"
Manka akashuka kwenye gari na kuaza kugonga geti,dakika kama mbili gati likafunguliwa na Madam Mery.Wakasimuliana kwa furaha na madam Mery.Kutokana na kufunga vioo vya gari langu madam Mery hakuweza kuniona.Madam Mery akazungumza kidogo na Manka kisha akafungua geti na Manka akarudi ndani ya gari.Nikawasha gari na kuliingiza ndani.Manka akawa wa kwanza kushuka,nilipo hakikisha madam Mery amefunga geti na kuanza kwenda ndani kwake ndipo na mimi nikashuka.Madam Mery akastuka kuniona.Akataka kuingia ndani ila akakutana na John rafiki yangu akiwa amevaa kibukta akiwa tumbo wazi ikiashiria John na Madam Mery wanamahusiano ya kimapenzi.John akapigwa na bumbuazi kana kwamba anasubiria kupigwa picha ya mnato hii ni baada ya kuniona

ITAENDELEA
 
Duh!! This is the hottest......asante mwenye hadith hii na hongera sana kwa utunzi kabambe,loh! Na marafiki wote mliojitolea kuileta hadith hii bila ninyi hi story tusingeipata,ninyi wote ni muhimu kwetu,makosa yote yaliyojitokeza sameheni tusonge mbele na story yetu.
 
Duh!! This is the hottest......asante mwenye hadith hii na hongera sana kwa utunzi kabambe,loh! Na marafiki wote mliojitolea kuileta hadith hii bila ninyi hi story tusingeipata,ninyi wote ni muhimu kwetu,makosa yote yaliyojitokeza sameheni tusonge mbele na story yetu.
 
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah.....hapo ndipo pabaya....kila inapofika mwisho ndivyo inazid kunogaaaaaa..daaaah haya ngoja tuoneeeeeee
 
Aliyekwambia sisi tunamtafuta mwandishi ni nani?
Mbona unajichanganya ndugu, hapa tunachotaka ni hadithi, nani kaiandika sisi haituhusu

Mimi ndio mmiliki halali wa hiyo story, na sijajua chanzo cha kuifuta jina la muandishi ni nini?
 
*****SORY MADAM*****(46)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA
Madam Mery akastuka kuniona.Akataka kuingia ndani ila akakutana na John rafiki yangu akiwa amevaa kibukta akiwa tumbo wazi ikiashiria John na Madam Mery wanamahusiano ya kimapenzi.John akapigwa na bumbuazi kana kwamba anasubiria kupigwa picha ya mnato hii ni baada ya kuniona

ENDELEA
Sikuzungumza kitu cha aina yoyote zaidi ya kuzunguka nyuma ya gari,nikafungua buti ya gari na kutaka kulitoa turubai lenye mwili wa Derick,nikafikiri kwa muda kidogo kisha nikalifunga buti pasipo kulitoa turubai
"John niaje?"
"Ahaa....ahaa powa"
John alinijibu kwa kubabaika nikabaki nikitabasamua na kumfwata Manka sehemu alipo simama
"Jamani,hamutukaribishi ndani?"
Niliuliza na kumfanya madam mery kushtuka,akatabasabu kiwoga huku midomo yake ikitetemeka akishindwa hata kuzungumza anacho taka kukizungumza
"Nd...aaaniii kar..ibu....ni"
Manka akabaki akiwa anashangaa kwani hali ya kuzungumza kati ya Madam Mery na John zilibadilika kwa kiasi kikubwa.Madam Mery akaongoza msafara wa sisi kuingia ndani kwake,mtu wa mwisho kuingia ndani nikiwa ni mimi.Nikaufunga mlango na kwabahati nzuri nikakuta funguo ya mlango ikiwa inaning'inia mlangoni.Nilipo hakikisha nimeufunga mlango nikaidumbukiza fungoa mfukoni mwangu na kukaa kwenye moja ya sofa.
"Madma kwako kumebadilika"
Nilizungumza kinafki kwani hapakuwa na mabadiliko yoyote tangu nilivyo paacha siku ya mwisho ninapambana na muwe ndivyo nilipo pakuta.Kikubwa kilicho badililika ni vitambaa vya makochi ni meza mpya ya kioo
"John,masomo yanaendeleaje?"
"Masomo kidogo yapo vizuri"
John alizungumza kwa sauti ya unyonge nayaupole sana,huku sura yake ikiwa inatisama chini kwa aibu anashindwa hata kunitazama usoni
"Sasa,ndio munaingia kidato cha sita?"
"Ndio"
"Hongereni"
Wakati ninazungumza na John.Madam Mery na Manka walikaa kimya wakitusikiliza.Macho yangu nikayahamishia usoni mwa madam Mery ambaye naye hakutaka kabisa kunitazama usoni
"Wenyeji mbona mumepooza gafla?"
Manka alizungumza na kuwafanya John na madam Mery kunyanyua nyuso zao na wakazipamba kwa tabasamu ambalo kwangu ninajua ni tabasamu lililo jaa aibu na ninavyo hisi kila mmoja anaomba ardhi ipasuke na immeze
"Haaa sisi,tunazungumza"
Madam Mery alizungumza manene ambayo kama mtu mzima mwenye akili zake hawezi kuzungumza pumba kama hizi kwa maana kwa muda wote yupo kimya kama amejaza fumba la uji wa bada(uji wa unga wa miogo)
"Ngoja nikawaandalie hata chai wageni wangu"
Madam Mery alizungumza huku akinyanyuka.Nikamtazama na kutingisha kichwa nikiashiri nimekubali akafanye kazi hiyo.
"Manka yule ni rafiki yangu anaitwa John,John huyu ni Manka ni zaidi ya ndugu yangu"
"Nashukuru kwa kumfahamu"
Manka akanyanyuka na kumpa John mkono kama wa kusalimiana kwa mara nyingine tena
"Mimi ngoja niende msalani"
"Sawa"
Nikanyanyuka na kuondoka sebleni na kuwaacha Manka na John.Nikapitiliza moja kwa moja hadi jikoni na kumkuta Madam Mery akiwa ameuegemea ukuta,akionekana kuwa katika mawazo makali na mazito yanayo mfanya ashindwe hata kutazama maji yanayo mwagika kwenye jiko la gesi,baada ya kuchemka sana.Hadi ninazima jiko ndio madam Mery anastuka kutoka kwenye dimbwi la mawazo
"Unawaza nini?"
"Aahaa hakuna"
"Siku hizi unaniongopea hata mimi?"
"Eheee,"
"Ehee,unaisoma au unaiandika?"
"Tuachane kwanza na hayo,mume wako yupo?"
"Nimeachana naye?"
"Umeachana naye,kisa ni nini kilicho wafanya muachane?"
"Wee acha tuu.Ila kila kitu wewe unakijua?"
"Mimi,mbona kama sikumbuki?"
"Eddy usinikumbushe ya nyuma"
"Kweli? Ok labda nikutokana na kupoteza kwangu kumbukumbu"
Nilizungumza kwa sauti ya upole kwa kumtega Madam Mery.Ukimya wa dakika kama tatu ukapita huku kila mmoja akiwa atamtazama mwenzake
"Mery"
"Una nipenda?"
"Ehee?"
"Unanipenda?"
"Mimi?"
"Wewe,ndio?"
"Ndio"
"Kwa nini umeamua kutembea na rafiki yangu?"
"Ehee.....ahaaa uun....ajua"
"Najua nini?"
"Wewe.....wewe ulikuwa umepotelea wapi sijui?"
"Hujanijibu swali langu"
"Ahaa Eddy tuachane na hilo bwana"
"Sawa.Nataka kuliona kaburi la mwanangu"
"Eheee"
"Hivi hizo Eheee zako ni za nini,Mimi sizipendi bwana"
"Eddy,Sikumzika mwanao"
Nikakaa kimya nikimtazama ni nini anataka kuniambia
"Ila ile siku nilikuwa nimechanganyikiwaa,na nilipomuwahisha mfanyakazi hospitalini.Nilipo rudi nilikuta mbwa wanamalizia kumla mwanao,huku wewe ukiwa umelaa pembeni"
Nikamtazama Mery kwa macho makali yaliyo anza kuchuruzikwa na machozi ya uchungu
"Wewe ni mama wa aina gani,Hujui dhamani ya utu wa kiumbe ulicho kiweka tumboni miezi tisa.Unaacha kinaliwa na mbwaa?"
"Eddy nilichanganyikiwa,Niliucha mlango wa ndani wazi.Na mbwa ile siku msichana wa kazi aliwafungulia na siku zote mchana wanashinda kwenye banda lao"
"Merry nidanganye kwa kingine ila sio kwa hili"
"Eddy ni kweli.Hata mimi ninauchungu moyoni mwangu kuona kiumbe changu kina....."
Niliunyanyua mkono wangu kwa kasi na kutaka kumpiga madam Mery kofi la shavuni ila nikajizuia kabla halijatua shavuni mwake na kumfanya afumbe macho.Nikaushusha mkono wangu taratibu na kumtazama Madam Mery kwa macho makali nikaachia msunyo mkali,kabla sijazungumza kitu chochote Manka akaingia na akabaki akiwa anatutizama.Nikajifuta machozi na kutoka jikoni na kuwaacha wao wawili
"Naona umeamua kuniridhi kabla sijafa?"
Sauti yangu ilimstua John ambaye nimemkuta akiwa anapiga hatua za kunyata akielekea kwenye mlango wa kutokea huku nguo zake akiwa ameziweka begani
"Mbona unaondoka bila kuaga?"
John hakunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kubaki akiwa amesimama kama mlingoti wa bendera.Kwa ishara nikamnyooshea mkono arudi sehemu alipo kuwa amekaa.Akabaki akiwa amesiama asijue nini afanye,Nikaichomoa bastola kiunoni hapo ndipo nilipo mafanya John,kuanguka chini kama mzigo.Akajizoa zoa na kunipigia magoti
"Eddy....ni shetani amenipitia tu,ila sikukusudia mimi kulala na madam Mery"
John alizungumza huku akimwagikwa na machozi
"John,mimi sina ugomvi na wewe.Tutabaki kuwa marafika hadi mwisho wa maisha yetu.Hawa ni wanawake hawawezi kutugombanisha"
Maneno yangu yakamfanya John kuunyanyua uso wake na kunitazama machoni,akayashusha macho yake hadi shehemu ilipo bastola kisha akayarudisha macho yake usoni mwangu.Nikatambua kuwa anaihofia bastola niliyo ishika,Nikaichomeka bastola yangu kiunoni mwangu.Wasiwasi wa John kidogo ukapugua.Nikaunyuosha mkono wangu na kumpa John,akanipa na yeye mkono wake kisha nikamnyanyua na kumvuta juu na kukumbatiana naye.
"Eddy sijaamini ndugu yangu kama nitakuona tena"
"Hata mimi"
"Asante ka....."
Sikumpa John nafasi ya kuzungumza chochote,kigoti cha mguu wangu wa kulia kikatua tumboni mwake na kumfanya ajikunje na kutoa ukulele mkoali.Nikamsukuma pembeni kwa nguvu,kwa haraka nikamfwata na kuanza kumpiga mateke ya mbavu.
"HIVI UNAJUA UCHUNGU WA MWANAMKE ALIYE BEBA KIUMBE CHANGU?"
"JOHN UNANIJUA MIMI VIZURI,UNAJUA NI KITU GANI AMBACHO NINAKIFANYA KWA WALE WANAO JARIBU KUNIIBIA KITU CHOCHOTE KUTOKA KWANGU"
Nilizungumza kwa sauti ya juu huku nikiendelea kumpiga John mateke ya mbavu.Kelele za John zikawatoa kwa kasi jikoni Madam Mery na Manka
"Eddy mu......"
Manka alizungumza kabla hajaimalizia sentesi yake,niliichomoa bastola yangu na kumnyooshe na kusimama sehemu alipo.Madma Mery kwa haraka akarudi nyuma ya Manka na kujificha mgongoni mwake.
"Eddy kuwa mpole mpenzi wangu.Kwa nini unafanya hivyo?"
"Manka mimi sio mpenzi wako"
Manka akakaa kimya akinitazama kwa umaki akishindwa cha kuzungumza.Nikamtazma John ambaye amejikunja chini huku akilia.Nikairudisha bastola yangu kiunoni nikampiga John teke jengine la mbavu
"USIRUDIE"
Nikampa John mkono,akabaki akinitazama kwa woga.Nikainama na kuushika mkono wake kwa nguvu na kumyanyua na kumkumbatia
"Wanaume huwa ahtulii"
Nikamuachia John na kumkalisha kwenye sofa.Nikawageukia Manka na Madam Mery,tukatizamana kwa muda
"Mbwa wako wapo wapi?"
"Huko nyuma"
Nikatoa funguo na kufungua mlango na kutoka nje.Nikazunguka nyuma ya gari na kufungua biti ya gari na kutoa turubai lenye mwili wa Derick.Manka akatoka na kusimama mlangoni na akabaki akiwa amenitazama
"Umebeba nini?"
"Unataka kuona?"
"Ndio."
"Muite huyo mwenzako"
"Nani?'
"Huyo Mery"
Manka akamuita Madam Mery,Madam Mery akatoka akiwa katika hali ya kiunyonge
"Shosti umeniambia umbwa wako wapo wapi?"
"Huku nyuma"
"Nimewaletea chakula,twende basi ukanionyeshe"
Madam Mery akashuka kwenye kibaraza na kuongoza kwenda nyuma ya nyumba yake kwenye mabanda ya mbwa.Kwa uzuri wa yumba ya madam Mery imezungushiwa ukuta ulio mrefu na si rahisi kwa mtu wa nje kuweza kuona chochote kinacho endelea ndani.Nikakuta mabanda manne nyenye mbwa wengi wakubwa kwa haraka ninaweza kuwafananisha na mbwa wa jeshi la polisi kitengo cha kutuliza ghasia(F.F.U)
"Mbwa walio mla mwanagu ni wapi?"
"Hao kwenye hilo banda kubwa"
"Mbona una mbwa wengi hivi"
"Huwa ninawauzia wachina,mbwa mmoja naweza akafka hata dola elfu tatu"
Madam Mery alizungumza kwa sauti ya unyonge.Nikaliweka turubai chini kabla sijalifungua,Manka akaniita
"Eddy naomba funguo za gari,kuna kitu nataka nikachukue ndani ya gari"
Nikaanza kujipapasa mfukoni,wakati ninatoa funguo simu ya mume wa madam Mery ikaanguka.Manka akataka kuiokota ila nikamzuia,Nikamkabishi Manka funguo
"Hakikisha John aondoki"
"Sawa"
Manka akaondoka na kumfanya Madma Mery kubaki kimya akiitazama simu ya mume wake kwa umakini hadi sura yake ikatengeneza mikunjo.Nikaiokota simu na kumpa Madam Mery
"Naomba unishikie hii simu"
"Eddy,hii simu kama ya mume wangu?"
"Ahaaa...wewe si umesema umeachana naye?
"Ahaaaa eheeee"
Madam Mery akabaki akinitazama,Nikalifungua turubai,nikamtazama machoni madam Mery na akastuka kuona viungo vya mwili wa mtu kwenye turubai nililo lifungua.
"Mbwa yupi likuwa mmero kwa kumtafuna mwanangu?"
Madam Mery akabaki akiwa anashangaa shangaa,nikaokota kipande cha mkono na kukirushia ndani ya banda la mbwa wakakivamia na kukigombania kwa haraka na kuanza kukila
"Kwa msosi huu lazima mbwa mmoja utamuuza hata kwa dola elfu kumi"
Madam Mery akabaki akiwa ameuziba modomo wake kwa kiganja cha mkono wake wa kulia.Nikachukua vipande viwili na kuvidumbukiza kwenye banda
"Ed.....si ni mume wangu?"
"Shiiiii,mume wako yupi? Wewe si umeachana naye?"
"Eddy mtu wako nimemfunga kamba,nilimkuta anataka kukimbia"
Manka alizungumza huku akisimama na kujishika kiuno na macho yake yakiwa kwenye turubai
"Eddy si mwili wa mtu huo.....!!?"
Manka alizungumza kwa mshangao
"Kwani vipi?"
"Umeutoa wapi?"
"Wee acha tuu"
"Ni mume wangu"
Madam Mery alizungumza huku akikaa chini,Gafla akaanza kutapika baada ya kuona ninatoa kipande cha utumbo ulio kauka na kuingiza kwenye banda la mbwa.Nikavirusha vipande vyote vya mwili wa Derick kwenye mamanda yote ya mbwa.
"Hichi kichwa Madma utachemsha kama supu ya mbwa wako"
Manka akanitazama kuanzia chini hadi juu,Madam Mery akazidi kutapika.
"Eddy you're a Mouster"
Manka alizungumza huku akinitazama kwa macho makali.Akamnyanyua Madam Mery.Wakanza kuelekea ndani,Kichwa cha Derick nikakirudisha ndani ya turubai na kulibebe turubai langu na kulirudisha ndani ya buti la gari.Nikaingia sebleni na kumkuta madam Mery akiwa amelazwa kwenye sofa kubwa huku mwili mzima ukimtetemeka
"John yupo wapi?"
Nilimuuliza Manka,ila akakaa kimy akabaki akinitazama kwa hasira.
"Manka si ninaungumza na wewe?"
"Kamtazame huhko jikoni"
Nikaichukua simu ya Derick ambayo Madam Mery ameiweka pembeni ya sehemu aliyo lala
"Sory madam,nilifanya hivi kwa ajili ya damu yangu"
Nikaingia jikoni na kumkuta John akiwa amefungwa kama za mkono na miguuni huku amelazwa chini kifudifudi.Nikakaa pembeni yake
"John shule kunasemaje?"
Nilizungumza kwa dharua,huku taratibu nikimshika shika kichwa chake
"Eddy mbona umekuwa katili kiasi hichi,Unamtuma huyu mwanamke wako kunifunga hivi kama mwizi"
"Wewe unajionaje,Si ni mwizi.Laiti kama ungekuwa hujaniibia madam Mery haya yote yasinge tokea"
"Sawa Eddy,najua kama nimekuumiza ila si kunifanyia hivi.Laiti kama ungejua wema nilio kufanyia wala usinge nifanyia hivi"
"Wema gani?"
"Eddy mimi nimekufanyia mitiahani yako ya kuingia kidato cha sita na umefaulu vizuri"
"Kivipi,wakat wewe una mitihani yako?"
"Eddy mimi nilimuhonga mwalimu wa academy.Aliniruhusu nikufanyie mitihani.Sasa jana wakati ninakuja kumuuliza Madam Mery kuwa anataarifa yoyote kuhusiana na wewe ndipo alipo nishawishi hadi nikalala naye.Halikuwa kusudio langu mimi kufanya hivyo.Kwa bahati mbaya leo wewe ukaja na kutukuta katika mazingira kama hayo"
John alizungumza kwa upolenhadi roho ya huruma ikaanza kunijaa moyoni mwangu
"Eddy,wewe ni zaidi ya ndugu yangu.Kumbuka wapi tulipo toka.Kuanzia kidato cha kwanza tupo pamoja.Hadi sasa hivi,kwa nini lakini ndugu yangu"
"Ila John...wewe tangu kidato cha kwanza.Unajua jinsi nilivyo,mtu yoyote anaye jaribu kuniibia mimi kitu changu chochote nilazima akilipe kwa njia yoyote"
"Ndio ninalijua hili,Na madam aliniambia kitendo cha yeye kufanya hivi ni juzi,alimpigia mumuwe na akapokea mwanamke na akatukanwa sana ndio maana akaamu kunishawishi mimi"
"John....."
"Naam"
"Nakuomba unisamehe kaka"
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika
"Usijali kwa hilo kaka,ninatambua umefanya hivi kwa ajili ya hasira tuu"
"Ni kweli"
Nikaanza kumfungua John kama moja baada ya nyingine.Nikasimama na kumsaidia kumyanyua.
"Mbavu zinaniuma sana"
"Pole,nikupeleke hospitalini"
"Ahaa wee acha tuu nipo vizuri"
Jinsi John anavyo zungumza nilijihisi vibaya moyoni mwangu,nikaanza kujilaumu ni kwa nini nimempiga John pasipo kumuuliza chanzo cha yeye kunisaliti.Tukarudi sebleni na kumkuta madam Mery akiwa amelala na Manka akiwa pembeni yake.Manka akanyanyuka na kunishika mkono na tukatoka nje
"Eddy,japo mimi ni katili ila wewe umezidi"
"Manka naomba hiyo mada uiache"
"Eddy hata kama.Mwili wa binadamu mwenzako unaukausha kama nyama nya ng'ombe"
Nikaanza kumuadisia Manka kuanzia mwanzo wa ugomvi kati yangu mimi na Derick.Hadi ninamaliza kumuadisia Manka akabaki kimya.Tukakaa nyumbani wa Madam Mery hadi mida ya saa moja waote wanne tukapata chakula cha usiku kilicho pikwa na Manka japo Madam Mery anapata tabu sana ya kula.Mimi na John tukaondoka na kwenda shule nikiliacha gari la kwa Madam Mery.
"Leo kuna welcome form five"
Kawaida kwenye shule yetu kila wanafunzi wa kidato cha tano wanapo jiunga na shule yetu huwa hufanyiwa sherehe wiki tatu baada ya kujiunga na shule.Wezangu ambao nilipotezana nao kwa kipindi kidogo wakaonekana kunifurahia.Mida ya saa mbili tukaingia ukumbini huku nikiwa nimevaa swete lenye kofia.Tuliongozana wanafunzi wa kidato cha sita wapatao nane ila mwalimu ambaye machoni mwangu ni mpya akanisimamisha na kuwaacha wezangu kupita
"Vua kofia ya sweta"
Alizungumza kwa sauti ya ukali kidogo.Nikiwa ninavua kofia,mkuu wa shule ambaye tunawindana kama paka na panya naye akawa anaingia ndani ya ukumbi huku akiwa ameongozana na mkuu wa shule.Akabaki akinitazama kwa hasira na kuanza kupiga hatua za haraka kunifwa huku mikononi mwake akiwa amekunja ngumi

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(47)

AGE..........................................................18+
WRITER....................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Alizungumza kwa sauti ya ukali kidogo.Nikiwa ninavua kofia,mkuu wa shule ambaye tunawindana kama paka na panya naye akawa anaingia ndani ya ukumbi huku akiwa ameongozana na mkuu wa shule.Akabaki akinitazama kwa hasira na kuanza kupiga hatua za haraka kunifwa huku mikononi mwake akiwa amekunja ngumi

ENDELEA
Nikaanza kurudi nyuma huku nikimtazama mkuu wa shule,akazidi kuja kwa kasi ikanilazimu kusimama nikimtazama kwa umakini.Wanafunzi wote wakawa na hamu ya kuangalia ni nini ambacho atakifanya mkuu wa shule.Hatua chache kabla hajanifikia nikaifunua tisheti yangu sehemu ya kiunoni na kumuonyesha bastola niliyo ichomeka kiunoni.Kidogo akapunguza kasi hadi ananifikia munkari wote ulimuishia.
"Toka katika shule yangu"
Alizungumza huku meno yake ameyang'ata kwa hasira.Nikamtizama na macho makali na ukumbi mzima wa shule upo kimya hata kijiko kikianguka mlio wake utasikika vizuri.
"Sitoki"
Wanafunzi wote wakashangilia,mkuu wa shule akawatizama wanafunzi na wakakaa kimya
"Walinzi mupo wapi?"
Mkuu wa shule alizungumza kwa sauti kubwa,hapakuwa na mlinzi hata mmoja aliye nifwata kila mlinzi aliye niona kuwa ni mimi aliishia mlangoni na kusimama.Mmiliki wa shule akatufwata sehemu tulipo simama na mkuu wa shule
"Jamani,kuweni wapole.Mkuu unaniambisha bwana"
Mkuu wa shule akajifanya kama hamsikii muajiri wake,Kitu kinacho niumiza kichwa ni kwanini mkuu wa shule hadi leo yupo wakati amafanya mambo ya ajabu hadi muda huu hajachukuliwa hatua zozote.Akanisogea katibu yangu,nikastukia kibao kikali kikitua kwenye shavu langu.Nikataka kulipiza nikaisikia sauti ya John ikiniita jina langu na nilipo mtizama nikamkuta John akitingisha kichwa akiniashiria nisifanye chochote
Mkuu wa shule akanitandika kibao cha pili,Ila John akawa na kazi moja ya kuniomba hadi machozi yakawa yanamwagika,nisilipize chochote kwa mkuu wa shule.Machozi ya hasira yakaanza kunimwagika,huku kifua changu kikianza kutanuka kwa hasira kali,Akataka kunitandika kofi la tatu nikamdaka mkono wake.
"NITAKUUA"
Nilizungumza kwa sauti ya ukakamavu,huku macho yangu yakimtazama mkuu wa shule.Akajaribu kuuchomoa mkono wake kutoka kwenye mkono wangu ila akashindwa.John kwa haraka akaja na kuingia katikati yetu na kuniachanisha mkono wangu na mkuu wa shule na kunishika mkono na kuanza kunitoa nje
"Eddy achana naye huyo mzee"
Machozi yakazidi kunimwagika,pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote
"John niachie,tafadhali"
"Eddy siwezi kukuachia,nakujua.Tuliza kwanza hasira"
"John,yule mzee ananitafuta nini mimi?"
"Mpotezee bwana,hajui atendalo"
"John,mama yangu hata siku moja hajawahi kunizalilisha mbele ya watu kwa kunipiga.Sembuse yeye kikaragosi"
"Ndio,naelewa hilo Eddy ila punguza jazba"
Tukaingia kwenye moja ya darasa lililopo chini ya ukumbi kwani ukumbi upo gorofani.John akanikalisha kwenye moja ya kiti na yeye akakaa mbele yangu juu ya meza.Moyo na mwili wangu vyote vikawa vinajisikia vibaya sana kwa kitendo cha kuzalilishwa.Kwani katika maisha yangu tangu nikiwa mtoto sikupenda mtu kunizalilisha wala kunionea.Hata awe ni mkubwa vipi nilijitahidi kwa uwezo wangu wote kupambana naye hata akinipiga basi ipo siku nitamvizia hata kwa mawe nimpige,ndio maana hadi hapa nimekua bondia mzuri tuu.Nikaichomoa bastola yangu kwa haraka John akanibeta na kunipokonya
"Eddy,unataka kufanya nini?"
"Lete hiyo bastola"
"Ahaa Eddy sikupi"
John alikimbia nyuma ya darasa,huku bastola akiwa ameishika mkononi.Nikamtazama kwa macho makali sana yasiyo pepeseka hata kidogo.Kwa haraka nikatoka mlangoni na kumfungia John kwa nje.Nikakimbia na kuanza kupandisha ngazi za kuelekea kwenye ukumbi.Kitendo cha mguu wangu wa kwanza kukanyaga sakafu ya ukumbini nikatazama wapi alipo mkuu wa shule.Nikamuona akiwa amekaa kwenye meza ya wageni waalikwa akiwa katikati ya waalimu wengine na mmiliki wa shule.Kwa kasi ya ajabu nikakimbia hadi alipo kaa na kujirusha na sote wawili tukaanguka na kiti,mbaya zaidi yeye akangukia mgongo na kunipa mimi nafasi nzuri ya kumkalia kwenye kifua chake na kuanza kumshambulia kwa ngumi zisizi na idadi kwenye uso wake
Kelele za wanafunzi kushangilia zikazidi kuongezaka,Waalimu walio karibu yetu wakaanza kunivuta,kuniachanisha na mkuu wa shule.Wakanisimamisha na kunipeleka pembeni.Mkuu wa shule akasimaa huku akitaka kunifwata ila waalimu wezake wakanizuia.Ukumbi mzima wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita wakawa na kazi ya kunishangilia huku wakilitaja jina langu na kupiga makofi
"EDDY......EDDY........EDDY........EDDY"
Mkuu wa shule akawazidi nguvu,waalimu walio mshika na kuja kutuvaa na waalimu ambao wamenishika mimi.Sote tukaanguka chini,kabla mkuu wa shule hajafanya chochote nikamuwahi kumdaka shingo na kumpiga kabali.Akaanza kunishindilia ngumi za mbavu,nikamuachia shingo yake na kumsukuma pembeni na kunyanyuka juu kidogo.Akanyanyuka kwa kasi na kunifwata,kabla hajanifikia nikaruka juu kwa kutumia mguu wangu wa kulia,nikautulisha kwenye kifua chake na kumuangusha chini.Waalimu wakaendelea kutushika,kelele za wanafunzi wezangu zikazidi kuongezeka.Hata ambao wawanijui vuzuri,nao pia wakawa katika mkombo wa kushangilia
"Nitakuua wewe kijana"
Mkuu wa shule alizungumza huku akiwa ameshikwa na wezake kwa nguvu.Nikabaki nikitabasamu kwa dharau zaidi nikamnyooshea kidole cha kati kama tusi.Ndio nikawa nimemfungulia hasira zake zote.Akajibabadua mikononi mwa waalimu wengine na kunifwata.Nikasikia mwalimu mmoja aliye nishika akiwaambia wezeke
"Hembu muachieni tuone atakacho kifanya,Mzee mgomvi kama nini"
Wote walio nishika wakaniachia,ila wakawa wamechelewa kwani mkuu wa shule alishafika mbele yangu na kuachia ngumi nyingi zilizo nijia kwa kasi mwilini mwangu.Kikubwa cha kwanza nilicho jilinda nacho ni sura yangu,Mikono yangu ikawa na kazi ya kuzizuia ngumi hizo zisiingie sana kwenye mwili wangu.Jinsi ninavyoziuia ngumi zake ndivyo jinsi ninavyo mpata wakati mzuri way eye kuzirusha ngumi zake.Nikaona ni ujinga
"Bora ngumi kumi kuliko mia"
Ni usemi ambao Mzee Godwin kipindi alipo kuwa akinifundisha kupigana utotoni alipenda sana kuniambia,akimaanisha nibora kupigwa ngumi kumi kuliko ukazuia ngumi miamoja.Nikaanza kuiruhusu mikono yangu kufanya kazi ya kumshambulia mkuu wa shule.Kila ngumi ambayo niliirusha sikukosea sehemu ya kupiga,kila ambapo ninahitaji kupapiga ndipo nilipo papiga.Nikaanza kumuona mkuu wa shule akishinda kustahimili,Nikazidi kuongeza kasi ya mashambulizi,Ngumi kama nne zikatu sehemu za njuu kwenye jicho lake la kulia na kuifanya sehemu hiyo kuchanika na kutoa damu nyingi.Mkuu wa shule akaanza kuyumba yumba akionekana kuchanganyikiwa
Nikampiga mtama ulio muangusha chini,akajaribu kunyanyuka ila akshindwa.Nikataka kumkanyaka kifuani,kwa haraka akanyanyua mikono yake juu
"EDDY NISAMEHE,NIMEKUKUBALI"
Kauli yake ikasikiwa karibi na wanafunzi wote,ukumbi mmzima ukanyanyuka kwa furaha,Wanafunzi walio na simu ambazo haziruhusiwa shuleni ila kwa furaha wakazitoa na kuanza kupiga picha,huku wengine wakirekodi tukio zima.Walinzi wakamsimamisha mkuu wa shule na kumtoa nje ya ukumbi.Baadhi ya waalimu ambao wakikuwa wamenishika wakaanza kupiga makofi,ila mmiliki wa shule alipo watazama wakaacha mara moja na kujifanya wakiwanyamazisha kelele wanafunzi ambao hawakuacha kuficha furaha zao.Japo nimeumia baadhi ya sehemu katika mwili wangu ili nikabaki nikiwa nimesimama mbele ya wanafunzi wezangu huku nikiwa ninahema sana.Nikawanyamazisha wanafuni wezangu na wakakaa kimya wakisubiri nizungumze
"Rafiki zangu,ndugu zangu,nawashukuru sana kwa upendo wenu.Ninaimani kwa kitendo hichi nilicho kifanya,sizani kama sheria za shule zinaniruhusu mimi kuwa mwanafunzi halali wa hii shule"
"Nawatakia masomo mema na mungu awalinde"
Ukumbi mzima ukawa kimya,macho yangu yakawa na kazi ya kuwatizama wanafunzi wezangu.Kuna baadhi ya wasichana wa kidato changu wakashindwa kuyazuia machozi yao na kujikuta wakiwa wanamwagikwa na machozi.Mwalimu wa nizamu akanitazama kwa macho ya masikitiko kisha akawatazama wanafunzi wengine
"Wewe,wewe leteni simu zenu"
Mlwalimu wa nidhamu aliwanyooshea wanafunzi wawili walio zishika simu zao,wengine kwa haraka wakazificha.Wanafunzi walio itwa wakabaki wakimtazama mwalimu wa nizamu.
"Hamunisikii?"
"BOOOOOOOO"
Wanafunzi wote wakaanza kumzomea mwaliwa na nizamu,
"Tunataka haki zetuu...tunatakaaa hakizetu"
Wanafunzi mmoja alianza kuimba na wengine wakaitikia,sauti zikaendelea kurindima kwenye ukumbi,Sikujua ni haki gani ambayo wezangu wanaitaka.
"Waambie wezako wanyamaze bwana"
Mwalimu wa nizamu alizungumza kwa sauti ya kuninong'oneza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.Kwa jinsi ninavyo wajua wanafunzi wezangu,muda wowote anaweza kuanzisha fujo.Nikajaribu kuwanyamazisha na kweli wakanyamaza na kila mmoja nikamuomba kukaa kwenye kiti chake na wakatii
"Jamani,munataka nini?"
Niliwauliza na karibia kila mmoja akanyoosha kidole juu akiomba nafasi ya kuzungumza.Nikamchagua mwanafunzi mmoja akasimama na wengine wakakaa kimya
"Kaka Eddy kwanza hatumtaki mkuu wa shule"
"NDIOOOOOO"
Wakaitikia wote kwa furaha
"Pili tangu hii shule tumefungua,chakula tunacho kula ni kibovu,sio kama pale awali.Sasa hizo milioni mbili za ada kazi yake ni nini?"
"Semaaa babaaaa"
Msichana mmoja aliropoka kwa sauti ya juu
"Yangu ni hayo kaka"
Nikamchagua mwengine na akasimama
"Kaka Eddy kwa niaba ya wezangu,kwanza tunakuomba urudi shule.Pili tunakuteua kuwa kaka mkuu wa shule kuanzi sasa hivi"
Ukumbi mzima ukanyanyuka kwa furaha,Sikuamini na ukorofi wangu wote kama ipo siku nitakuja kukubalika shule nzima.Mwalimu wa nizamu akabaki kimya asijue nini cha kuzungumza
"Jamani asanyti kwa uchaguzi wenu.Ila swali langu ni Je nitaruhusiwa kurudi shule?"
"Ndiiooooo"
Lengo la swali langu,alijibu mwalimu wa nazamu ila nikashangaa wakijibu wanafunzi wezangu.Nikamgeukia mwalimu wa nazamu akabaki akiduwaa
"Ndio....ndio....ndio.....ndio"
Wanafunzi wezangu walipiga kelele za ‘NDIO'.Mwalimu wa nizamu akakubali kwa kunijibu Ndio
"Ila siku utakayo rudi uje na mzazi wako"
"Sawa"
Ratiba nzima ikavunjika,kama kaka mkuu mpya wa shule nikamuomba DJ kufungulia mziki na wanafunzi wakaanza kuserebuka.Furaha ikarudi moyoni mwangu,baadhi ya rafiki zangu wakanifwata na kunipongeza,Nikakumbuka kuwa John nimemfungia darasani.Nikaanza kushuka kwenye ngazi za kuelekea madarasani.
"Eddy...Eddy"
Nikasikia sauti ya kike ikiniita,nikageuka nyuma na kumkuta msichana mmoja ambaye sikuwahi kumuona siku hata mmoja ila sketi aliyo ivaa nikatambua watakuwa ni miongoni mwa wanafunzi wapya walio jiunga na kidata cha tano
"Samahani mwaya kaka Eddy"
"Bila samahani"
"Ninaitwa Hellen,najua utakuwa hunijui?"
"Ahaa umesha niambia jina lako,ndio nimesha kujua"
"Kweli kaka,nimeona nikikaa kimya pasipo kukupongeza nahisi leo nisinge lala vizuri"
"Kwa nini?"
"Ahaa sijawahi kuona mwanafunzi anaye jiamini kama wewe"
"Asante"
"Naweza kukupa zawadi?"
"Ndio"
Hellen akanifwata taratibu na kunibusu shavuni
"I LIKE YOU"
Alizungumza kwa sauti nyororo na taratibu akaondoka huku akinipiga busu la upepo(busu la mbali) huku akikichezesha kiganja chake cha mkono wa kulia akiashiria kuniaga.Nikaachana na Hellen na kufika katika mlango wa darasa nililo mfungia John.Nikaingia ndani na sikumkuta John,kabla sijatoka nikastukia meza iliyopo nyuma ya darasa ikianguka na John akasimama huku bastola akiwa ameielekezea kwangu
"EDDY NAKUUA,NALIPIZA KWA KILE ULICHO NIFANYIA LEO ASUBUHI"
John alizungumza huku akiwa anamaanisha kile anacho kizunguma kwani macho yake yamekuwa mekundu na machozi membaba yanachuruzika kwenye machavu yake na sura yake ikiwa imetawaliwa na mikonjo na tangu niwe na urafiki na John sikuwahi kumuona katika hali kama hii

ITAENDELEA
 
****SORY MADAM*****(48)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
"EDDY NAKUUA,NALIPIZA KWA KILE ULICHO NIFANYIA LEO ASUBUHI"
John alizungumza huku akiwa anamaanisha kile anacho kizunguma kwani macho yake yamekuwa mekundu na machozi membaba yanachuruzika kwenye machavu yake na sura yake ikiwa imetawaliwa na mikonjo na tangu niwe na urafiki na John sikuwahi kumuona katika hali kama hii

ENDELEA
Nikabaki nikimtazama John kwa macho yaliyo jaa mshangao mwingi.Nikajaribu kupiga hatua moja nyuma
"Ukisogea nakuchangua ubongo wako"
John alizungumza huku jasho likiwa linamwagika huku akitetemeka mwili mzima,nikameza fumba la mate ili kusawazisha koo langu kabla sijazungumza chochote
"John wewe leo hii ni wakunishikia mimi bastola?"
"I don't care"(Sijali)
"Even if,remember am your friend......Real friend"(Hata kama,kumbuka mimi ni rafiki yako.....tena rafiki yako wa kweli)
Nilizungumza kwa hisia kali,kwa sauti ya chini sana ya unyenyekevu,kwa mbali machozi yakinilenga lenga
"Eddy usiniigize mkanda wa kuigiza,wewe nikatili sana wewe ni muuaji,wewe ni hustahili kuishi kwenye hii dunia.Kumbuka ulimuacha yule dereva wa watu wa shule aliye pata ajali,alikufa mikononi mwangu,kisa ulikuwa unamuendekeza yule Malaya wako Salome"
John alizungumza kwa uchungu,huku sauti yake ikiwa imebadilika sana.Ucheshi wote ulimpotea
"John,kumbuka tumefanya mambo mengi.Kumbuka ‘O' level wewe uligongwa na nyoka tukiwa shamba la shule,Ni nani aliyekuwa wa kwanza kuyaokoa miasha yako"
Nilizidi kuzungumza kwa sauti ya upole sana kwani nikifanya ujinga wowote John anaweza akanifumua kichwa
"Hiyo sio kigezo Eddy,wewe sio rafiki wa kweli.Wewe ni muuaji Eddy"
Nikakosa cha kuzungumza,ikanilazimu nianze kutafuta njia nyingine ya kuepukana na tatizo lililopo mbele yangu.Nikaikazia macho bastola aliyo ishika John,nikavitazama vidole vyake nikagundua hakuna kidole hata kimoja kilicho ingia sehemu yenye traiga ya kufyatulia risasi,nikashusha pumzi nyingi na kutabasamu.Nikaanza kupiga hataa moja baada ya nyingine mbele huku nikiwa nimejiamini kupita maelezo
"Eddy ukinifwata nitakuua,ninakuapia haki ya Mungu"
John alizungumza kwa kubabaika,nikazidi kupiga hatua mbele zaidi huku macho yangu yakiwa kwenye vidole vya vilivyo ishika bastola.Hatua mbili kabla sijamfikia akakiingiza kidole kimoja kwenye sehemu yenye traiga ikanilazimu kusimama kama namba moja
"Eddy rudi nyuma,Moja........Eddy rudi nyuma,Mbili......"
Sikumpa nafasi John aendele na mchezo wake wa kunihesabia namba zake kama mtoto mdogo.Urefu wangu ukanisaidia kurusha teke lilikoupiga mkono wa John wenye bastola na ikaangukia pembeni kwenye meza na viti.John akataka kuikimbia bastola sehemu ilipo simama ila nikamuwahi kumshika shati lake na kumvuta nyuma hadi akaanguka chini.Nikaiwahi bastola na kitu cha kwanza nikaichomoa magazine na kuiweka mfukoni
John akanyanyuka na kunifwata kwa hasira hadi sehemu nilipo simama,akataka kunipiga ngumi,nikaikwepa na kurudi nyuma hatua haraka nne na kuacha umbali kidogo
"John usimtafute Mungu maneno"
Nilizungumza huku nikimtaza John machoni,hakunisemesha chochote zaidi ya kuendelea kuhema kwa hasira,Ili kuepusha mafarakano nikaanza kupiga hatua kuelekea mbele ya darasa kwenye mlango,Hellen akaingia akachungulia kwenye mlango
"Eddy nilikuwa ninak.......Eddy nyuma yakoo"
Nikageuka kwa haraka na kukutana na kiti alicho kirusha John,kwa juhudi zangu zote nikajitaidi kukikwepa kiti,ila nikawa nimechelewa na sehemu ya kuegemea kwenye kiti alicho kirusha John ikanipiga puani na kuniangusha chini.Kizunguzungu kikali kikanikamata huku damu zikaanza kunitoka puani.Nikajaribu kunyanyuka ila nikashtukia teke la kifua lililo nilaza chini
"Wee kaka,muachie mwenzako"
Hellen alizungumza huku akiwa amemshika mkono John,kofi zito likatua shavuni mwa Hellen na kumuangusha chini huku akito ukele mmoja tuu akatulia.John akanigeukia na kutaka kunivamia ila nikajitahidi hivyo hivyo kumpiga teke kwenye miguu yake na akaanguka chini.Nikajikaza kumtazama ila machoni mwangu ninaona vitu vya ajabu ajabu(mawenge mawenge) na kwambali ninaona vitu vilivyopo humu ndani ya darasa.John akaniwahi kunikalia kifuani na kanza kunitandika ngumi za uso nilizo zizuia kwa mikono yangu.
Nikauingiza mkono wangu mmoja ndani ya mfuko wenye magazine ya bastola na kuichomo,nikaishika vizuri na kumpiga nayo John ya kichwa na akaangukia pembeni.Sote tukabaki tukiwa tumelala huku mimi nikiwa ninatafuta chanel ya kichwa changu irudi vizuri kwani hadi sasa hivi inasoma no signal(hakuna mwasiliano).Nikaanza kujihisi vizuri kwa msaada wa ukuta nikaasimama huku ninayumba kama mlevi aliye pitisha kiwango cha ulevi.Nikatafuta kiti na meza,nikakaa huku kichwa changu nikiwa nimekilaza kwenye meza na damu za pua taratibu zikawa zinamalizikia kutoka.Nikashusha pumzi mara kadhaa na kusimama juu.
Nikamtazama John na kumuona akiwa anayafumbua fumbua macho yake,Hellen bado emejikunyata chini.Nikaiokota magazine na kuanza kuitafuta ilipo bastola.Nikaiona bastola na kuikota.Nikaichomeka magazine na kurudi kwenye kiti nilichokuwa nimekikaa na kusubiria John aamke.John akakaa kitako na kunitazama huku kwenye kichwa chake akivuja damu sehemu ya upande wa kichwa nilipo mpiga na magazine ya bastola
"John,ni nani aliye kuroga?"
John hakunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kuendelea kunitazama.Tukatazamana na John kama dakika mbili kisha nikacheka kichoko cha kejeli na kusimama na kumpita.Nikachuchumaa na kumtazama Hellen
"Hellen"
"Mmmm"
"Amka"
Hellen akainuka huku akiwa na mawenge mawenge
"Unajisikiaje?"
"Ehee"
"Unajisikiaje?"
"Mmmmm"
Nikajua bado Hellen anakiwewe,nikamnyanyua na kumkalisha kwenye kiti na kumtazama John ambaye alianza kulia pasipo kuwa na sababu ya msingi
"Hujaingia kwenye idadi ya watu ninao wachukia na usitake uingie kwenye idadi hiyo"
Nikafungua mlango wa darasa na kuondoka huku bastola nikiichomeka kiuoni na kuifunika na sweta nililo livaa,nikashusha ngazi za gorofa la shule na kueleka zangu nyumbani kwa madam Merry.Kabla sijafika nikakuta gari ya polisi ikiwa nje ya nyumba ya geti la madam Mery.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio,nikarudi nyuma na kutafuta sehemu yenye nyumba nikajibanza na kuangalia kitu kinacho endelea.Nikamuona Manka na Madam Merry wakiwa wanatoka kwenye geti wakiwa wanazungumza na askari mmoja.Wakasimama kwa muda nje huku wakizungumza na mimi
Askari akawaaga na akaingia kwenye gari na kuiwasha na kuondoka,nikawasubiri waingie ndani ya geti.Nikakimbia kwa kasi hadi kwenye geti na kulipiga kikumbo kabla Manka hajalifunga vizuri.Mstuko wa geti kufunguka ukamstua sana Manka na madam Mery.
"Yule ni nani?"
Wote wakaa kimya wakinishangaa kwani sweta zama limejaa damu
"Si ninawauliza nyinyi kenge,yule ni nani?"
"Mumekwenda kunistaki sio?"
Wakatazama,pasipo kunijibu swali langu.Nikichomoa bastola na kuwaishika mkono wa kushoto,kwani ni mkono wangu wenye nguvu kuliko mkono wa kilia.
"Eddy,sisi yule askari ni rafiki yetu tuu na naa......"
Manka alinijibu huku akipata kigugumizi cha hapa na pale
"Yaani wewe Manka leo hii ndio unaamua kwenda kunistaki polisi si ndio?"
"Hapana....yule ni naniliuuuu"
"Naniliuu nani?"
"Eddy mpenzi wangu ni....."
"Wewe Mery koma mimi sio mpenzi wangu.Manka tambua mimi ni ndugu yako,Baba yangu ni baba yako sasa wewe endelea ku........"
Nikasikia milio ya magari polisi kwa mbali kidogo ikionekana kuja ilipo nyumba ya madam Mery.Nikaacha mazungumzo na kwaharaka nikaingia ndani ya gari na kuliwa,Madam Mery na Manka wakakimbilia ndani.Nikakanyaga mafuta kwa nguvu huku nimekanyaga breki na kuyafanya matairi ya gari kusereleka chini,nikalitazama geti lililo jifungua kidogo,nikajifunga mkanda wa siti yangu ya dereva na kushusha pumzi nyingi zilizo changanyikana na vichembe chembe vya damu vilivyo toka puani mwangu.Nikaachia breki za gari na kulifanya liende kwa kasi na kugonga geti na kufumba na kufumbua nikajikuta nikiwa nje huku geti ni kiwa nimelivunja.Nikakanyaga breki galfa na kuifanya gari kuzunguka mzunguko mmoja katikati ya barabara,ulio ifanya gari ya polisi iliyo tangulia kupita kwa kasi.Gari ya pili ya polisi ikanikwepa na kwenye kuuvaa ukuta wa madam Mery.
Uzuri wa gari hili,unaweza kutumia mfumo wa ‘MANUEL' au ‘AUTOMATIC' katika uendeshaji wake.Nikabadilisha mfumo kutoka Automatic hadi Manuel ambayo inaniruhusu kuingiza gia mimi mwenyewe tofauti na automatic gia zinajiingiza zenyewe.Kwa kioo cha pembeni nikalishuhudi gari la polisi likikunja kona kwa bahati mbaya likazima na dereva akawa na kazi la kuliwasha
"Muombeni mkuu wenu awanununulie magari mapya"
Nilizungumza huku nikiiachia breki na kuondoka kwa kasi.Namba za mbele na nyuma ya gari langu nikazigeuza kwa kuminya kitufe kinachofanya kazi hii ya kuzibadilisha namba hizi za gari.Sikupanga kurudi Dar es Salaam leo ila ikanibidi kufanya hivyo kwani tayari Arusha nimesha haribu hali ya hewa.Nikafika Moshi na kuendelea na safari yangu,gafla nikaona gari mbili nyeusi zikinifwata kwa nyuma kwa mwendo wa kasi
"Nani hawa?"
Zikazidi kunifwata kwa kasi kubwa,kila ninapojaribu kuongeza mwendo ndivyo nazo zinavyozidi kuongeza mwendo,Hadi nanafika Usangi bado zikawa katika kunifukuzia kwa nyuma.Nikaanza kuchangayikiwa pale gari moja lilipo nikaribia kwa ukaribu sana na kuanza kunigonga kwa nyuma.Nikajitahidi kwa uwezo wangu wote katika uendesha gari na hadi hapa nilipo fikia kwenye mwendi kasi wa miambili na arobaini,pembeni kilipo kioo kidogo kikaanza kunionyeshea vipicha vya watu walio bebe jenaza na kunindikia maandishi ya kuniomba kupunguza mwendo.Katika kona zote nikawa na kazi ya kukanyaga breki kidogo na kukunja mskani wa gari langu kama ni kushoto au kulia
Jasho jingi la woga likazidi kunimwagika japo nimewasha AC(air condition) ambayo inanisaidia kunipepea ila haikufua jasho.Kwa mwendo ninao kwenda nao nimewaacha jamaa kwa umbali kidogo,ila nao bado wanakuja kwa kasi.Hadi ninafika Mombo bado jamaa wananifwata,Akili moja nikawa ninawaza niingie katika kituo cha polisi Mombo kujisalimisha.Ila akili nyingine ikanikataza kabisa kufanya maamuzi ya kijinga kama haya
"Nitakuwa mpumavu"
Nikaendelea kwenda kasi,hadi ninafika Korogwe jamaa bado wananifwata.Machozi yakaanza kunilenga lenga.Sikujua ni kwanini machozi yananilenga lenga.Mtu ukiziona gari zetu unaweza kusema ni mbio za mashindano ya magari
"Hizi sio gari za polisi."
Nilijisema kimoyo moyo huku nikiendelea kuzitazama kwenye kioo cha pembeni.Muda umeshatimu saa nane usiku,Nikafika segera na kunyoosha barabara ya kwenda Tanga bila kwasha taa ya pembeni inayo niashiria ninaingia wapi,nikakunja kwenye stendi mpya iliyopo hapa Segera na kuzifanya gari hizo zote kupita na ndipo nikagundua ni gari aina ya Range rover ndio maana mwendo wake ni mkubwa sana.Nikatokea upande wa pili wa stendi na kunyoosha barabara ya kweda Dar es Salaam.Nikazidi kukanyaga mafuta,nikaziona gari zilizo kuwa zikinifukuzia kwa nyuma zikija kwa kasi nyuma yangu
"Hawa ni kina nani?"
Nilizungumza kwa sauti ya juu.Nikazidi kuongeza mwendo ndivyo nazo zilivyo zidi kunifwata.Maeneo ya kabuki nikaliona gari kubwa aina ya Scania lilika mbele yangu kwa kasi huku limetanda barabarani.Nikabana upande wa kushoto niliopo ila dereva wa scania naye akabana nilipo,nikarudi kulia naye akanifatwa huko nilipo elekea huku akiniwashia taa zake zote.
Nikaachia msunyo mkali na kuirudiisha gari yangu upande wa kushoto nilipo toka na jamaa akanifwata nilipo,Sikuwa na budi zaidi ya kutoka nje ya barabara kuepika kugongana uso kwa uso na gari hilo.Gari ikaanza kunishinda nguvu badala ya kufunga breki kwa kuchangunyikiwa nikawa na kazi ya kuongeza kasi.Nikastukia gari ikaanza kupiaga kubingiria kwa kasi ya ajaba.Jinsi inavyobingiria ndivyo jinsi ninavyo jigonga ndani ya gari hadi giza jingi likayavaa macho yangu na kutulia kimya

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(49)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Nikaachia msunyo mkali na kuirudiisha gari yangu upande wa kushoto nilipo toka na jamaa akanifwata nilipo,Sikuwa na budi zaidi ya kutoka nje ya barabara kuepika kugongana uso kwa uso na gari hilo.Gari ikaanza kunishinda nguvu badala ya kufunga breki kwa kuchangunyikiwa nikawa na kazi ya kuongeza kasi.Nikastukia gari ikaanza kupiaga kubingiria kwa kasi ya ajaba.Jinsi inavyobingiria ndivyo jinsi ninavyo jigonga ndani ya gari hadi giza jingi likayavaa macho yangu na kutulia kimya

ENDELEA
Kwa mbali nikaanza kusikia milio ya ndege,nikajaribu kuyafumbua macho yangu ila kichwa changu nikakuta kinaniuma sana.Nikakajikaza sana na kuyafumbua macho yangu yakakutana na mwanga mkali wa juu unao ingi kwenye kioo cha mbele cha gari langu.Nikajaribu kujichunguza kwa umakini na kugundua mikono yangu imefungwa pamoja na mskani wa gari langu.Kila nanapovuta taswira ya sehemu nilipo,sijawahi kuiona siku hata moja.Miti mirefu iliyopo kwenye eneo zima lililo gari langu likazidia kunichanganya.
Baada ya muda kiogo nikastukia mlango ukifunguliwa na akasimama jamaa mwenye bunduki mbele yangu,huku akiwa amevalia mavazi meusi kuanzia juu hasi chini.Akanitazama kwa umakini kisha akaifungua mikono yangu na kunitoa ndani ya gari na kunitupa chini.Akaninyanyua na kuniweka begani,tukaanza kuondoka pasipo kuwezakujua ni wapi tunapo elekea,Hatua kadhaa mbele nikaona jumba kubwa lililo zungukwa na miti mingi ambayo kwa mbali huwezi kugundua kama kuna jumba kubwa kama hili
Tukaingia ndani na jamaa akanibwa mbele ya watu wapatao ishirini walio shika bunduki zao.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi baada ya macho yangu kutazamana na Mzee Godwin ambaya jicho lake moja ameliziba na kitambaa cheusi.Mzee Godwin akatabasamua na kumuamuru mtu aliye nilete katika sehemu hii kunifungua mikono yangu.
"Eddy.....Eddy......Eddy my X-Son"
Mzee Godwin alizungumza kwa dharau kubwa huku akinizunguaka taratibu katika sehmu ambayo nimesimama.Kila niliye jaribu kumtazama sura yake haikuonyesha huruma hata kidogo japo kuna wasichana watatu ila nao sura zao zinaonekana zimejaa ukatili mkubwa.Kitu mabacho kinaniumiza
"Usishangae sana kwa maana vita yangu mimi na wewe bado inaendelea"
Kwa haraka ninakumbuka kwamba huyu mzee niliambiwa kuwa amechanganyikiwa sasa sijajua imekuwaje hadi leo anamiliki kundi kubwa la watu kiasi hichi,Gafla mzee Godwin akanipiga mtama ulio niangusha chini vibaya sana na kunifanya niaanze kutoa miguno ya maumivu
"Wewe ndio,chanzo cha kuipoteza mali yangu.Wewe ndio mtu uliye mteka mwangua.Wewe sio mwanangu niambie yupo wapi mwanangu?"
Maswali ya Mzee Godwin yanakizidi kunichanganya kwani sikujua mwanaye anaye mzungumzia ambaye anadai nimemteka ni nani
"Mi...mi mbona sikuelewi?"
"Ahaa hunielewi?"
Mzee Godwin akanipiga teke la kifua na kunifanya nijikunje huku maumivu yakizidi kunitawala kwenye kifua changu.Machozi mengi yakaendelea kunitoka
"Ninakwenda kumuua mama yako?"
"Hapana baba.kumbuka kuwa mama ni mke wako wa ndoa.Mtu wa kuniua ni mimi hapa na wala si mama yangu.Nipo chini ya miguu yako"
Nilizungumaza huku nikiwa nimeishika miguu ya mzee Godwin,akarudi nyuma na kunipiga teke lililo ifanya mikono yangu kuuiachia miguu yake
"Yupo wapi,Manka mwanangu?"
"Manka,yupo Arusha"
"Arusha,Arusha.Ndipo ulip kwenda kumficha si ndio?"
"Hapana baba,mbona Manka yeye ndio aliye watoroka nyinyi?"
"Mimi sio baba yako na Manka mwangu hawezi kunikimbia mimi"
Mzee Godwin alizungumza kwa hasira huku akinitazama,Akamuomba mwenzake mmoja waya wa umeme ambao unene wake ni 1.5,Akaukunja mara mbili na kuanza kunichapa nao kwa fujo huku akinitukana mimi na mama yangu.Nikazidi kulia kwa uchungu mkubwa,maumivu mengi yakazidi kuusonga mwili wangu.Kila ninapojaribu kuizuia sehemu moja ya mwili wangu isichape basi sehemu nyingine ni lazima ichapwe kwa waya huu.Mzee Godwin bila ya huruma akachukua pakti mbili zenye unga mwekundu na kuanza kunimwagia mwilini mwangu,hapa ndipo nikagunda ni unga wa pilipili ndio anao nimwagia.
Mauimivu ninayo yapata hayana mfano,kikubwa ambacho ninakilinda ni macho yangu yasiingie pilipili hii.Mzee Godwin akawaamrisha watu wake wakamtafute Manka na kumleta hapa mara moja.Mimi wakaniburura na kuniingiaza kwenye chumba kimoja ambacho kina giza nene.Baada ya dakika kama mbili nikastukia taa tatu kubwa zikiwaka zenye mwanga mkali ambao ukaanza kuniungaza mwili wangu,jasho ambalo linanimwagika kutokana na mwanga mkali,likazidi kunichoma kwenye vidonda vyangu.Sehemu zote za majeraha ya mwili wangu,zikazidi kuniuma kiasi kwamba maumivu makali yakazidi kunitwala.Taa zikaendelea kuwa zaidi ya dakika kama kumi kisha zikazimwa.Nikabaki nikiwa nimekaa chini nimejikinyata mwili mzima huku nikiwa ninatetemeka kma nimepigwa na shoti
Nikaendelea kukaa ndani ya chumba kwa muda mrefu,sikujua jinsi masaa yanavyo kwenda,mlango ukafunguliwa na ikawasha taa ya kawaida,mbele yangu akasimama mwanamke mrefu mwenye mwili mmnene kiasi.Mikononi akiwa ameshika sahani yenye chakua kingi,akachuchumaa na kuniwekea
"Kama unaweza kula sawa,kama hutoweza kula acha"
Alizungumza na kutoka ndani ya chumba na kukifunga,nikaivuta sahani yenye chakula taratibu.Nikaanza kula wali uliopikwa vibaya kwani wala haukuiva vizuri,Sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kuula huku nikiwa nimejikaza.Mwili mzima unanitetemeka kwa maumivu makali,chakula kingi kinamwagika chini kutokana na mikono yangu kutetemeka sana kiasi kwamba hata kukishika chakula ninashindwa.Sikumaliza kukila chakula kutokana na kutetemeka sana mwili wangu,
Masaa yakazidi kwenda pasipo kujua nini muafaka wangu wa kukaa ndani ya hili jumba.Nikaanza kukichunguza chumba sehemu yote na kugundua kimefungwa taa nyingi zenye ukubwa mbali mbali,nyengine zinaukubwa kama taa zinazo fungwa kwenye viwanja vya mpira ndio maana zina mwanga mkali sana.Nikauchunguza mwili wangu na sehemu kubwa imeujeruhiwa.Nikiwa nimesimama nikastukia mlango ukifunguliwa,nikakaa kwa muda ila sikuona mtu akiingia ndani ya chumba.Taratibu nikaanza kupiga hatua za kwenda nje,nikachungulia wala sikumuona mtu wa aina yoyote.Nikapiga hatu na kwenda nje kabisa na sikuona mtu wa aina yoyote katika eneo hili
Nikazidi kwenda mbele na yumba nzima inavyumba vingi sana,nikaendelea kuchunguza hadi nikafika sebleni.Nikachungulia dirishani na kumuona mzee Godwin akiwa amesimama na watu wake wakilitazama gari linalo simama,baada ya gari kusimama wakashuka watu wawili walio valia mavazi meusi kish mmoja akafungua mlango wa nyuma akashuka Manka akiwa na Madam Mery.Mzee Godwin akamkumatia Manka kwa furaha ila Manka hakuonekana kuwa na furaha ya aina yoyote
"Mama yangu mbona huna furaha?"
"Baba kwa nini siku zote ulinificha?"
"Nilikuficha na nini mwanangu?"
"Baba kumbe Eddy ni ndugu yangu.Umecha hadi nimefanya naye vitendo vya ajabu nikidhani ni mtu wa kaiwada kama wengine"
Maneno ya Manka yakaibadilisha kabisa sura ya Mzee Godwin,akikunja kana kwamba amepigwa na mshale wa mgongo
"Ina maana Eddy amekubaka?"
"Sio amenibaka,Eddy alikuwa ni mpenzi wangu na hadi amenipatia ujauzito ila kwa bahati mbaya mimba ikatoka"
Mzee Godwin akajishika kichwa na kuzunguka mara mbili huku akisunya misunyo mkali
"Nitamuua Eddy leo mbele yako"
Mzee Godwin alizunguza na kuanza kupiga hatua za kuingilia kwenye mlango wa sebleni.Kabla sijafanya kitu chochote nikastukia nikishikwa kwa nyuma na kuzibwa mdomo
"Shiii"
Ilikuwa ni sauti ya kike,mwanamke aliye nishika kwa nyuma akaanza kunivuta kwa nyuma huku tukielekea gizani.Tukatokea upande wa pili wa nyumba kwenye miti mingi,ndipo nikagundua mtu aliye nishika ni yule dada aliyekuwa ameniletea chakula
"Kimbia kabla kifo hakija kukuta hapa"
Msichana alizungumza,huku akiwa amenitazama kwa macho makali,
"Asante"
"Amina ninaitwa"
"Eddy"
"Ninakujua,haya nenda"
Nikaanza kujikaza na kutokomea porini,Japo mara kwa mara ninaanguka ila nikazidi kujikaza na kwenda mbele,Giza likatawala anga na sikujua ni wapi nielekeaa,nikajiegemeza kwenye mti mmoja huku nikiwa ninahema sana kwani umbali nilio ukimbia ni mrefu sana.Nikiwa nimeegemea mti nikasikia milio ya mbwa kwa mbali.Nikatazama nilipo toka na kuona mianga mingi ambayo kwa muonekano ni mianga ya tochi na si watu wengine wanao nifwata ila ni Mzee Godwin na watu wake.Nguvu za mwili zimeniishia,nikaendelea kukimbia ila ikafikia sehemu nikashindwa kwenda mbela zaidi n kujikuta nikiangua chini na watu wa mzee Godwin wakazidi kunikaribia nilipo anguka,Nikasimama ila kabla sijapiga hatua hata moja nikastukia mbwa mmoja akinidaka mguu na kuniangusha tena chini

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(50)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Nikiwa nimeegemea mti nikasikia milio ya mbwa kwa mbali.Nikatazama nilipo toka na kuona mianga mingi ambayo kwa muonekano ni mianga ya tochi na si watu wengine wanao nifwata ila ni Mzee Godwin na watu wake.Nguvu za mwili zimeniishia,nikaendelea kukimbia ila ikafikia sehemu nikashindwa kwenda mbela zaidi n kujikuta nikiangua chini na watu wa mzee Godwin wakazidi kunikaribia nilipo anguka,Nikasimama ila kabla sijapiga hatua hata moja nikastukia mbwa mmoja akinidaka mguu na kuniangusha tena chini
ENDELEA
Kwa haraka nikaokota kigongo cha mti kilichopo karibu yangu, nikambamiza nacho mbwa cha kichwa na kumfanya atoe ukelele huku akiniachia mguu wangu.Nikarudia tena kumbamiza na kigongo kwa nguvu zangu zote hadi akalala chini na kutoa milio ya kuaga dunia, watu wa Mze Godwin hawakuwa mbali sana kutoka sehemu ambayo nipo, nikajikaza na kunyanyuka na kuendelea kukimbia kwa mwendo wa kuguchia kwani mwili mzima umejaa maumivu mengi yanayo nifanya nisikimbie sana.
"Mungu nisaidie"
Nimaneno ambayo hayakuacha kutoka kinywani mwangu, kila ninapozidi kwenda mbele ndivyo jinsi ninavyo choka.Milio ya risasi inayo tokea nyuma yangu ikazidi kunichanganya na kunifanya niaanze kwenda mbele.Mwanga wa mbala mwezi kiogo ukawa unanisaidia kuona mbele ninapo elekea, nikazidi kupanda mlima ambao unamajabali makubwa sana na yakutisha.Kwa haraka haraka kwa elimu yangu ya Jografia ambayo nimeisoma nikatambua sehemu hii nilipo itakuwa ni maeneo ya milima ya usambara, sema sehemu ndio siifaamu bado
Nikaingai kwenye moja ya jabali ambalo linashimo kubwa na kijibanza kwa ndani huku nikihema sana kwa huku woga mwingi ukiwa umenitawala.Mianga ya tochi ikazidi kunisogelea katika sehemu niliyo jificha, nikaendela kujibanza huku nimelala chini ndani ya chimo ili isiwe rahisi kwa wao kuweza kuniona.Nikawaona jamaa watatu wenye bunduki mkononi pamoja na tocho kubwa wakikipita nje ya jabali kubwa nililo jificha mimi.Wakapita na kuelekea mbele, nikawashuhudia watu wengi wanne wakiendela kutafuta kila sehemu
"Huyu jamaa, atauwa amekimbilia sehemu hii hii"
Jamaa mmoja alizungumza huku akiendelea kumulika mulika kwenye mawe mengine.Mmoja wao akasimama pembezoni mwa jabali nililopo mimi na kuanza kumulika mulika ndani na kunifanya nijibanze kwenye sehemu ambayo mwanga wake wa tochi hauta weza kunimulika.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi baada ya jamaa kuanza kupiga hatua za kuingia ndani ya jabali,Nikastuka baada ya kuona joka kubwa lililo jiviringisha na kukificha kichwa chake likiwa ndani ya jabali, hii ni baada ya jamaa kumulika mulika kwa tochi yake.Mwanga wa tochi ukaanza kulifanya joka hili kuanza kujichezesha chezesha huku likaanza kujiachia, nikashusha pumzi huku macho yangu yakilitazama joka na jamaa ambaye anatembea kwa mwendo wa kunyata akiingia ndani ya pango huku akiwa ameshika bastola na tochi kwenye mikono yake.
Nikaanza kuhesabu moja hadi tatu kimoyo moyo na kuchomoka kwa kasi na kumpiga kikumbo jamaa na kumfanya kutoa ukelele ambao ukasababisha joka lililomo ndani ya jabali kujifyatua mwili wake, nikawa ninazisikia kelele za jamaa akito maumivu makali kwa nyuma na mimi nikazidi kutokomea nisipo pajua.Milio mingi ya risasi nikaisiki sehemu nilipo tokea na kunifanya nizidi kukimbia, sikujua hata nguvu za kukimbia zimetokea wapi.Niasimama kwenye moja ya mti na kuinama huku mikono yangu ikiwa imeshika magoti yangu na kuhema sana
"Simama, na mikono juu, lasivyo nitakifumua kichwa chako"
Sauti kali ya mwanaume niliisikia nyuma yangu ikiniamrisha, sikuwa na jinsi zadi ya kusimama huku mikono nikiwa nimeinyanyua juu.Nikataka kugeuka
"Usigeke, pumbavu"
Nikabaki nikiwa nimesimama, nikisikilizia mtu huyo ataniamrisha nifanye kitu gani kingine.Nikastukia akinishika mikono yangu kwa nyuma na kuishusha chini,nikageuza shingo yangu kwa haraka na kukutana na watu wawili wa mzee Godwin, huku aliye nishika akinigunga pingu mikoni.
"Nimekwisha"
Nilijisemea kimoyo moyo,jamaa wakanichukua safari ya kurudi katika ngome ya siri ya mzee Godwin,baba aliye nilea kuanzia utotoni hadi hapa nilipo fikia na siku zote niliamini ni baba yangu kumbe sivyo kama nilivyo dhania.
"Jamani, semeni kiasi chochote cha pesa mimi nitawapa ili tu muniachie"
"Pumbavu wewe, hatuna haja na pesa yako.Sisi kazi yetu ni moja tu.Kukurudisha mikononi mwa mkuu wetuu"
"Sikilizeni, nyinyi ninwanaume wezangu,Jaribuni basi kuniurumia.Mimi ni sawasawa na mdogo wenu.Hembu pigeni picha nikienda kuuawa, nyinyi mutafaidika na nini?"
Nilizidi kuashawishi jamaa waweze kuniachia ila hakuna ambaye ananisikiliza.Hadi tunafika kwenye jumba la mzee Godwin hakuna hata mmoja aliye nikubaloa ombi langu.Tukaingia sebleni na kumkuta Mzee Godwin amekaa na Manka pamoja na watu wake wengine, Kitendo cha mimi kufikishwa sebleni kikamfanya mzee Godwin kusimama kwa haraka na kuichoma kiunoni bastola yake na kukoki kabla hajanipiga risasi Manka akamzuia
"Baba, unataka ufanye nini?"
"Acha nimuue mshenzi mkubwa huyu"
"Baba ninakuomba,usimuue Edd......"
Mzee Godwin akamtandika Manka kibao kilicho muangusha chini Manka,akaninyooshea bastola huku akiwa amenilenga kichwani
"Najua unataka kunai,Ila ninakuomba nizungumze kitu kimoja"
Nizungumza kwa sauti ya upole sana
"Nampenda sana mama yangu, yeye ndio kila kitu kwangu.Ninakuomba nitakapo kufa usimsumbue, najua kulea mtoto ambaye si wako ni kazi kubwa na mbaya zaidi ulikuwa unajua kama ni wako"
"Nipo tayari kufa, ila ninakufa kwa ajili ya mama yangu.Please dady don't hurt my mother"(..........tafadhali baba ninakuomba usimuumize mama yangu)
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika, sikuwa na ujanja wowote kwani sikujua ni jinsi gani ninaweza kujiokoa kutoka mikononi mwa Mzee Godwin
"Ila kumbuka baba, kumbuka baba yangu ni ndugu yako wa damu.Damu yake ni damu yako,iweje leo mimi niwe adui yako,iweje leo niwe kitu cha chuki,iweje leo mama yangu awe adui yako.Kumbuka alikuuinua kiuchumi.Kumbuka alikugharamia na kukutibu tatizo lako, ila vyote umeona hakuna kitu"
Nilizidi kuzungumza huku machozi yakiendelea kunimwangika, taratibu nikapiga magoti chini kisha nikainyoosha mikono yangu juu
"Unaweza kuniua ukihitaji"
Nilizungumza huku nikimtazama Mzee Godwin usoni, hakuonekana hata kuwa na lepe la huruma kwenye macho yake.Macho yangu nikayahamishia kwenye bastola yake na kukiangalia kidole chake kilicho ingia kwenye traiga kikianza kurudi nyuma taratibu,Gafla milipuko mkubwa nje ukasikika na kuwafanya watu wote tuliopo sebleni kulala chini.Risasi nyingi kutoka njee zikaanza kushambulia mlango wa kuingilia na kunifanya nitambae kutafuta sehemu ya kujificha nyuma ya soma ambalo halikubana ukutani.Watu wa mzee Godwin wakaanza kujipanga ndani na kuanza kujibu mashambulizi ya watu wanao fyatu risasi nje.
"Eddy"
Nilisikia sauti ya chini ikiniita pembeni yangu,nikatazama na kukutana na msichana aliye nifungualia mlango na kutoroka jana.
"Nifwate"
Nikatambaa kuelekea sehemu ambayo yupo pasipo watu wengine wote kuona kwani macho yao yote wameyaelekezea nje sehemu ambapo risasi zinatokea.Tukanyanyuka sote na kuanza kukimbia huku nikimfwata kwa nyuma.Tukazunguka hadi mbele ambapo risasi zinapigwa.Nikashangaa kukuta bunduki kubwa yenye kutumia risasi zilizo kwenye mkanda ikizipiga mlangoni huku sehemu yenye traiga ikiwa imefungwa na mpira,jambo linalo wazubaisha Mzee Godwin na watu wake wakidhania wanashambuliwa na maadui
"Usishangae mimi ndio nimefanya hivyo"
Alizungumza huku akinistua,akanirushia funguo za gari langu ambalo kidogo limebonyea sehemu za pembeni.Nikaingia ndani ya gari na kuichomeka funguo sehemu yake na kuliwasha, nikashusha pumzi na kumshukuru Mungu baada ya gari kuwaka bila ya matatizo.Ili nisitumie nguvu sana nikaibadilisha mfumo wa kuendesha na kuweka ‘automatic' na kuliondosha kwa kasi katika eneo la jumba hili
"Asante dada"
"Na wewe pia asante"
Sikujua asante yangu inatokana na nini, akawa na kazi ya kunielekeza njia za kupita na kusema kweli si rahisi sana kwa watu kugundua sehemu lilipo jumba la mzee Godwin kwa maana lipo kwenye mlima mkubwa ulio jaa miti mingi na hapana nyumba ya mwananchi wa aina yoyote ambaye yupo kwenye huu mlima.Nikaendele kuliendesha gari kwa umakini huku mara kwa mara nikitazama kupitia kioo cha pembeni kama kuna gari zinanifwata ila sikuona gari lolote
"Nilijaribu kuliwasha hili gari lako ila nikashindwa"
"Hili gari si rahisi kwa mtu kuliiba kwani namba za siri ninazijua mimi mwenyewe"
"Mimi ninaitwa Dorecy"
"Ninashukuru kukufahamu"
"Kusha kusoto kwani mbele kuna geti na kuna watu ninaamini watakuwa wanatusubiria"
Nikakanyaga breki kidogo na kukunja kushoto nilipo elekezwa na kuiacha njia ambayo niyakunyoosha,
"Huku twende taratibu taratibu kwa maana kuna kona nyingi sana"
"Sawa"
Nika ninakwenda kwa mwendo wa kawaida ambao hata nikikutana na kona ya gafla niweze kukunja isitoshe sehemu ya upane wa pili wa barabara kuna korongo kubwa kwenda chini na laiti kama mtu unaanguka ni lazima ukafie chini huko kwani kuna mimawe mingi iliyo chongoka.
"Eddy simamisha gari"
Nikafanaya kama Dorecy alivyo niambia, akachomoa bastoa mbili kwenye mifuko ya suruali yake nyeusi aliyo ivaa na kunikabidhi moja.
"Unaweza kutumia?"
"Ndio"
Macho yate yakawa na kazi ya kutazama sehemu za juu kwenye milima ambayo kwa chini tunapita na gari.
"Endesha taratibu"
Nikafanya kama Dorecy anavyo niagiza,gafla tukaiona gari moja mbele yetu, aina ya pick up ikiwa na watu wenye bunduki zao huku mmoja wao akiwa ameshika bomo aina ya rocket ambalo upigaji wake analiweka begani na kulifyatulia.Sote tukafunga breki za magari yetu na majamaa wakaanza kushuka huku mwenye bomo akiwa ametuelekezea kwetu akijiandaa kutufyatulia
ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(51)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA
Nikafanya kama Dorecy anavyo niagiza, gafla tukaiona gari moja mbele yetu, aina ya pick up ikiwa na watu wenye bunduki zao huku mmoja wao akiwa ameshika bomo aina ya rocket ambalo upigaji wake analiweka begani na kulifyatulia.Sote tukafunga breki za magari yetu na majamaa wakaanza kushuka huku mwenye bomo akiwa ametuelekezea kwetu akijiandaa kutufyatulia

ENDELEA
Mach yangu yangu yakawatazama jamaa walio shika bunduki mikononi mwao, wote wanaonekana wapo makini katika kutushambuli sisi.Kwa kupitia kioo pembeni, nikaangalia nyuma na kuona kuna kona ambayo ipo karibu na sehemu tulipo simama, Nikakanyaga mafuta na gari kuanza kuirudisha nyuma kwa kasi kubwa, jamaa wakaana kutushambulia kwa risasi ambazo kwa bahati nzuri hazikuingia kwenye gari, Kitendo cha kukunja tu, bomo alilo lifyatua jamaa likapita mita chache kutoka sehemu gari letu lilipo na kwenda kugongwa kwenye miamba na kusababisha mlipuko mkubwa na mawe yakaziba barabara kwa nyuma na kushindwa kurudi nyuma.
Nikafunga breki na kulisimisha gari, sote tuakashuka kwenye gari huku bastola zetu zikiwa mikononi,Tukaifungua milango ya gari na kujificha nyuma ya milango kwani uzuri wake haipitishi risasi.Bastola zetu zikawa zimeelekea kwenye kona ambapo tunatarajia majambazi kutokea.Ukimya wa kama dakika tatu ukatawala, hatukuona watu ambao wanajitokeza kwenye kona, nikataka kunyanyuka
"Eddy kaa chini"
Dorecy alizungumza kwa sauti ya ukali, nikatii kwa haraka na risasi ikapiga kwenye kioo cha gari katika mlango ambao nipo mimi.Dorecy akaanza kufyatua risasi zilizo elekea walipo majambazi, kila risasi ambayo ninaipiga mimi haikumpata mtu yoyote zaidi ya kupiga pembeni, hata kama mtu nimemlenga vizuri ila haikumpata
"Nakosea wapi?"
Nilizungumza kwa sauti ya juu
"Kaza mkono"
Dorecy alizungumza, huku akiendelea kufyatua risasi kwa majambazi ambao wanatoa vilio vya maumivu kila aliye pigwa na risasi.Nikaingia ndani ya mlango na kuufunga mlango wa upande ambao nipo
"Unafanya nini?"
"Ngoja nikuonyeshe"
Nikaiwasha gari na screen(kioo), kilichopo pembeni yangu kikawaka na kuniandikia maneno yaiyo nichosha
‘SYSTEM WEAPON EMPTY' ikimaanisha hakuna silaha yoyote inayoweza kufanya kazi kwani zimeisha.
"Shitiii"
Nilizungumza huku nikiupiga mskani kwa kitako cha bastola
"Vipi?"
"Kuna, ishu nilikuwa ninaicheki kwenye hii gari.Imeisha"
"Ni nini?"
"Silaha, naomba hilo jaketi lako la kuzuia risasi"
Dorecy alinitazama kwa muda kisha akavua bullet proof yake na kunirushia upande niliopo, nilalivaa vizuri na mara nyingi nilikuwa nikimuona mzee Godwin akilivaa jinsi nilivyo livaa nikiwa mtoto mdogo.Kwani kuna siku nyumbani tulivamiwa na majambazia nyumbani, akatuvalisha sote kisha yeye alielekea kupambana nao na siri moja aliyo niambia ni kwamba jaketi hili linamionzi ambayo hata ukiwa umelengwa kupigwa risasi ya kichwa basi inaivuta na kukimbilia kifuani.
"Vipi huku, mbele mimi ngoja nipande hapo juu"
Nilimuambia Dorecy, nikapanda kwenye gemo ambalo lipo pembeni yetu, nikapanda hadi pasipo majambazi kuniona, nikatafuta sehemu nzuri ya kusimama ambayo nikawa ninawaona kwa chini, nikawahesabu kwa haraka na kuwaona wakiwa wamebaki wanne wamejibanza kwenye gari lao wakimsubiria Dorecy kujitokeza, Dorecy naye akawa amejibanza kwenye gari akiwasubiri wajitokeze
Nikaishika bastola vizuri, nikafumba jicho langu moja huku nikiitazama sehemu yenye mfuniko wa tanki la mafuta kwenye gari, nikameza mate mengi kisha nikafyatua risasi tatu mfululizo huku nikiwa nimeikaza mikono yangu, risasi mbili zikapiga pembeni, jambo lililo wachanganya jamaa.Risasi ya tatu ikapiga kwenye Tanki la mafuta na kulifanya gari kulipuka, huku likinyanyuliwa juu na jamaa wote wakarushwa pembeni.Hadi gari linatua chini milango na matairi yake yalichanguka vibaya.
Nikashuka kwenye gemo kupitia njia niliyo pandia na kumkuta Dorecy akiwa bado ameshika bastola yake akiielekezea walipo majambazi, nikatembea kwa mwendo wa tahadhari hadi ilipo gari ya majambazi, nikaanza kuhakikisha jambazi mmoja baada ya mwengine kama amekufa, ambaye ninamkuta kwenye hatua za mwisho za maisha yake nilampiga risasi ya kumsindikiza kuzimu
Nikageuka nyuma na kumkuta Dorecy akiwa ananitazama kwa macho ya mshangao, kwani haamini kama nitaweza kuwapiga risasi wezake ambao amewasaliti, nikarudi lilipo gari na kuingia, nikaliwasha hadi sehemu alipo, akafungua mlango na kuingia.Nilalipitisha pembeni gari langu taratibu kulikwepa gari linalo teketea na kuandelea na safari.Dorecy akaendelea kunielekeza njia hadi tukatokea barabara inayotokea Tanga kuelekea Moshi
"Eddy, ulisha wahi kuua?" Dorecy aliniuliza
"Swali gani sasa hilo?"
"Hapana, kwa mtu ambaye hazifanyi hizi kazi hawezi kuwa kufanya kama ulivyo fanya wewe"
"Nimefanyaje?"
"Ulivyo wapiga wale, risasi waliokuwa wakikaribia kufa"
"Kawaida"
Nilimjibu huku nikendelea kuendesha gari kwa umakini, macho yangu yote yakawa ni barabarani kuangali kama polisi wa usalama barabarani wapo au hakuna.Tukaingia kwenye Motel iitwayo Mombo Motel iliyopo kwenye barabara ya Mombo
"Una pesa?"
Nilimuuliza Dorecy
"Ndio"
"Kachukue chakula basi"
"Utakula nini?"
"Bufee,nyama chukua na soda za take way"
Dorecy akalivua shati lake na kubaki na vest ya kiume, akaziweka vizuri nywele zake ndefu, akaichomeka bastola yake kwenye buti la jeshi, mguu wa kulia na kushuka ndani ya gari.Kwa kupitia kioo cha pembeni nikawaona askari wa usalala barabarani, wakiingia kwenye geti la Motel wakiwa na pikipiki.Wakaisimamisha pikipiki nyuma ya gari langu na kunifanya nianze kupata wasiwasi, kwani sihitaji kumwaga damu tena katika eneo hili.Mmoja akaanza kulitazama gari langu vizuri, akaanza kulizunguka taratibu huku akilitazama kadi zake za usajili zilizo bandikwa kwenye kii cha mbele
"Anataka nini huyu?"
Nilijizungumzia kimya kimya, akanionyesha ishara ya kufungua kioo cha gari langu, akanitazama kwa sekunde kadhaa
"Habari yako afande?" Nilianza kumsalimia
"Salama, gari yako ilipata nini?"
"Kivipi?"
"Imebonyea pembeni huku?"
"Ilipata ajali, afande"
Nilizungumza huku mkono wangu wa kulia ukiwa umeishika bastola, huku nikiwa nimeficha pembeni ya siti yangu
"Unatakiwa ukaiyooshe, kwa maana gari ya kifahari inakuwa haileti picha nzuri"
"Sawa Afande"
"Insuarence yako nayo ipo katika siku za ukingoni"
"Yote nitayafanya, nikifika ikulu"
Niliingiza swala la ikulu kwa maana askari, anahisi kama mimi ni miongoni mwa askari, hii nikutoka na bullet proof niliyo ivaa
"Ahaaa, upo ikulu wewe?"
"Yaaa"
"Wezetu nyinyi wa ikulu muna kula kula pesa"
"Tunakua pesa wapi kaka, kazi nyingi kama hizi unazo ziona"
"Ila si kwa kila kazi unapata mkwanja mrefu?"
"Inategemea, na kazi"
"Ahaa sisi wa barabarani huku ni shida"
"Shida gani?"
"Ahaaa, madereva wenyewe wabishi kama nini"
"Wabaneni"
Nilizungumza huku nikijiamini sana, kwani tayari nimesha muingiza choo cha kike huyu askari.Dorecy baada ya kuwaona askari akastuka, ila akajikaza na kwajinsi alivyo vaa askari ninaye zungumza naye akazidi kuamini kuwa sisi ni askari kutoka ikulu.
"Habari yako, Afande?"
Dorecy alimsalimia askari
"Salama tuu, jamani ngoja niwaache muende"
"Asante afande kwa muda wako"
"Ila kaka kama kukiwa na nafasi basi, huko ikulu tukumukane"
"Usijali kaka yangu"
"Naomba namba yako ya simu"
"Nitajie yako kwa maana ninabadilisha badilisha namba za simu, si unajua kazi zetu hizi"
Askari akanitajia namba yake ya simu, tukaagana naye na kuondoka bila ya wao kutustukia juu ya kitu chochote
"Eddy, nimesikia ikulu?"
"Ahaaa mzembe yule, Alivyo niona nimevaa hivi akazani mimi ni askari"
Dorecy akaanza kucheka sana,
"Eddy your geniuse boy"
"Kwa nini?"
"Umemtekaje tekaje hadi kakuamini?"
"Njaa zake tuu yule, nahisi"
Safari ikaendela kwa mwendo wa kawaida, hadi tunafika Korogwe akawa ememalia kula, nikasimamisha gari pembeni na kumpisha Dorecy upande wangu wa dereva kisha mimi nikakaa upende alio kuwepo na kuanza kula.
"Eddy, tunaelekea Dar au wapi?"
"Dar"
"Unajua mimi sio mwenyeji wa Dar"
"Wewe ni mtu wapi?"
"Kagera na nimwanajeshi, ambaye nilikuwa upande wa baba yako.Alitushawishi hadi tukawa tunafanya kazi zake isitoshe yeye ni mkubwa hatukuwa na kauli juu ya hili, ndio maana ikafikia kipindi nikaamua kuwasaliti, niachane na kazi zake"
"Kwani, mulikuwa munafanya kazi gani?"
"Kazi nyingi tu za kigaidi, hadi kazi ile ya kukuteka wewe, mimi ndio nilikuwa muendeshaji wa gari la mbele"
"Wewe ndio ulikuwa kihere here sana kwenye kunimulika mataa"
"Ahaa tutafanyaje sasa, wakati bosi ndio kashasema"
"Na ile siku niliwapeleka"
"Ahaa wee acha tuu, nilikuwa ninaendesha gari hadi mikono inaniuma"
"Sasa, mulijuaje kuwa ninarudi?"
"Unajua ilikuje, mzee alimpigiwa simu na askari ambao, sijui walikuwa wanakukimbiza Arusha.Sasa, wale askari walikuwa wanataka kukufukuzia, ila mzee akasema wamuachie kazi yeye.Ndio maana ulistukiza gari zikiwa zinakufwata tuu"
"Mmmmm....."
"Yaani hapa umeichokoza vita, na mzee wako anamkono mrefu sana"
"Mungu bariki nitayashinda"
"Yaa, kikubwa ni kupambana hadi dakika ya mwisho.Fungua hapo kuna bastola yako"
Nikafungua kwenye sehemu ya kuhifadhia vitu iliyopo mbele kwenye siti niliyo kaa, nikaikuta bastola ya mama
"Niliiweka, mimi hapo"
"Asante"
Hadi tunaingia Dar es Salaam, hatukupata tatizo la kusimamishwa na askari yoyote njiani, moja kwa moja tukaelekea nyumbani.Hadi tunafika nyumbani ilishatimu saa kumi na moja jioni, Dorecy akasimamisha gari sehemu ya magesho ya magari baada ya geti kufunguliwa.
"Karibu ndani"
"Asante"
Tukaingia ndani na Dorecy, sikumkuta mtu yoyote ndani, nikatoka na kwenda gaetini na kumuuliza mlinzi
"Mama yupo wapi?"
"Ni siku ya pili tangu aondoke jana na yule sister hajarudi"
"Sister gani?"
"Yule uliye kuja naye,majuzi"
"Sheila?"
"Ndio"
"Powa"
Nikarudi ndani na kuchukua simu ya mezani na kumpigia mama simu, ikaita kwa muda kisha ikapokea
"Mama upo wapi?"
"Eddy.....Eddy.Umecheza pata potea"
Niliisikia sauti ya Mzee Godwin ikizungumza kwa dharau huku akicheka,Wasiwasi ukaanza kunivaa
"Yupo wapi mama yangu?"
Nilizungumza kwa sauti ya ukali
"Mama yako ame reast in peace"(.......amepumzika kwa amani)
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio, huku jasho jingi likimwagika midhili ya maji, Dorecy akasimama kwenye sofa na kunifwata sehemu nilipo, akanipokonya simu na kuishika mkononi
"Haloo.....Eddy........ulisema ufe wewe, kwa ajili ya mama yako.Ila kwa bahati mbaya mama yako ndio hivyo amesha tangulia mbele za haki"
Sauti ya Mzee Godwin iliendelea kusikika kwenye simu akizungumza kwa sauti iliyo jaa dharau
"Do you know, who will be the next to die?"(Je una unajua, ni nani atafwata kufa?)
"Hhahaahaaaa is your Sheila, na leo nimepata tunda lake kwa mara nyingine tena, Yupo so mwaaaaaaaaaa"(Hhahaahaaaa ni Sheila wako, ........)
"Enjoy your day, mr Eddy"(Furahia siku yako, bwana Eddy)
Simu ikakatwa, nikashindwa kuyazuia machozi yangu, kwa mara nyingine Mzee Godwin anawateka watu wangu wa karibu.Dorecy akanishika mkono na kunikalisha kwenye sofa, hasira taratibu ikaanza kupanda na kujikuta mwili wangu wote, ukianza kunitete, Dorecy akanitazama kwenye macho yangu.Mlango wa kuingilia ndani ukafunguliwa na kujikuta nikichomoa bastola yangu na kumuelekezea mlinzi aliye fungua mlango
"Ohooo, ni mimi kaka"
Alizungumza huku akiinyanyua mikono yake juu, huku mkononi akiwa ameshika gazeti
"Unataka nini?"
Nilimuuliza kwa sauti ya ukali
"Ka..ka kuna hili gazeti hapa....."
"La nini?"
"Kukuuu....."
"Nitolee kigugumizi chako, kabla sijakuua"
Mlinzi akaanza kutoka ndani
"Wee kaka samahni, hembu hilo gazeti"
Dorecy akanyanyuka na kwenda kulichukua gazeti, akalifungua na kuanza kulisoma huku akipiga hatua za taratibu akirudi sehemu ambayo alikuwa amekaa.Akakaa sehemu yake, sikuwa na haja ya kulitazama gazeti lake.
"Eddy"
Dorecy aliniita na kunifanya nimtazame, nikaikuta sura yake ikiwa imejaa mikunjano akionekana kuna habari iliyopelekea sura yake kuwa katika sura kama hii,Akanyanyuka na kukaa kwenye sofa nililopo mimi.
"Soma, hii habari"
Macho yangu yakatua kwenye maandishi meusi yaliyo andikwa kwa herufi kubwa zinazo onekana vizuri pasipo na shida yoyote
‘MTOTO WA WAZIRI WA AFYA (EDDY GODWIN), ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA MAUAJI YA KIKATILI YA MFANYA BIASHARA WA MADINI JIJINI ARUSHA BWANA DERICK LAMBART NA MWILI WA DERICK KUWA CHAKULA CHA MBWA WAKE'
Chini ya maandishi haya makubwa kuna picha yangu, ya mama na Derick Lambart zikiwa zimeambataishwa kwenye mstari mmoja
"Eddy ni kweli?"
Dorecy alizungumza huku akinitazama machoni, sikumjibu zaidi ya kunyanyuka kwenye sofa, kabla sijamjibu Dorecy nikasikia mlio wa gari ukisimama nje ya geti.Cha kwanza nikazima taa za sebleni na kufungua pazia kidogo la dirisha linalo tazama kwenye geti,Nikawaona askari wawili wakizungumza na mlinzi huku wakionekana kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu.
ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(52)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHIA
Dorecy alizungumza huku akinitazama machoni, sikumjibu zaidi ya kunyanyuka kwenye sofa, kabla sijamjibu Dorecy nikasikia mlio wa gari ukisimama nje ya geti.Cha kwanza nikazima taa za sebleni na kufungua pazia kidogo la dirisha linalo tazama kwenye geti,Nikawaona askari wawili wakizungumza na mlinzi huku wakionekana kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu.

ENDELEA
Dorecy akanyanyuka katika kochi alilo kaa na kunifwata nilipo simama,
"Shiit, wamejuaje kama upo humu?"
"Hata mimi sifahamu"
"So, inakuwaje?"
"Tuwauoe?"
"Eddy, usiongeze dhambi nyingine juu ya kuua.Uliyo yafanya yanatosha kwa sasa"
"Sasa wewe unanishaurije?"
"Ngoja nikuonyeshe"
Dorecy, akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine hadi akabakiwa na nguo za ndani(sidiria na chupi), na nguo zake akazificha nyuma ya masofa.Mlinzi alishindwa kuwazuia askari hao kuingia, Dorecy akaniomba nijifiche nyuma ya mlango wa kuingilia.Nikafanya kama alivo niagiza Dorecy, maaskari wakaanza kugonga mlango taratibiu.Dorecy akaisogelaa swichi ya kuwasha taa za sebleni, akaiwasha na kwenda kusimama ulipo mlango
"Fungua"
Nilizungumza kwa sauti ya chini sana, huku nikiwa nimeishika bastola yangu vizuri mikononi mwangu.Dorecy akafungua mlango akiwa katika hali ya nguo zake za ndani, zilizo ufanya mwili wake kuonekana vizuri na kuwa kivutio kizuri mbele ya wanaume marijali.
"Habai zenu maafande?"
Dorecy aliwasalimia, ila salamu yake haikujibiwa kwa sekunde kdhaa, kwa kupitia uwazi wa mlango nikwashuhudia askari wakiwa wamemtumbulia mimacho Dorecy
"Aha....aahaa Salama tu"
"Mmmm, labda niwasaidie nini?"
"Ahaaa"
Askari walibabaika, hawakujua hata wajibu kitu gani
"Karibuni ndani"
"Haya....haya"
Mmoja alizungumza huku akijilamba lamba mdomo wake, wakaingia ndani na Dorecy akaurudishia mlango, na kunnifanya niweze kuonekana vizuri na askari walio ingia ndani.Hawakuweza kufanya kitu chochote kwa sababu, nimeshika bastola, huku nikiwa sina masihara kabisa na kitu ambacho ninakifanya
"Nyoosheni mikono yenu juu"
Niliwaamrisha, wakatii huku wakitetemeka, Dorecy akaanza kuwapapasa na kuwachomoa bastola zao walizo zificha kwenye miguu yeo,Dorecy akawavua mikanda yao ya suruali
"Unawafanyaje?"
"Subiri uone"
Dorecy akaichukua mikanda yao ya suruali, nikawaamrisha waende kukaa kwenye masofa
"Nyinyi, mumekuja kufanya nini?"
Niliwauliza kwa sauti ya ukali
"Tu..lik..uku..ja, kukutaf...uta wewe"
Mmoja alizungumza huku akibabaika sana,
"Nani amewatuma?"
Dorecy alizungumza
"Eheee?"
"Nani amewatuma, au swali langu ni gumu kulijibu?"
Dorecy alizungumza, huku akiizungusha bastola ya mmoja wa polisi
"Ni..ni....nimzee Dodwin"
"Nilijua, tuu"
Dorecy alizungumza, huku akinitazama usoni.
"Simameni kwanza"
Niliwaamrisha na wakasimama, nikawaamrisha tena kuvua nguo zao, wakatii bila ya ubishi.Wakabakiwa na kaptula zao za ndani, nikaamrisha kulala chini, nikachukua pingu zao na kuwafunga mikononi, walio irudisha nyuma, Dorecy akachukua mikanda yao na kuwafunga miguuni kisha akaikutanisha miguu na mikono kwa mamoja na kuwafunga,
"Sasa ninahitai munijibu swali moja baada ya jengine?"
"Munaweza kuniambia ni wapi alipo mama yangu?"
Wakaa kimya, hakuna aliye nijibu hata mmoja.
"Ninarudia tena na tena kuwauliza hili swali.Ni wapi alipo mama yangu?"
"Si hatujuii"
"Hamujui eheee?"
"Ndio"
"Waangalie hawa"
Nikaondoka na kuingia jikoni, nikachukua ndoo ndogo na kuijaza maji mengi, kisha nikachukua fimbo moja ya fagio la kusimama na kurudi navyo sebleni, nikaanza kuwanyunyizia maji ya makalio
"Sasa, hapo utawachapaje?"
Dorecy aliniuliza
"Wafungue huo mkanda nilio wafunga na mikono"
Dorecy alizungumza huku akiendelea kuwanyooshea bastola aliyo ishika, nikamfungua mmoja mkanda ulio fungwa na pingu yake, nilipo hakikisha nimeiachanisha miguu na mikono, nikamvuta pembeni na kumwagia maji ya makalio.Nikaivunja fimbo, ya fagio kugawanyika katika vipende viwili nilivyo viona vinatosha
"Ninakuuliza ni wapi alipo mama yangu?"
"Sijuii mimi?"
Nikamchapa fimbo nne za nguvu kwenye makali, yenye bukta iliyo lowa maji mengi.Jamaa akawa amejikaza makalio yeka, nikamtandika fimbo nyingine nne kwenye mapaja yake, kidogo akaanza kutoa miguno ya maumivu
"Sijuii mimi?"
"Utajua tuu"
Nikaanza kumchapa fimbo zisizo na idadi maalumu ambazo ninajua ni lazima zitampa maumivu ya kusema ni wapi alipo mama yangu, japo mzee Godwin ameniambia kuwa mama amesha fariki, ila sikutaka kuamini kama ni kweli, hadi niuone mwili wa mama yangu ndio nitaamini kwambe amefariki dunia.Fimbo zisizo na idadi nikazidi kuzishusha kwenye makalio ya ya polisi huyu, na akazidi kumwaga machozi ya maumivu
"Huwa mimi ninawashangaa sana nyinyi, kazi yenu ni kulinda mali za raia.Huku kwenye matatizo mengine kama haya munafwata nini?"
"Sijuii,"
"Mimi leo nina wahakikishia kuwa mutajua"
Nikaendelea kumatindika fimbo zisizo na idadi hadi, sehemu ambazo nilizichapa zikaanza kuvimba na kuweka maalama ya fimbo
"Eddy, huyo kakataa kusema bwana, hamishia zoezi kwa huyu"
Dorecy alizungumza, nikamuacha ninaye mchapa na kumfwata mwenzake, nikamuandaa kama nilivyo muandaa mwenzake kabla sijamchapa Dorecy akanizuia
"Lete hiyo fimbo"
Nikamabidhi Dorecy fimbo moja, akamuweka askari vizuri, kwa nguvu zake zote akaishisha vimbo kwenye makalio ya askari na kumfanya atoe ukelele huku akiliita jina la mama yake.Dorecy akashusha fimbo nyingine mbili za nguvu na kumzidisha askari kutoa kelele
"Nasemaa, nasemaa"
"Sema sasa"
Dorecy alizungumza, huku akimwagikwa na jasho jingi,
"Yupo, kwenye mikono ya Mzee Godwin"
"Hilo tunalijua, tunacho kitaka sisi ni kujus ni sehemu gani ambayo yeye yupo?"
"Kule kwenye ule msitu"
Dorecy akanitazama usoni
"Napajua"
Dorecy alizungumza, akamtandika fimbo nyingine ya makalio na kuzidi kumliza askari huyu anaye onyesha bado ni kijana sana.
"Hawa dawa yao ni kuwafungia stoo"
Nilizungumza, huku nikikiondoa kindoo cha maji na kukipeleka jikoni, nikarudi sebleni na kumkuta Dorecy akimalizia kuvaa nguo zake.Nikatoka nje ya nyumba na kumfwata mlinzi getini
"Hawa wehu wamekuja na nini?"
"Kina nani?"
"Hawa askari?"
"Na gari yao ndogo, ipo hapo nje"
"Sasa ilikuwaje ukaacha waingie ndani?"
"Walinionyesha vitambulisho vyao"
Nikatoka nje ya geti na kukuta gari aina ya Corola ikiwa imesimama nje ya geti, nikarudi ndani na kuwaamrisha wanipe funguo za gari lao,
"Ipo kwenye hiyo suruali yangu"
Nikaiokota funguo ya askari aliyechapwa na Dorecy, nikatoka nje na kumuomba mlizi aniungulie geti, nikaingia ndani ya gari lao walilo jia na kuliingiza ndani ya geti na kwenda kulisimamisha nyuma ya yumba yetu pembezoni mwa ‘swimming pool'.Nikamuita mlinzi na kumuomba asaidiane na mimi kuwabeba askari hawa
"Tunawapeleka wapi bosi?"
"Nyuma ya nyumba huko"
"Ila kablwa hatujawapeleka, wavue viatu vyao"
Mlinzi akaanza kuwavua viatu kisha, tukamuanza yule niliye mchapa, kumbeba.Nikaingia kwenye nyumba ya nyuma, kwenye chumba ambacho chini kina handaki.Hata mlinzi mwenyewe akashangaa kwani hakuamini kama chumba hichi kina handaki, lenye ukumbi mkubwa.Tukamuingiza askari wa kwanza na kumfwata askari wa pili na kumuingiza, huku wote wakiwa wamefungwa miguu na mikono yao
"Hakikisha, hawatoki.Pia hakikisha unawapatia chakula mchana na jioni"
"Sawa bosi nimekuelewa"
"Pia hakikisha haingii, mtu yoyote akidai kuwa yeye ni askari au mpelelezi"
"Sawa"
Nikaachana na mlinzi yeye akarudi zake getini na mimi nikaingia ndani, nikamkuta Dorecy akimwalizia kuyafuta maji yaliyo tapakaa chini kwa tambaa.
"Eddy, uhisi njaa"
"Kwa mbali ninajihisi njaa"
"Kwenye friji, jikoni niliona nyama na soseji ngoja nipiki chakula"
"Powa, upendavyo wewe, mimi ninaingia chumbani huku juu"
"Sawa"
Nikaingia ndani kwangu, mazingira ya chumba changu kwa jinsi nilivyo yaacha, hapakuwa na tofauti sana.Nikaingia nikainama chini ya mvungu wa kitanda changu na kulikuta begi lenye madini, niliyo yatoa kwenye handaki.Nikakifungua na kukuta madini yapo kama yalivyo.Nikakirudisha kibegi chini ya mvungu, nikaingia bafuni na kuvua nguo zangu zote, nikasimama mbele ya kioo kikubwa kiichomo humu ndani ya bafu langu
Mwili wangu mzima umejaa, majeraha mengi, yaliyo tokana na mateso niliyo pitia siku chache za nyuma, nikajikuta machozi yakinimwagika kwani hata ule uzuri ambao Mungu aliniumba nao umetoweka kwa kiasi fulani.
"Kwa nini mimi?"
Nilijiuliza swali huki nikitokwa na machozi,
"Nimekuwa, hivi na roho ya kinyama"
"Gereza au kifo ndio mwisho wangu"
Nilizungumza huku nikiendea kumwagikwa na machozi mengi, malengo yangu yote niliyo jiwekea kuja kuwa daktari bingwa nchini Tanzania yametoweka kabisa, hapa ndipo nikaanza kuamini kwamba pesa haitimizi malengo ya mtu, kwani tangu nimezaliwa sikuwahi kuishi maisha ya shida kwani baba anapesa na mama ndio tajiri kupindukia, ila kwa sasa ndio wamekuwa maadui sana.Sikujua baba yangu wa damu anaendeleaje, kwani sikupata hata muda wa kukaa na mama na kumuuliza kuhusiana na baba yangu aliyepo Afrika kusini
Macho yangu, nikaendela kuyakaza kwenye kioo, nikiitazama sura yangu, iliyo jaa dhambi na ukatili ulio mkubwa.Sikupenda kuwa hivi, ila matatizo yakanibidi mimi kuwa hivi
"Mungu, nisamehe, mimi ni mwenye dhambi tena dhambi nyingi.Ila ninaomba nimuue Mzee Godwin tuu.Ili nikifa nife kwa amani"
Nilijikuta nikizungumza maneno haya ambayo sikujua ni kwanini nimeyazungumza, tena kwa sauti ya juu.Nikafungua bomba la maji ya mvua na kuasimama kwa muda chini ya maji haya yanayoendelea kutiririka mwilini mwangu.Mwili wangu umejawa na nongo nyingi sana kwani hata maji ambayo yanaingia kwenye kishimo kidogo cha hapa bafuni yanaonyesha jinsi mwili wangu ulivyo jaa uchafu.Nikaoga na kurudia kupiga mapovu manne ndipo, hali ya uchafu ikaondoka mwilini mwangu.Hata rangi halisi ya mwili wangu ikarejea.Nikamaliza na kurudi chumbani kwangu, nikiwa ninatafuta ni wapi lilipo taulo langu lipo, mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa na Dorecy
"Ahaaa sory Eddy...!!"
"Ahaaa bila samahani"
Nilizungumza huku mikono yangu nikiwa nimeiziba kweye sehemu zangu za siri
"Chakula tayari kule"
"Sawa, ninakuja"
Dorecy akatoka, nikavaa pensi, nikaelekea sebleni na kumkuta akiwa ananisubiria kwenye meza ya chakula
"Mbona, hukula chakula?"
"Nilikuwa ninakusubiria"
"Ohoo, ungeanza tuu"
"Hapana, itakuwa sio tabia nzuri sana kwa yule umpendaye"
"Kweli"
"Ehee, sisi kwetu hatujafundishwa hivyo"
"Sawa"
Nikakaa kwenye kiti, Dorecy akanitengea chakula changu na taratibu tukaanza kula,
"Kipindi nikiwa, Sunday school tulikuwa tunafundishwaga kusali kabla ya kula"
Nilizungumza
"Mulikuwa munafundishwaje?"
"Tulikuwa tunaomba, Ohh loard our father, bleas this food for this day, Welcome Dorecy"(.....baba yetu wa mbinguni, bariki hiki chakula cha leo, karibu Dorecy)
"Hahaaa, Eddy.Sasa mbona leo hujasali?"
"Ahaa weee acha tuu"
Tukaendelea kula huku nikitazamana mara kwa mara na Dorecy, nikanyanyuka na kuzunguka meza hadi alipo kaa Dorecy, nikasimama nyuma yake, mikono yangu nikaiweka mabegani mwake.Nikainama taratibu na kumbusu shavuni
"Dorecy"
"Mmmm"
"Ninakupenda"
Dorecy hakunijibu chochote, taratibu nikaanya kuinyonya shingo yake na kumfanya aanze kujichezesha chezesha kwa hisia.Nikamnyanyua kwenye kiti na kuanza kuinyonya midomo yake, huku nikaanza kumvua nguo moja baada ya nyingine.Tukajikuta tunazama kwenye dimbwi kubwa la mapenzi huku kila mmoja akijitahidi kumpa mwenzake raha ambayo anastahili kuipata kwenye dimbwi la mapenzi.Tukatumia kama dakika thelathini na nano kuburudishana hadi tunamaliza, tukavikuta vyombo vyote vipo chini huku sisi tukiwa juu ya meza tukitoa pumzi nyingi
Nikambeba Dorecy hadi chumbani kwangu, sote tukaingia bafuni, tukaoga na kurudi chumbani na kujitupa kitandani
"Eddy, unampango gani juu ya mama"
"Nataka nikamkomboe, siamini kama amekufa?"
"Japo sipendi kujua kilicho tokea kwenye familia yako hadi kukafikia huku, ila nakuhaidi tutashirikiana kudfa na kupona"
"Nitashukuru kwa hilo"
"Kingine, itabidi unyoe nywele zako...."
"Ili"
"Uvae zile nguo za askari, la sivyo utakamatwa kirahisi"
"Etii ehee?"
"Hapo hakuna cha Etii, inabidi iwe hivyo"
"Sawa, tutafanya asubuhi"
Kutokana na kuchoka kila mmoja akajilaza na usingizi mwingi ukanipitia,Nikawa wa kwanza kuamka nikaingia bafuni na kuoga, nikamuamsha Dorecy naye akaingia bafuni na kuoga.Nikachukua mashine ya umeme ya kunyolea na kumkabidhi Dorecy, akaanza kuninyoa nywele zangu zote na kunifanya nibadilike sana.
"Dory, nataka twende bank mara moja"
"Tukafanyaje?'
"Kuna ishu nakwenda kuiuzia benki"
"Benki gani?"
"CNB"
"Sawa, ila tumia hizo nguo za polisi"
"Powa"
Nikavaa, nguo za polisi,aliye chapwa na Dorecy, zikanitosha vizuri, nikazunguka lilipo gari la polisi nilipo liacha na kuchukua kofia moja ambayo ipo ndani ya gari, nikarudi sebleni na kuvaa viatu vya kiaskari
"Kama polisi kweli vile"
"Umeona eheee"
"Eddy una picha ndogo"
"Ya nini?"
"Kuna kitambulisho nataka nifoji hapa"
Nikaingia chumbani kwangu na kutoa picha ndogo ya na kukabidhi Dorecy, akaanza kazi ya kufoji kitambulisho kimoja cha polisi.Nikachukua bastola moja na kuichomeka kwenye viatu na kuifunika na sruali, nikachukua bastola nyingine na kuichomeka kiunoni.Nikavaa jaketi la kuzuia risasi, Dorecy naye akawa amemaliza kuvaa nguo zake, Nikaingia ndani kwangu na kuchukua begi lenye madini, nikaingia chumbani kwa mama na kuchukua funguo ya gari lake aina ya VX V8 na kutoka navyo nje
"Una endesha, niendeshe"
Nilimuuliza Dorecy
"Wewe endesha, huu mji wenu mimi siuelewi kabisa"
Tukaingia ndani ya gari na kuondoka nimasisitizia mlinzi asiruhusu mtu kuingia ndani ya nyumba yetu.
"Nimemaliza kukitengeneza kitambulisho chako"
Dorecy akanikabidhi kitambulisho changu, chenye jina la Edward Kilonzo, ni jina la askari aliye tandikwa bakora na Dorecy.Tukafika benk, kabla sijashuka Dorecy akanibusu shavuni.
"Ninakupenda Eddy wangu"
"Na mimi pia"
"Kwani humo ndani ya begi kuna nini?"
"Nitakuambia nikirudi"
Nikatazama mazingira yote ya benki na kuona yapo salama, nikashuka kwenye gari huku nikiwa na kibegi na kuanza kupiga hatua za kuelekea ulipo mlango wa benki, huku amcho yangu yakiwa makini sana.Nikafika hadi kwa muhudumu pasipo askari wa mlangoni kunigundua
"Dada habari yako?"
"Salama"
"Meneja nitamuona wapi?"
"Una mawasiliano naye?'
"Hapana ila, ninaujumbe kutoka kwa bosi wangu.Kuna huu mzigo nimeagizwa nimkabidhi yeye"
"Unalijua jina la meneja?"
"Ndio, anaitwa bwana Turma"
"Basi twende, nikupeleke ofisini kwake"
"Asante"
Tukaingia kwenye lifti na kupandisha gorofa ya kwanza, nikaingia ofisini mwa Bwana Turma ambaye ni rafiki mkubwa wa mama, na mimi ananifahamu vizuri sana.Kwa bahati nzuri nikamkuta hana mtu anaye zungumza naye
"Meneja unamgeni"
"Muambie aingie"
Muhudumu akaniruhusu kuingia ndani ya ofisi, kisha yeye akaondoka, nikaivua kofia yangu na kumfanya bwana Turma kutabasamu baada ya kuniona
"Eddy, umekuwa askari?"
Aliniuliza huku akicheka
"Hapana mjomba"
"Ila?"
"Ahaa vijimambo tu,"
"Ila ninasikia unatafutwa na polisi"
"Ndio, ila mjomba ninaomba msaada wako"
"Msaada gani?"
"Kuna haya madini, yanadhamani kubwa sana.Ninaomba niwauzie nyinyi kama benki na pesa yangu muiweke humu ndani, ipo siku MUNGU akibariki, mimi au mwangu anaweza akasaidiwa na hiyo pesa"
Bwana Turma akaniangalia kwa macho ya umakini, akaniomba nimuonyeshe hayo madini.Nikamfungulia begi na kumuwekea, kibegi juu ya meza.Akabaki akishangaa
"Umeyatoa wapi?"
"Hii ni mali ya mama, ninakuomba sana uniwekee"
"Wewe ulikuwa unayauza kwa kiasi gani?"
"Bilioni moja na nusu shilingi"
"Mbona nyingi sana"
"Hata haya madini, yanadhamani kubwa sana.Nikisema niuze kwa masonara si chini ya bilioni tano"
"Sawa mjomba nimekuelewa, ngoja nikawaite wahasibu na wanasheria wa benki tuwez kufanya biashara"
"Sawa mjomba"
Bwana Turma akatoka nje ya ofisi yake na kuniacha nikiwa ndani, nikakaa zaidi ya dakika kumi na tano, sikumuona bwana Turma kutokea, nikaanza kupata wasiwasi, labda amekwenda kuwaita askari.Nikanyanyuka na kukifunga kibegi changu, nikatizama kwenye kioo cha computer yake, iliyopo juu ya meza yake, kilicho gawanyika katika vipande sita vya picha za video za kamera za ulinzi na kuona gari aina ya Rangerover ikisimama kwa kasi nje ya Benki na wakashuka wasichana watano walio valia mavazi meusi huku wakiwa na bunduki mikonini mwao.Wakanza kuwashambulia askari huku walili wakiingia ndani ya benki na kuanza kuwashambulia askari na kuwaamrisha watu wote kulala chini.Nikamuona wakimuamrisha bwana Turma kuingia kwenye chumba ambacho ndicho wanahifadhia pesa

ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(53)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA

ILIOISHIA
Nikanyanyuka na kukifunga kibegi changu, nikatizama kwenye kioo cha computer yake, iliyopo juu ya meza yake, kilicho gawanyika katika vipande sita vya picha za video za kamera za ulinzi na kuona gari aina ya Rangerover ikisimama kwa kasi nje ya Benki na wakashuka wasichana watano walio valia mavazi meusi huku wakiwa na bunduki mikonini mwao.Wakanza kuwashambulia askari huku walili wakiingia ndani ya benki na kuanza kuwashambulia askari na kuwaamrisha watu wote kulala chini.Nikamuona wakimuamrisha bwana Turma kuingia kwenye chumba ambacho ndicho wanahifadhia pesa

ENDELEA
Japo ninaroho kidogo ya kikatili, ila kwa jinsi risasi zinavyo ngurumishwa nje na majambazi hawa, sikuthubutu hata kujaribu kutoka ndani ya chumba.Bastola yangu nikaishika vizuri kwa umakini huku macho yangu yakitazama kwenye kioo cha computer iliyopo juu ya meza.Nikawashuhudia wasichana wawili wakimuamrisha bwana Turma kuingia ndani ya chumba ambacho ni chakuhifadhia pesa.Wakaendela kuingiza pesa kwenye mifuko yao, nikamuona msichana mwengine akiingia akiwa na bunduki.Sikusikia kitu anacho kizungumza.Nikaanza kusangaa baada yakuwaona watu wakivuliwa nguo na kupangwa mstari katika mlango wa kutokea nje
"Wanataka kufanya nini hawa?"
Nilijiuliza swali ambalo jibu lake nikalipata baada ya kuona watu wakitolewa nje wakiwa uchi pasipo kuwa na nguo hata moja kwenye miili yao.Wasichana wakajichanganya kwenye kundi kubwa la watu wanaotoka wakiwa, wanakimbia.Nikaitumia nafasi hiyo na mimi kutoka ndani ya chumba huku kibeki changu nikiwa nimekifunga vizuri na kukishika kwenye mkono wangu wa kushoto huku mkono wangu wa kulia nikiwa nimeishika bastola yangu.Nikajichanganya kwenye watu na kukimbilia lilipo gari letu,Nikamkuta Dorecy akiwa amejiinamia kwenye gari, nikafungua mlango wa gari na kuingia ndani
"Eddy vipi huko?"
"Tuondoke, sikwema huku"
Nikawasha gari na kuliingiza barabarani kwa kasi ya hali ya juu,
"Eddy tunaelekea wapi?"
Dorecy aliniuliza huku akinitazama kwa macho makali, sikulijibu swali lake zaidi ya kuongeza mwendo kasi wa gari langu.Nikafika maeneo ya mataa na kukuta msongamano wa magari mengi yakiwa katika foleni
"Shiitii"
Nilizungumza huku nikiitizama gari ndogo ya polisi inayokuja nyuma yangu kwa kasi, wakionekana kunifwatilia mimi.Kutokana nyuma yangu hakuna gari, nikairudisha nyuma gari yangu, na kuingia barabara ya pili inayopitwa na watembea kwa miguu, Kazi yangu ikawa ni kupiga honi, huku nikiwa makini katika uendeshaji wangu.Watu wengi wakawa na kazi ya kulikwepa gari langu huku wengine wakijirusha kwenye mitaro kuepuka kifo
"Eddy angalia mbelee"
Dorecy alizungumza kwa sauti kubwa, kwani kuku gari la abiria linakuja mbele yetu kwa mwendo wa kasi, Kwa haraka sana nikakunja kushoto na kuzibaniza pikipiki za waendesha bodaboda zililozo pangwa barabarani wakisubiria wateja, kwa kupitia kioo cha pembeni, nikalishuhudia gari la abiria lilipoteza muelekeo na kuyakuma magari mengine na kusababisha ajali mbaya.Kwa ukubwa wa gari yangu haikuwa shida sana kuzikanyaga pikipiki mbili zilizopo mbele yangu.Nikapata kiupenyo cha kuingia barabarani na cakumshukuru MUNGU, hakuna magari ya foleni ambayo yanaweza kunizuia kuendelea na safari yangu, huku nikiwaacha waendesha pikipiki wakitoa matusi mengi juu yangu
Kwa mbali nikaliona gari, walilokuja nalo majambazi likichanja mbuga barabara ya kuelekea mkoani
"Wale ndio majambazi walio piga tukio benki"
Nilizungumza huku nililiinyooshea kidole gari la majambazi aina ya Rangerover.
"Mmmmm"
Dorecy aliguna, huku akinitazama machoni.Nikazidi kukanyaga mafuta na kuzidi kulisogelea majambazi, ambalo nalo linakwenda kwa mwendo wa kasi sana
"Eddy kuwa makini, wasije wakatushambulia"
"Powa"
Sikuona gari yoyote ya polisi inayokuja nyuma yetu, Nikazidi kulifukuzia gari la majambazi na gafla likakunja na kuingia porini
"Eddy nyoosha tuu, tusiwafate"
"Powa"
Nikaachana na gari la majambazi na kuelekea zangu barabara inayokwenda mikoa ya Tanga na Arusha.Kwa mbali nikawaona askari usalama barabarani wakiwa wamesimama
"Eddy punguza mwendo"
"Huoni kama tutakamatwa?"
"Nitazungumza nao mimi"
"Dorecy"
"Fanya hivyo, la sivyo itakuwa ni tatizo kubwa"
"Powa"
Nikapunguza mwendo wa gari, na askari mmoja akatusimamisha, nikalisimamisha gari langu pembeni na askari huyo akaanza kuja kwa mwendo wa umakini, huku akilitazama gari langu.Nikaishika bastola yangu kwa umakini, ila Dorecy akaushika mkono wangu wa kushoto ulio shika bastola
"Tulia"
Dorecy alinizuia kufanya ambacho ninahaji kukifanya, kwa ishara askari akaniomba nifungua kioo cha gari upande nilio kaa mimi, nikatii kama alivyo hitaji mimi kufanya
"Habari yako afande"
Jamaa alianza kunisalimia, nikaachia tabasamu pana ambalo muda wowote ninaweza kulibadilisha
"Salama tuu, kaka"
"Mbona gari yako, mbele kidogo imebonyea?"
"Ahaaa kuna, mjinga alinibamiza kwenye mataa kule"
"Ahaaa, munaelekea wapi?"
"Nakwenda, Tanga mara moja kuna kazi hapo tumeagizwa na RPC"
"Kuna, gari tunaiwinda ya majambazi wamepiga tulio benki, ndio tupo tupo hapa, tunaisubiria"
"Ipoje hiyo gari?"
Polisi akaniwasha simu yake na kunionyesha picha cha gari hilo
"Nimetumiwa Whatsap hii picha"
Dorecy akaitazama picha ya gari ambalo, tulikuwa tumeongozana nalo
"Hii gari tumeongozana nayo"
Dorecy aliropoka na kunifanya nimgeukie na kumtazama kwa macho makali yaliyo jaa mshangao ndani yake
"Imengia wapi?"
Dorecy akaanza kumuelekeza askari gari sehemu ilipo ingia, askari akawajulisha wezake na sisi tukaondoka
"Dorecy umefanya nini?"
"Kwani tatizo lipo wapi?"
"Sio tatizo lipo wapi, wewe inakuwaje unawachomesha watu wa watu katika ishu zao"
"Sio ishu zao, kumbuka hata mimi ni askari"
"Hata kama"
"Sio hata kama, wewe hukuona ni watu wangapi walio uliwa nje ya benki"
"Ila sijapenda hiyo tabia sawa"
"Eddy, kumbuka hata wewe ni muhalifu"
"So"(Sasa)
Nilimjibu Dorecy kwa kifupi, huku nikiwa nimekasirika sana
"Sihitaji hicho kibesi chako"
"Unasemaje wewe?"
"Sihitaji hicho kibesi chako cha kijinga, nitakubadilikia sasa hivi, umenielewa?"
Dorecy alizungumza kwa sauti ya ukali, huku akinitazama kwa hasira.Kwa kona ya jicho la kushoto nikamtazama Dorecy na kugundua hajafunga mkanda, nikaongeza mwendo wa gari, gafla nikafunga breki za kustukisha na kumfanya Dorecy kupiga kichwa kwenye dasbord ya gari.Kwa haraka nikamuwahi kumshika shingo yake na kuiminya kwa nguvu
"Huwa sipendi, ujinga kwenye yangu maisha sawa?"
Niliminya Dorecy shingo yake kwa nguvu, huku nikimtakandamiza kwenye kwenye siti yake.Nikazichomoa bastola zake katika sehemu alipo ziweka, na kuziweka upande wangu.
"Wewe ni nani?"
Nilizumuuliza Dorecy huku nikiendela kuminya kwa nguvu kwenye siti yake aliyo kalia.Dorecy akawa na kazi ya kuushika mkono wangu ulio ishika shingo yake
"Ed...eddy ni...aachi...ee"
"Nitakuua, mwehu wewe"
Nikamuachia Dorecy, akaanza kukohoa huku akihema kwa kasi kwani kwa jinsi nilivyo mkaba ni nusu ya kuyaona mauti
"Upo na mimi, au?"
Nilimuuliza Dorecy na kumfanya aendelee kukohoa, nikabaki nikiwa nimemtazama kwa macho makali kama ya simba dume aliye uliwa mke wake, Dorecy akanitazama kidogo kisha macho yake akayakwepesha tena na macho yangu na kutazama chini huku akiendelea kukohoa.Nikaichukua bastola yangu na kumuelekezea Dorecy ya kichwa huku nikiwa nimeikandamiza kwenye nywele zake, nikamshuhudia Dorecy akitingishika mwili mzima
"Nimekuuliza, upo na mimi au?"
"Nipo na wewe"
Nikaachia msunyo mkali na kuishusha chini bastola yangu na kuwasha gari langu na kuendelea na safari.Hadi ninafika Segera ikanilazimu kusimamisha gari kwani sikujua ni wapi nielekee, kwani Arusha siwezi kwenda kutokana ninatafutwa,
"Mbona umesimamisha gari?"
"Nafikiria kwa kwenda"
Sote tukabaki kimya, kwa wakati huu sikuwa na uwe wa kwenda alipo mama, kwani sijajipanga vizuri na ukatili wa Mzee Godwin ninatambua vizuri sana, na nikienda kichwa kichwa ninaweza kufa nikiwa ninajiona
Twende Tanga"
Dorecy alizungumza
"Unapajua?"
"Ndio, kuna rafiki yangu kule atanisaidia pia kwa hili swala lako"
"Unamuamini?"
"Ndio Eddy"
"Pita basi huku, uendeshe hari kwani mimi sipajui Tanga"
"Sawa"
Dorecy akashuka kwenye gari na mimi nikahamia kwenye siti yake.Akaingia kwenye gari na safari ikaendelea, ila kwa muda wote nipo makini sana na Dorecy kwani anaweza kubasilika wakati wowote ikawa ni tatizo jengine kwangu
"Ulishawahi kufika Tanga?"
Dorecy alizungumza
"Hapana, ndio leo ninakwenda"
"Sawa"
"Kwa nini, umeniuliza hivyo?"
"Hapana, nilihitaji kujua tuu kama ulisha wahi kufika"
Nikamtazama Dorecy kwa umakini, kisha nikashusha pumzi nyingi.Safari ikaendelea huku nikimuomba Mungu, Dorecy asije kuniyumbisha hata kidogo kwenye mpango wangu wa kumuokoa mama yangu, ambaye siamini kabisa kama Mzee Godwin amemuua hadi sasa hivi.Japo ninausingizi mzoto, ulio tokana na uchovu wa hekaheka za jana hadi sasa hivi, sikuweza kabisa kuyaruhusu macho yangu kufumba kwani, litakuwa ni kosa kubwa sana kwangu na sukujua ni kitu gani ambacho Dorecy anakifikiria kichwani kwake kuhusiana na mimi.
Kila ninavyo jizuia kuyafumbua macho yangu, ikafikia kipindi nikajikuta nikishindwa kuvumilia, nikaiminya kidogo siti yangu kwa nyuma na kuiegemea vizuri na kulala, gafla nikamuona Mzee Godwin akiwa amemshika mama yangu na kumuweka juu ya meza kubwa, akaipanua miguu ya mama juu ya meza huku akisaidiana na watu wake, akaanza kumkita misumari, mirefu ya miguuni kisha, akampigilia misumari mingine kwenye viganja vya mikono yake, pembeni yupo Madam Mery na Manka wakishangilia jinsi mama anavyo fanywa
"Muue, kwani hata yeye mwanaye ameniulia mume wangu kikatili sana"
Madam Mery alizungumza huku akishangilia na kupiga makofi akifuahia sana kitendo kinacho endelea.Mama akazidi kulia kwa uchungu, huku damu nyingi zikiwa zinamiminika katika miguu ya viganja vya miguu yake
"Nimekuambia chinja kabisa huyo"
Madam Mery aliendelea kushangilia, Madam Mery akachukua mashine ya kupasulia miti mikubwa na kumkabidhi Mzee Godwin
"Weka dishi la maji chini"
Mzee Godwin alizungumza, Manka akalisogeza dishi la maji chini ya meza na kuliweka vizuri, na damu za mama zinazo toka kwenye mikono yake zikaanza kuingia ndani ya dishi.Mzee Godwin akaanza kuiwasha mashine ya kukatia miti hadi ikawaka, kwa kutumia mashine ya kukatia miti akaanza kuukata mguu wa kulia wa mama, na kuzidi kukizidisha kilio cha mama.Akaendelea kuikata miguu ya mama miguu ya mama.
Hakuishia hapo, kwa kutumia mkasi mdogo akaichana tisheti ya mama na kumuacha kifua wazi, akalishika zima moja la mama, akalinyonya kidogo kisha akachukua kisu kikali alicho kabithiwa na msaadizi wake na kukilikata zima la mama upande wa kulia jambo lilizidi kumuongezea mama uchungu, akaendelea kulia kwa maumivu anayo yapata
"G Niue tu, kuliko kunitesa hivi"
Mama alizungumza kwa sauti iliyo jaa vilio, mzee Godwin na watu wake wakaanza kucheka kwa dharau akiwemo, Manka na Madam Mery.
"Unataka kufa?"
"Bora nife, kuliko kunifanya hivi"
Mzee Godwin akalitupa ziwa la mama alilo likata ndani ya beseni, kisha kwa nguvu akakichoma kisu chake, tumboni mwa mama na kuuanza kumchana hadi utumbo wake ukatoka nje, kwa kutumia mashine ya kukatia miti akakikata kichwa cha mama na kukitenganisha na mwili wake
"Nooo"
Nilizungumza kwa nguvu, huku nikistuka na kujikuta nikiwa ndani ya gari hapa ndip nikagundua ni ndoto kwa kila kitu nilicho kuwa nimekiona juu ya mama yangu, jasho jingi likazidi kunimwagika na kulisababisha shati langu la pilisi kulowa kama nimemwagiwa maji mengi.Nikaendelea kutasikilizia mapigo ya moyo jinsi yanavyo kwenda, huku nikiwa nimetizama chini, nikageuza shingo yangu upande alio kaa Dorecy na sikumku.Nikanyua kichwa kwa haraka huku nikiwa na wasi wasi na kukuta gari ikiwa imesimama nje ya kituo cha polisi kilicho andikwa kwa maandishi makubwa
{KITUO CHA POLISI CHUMBAGENI TANGA}
Nikamuona Dorecy akitoka nje ya kituo, akiwa ameongozana na askari watatu wenye bunduki mikononi mwao, huku akinyoosha kidole sehemu ilipo gari, nikajaribu kufungua mlango ila nikashindwa na polisi nao kwa mwendo wa umakini wakazi kuisogelea gari yangu
ITAENDELEA
 
***SORY MADAM*****(54)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIOISHIA
Nikanyua kichwa kwa haraka huku nikiwa na wasi wasi na kukuta gari ikiwa imesimama nje ya kituo cha polisi kilicho andikwa kwa maandishi makubwa
{KITUO CHA POLISI CHUMBAGENI TANGA}
Nikamuona Dorecy akitoka nje ya kituo, akiwa ameongozana na askari watatu wenye bunduki mikononi mwao, huku akinyoosha kidole sehemu ilipo gari, nikajaribu kufungua mlango ila nikashindwa na polisi nao kwa mwendo wa umakini wakazi kuisogelea gari yangu

ENDELEA
Nikazidi kuchanganyikiwa, kwa jinsi askari wanavyo isogelea gari langu kwa umakini.Nikajipapasa mifukoni mwangu sikukiona bastola zangu jambo lililoufanya mwili wangu kupoteza nguvu zote na kubaki nikiwa ninawatizama hadi wanafika kwenye gari.Dorecy akawa wa kwanza kufungua gari na kuingia huku akishusha pumzi
"Jamani, huyu ni shemeji yenu, anaitwa Eddy, Eddy hawa ni rafiki zangu nilikuwa depo so ndio nimepitia hapa kuwaona"
Nguvu zote za mwili zikazidi kudidimia kwani nilidhani kuwa jamaa wamekuja kunikamata kwa makosa niliyo yafanya
"Kaka habari yako?"
Askari mmoja alinisalimia, hata nguvu za kumuitikia sikuwa nazo zaidi ya kukitingisha kiwachwa changu nikimaanisha kwamba nimemuitikia salamu yake
"Unaonekana umechoka mume wangu?"
Dorecy alizungumza huku akinishika kidevu changu
"Yeaah"
Nilijibu kwa upole mwingi
"Kaka, mtunze bwana dada yetu, wewe si unaona jinsi alivyo mchuma wa huakika"
Askari mmoja alizungumza huku akiachia tabasamu usoni mwake
"Musijali kwa hilo"
Niliwajibu, kidogo hali yangu ikaanza kunirejea, hata mapigo ya moyo kidogo yakabadili muelekeo wake na kurudi katika mapigo yake 72 kwa dakika
"Huyu dada yetu kipindi tupo depo, Moshi alihamishwa na kupelekwa JWTZ"
"Kaka, hivi huchezei makofi mawili matatu, kwa maana shosti alikuwa mkorofi huyo"
Sote tukajikuta tulicheka, kwa maana sikutarajia kuwa hawa jamaa muda huu nitakuwa ninacheka nao kwa furaha kiasi hiki
"Hapana jamani, ubabe nimeacha siwezi kumpiga mume wangu, mwenyeni ninampenda kama nini?"
"Ahaaa Dorecy leo unapenda, kwa maana ninakumbuka afande Nyendeza alikutongozaga kipindi tupo porini, acha umporomoshee mangumi"
"Hahaaaa, yule alikuwa mwehu, Eti ananitongoza huku ananilazimisha kuninyonya denda hapo hapo, kwa nini nisimpige mangumi"
"Ahahaa, jamaa tulikuwa naye hapa Chumbageni, ila alihamishwa mwaka jana kapelekwa Handeni huko"
"Dooo, muache akakutane na watoto wa kizigua wamroge hadi akome"
"Haaaha, na ule weusi lazima wamtengenezee carolaiti ya tura"
Sote tukajikuta tukicheka kwa furaha kwani, mazungumzo ya hawa jamaa yamenifanya nijihisi mchangamfu gafla
"Unajua yule ndio chanzo cha mimi kupelekwa JWTZ?"
"Weee"
"Mama vile, si alikuwa anajiona mbabe.Sasa nilivyo mpiga ile siku ticha akaniita ofisini kwake na kunihoji hoji maswali, akaniambia tangu aanze kufundisha haijawahi kutokea afande wa kike kumpiga afande wa kiume"
"Ila alikupa kabahati"
"Kiupande mmoja ninamshukuru, kwa maana alinisaidia sana"
"Sisi bwana, bado tunakula ngwamba na wananchi, nakuona wewe upo kitengo kikubwa, hadi munatembelea na V8?"
"Dulla hembu acha utani?"
"Kweli Dore unadhani ni utani? Sisi tumesha telekezwa, tunakazi ya kutembelea vidifender hivi vilivyo choka, kila siku vinakazi ya kushinda gereji"
"Ahaaaa Dulla wewe ropoka usikiwe, utahamishiwa kitivo huko ukale makabichi"
Sote tukabaki tukiwa tunachekea kwa sauti ya juu hadi baadhi ya askari walio karibu nasi wakawa na kazi yakutushangaa
"Kwenye ukweli, inatubidi tuzungumze"
"Ni kweli, ila mmmmmm"
"Jamani, naona tukikaa sana hapa, hamuta enda lindo sisi ngoja tusepe"
"Kwani, munakwenda wapi muda huu?"
"Tunataka twende pande, jeshini"
"Mbona usiku, chukueni hoteli mulale, asubuhi na mapema mudimke"
"Etii?"
"Hakuna cha etiii, njia hiyo usiku sasa hivi sio nzuri"
"Kuna majambazi?"
"Mara mia kungekuwa na majambazi"
"Ila?"
"Kuna vituko vya ajabu, unaweza kukuta watu wanakatiza barabarani wakiwa na kanzu huku wanakwenda kuzika, ukisema uwapige risasi, kesho unakufa"
"Mmmmm"
Ilinibidi nigune
"Kaka Eddy wala usigune, hii ndio Tanga bwana, ukicheza vibaya wala humalizi siku"
"Sasa hapa ni wapi kwenye Hotel nzuri?"
Dorecy aliuliza
"Zipo nyingi, ni pesa yako tuu"
"Maeneo gani zipo?"
"Chuda si unapapata?"
"Ndio?"
"Sasa, ule mtaa ukikosa sehemu ya kulala ujue unabahati mbaya"
"Sawa jamani, ngoja tuondoke, nikisema tuendelee hapa tutakesha"
"Umeona eheee"
"Nishidaaa"
"Jamani, tutaendelea kuwasiliana"
"Tunawasiliana vipi wakati hatuna hata namba za simu ulizo tuachia"
"Simu sina"
"Haaaa, unaishije bila simu?"
"Nitachukua kesho"
"Sikia chukua simu yangu, mukifika sehemu mutakapo pata chumba utatujulisha, si unajua wewe sasa hivi ni mtu mkubwa kwetu, shemeji samahani bwana kwa kuipendekaza kumkabithi simu bibie, usije ukanihisi vibaya"
"Hamna shida, ndugu zangu pia mutakuwa mumetusaidia sana"
"Ndio maana nimekukubali shem wangu, ingekuwa jinga lengine hapa lingevuta mdomo kama yule bibi tuliye mkamata jana ameanguka na ungo wao wakichawi"
"Eheee, hayo mengine tena, mumeanza kukamata hadi wachawi?"
Dorecy aliuliza
"Ohoo, shosti huu mji bwana ahaaa, Juzi kati maeneo ya mwakizaro huko, tulipewa taarifa kuna bibi ameanguka na ungo, acha wananchi wamabamize mawe.Sasa sisi tukaitwa kumchukua, mwanagu kabibi kaze japo kamepigwa ila hakajafa, sasa huo mdomo alivyo uvuta mbele kama anapiga busu la karne"
Jamaa alizungumza na kuzidi kutufanya tucheke kwani alitoa mfano wa jinsi bibi huyo alivyo uvuta mdomo wake mbele
"John unafanana naye"
"Dullah hembu acha ujinga bwana"
"Hahaaa, jamani ngoja tuondoke"
"Sasa utaondokaje pasipo mimi kukuambia namba gani unipigie"
"Haya mwaya, niambie"
John akachukua simu aliyo mpa Dorecy, na kuandika namba na kumuonyesha Dorecy
"Haaaaa....!!"
Dorecy alihamaki
"Nini?"
"Mbona mba mbaya hivi, kama amba za majeneza"
"Ahaaa Dore sasa hizo dharau"
"Ahaaa kwa hiyo John na wewe unanunaga?"
"Hapanaaa"
"Unazani atanuna, anaogopa ukamfanaya kama shosti yake Nyandeza"
"Jamani, hembu achani utoto, hapa mume wangu ana njaa ngoja twende sehemu tukale kwanza kisha nitawapigia simu sehemu muje tunywe kidogo"
"Mambo si ndio hayo"
"Nyooo, John ndio maana pesa yako ya marupurupu unaimalizia kwenye pombe"
"Ahaaa nina shida gani, sina mke wala mtoto, acha niuponde ujana"
"John hadi sasa hivi huna mtoto!?"

"Wewe unaye?"
Dorecy akizungumza
"Ahaaa haya bwana, kwa herini"
"Sawa, bro Eddy mkumbushe bwana huyo kuja kunywa kidogo, si unajua tena katikati ya mwenzi huu, hali mbayaa"
"Powa kaka zangu, tupo pamoja"
Niliwajibu, Dorecy akafunga mlango wa gari na kuanza kuondoka taratibu,
"Tunaelekea wapi?"
"Kuna, hiteli hapo mbele inaitwa Nyinda Anex ngoja nikacheki kama tutapata chumba"
"Powa, hivi wale rafiki zako wanafanya kazi kweli?"
"Ahaaa, wale ni pumba, ningesema nikae nao pale.Tungekesha"
Tukafika kwenye hoteli aliyo niambia, Dorecy akashuka kwenye gari na kuniomba nimsubiri.Nikageuka siti ya nyuma na kukikuta kibegi changu cha madini, nikakifungua ndani na kukuta kikiwa kama kilivyo, hakuna kitu hata kimoja kilicho pungua.Dorecy akarudi na kuingia ndani ya gari
"Vipi umepata?"
"Vyumba vimejaa"
"Ahaa, mkosi huo"
"Ngoja twende, hapo mbele kuna Hotel ya ghorofa tuliipita"
"Powa, alafu bastola zangu zipo wapi?"
"Fungua hapo, pembeni utaziona"
Dorecy akanielekeza, nikafungua sehemu ya pembeni yangu kwenye siti na kuzikuta zote mbili, nikazichukua na kuzichomeka kwenye viatu, Tukafika kwenye Hotel moja inayo itwa Mtendele.Kama kawaida Dorecy akashuka na kuniacha kwenye gari, akaingia na baada ya dadika tano akarudi akiwa ameshika funguo ya chumba mkononi
"Nimepata"
Nikashuka ndani ya gari huko nikiwa nimeshika kibegi changu chenye madini, na sote tukaingia kwenye hoteli, hiyo iliyo tengenezwa vizuri kwa kwenda juu.Tukapandisha ghorofa ya tatu kilipo chumba chetu,
"Eddy, hivi hicho kibegi kina nini?"
"Nitakuambia, ila kikubwa kwanza, tuzungumze vitu vya maana"
"Hata kuoga hatuogi?"
"Tutaoga, kikubwa tuzugumze ni jinsi gani tutampata mzee Godwin?"
"Eddy, mzee Godwin anamtandao mkubwa sana, tena sana.Sio mtu wa kumuendea kichwa kichwa, wewe mwenyewe unaona jinsi alivyo kutia nguvuni, laiti ingekuwa sio mimi, sijui ungekuwa wapi hadi sasa hivi."
"Sawa, ila kuna vitu ambavyo nahitaki kuvifahamu kupitia wewe"
"Uliza"
"Hivi ni watu gani ambao, mzee Godwin anashuhulika nao?"
"Ahaaa, ni wazito serikalini, ukumbuke kwamba yule ni mtu mkubwa sana kwenye hii nchi, pili utambue ni mkuu wa jeshi, yaani akitoka raisi katika mamlaka ya jeshi anafwata yeye, so huyo sio mtu wa kusema unamuendea kichwa kichwa.Nilazima tuwe na mipango ambayo itatufanya tuweze kumpata mama kwanza, kisha hao wengine watafwata"
Nikashusha pumzi zangu huku ninamtizama Dorecy kwa umakini machoni
"Eddy, lengo la mimi kukuleta huku ni wewe kwanza ukapate kwanza mazoezi ya kijeshi, japo wewe mwenyewe unajiona umekamilika ila bado, tena sana"
Dorecy alizungumza huku akinitazama machoni
"Kwani kupambana na mtu kuna ulazimu wa mazozi ya kijeshi?"
"Ingekuwa sio hivyo basi hata wauza mitumba wangeenda kupigana vitani"
Jibu la Dorecy likabaki likinipa msongamano wa mawazo
"Ila huoni kama baba atajua?"
"Baba gani?"
"Mzee Godwin"
"Ahaaa, huko ninapo kupeleka mimi, atakaye jua ni mimi na huyo ndugu yangu ninaye mfwata huko"
Dorecy alizungumza kwa kujiamini sana
"Sawa nimeku....."
Nikastukia Dorecy akinivuta kwa nguvu na kuninyanyua kwenye sofa nililo kaa, nikastukia akinitandika kichwa cha uso kilicho niyumbisha huku nikiona giza kwenye macho yangu, zikiambatana na nanenane
"Ahaaa"
Niliropoka, ila nikastukia akinitandika ngumi mbili za kifua zilizo niangusha chini, nikachomoa bastola ya kwanza kwenye kiatu hata kabla sijaishika vizuri nikashtukia teke likitua kweny mkono wangu na kuiangushia mbali bastola, nikachomoa ya pili, hali ikawa kama hiyo hiyo ya kupigwa teke la mkono
"Unanipigia nini, sasa"
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga, nikajaribu kunyanyuka, ila nikaikuta miguu yangu ikipigwa na mguu mmoja wa Dorecy, nikajikuta nikirudi chini tena.Kwa jicho langu moja nilamchunguza Dorecy jinsi alivyo simama huku mikono yake akiwa ameikunja ngumi
Nikasimama kwa haraka, Dorecy akarusha ngumi, niliyo bahatika kuiona na kuikwepa.Kitendo cha mimi kuikwepa ngumi, nikastukia kigoti cha Dorecy kikitua kifuani mwangu na kujikuta nikinyanyuka kwenda juu mithili ya mtu aliyepigwa shoti ya umeme, nikastukia ngumi moja kali ikitua kwenye komo langu na kunisabanisha kunirudisha kwenye kochi huku macho yangu nikiwa nimeyafumba baada ya kuiona ngumi nyingine ikinijia kwenye uso, nikaisikilizia ila haikufika kwa wakati muafaka ikanibidi kufumbua macho na kujikuta nimetazamana jicho moja la bastola aliyo ishika Dorecy, huku ikiwa imesimama sentimita chache kutoka yalipo macho yangu
"Sali sala yako ya mwisho?"
Dorecy alizungumza huku sura yake ikiwa imejaa jasho jingi, na mikonjo iliyonifanya niamini huu ni mwisho wa maisha yangu mimi Eddy Godwin
ITAENDELEA
 
*****SORY MADAM*****(55)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA


ILIPOISHI
"Sali sala yako ya mwisho?"
Dorecy alizungumza huku sura yake ikiwa imejaa jasho jingi, na mikonjo iliyonifanya niamini huu ni mwisho wa maisha yangu mimi Eddy Godwin

ENDELEA
"Dorecy umechanganyikiwa?"
Nilimuuliza Dorecy anayeonekana kumaanisha kile kitu anacho kizungumza, hakunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kuendelea kunielekezea bastola yake kwenye sura yangu
"Eddy usimuamini kila unaye muona utaumia sawa?"
Dorecy alizungumza na gafla nikastukia akinipiga na kitako cha bastola kwenye kichwa changu, giza lililo andamana na maruwe ruwe kitanitawala taratibu katika macho changu na kwa mbali nikausikia mlango ukifunguliwa, baada ya muda kidogo sikujua ni kitu gani kinacho endelea
***
Nikahisi nikiguswa mgongoni, taratibu nikayafumbua macho yangu na kukutana na viatu vya mwanaume vikiwa vimesimama kando yangu, nikakinyanyua kichwa changu taratibu huku nikiwa ninamaumivu makali, nikakutana na sura ya mwanaume ambaye amevalia sare za wahudumu wa hoteli hii
"Kaka, habari yako"
Jamaa alinisalimia, huku akinitazama usoni mwangu.Sikumjibu cha kwanza kutazama ni kuangalia sehemu nilipo weka begi langu lenye madini ndani, sikuliona na kujikuta nikikurupuka na kusimama, nikaingia bafuni na kukuta kweupe hakuna mtu
"Kaka vipi?"
"Ku..kunaa dada hiv...i mrefu ume...muona wapi?"
"Yule uliye ingia naye jana usiku?"
"Jana, usiku? Eheee huyo huyo"
Niliungumza huku nikipiga hatua kuelekea kwenye dirisha, nikatamani kuanguka chini na kupoteza fahamu, kwani mwanga mkali wa jua nilio ukuta nje ya dirisha umenichanganya kiasi kwamba nimekosa la kuzungumza
"Yule mbona aliondoka usiku ule ule?"
"Shitii"
"Kwani, hamujuani?"
"Ehee"
"Hamujuani?"
Hata sikujua nimjibu vipi, muhudumu huyu aliye simama mbele yangu, nikajichunguza na kugundua kuna damu zilizo mwagika kwenye shati langu la kiaskari nililo livaa.
"Unamichirizi ya damu puani kaka"
Muhudumu alinionyesha, nikasimama kwenye kioo kilichopo kwenye hichi chumba na kujikuta ni kweli nilitokwa na damu za puani, ambayo kwa sasa imekauka.Muhudumu akanipatia taulo na nikaanza kujifuta
"Alafu, kuna askari walinionyesha picha yako mida ya asubuhi, na kuniuliza kama wewe upo kwenye hii hoteli nikwaambia kwamba uliondoka jana usiku"
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, huku wasiwasi mwingi ukianza kunitawala
"Waliondoka?'
"Ndio waliondoka, ila sijajua kama watarudi tena au la"
"Asante ndugu yangu"
Nikatizama chini, na sikuona bastola zangu nikatambua ni lazima Dorecy atakuwa ameondoka nazo zote,
"Kaka kwani wewe ni askari kweli?"
Jamaa aliniuliza, nikamtazama kuanzia juu hadi chini, kwani maneno ya Dorecy aliyo niambia nisimuamini mtu yakaanza kunirejea kichwani mwangu
"Kwani vipi?"
"Nimeuliza hivyo kwa nia nzuri tu?"
"Nia gani?"
"Kwa maana picha ya sura yako, sio mara yangu ya kwanza kuiona kwenye mach yangu"
"Ulisha wahi kuiona wapi?"
"Wewe si ndio, Eddy?"
Sikustushwa sana kwa maana ninatambua kwamba ninatafutwa karibia nchi nzima ya Tanzania kwa tukio la kumuu Derick
"Mimi sio Eddy?"
"Sawa"
Nikatoka nje ya chumba, nikatizama kwenye kordo zote na kuona hakuna dalili ya kuwa na mtu, nikaanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea kwenye ngazi za kushuka chini, nikaanza kushuka kwenye ngazi ya kwanza, nikaisikia miguu ya watu wakikimbia na kunilazimu kuchungulia chini, nikaona kundi la askari wapatao sita wakipandisha ngazi kwa haraka huku wanne wakiwa na bastola na nyuma yao wakiwa wameongozana na mzee mwenye kitambi kwa haraka nikatambua ni meneja wa hii hoteli.Nikarudi juu haraka na kukutana na muhudumu niliyekuwa chumbani
"Tupandishe huku juu"
Aliniambia huku akitangulia kupandisha ngazi za kuelekea ghorofa ya juu, tukapandisha ghorofa ya juu na kutokea kwenye moja ya mlango wenye ngazi za chuma zilizo elekea chini.Tukaanza kushuka kwa haraka
"Huku ni nyuma ya holet"
Aliniambia, tukashuka hadi chini, tukakuta kijimlango kidogo, kilichopo kwenye ukuta na tuapita na kutokea kwenye hoteli nyingine niliyokuta kibao kikubwa kilicho andikwa ‘Macarios Hotel'
"Tupite huku"
Tukakatiza kwenye reli, na kushika barabara ya kuelekea magharibi kwetu na kutukea kwenye barabara moja inayopitisha magari mengi
"Hapa kunaitwa kwaminchi"
"Sawa"
Tukaendelea kukatiza mitaa, na kufika kwenye mtaa mmoja ulio na nyumba nyingi zilizo banana sana
"Hapa ni mwamboni"
"Kupo kama mbagala"
"Kwa nini?"
"Nyumba zake jinsi zilivyo"
"Karibu ndani"
Tukaingia kwenye nyumba iliyo chakaa kiasi fulani, akanikaribisha ndani kwake, ambapo kuna kitanda na kistuli kimoja, pamoja na nguo baadhi
"Karibu kaka"
"Asante"
Nikakaa kwenye kiti na yeye akaketi kwenye kitanda chake
"Kwa jina mimi ninaitwa Mbasa, ni mwenyeji wa bara, mkoa wa Shinyanga huko"
"Ahaaaa, kwanza ninashukuru kukufahamu, pili ninashukuru kwa kunisaidia"
"Kusaidiana ni jamba la kawaida, hususani kwa vijana kama sisi ambao tunatakiwa kuwa bega kwa bega katika kuhakikisha tunafikia kwenye malengo yetu"
"Nikuulize kitu Mbasa?"
"Uliza tuu"
Unawezaje kumsaidia mtu usiye mjua?"
"Kaka Eddy, mimi ninakujua na nimekuwa nikifwatilia habari zako kwenye magazeti jinsi unavyo tafutwa na jeshi la polisi kwa mauaji ya bwana Derick"
Nikamtazama jamaa vizuri, nikajitazama na mimi vizuri nikajisemea kimoyo moyo hata akitaka kuanzisha ugomvi, ninamudu tena sana
"Isitoshe, nilivutiwa sana na wewe"
"Kwa nini?"
"Umri wako na matukio yako uliyo yafanya ni tofauti"
"Sawa, ila ninakuomba usimuambie mtu juu ya uwepo wangu hapa kwako"
"Si wezi kwa maana ninahitaji tusaidiane"
"Tusaidiane?"
"Ndio, shida uliyo kuwa nayo wewe kidogo inaendana na yakwangu?"
"Shida gani"
***
"Nilizaliwa kwenye familia ya maisha bora, baba alikuwa anamiliki migodi ya madini, alikuwa ni tajiri sana.Ila niliaziliwa peke yangu kwa bahati mbaya mama yangu alifariki kwa ajali ya gari, nilikuwa darasa la sita"
"Baba alilazimika kumuona mwanamke mwengine, ambaye alikuwa ni binti mdogo kiasi na alijaliwa uzuri halisi kutoka kwa Mungu, kutokana na kazi nyingi za baba tangu, alitumia muda mwingi sana kuwa mbali na mama mdogo, ikafikia kipindi nikawa na mahusiano na mama mdogo"
"Badi mama mdogo alipata ujauzito wangu na mbaya zaidi niliwahi kubalehe haraka sana, ule ujauzito tuliulea katika mzingira ya kificho na ninacho mshukuru MUNGU, baba alisafiri kikazi kwenye Ujerumani na alikaa mwaka na nusu so ile ishu hakuijua"
"Mwanangu alizidi kukua pasipo baba kujua hilo, hadi anatimiza miaka mitatu, kama unavyo jua dunia haina siri baba yangu akaja kuligundua lile swala la mimi kuzaa na mama mdogo"
"Huwezi kuamini, kuna siku baba alituomba twende naye shambani, hatukuwa na kipingamizi kutokana tulikuwa hatujui kinacho endelea"
"Ngoja kwanza hapo mtoto wenu mulikuwa mumemuweka wapi?"
"Mtoto, tulimpeleka kwa dada yake yule mama mdogo, pesa za matumizi mimi ndio nilikuwa ninazipeleka pasipo baba kuelewa mchezo"
"Sasa tuifika shambani, tukiwa na mama mdogo, pamoja na baba.Tulikuta watu wake ambao mara chache huwa ninawaona ona, huwezi amini nilimkuta mwangu akiwa ametundikwa juu ya mti huku ngozi yake ikiwa imechunwa kama mbuzi aliye chunwa ngozi"
"Baba, yangu alitugeukia hapo hapo na kuanza kumshambulia mama mdogo kwa ngumi na mateke, huwezi ukaamini nilimshuhudia mama mdogo akichemshwa katika pipa lenye mafuta ya kula, huku akiwa hai, cha kumshukuru MUNGU, niliweza kufanikiwa kukimbia ila niligwa risasi za ya paja na kuanzia hapo sikuweza kumuona baba tena kwenye maisha yangu"
"Ila nilikuja kugundua kwamba baba pia alihusika na ajali ya mama"
"Kisa kilikuwa ni nini?"
"Hadi leo sijajua kisa kilikuwa ni nini hadi baba akaamua kumuua mama"
Nilimsikiliza Mbasa vizuri sana, kidogo yeye ana nafuu sana katika simu lizi ya maisha yake ya nyuma
"Baba yako anaitwa nani?"
"Godwin?"
Nikastuka, na kumtazama vizuri
"Mbona unastuka kaka Eddy?"
"Anaitwa Godwin, yupoje poje?"
"Mrefu kiasi, ni maji ya kunde kidogo, anamwili ulio jazia kidogo na pia anakovu kwenye mkono wake wa kulia, mama aliniambia baba alipataga ajali akiwa kijana"
Sifa ambazo Mbasa alinielezea zifanana na sifa za Mzee Godwin ambaye hapo mwanzo niliamini ni baba yangu ila ukweli ni kwamba ni baba yangu mkuwa, ila kitu kinacho nichanganya ni Mzee Godwin ninaye mjua mimi ni Mwanajeshi
"Ana kazi nyingine anayo ifanya ukiachilia na madini?"
"Ndio, nilikuja kushangaa siku nilipo sikia kwamba amepewa cheo cha kuwa mkuu wa jeshi wakati sijui hata jeshi yeye amekwenda lini?"
Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, nikamtazama Mbasa kuanzia juu hadi chini na kujikuta nikitingisha kichwa kwa kumuonea huruma
"Vita iliyupo mbele yetu ni kubwa sana"
"Kivipi?"
"Mbasa kwanza una umri gani?"
"Miaka ishirini"
Nikatabasamu, tabasamu lililo jaa uchungu kwa kumuonea huruma
"Adui yako ndio adui yangu"
Nilimuambia Mbasa na kumfanya abaki amenitumbulia mimacho,

ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom