Hot story

Hot story

Naona ule usemi "maneno ya mkosaji", story ni nzuri na huo ndio uamuzi wake, tuheshimu maamuzi ya mtu, atakayehitaji atanunua tuu ndio ukweli, huwezi ukawa mpenzi wa story halafu ubanie kutoa 10,000 kununua kitabu ambacho umeshaanza kupata utamu wake. Kama imekuboa wewe susa wengine wale. Eddy malizia story utupe utaratibu wa kupata kitabu, mbona huko bar mnaacha hela nyingi zaidi ya hiyo au kwenye kucheki movie pale mlimani au quality center ni hivyo hivyo tuu. Mnakatishana tamaa halafu msanii asipokuwa na mafanikio mnakuwa wa kwanza kumsema vibaya.
 
Akwende mwanakwenda huyo
Bondia imeisha ngoja tumsubiri Casuist asiyekuwa na majivuno atulee kitu kingine
 
Last edited by a moderator:
Akwende mwanakwenda huyo
Bondia imeisha ngoja tumsubiri Casuist asiyekuwa na majivuno atulee kitu kingine

kasha tuwekea kengine nenda kasome mdada ..tutafanyaje sasa wakati story tunazipenda.
 
Last edited by a moderator:
Watu bwana kupenda vya bure.
Wananuna utadhani ni haki yao ya lazima kupata hadithi yote.
mfyuuuuu

Uza baba washabiki tutanunua
 
Mkuu FMES,

Nimeeleza kuwa kuna mambo mawili ambayo siafikiani nayo kwenye hiyo makala ambayo ni sababu za kukosana hawa wawili, na sababu ya kurudi nyumbani bila shahada. Nakumbuka kusoma maandiko yako siku za nyuma na nakubaliana na wewe kuwa Kambona alikamatwa na masanduku yaliyosheheni dola za US pale Nairobi lakini mwalimu akaruhusu wamwache aende zake. Mbali na kazi yake, hakuwa na shughuli nyingine yoyote ambayo ingehalalisha utajiri aliojipatia haraka haraka. Sasa kama kuzuia wizi mwalimu alikuwa anazuia maendeleo ya wananchi, hiyo iko juu ya uelewa wangu. Kwangu mimi kilichowakosanisha ni ufisadi ambao rangi yake ni sawa kabisa na huu unaopigiwa kelele na kina Slaa ambao sijui kama ni waumini wa azimio la Arusha. Fisadi ni fisadi tu, awe Balali, Nyerere, Kambona...

Kuhusu kurudi bila shahada, naamini kuwa wewe FMES una access ya information toka kwenye sources ambazo ni very reliable. Ukifanya utafiti kidogo utagundua kuwa huyu bwana masomo yalimshinda. Sina sababu yoyote ya kumchukia huyu mzee, lakini nasikitika sana ukweli unapogeuzwa kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Mwalimu anayo madhambi yake na moja ni lile la kukumbatia watu wakiharibu sehemu moja na kupelekwa sehemu kuharibu sehemu nyingine. Lakini pia lipo lile la kutorudi nyuma baada ya kumchukia mtu.

Dawa ya hawa waleta story ni kuwakaushia wanapoposti story zao.hakuna Ku comment vizuri! Lakini akishatupia kamoja tu tayari tunaanza " lete utamu","story nzuri""Leo silali nasubiri utupie mkuu","duuu wewe ni genius big up","mkuu tunakusubiri" n.k.anapata li bichwa anavimba anajua ametukamata hivyo ataposti anavyojisikia.
 
Naona ule usemi "maneno ya mkosaji", story ni nzuri na huo ndio uamuzi wake, tuheshimu maamuzi ya mtu, atakayehitaji atanunua tuu ndio ukweli, huwezi ukawa mpenzi wa story halafu ubanie kutoa 10,000 kununua kitabu ambacho umeshaanza kupata utamu wake. Kama imekuboa wewe susa wengine wale. Eddy malizia story utupe utaratibu wa kupata kitabu, mbona huko bar mnaacha hela nyingi zaidi ya hiyo au kwenye kucheki movie pale mlimani au quality center ni hivyo hivyo tuu. Mnakatishana tamaa halafu msanii asipokuwa na mafanikio mnakuwa wa kwanza kumsema vibaya.

tatizo hajasema kitabu kitakua na stori ngapi.. kama ni muendelezo wa hii ni wizi huo stori imeshafika ukingoni... sasa ununue kitabu halafu uanze kusoma sehemu ulizo kwisha kuzisoma ina maana gani sasa
 
Akwende mwanakwenda huyo
Bondia imeisha ngoja tumsubiri Casuist asiyekuwa na majivuno atulee kitu kingine

Dawa ya hawa waleta story ni kuwakaushia tu kila wakipost story zao! Hakuna Ku comment vizuri.lakini akishatupia kidogo tu ,tunamwagika na ma comment ya kuwasifia mf."mkuu umetisha sana","Leo silali nasubiri utupie nyingine","story tamu hii hadi nimeunguzabiga",mkuu tupia nyingine tupate raha" kwa ufundi wako natamani uwe boy/girl wangu" nk. Wakishaona hivyo mabichwa yanajaa maji,wanaanza kupost wanavyojisikia.nikuwatenga tu na comment za ajabu ajabu
 
Last edited by a moderator:
Eddy sema kitabu kinapatikana wapi nipitie wk end hii nilipie copy yangu nijipe raha mie.
 
Heee uchoyo huo leteni story bana
nitupieni pm basi ninunue kwa mpesa loh!!
story tam ka dudu!! teh!
 
Unajua sijamlazimisha mtu kusoma story yangu kutokana wewe unaye lalamika ungekuwa mwerevu ungetunga yakwako na kufanya utakavyo wewe, hakuna anaye nilpa na maamuzi yangu ndio hayo na siku zote siwezi kuyumbishwa na mtu katika mauzi yangu, ninayo yachukua kama utakuwa ni katika kununia kitabu changu nitakushukuru kama huto nunua hiyo pesa katoe sadaka popote
BY:OWNER
 
Naona ule usemi "maneno ya mkosaji", story ni nzuri na huo ndio uamuzi wake, tuheshimu maamuzi ya mtu, atakayehitaji atanunua tuu ndio ukweli, huwezi ukawa mpenzi wa story halafu ubanie kutoa 10,000 kununua kitabu ambacho umeshaanza kupata utamu wake. Kama imekuboa wewe susa wengine wale. Eddy malizia story utupe utaratibu wa kupata kitabu, mbona huko bar mnaacha hela nyingi zaidi ya hiyo au kwenye kucheki movie pale mlimani au quality center ni hivyo hivyo tuu. Mnakatishana tamaa halafu msanii asipokuwa na mafanikio mnakuwa wa kwanza kumsema vibaya.

Nashukuru kwa kuwaelewesha hao wasio elewa
 
Akwende zake kule basi angesema toka mwanzo kama atatoa epsod chache then kutakuwa na kitabu kizima ambacho kitauzwa au itatakiwa ulipie kiasi kadhaa ili uipate Stori nzima, so mtu uamue kabla hujaanza kusoma kuliko hivi alivyofanya, watu tushanogewa alafu anaanza kutulingia!

Sikia wewe, sinauda wa kumringia mtu cse kazi ninaifanya kwa kujitoa sana na pia kama una uwezo fanya nilicho kifanya mimi na si kuzungumza kitu usicho na uelewa nacho
 
Kama nimekuudhi nisamehe ila na wewe hujui biashara yoyote juu ya uuzaji wa vitabu, haya si madera ukasema yatapitwa na muda wa kuvaliwa
Umenielewa

na hii mipasho yako bora urudi Facebook
 
Hicho ndio wanakosea unakuja kununua kitabu bado sehemu chache hadithi iishe. Na hata kama akitoa kitabu hakitauza sana kama ambavyo asingeitoa kabisa.

Hiyo niliyo ipost ni nusu ya story ya kitabu so usibuni kuhusiana na kitu usicho na uhakika nacho
 
Back
Top Bottom