NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha sija limit wewe tuma yoyote, usije kufa bure😂Mkuu wewe umeweka ya ku download unataka wenzako watume uhalisia.
Eeeeh bwana eeeeeeh Mzigo umeisha🔥
Sasa Altezza nayo itaitwa gari?
Tatizo hakuna chanjo ya Ujinga..! Yote haya yangezuilika..!Sasa Altezza nayo itaitwa gari?
Hizi ndo gari sasaTatizo hakuna chanjo ya Ujinga..! Yote haya yangezuilika..!
Sasa Altezza nayo itaitwa gari speed mwisho 180kph wakati wenzio wanapiga 320kph?
HahahaNimeshindwa kukutumia ya kwangu nikiwa 220 na Bike
Hakika😂Tatizo hakuna chanjo ya Ujinga..! Yote haya yangezuilika..!
Leta hata kama ist we maliza kisahani
Kisahani kwa 180kph?Leta hata kama ist we maliza kisahani
180kph ni speed ya kawaida kama upo kwenye kipande kizuri cha barabara, ushujaa unaanza when you go above 180kph.Kisahani kwa 180kph?
Sure. Huyu bweggge anaona kaumaliza 180 kph ndo kayapatia180kph ni speed ya kawaida kama upo kwenye kipande kizuri cha barabara, ushujaa unaanza when you go above 180kph.
Hahaha sasa si ndio kisahani alichonacho 🤣Sure. Huyu bweggge anaona kaumaliza 180 kph ndo kayapatia
Mkuu wewe umeweka ya ku download unataka wenzako watume uhalisia.