NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
- Thread starter
- #41
😂You Gonna die as HarmonizeHii michezo mingine tutabadilishiwa Majina sasa na kuanza kuwa MAREHEMU sio mizuri ukifikiria ugali ulivyo mtramu mniache tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂You Gonna die as HarmonizeHii michezo mingine tutabadilishiwa Majina sasa na kuanza kuwa MAREHEMU sio mizuri ukifikiria ugali ulivyo mtramu mniache tu
Hio ipo fresh kisahani ulikimalizia njia ipi hio? Mimi naikubali sana Caldina GT four sema yenyewe haina manual version...na conversion yake transmission ni ngumu sana kuzipataYes..! Hiyo hiyo..
Iiitwe nini sasaSasa Altezza nayo itaitwa gari?
Mtu anilipe hii Brevis 1JZ
Gari inakuwa kama inaelea haigusi chiniHiyo speed sio mchezo Kwa madereva tunajua jinsi Hali inavyokuwa
Si mchezo aisee!!!!Gari inakuwa kama inaelea haigusi chini
Hahahaha other dangerous things to watch is fun.Mods futeni huu uzi unamotivate uendeshaji usio mzuri.
Kisaani kinamalizwa mpaka barabara ya vumbi😅Hvyo visahani unavivunjia kwa barabara zipi? Hiz hiz za bongo ama?
Sasa angalia hizo speed zao za 300 alaf uje uzijaribu kwenye road za huku za zilizojaa mashimo uoneKisaani kinamalizwa mpaka barabara ya vumbi😅