Mmmh classic gani hiyo[emoji849] tbh hapo umevaa mlenda na pilau. Havijanoga kabisa
Kikubwa ni CONTENT ambazo nimeeandika Just Ready to get some knowledge about FASHION&STYLES.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweliNilishashindwa kuvaa surauli ya kitambaa. Labda siku hio Niko zamu ya kuhudumu Kanisani, nikitoka hapo naenda kuvua. Inaninyima Uhuru saaana
Kitochi Original
Sasa kila siku Niko porini, hio suruali yaa kitambaa nitaivalia wapi?? Hadi Jumapili tu nikiwa nahudumu tena au labda Nina high profile meeting pengine
Siku nyingine mwendo wa jeans tuSasa kila siku Niko porini, hio suruali yaa kitambaa nitaivalia wapi?? Hadi Jumapili tu nikiwa nahudumu tena au labda Nina high profile meeting pengine
Sina gharama, navaa zile za kichina tu za 15,000 kikubwa kuficha naniliu tu
Si kwa MwamposaWw mlokole?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hiyo unataka kusema ulokole=ushamba?Aliyevaa hivyo kavaa kishamba sana yan..mapigo ya kilokole hayo
Hahaha sawaSina gharama, navaa zile za kichina tu za 15,000 kikubwa kuficha naniliu tu
Mtaua kipaji na uthubutu kwa kweli.Duuuuuhhh...
Suruali ya kitambaa na mashati ya kung'aa hivyo mara ya mwisho nilivaa kwenye mahafali ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 1994.
Mpaka leo na utu uzima wangu huu ni mwendo wa kadet, jeans nyepesi, tishet na shati simple.
Siku nikivaa ming'aro kama hiyo hata wife anaweza kuomba likizo ya muda mfupi akatulize akili home kwao kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuuhhh...
Suruali ya kitambaa na mashati ya kung'aa hivyo mara ya mwisho nilivaa kwenye mahafali ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 1994.
Mpaka leo na utu uzima wangu huu ni mwendo wa kadet, jeans nyepesi, tishet na shati simple.
Siku nikivaa ming'aro kama hiyo hata wife anaweza kuomba likizo ya muda mfupi akatulize akili home kwao kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa mpe support mwana, sio poa. Hujui leo j2 katoka kuabudu.Masikini alijua sijui ni IG humu [emoji4][emoji4].
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee wa kutokelezea na suti aje ajiachie siosi ndo hili hili la urembo na utanashati.. tupia tu zile suruali za suti ili tujifunze zaidi [emoji4]
Huyu mwamba amefeli mzee wangu siwezi mpasupport kabisa kabolonga vitu hapo code inasoma error 😂