Hot topic: Uvaaji wa suruali za kitambaa

Hot topic: Uvaaji wa suruali za kitambaa

Wakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje

ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu

ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu

hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa

ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo

tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray

usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora nichomekee suruali kwenye soksi kuliko kuchomekea shati kwenye suruali sisi wenye mabusha kuchomekea ni fedhea kwetu
 
Uliyoandika nasema upo sahihi kwa mtazamo wangu.

Ila ikiwa hiyo picha ndiyo ulichozungumza si sawa.

1.Kiatu ulichovaa ni black wakati huo mkanda ni brown (Vinapaswa viwe na rangi moja)

2.Suruali ina lux (kama nimekosea nirekebishe) kubwa wakati mkanda ulionao ni mdogo hivyo inafanya mkanda kupanda juu ya lux hii haitakiwi.

3.Aina ya kitambaa ulichochagu (Hapa nisiseme sana tunatofautiana).

4.Aina ya saa uliyovaa haendani na namna ulivyovaa.

NB....Kiatu ulichovaa ni kizuri ila umekishusha hadhi kukivalia nguo zisizoendana.
Hot as the heading. Naona unamfanyia upembuzi yakinifu mtoko wake Bora wa muda wote.
 
Kwa hiyo ukifanya mazoezi miguu inapungua urefu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo mazoezi mengi tu ya kutengeneza mwili wako vile utakavyo. Kuipunguza miguu isiwe mirefu,ni kufanya mazoezi ya kuijaza jaza,ya chini sana,kichura sana,ruka kijeshi sana. Kukimbia kwa kupanda kupanda ngazi au mlima. Hata kule kukua kwa kasi kunapungua sana,ksbb unai-disturble. Unatengeneza shep ya mwili kuchangamka hata kwa muonekano. Mavazi pia yaendane na ulivyo. Bahati mbaya vijana hawa wa siku hizi wavivu mbayaa. Sisi wakati tunakuwa ulikuwa unachekwa ukiwa kizembe hivyo,mpaka unakomaa kuubadirisha kwa kasi. Imenijengea mpaka sasa,miaka 40's hakuna siku inapita bila mazoezi. Wewe madam unafikiri kwa nini mtu kama huyo huyo kimguu kimejaa,kijitu kama kimekomaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yapo mazoezi mengi tu ya kutengeneza mwili wako vile utakavyo. Kuipunguza miguu isiwe mirefu,ni kufanya mazoezi ya kuijaza jaza,ya chini sana,kichura sana,ruka kijeshi sana. Kukimbia kwa kupanda kupanda ngazi au mlima. Hata kule kukua kwa kasi kunapungua sana,ksbb unai-disturble. Unatengeneza shep ya mwili kuchangamka hata kwa muonekano. Mavazi pia yaendane na ulivyo. Bahati mbaya vijana hawa wa siku hizi wavivu mbayaa. Sisi wakati tunakuwa ulikuwa unachekwa ukiwa kizembe hivyo,mpaka unakomaa kuubadirisha kwa kasi. Imenijengea mpaka sasa,miaka 40's hakuna siku inapita bila mazoezi. Wewe madam unafikiri kwa nini mtu kama huyo huyo kimguu kimejaa,kijitu kama kimekomaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa rafiki nimekuelewa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje

ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu

ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu

hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa

ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo

tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray

usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia😂😂😂
Haha! Kwamba kwa mpangilio tu wa mavazi watu wenye macho ya rohoni mmeona mpaka spray anayotumia. Spray yake bila shaka ndo ile akipulizia hapa mpaka mtaa wa 9 huko wananusishwa harufu.
 
Nice ila next time match pia rangi ya mkanda na kiatu!
 
Wakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje

ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu

ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu

hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa

ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo

tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray

usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia[emoji23][emoji23][emoji23]
Rejea picha za Obama akivaa shati khasa jeupe anakunja mikono ingawa c mpaka juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu wakuu leo ningependa tuongelee uvaaji wa suruali za kitambaa.

Kawaida unapohitaji kuvaa suruali za vitambaa kwanza kitu cha umuhimu kinachohitajika ni shati ya juu itakayoendana na Dress code ya suruali ya chini.

Kwa kawaida ni lazima uchague shati ambalo ni classic kwasababu ule muonekano wako wa juu ndio utakao match na suruali ya chini ya kitambaa na kuonekana classic.

Watu wengi wanakosea katka muunganiko wa juu ili kumatch na chini so kitu cha pili ni ngozi yako. Automatically unapovaa nguo ya aina yoyote ile jaribu kumatch na colour yako ya ngozi.

Hii itakusaidia pia utakapovaa utakuwa classic tofauti na kuvaa mavazi ambayo hayaendani na colour yako kama ni black. Mfano angalia suruali za kitambaa mfano Kijivu, Brown.

View attachment 1350894View attachment 1350896

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi picha yako tu imenichekesha
 
Back
Top Bottom