Kwa hiyo ukifanya mazoezi miguu inapungua urefu?Muda mwingine sio uumbaji ni vile tu uvaavyo na jinsi unavyoamua kujiweka. Mwanaume uwe mkakavu hata kama sio sana. Fanya mazoezi yapo mengi kukuweka fit mkuu. Sio unaregeza miguu kama mrenda
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamani jamaniWakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje
ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu
ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu
hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa
ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo
tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray
usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee wa kutokelezea na suti aje ajiachie sio
Sent using Jamii Forums mobile app
Hot as the heading. Naona unamfanyia upembuzi yakinifu mtoko wake Bora wa muda wote.Uliyoandika nasema upo sahihi kwa mtazamo wangu.
Ila ikiwa hiyo picha ndiyo ulichozungumza si sawa.
1.Kiatu ulichovaa ni black wakati huo mkanda ni brown (Vinapaswa viwe na rangi moja)
2.Suruali ina lux (kama nimekosea nirekebishe) kubwa wakati mkanda ulionao ni mdogo hivyo inafanya mkanda kupanda juu ya lux hii haitakiwi.
3.Aina ya kitambaa ulichochagu (Hapa nisiseme sana tunatofautiana).
4.Aina ya saa uliyovaa haendani na namna ulivyovaa.
NB....Kiatu ulichovaa ni kizuri ila umekishusha hadhi kukivalia nguo zisizoendana.
Yapo mazoezi mengi tu ya kutengeneza mwili wako vile utakavyo. Kuipunguza miguu isiwe mirefu,ni kufanya mazoezi ya kuijaza jaza,ya chini sana,kichura sana,ruka kijeshi sana. Kukimbia kwa kupanda kupanda ngazi au mlima. Hata kule kukua kwa kasi kunapungua sana,ksbb unai-disturble. Unatengeneza shep ya mwili kuchangamka hata kwa muonekano. Mavazi pia yaendane na ulivyo. Bahati mbaya vijana hawa wa siku hizi wavivu mbayaa. Sisi wakati tunakuwa ulikuwa unachekwa ukiwa kizembe hivyo,mpaka unakomaa kuubadirisha kwa kasi. Imenijengea mpaka sasa,miaka 40's hakuna siku inapita bila mazoezi. Wewe madam unafikiri kwa nini mtu kama huyo huyo kimguu kimejaa,kijitu kama kimekomaa?
Sawa rafiki nimekuelewa vizuriYapo mazoezi mengi tu ya kutengeneza mwili wako vile utakavyo. Kuipunguza miguu isiwe mirefu,ni kufanya mazoezi ya kuijaza jaza,ya chini sana,kichura sana,ruka kijeshi sana. Kukimbia kwa kupanda kupanda ngazi au mlima. Hata kule kukua kwa kasi kunapungua sana,ksbb unai-disturble. Unatengeneza shep ya mwili kuchangamka hata kwa muonekano. Mavazi pia yaendane na ulivyo. Bahati mbaya vijana hawa wa siku hizi wavivu mbayaa. Sisi wakati tunakuwa ulikuwa unachekwa ukiwa kizembe hivyo,mpaka unakomaa kuubadirisha kwa kasi. Imenijengea mpaka sasa,miaka 40's hakuna siku inapita bila mazoezi. Wewe madam unafikiri kwa nini mtu kama huyo huyo kimguu kimejaa,kijitu kama kimekomaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha! Kwamba kwa mpangilio tu wa mavazi watu wenye macho ya rohoni mmeona mpaka spray anayotumia. Spray yake bila shaka ndo ile akipulizia hapa mpaka mtaa wa 9 huko wananusishwa harufu.Wakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje
ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu
ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu
hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa
ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo
tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray
usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia๐๐๐
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hadi muda huu nasikia harufu ya kiepe nyumba nzima. Sio poa mazee[emoji23][emoji23][emoji23] acha na hilo bango mzee wangu jiandae mchana unamaswali mengi sana ya kujibu hapo baadaye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona anatoa likes kimya kimya. Asiogope kuleta na zile pigo za four angles, throwback [emoji23][emoji23]
Rejea picha za Obama akivaa shati khasa jeupe anakunja mikono ingawa c mpaka juuWakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje
ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu
ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu
hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa
ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo
tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray
usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi picha yako tu imenichekeshaHabari za wakati huu wakuu leo ningependa tuongelee uvaaji wa suruali za kitambaa.
Kawaida unapohitaji kuvaa suruali za vitambaa kwanza kitu cha umuhimu kinachohitajika ni shati ya juu itakayoendana na Dress code ya suruali ya chini.
Kwa kawaida ni lazima uchague shati ambalo ni classic kwasababu ule muonekano wako wa juu ndio utakao match na suruali ya chini ya kitambaa na kuonekana classic.
Watu wengi wanakosea katka muunganiko wa juu ili kumatch na chini so kitu cha pili ni ngozi yako. Automatically unapovaa nguo ya aina yoyote ile jaribu kumatch na colour yako ya ngozi.
Hii itakusaidia pia utakapovaa utakuwa classic tofauti na kuvaa mavazi ambayo hayaendani na colour yako kama ni black. Mfano angalia suruali za kitambaa mfano Kijivu, Brown.
View attachment 1350894View attachment 1350896
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa. Mavazi yangu ni Jean's na kadet kwenye mnusoDah...tuko tofauti...mie kitambaa nadhani mwisho kuvaa ni miaka ya 70 mwanzoni mkuu...Sasa hivi ni jeans tu au kadet kwenye minuso [emoji2960][emoji41]
Sent using Beretta ARX 160
Ajaacha na ile harufu nyingine ya nani..... ๐๐๐๐ savage.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hadi muda huu nasikia harufu ya kiepe nyumba nzima. Sio poa mazee
Sent using Jamii Forums mobile app