Hotel au lodge nzuri Bukoba Mjini 30-50 chakula na club jirani

Hotel au lodge nzuri Bukoba Mjini 30-50 chakula na club jirani

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
 
The liquid lounge, the mint, cassanova, tanpoint, sun rise pub, kolping hotel,...etc.

Usisahau kufika forest kuelekea maruku....
 
Habari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Kuuliza ili upate taarifa sahihi si ujinga.Lakini,kwa kufanya hivyo,huwa mnafikiria na usalama wenu kwa ujumla mnauweka katika hali gani?Watu wabaya wanaweza kucheza na akili yako hadi ukaingia relini na wakakuumiza.Kuweni makini sana.
 
Habari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Nenda NEW KANON lodge Pako ok
 
Habari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Sasa mkuu kama syo limbuken n nn wee hyo pesa yako ndy unakuja kutafuta ushaur JF mm naona ulale tu hapo stend kwa hyo pesa yako
 
Kuuliza ili upate taarifa sahihi si ujinga.Lakini,kwa kufanya hivyo,huwa mnafikiria na usalama wenu kwa ujumla mnauweka katika hali gani?Watu wabaya wanaweza kucheza na akili yako hadi ukaingia relini na wakakuumiza.Kuweni makini sana.
Nisahihi mkuu
 
Back
Top Bottom