malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Ipi Ina totoz wakali wasiotaka 'maneno' mengi?The liquid lounge, the mint, cassanova, tanpoint, sun rise pub, kolping hotel,...etc.
Usisahau kufika forest kuelekea maruku....
Kuuliza ili upate taarifa sahihi si ujinga.Lakini,kwa kufanya hivyo,huwa mnafikiria na usalama wenu kwa ujumla mnauweka katika hali gani?Watu wabaya wanaweza kucheza na akili yako hadi ukaingia relini na wakakuumiza.Kuweni makini sana.Habari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Sahii sio toto linauza afu linataka mpaka litongozweIpi Ina totoz wakali wasiotaka 'maneno' mengi?
Nenda NEW KANON lodge Pako okHabari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Forest pazuri sana mazingira tulivu, na ile miti yao upepo kama uko beach vileThe liquid lounge, the mint, cassanova, tanpoint, sun rise pub, kolping hotel,...etc.
Usisahau kufika forest kuelekea maruku....
Hiyo Liquid ni balaa.The liquid lounge, the mint, cassanova, tanpoint, sun rise pub, kolping hotel,...etc.
Usisahau kufika forest kuelekea maruku....
Sasa mkuu kama syo limbuken n nn wee hyo pesa yako ndy unakuja kutafuta ushaur JF mm naona ulale tu hapo stend kwa hyo pesa yakoHabari wakuu, Niko safarini kuelekea Bukoba Mjini naomba msaada wenu kwa wanaoijua Bukoba vizuri. Nauliza hotel au lodge nzuri kwa buget ya 30-50 ambapo chakula kizuri jirani kitapatikana pia patakua jirani na night club kushangaa shangaa kidogo
Nisahihi mkuuKuuliza ili upate taarifa sahihi si ujinga.Lakini,kwa kufanya hivyo,huwa mnafikiria na usalama wenu kwa ujumla mnauweka katika hali gani?Watu wabaya wanaweza kucheza na akili yako hadi ukaingia relini na wakakuumiza.Kuweni makini sana.
Umri na majukumu.Jamaa zetu wakishazipata iwe kwa mikopo,faida ya kazi,malipo likizo au za deal ni hatari.Ni vema wautumie muda huu vema ujanani ili wasilete aibu uzeeni.Mkuu unapenda minyanduano sana unaonyesha
Hapa bukoba ukimwambia mtu unaenda LIQUID.. anawaza ww n mtu wa mizagamuo.Hiyo Liquid ni balaa.
Mji wenyewe una sifa hiyo.Atakayekushangaa ni wa kuwambwa makofi.Hapa bukoba ukimwambia mtu unaenda LIQUID.. anawaza ww n mtu wa mizagamuo.
Turn point pakiseng eti bar wanaweka kiingilio 5,000 eti Kuna dj lufufu sijui mafufu kaja kutoka daslamu, ushamba kabisThe liquid lounge, the mint, cassanova, tanpoint, sun rise pub, kolping hotel,...etc.
Usisahau kufika forest kuelekea maruku....
Wapi pazurTurn point pakiseng eti bar wanaweka kiingilio 5,000 eti Kuna dj lufufu sijui mafufu kaja kutoka daslamu, ushamba kabis