Njoo KINGDOM, WAKO VIZURI SANAJamani mimi nataka niende Mwanza next week. Hotel gani ni nzuri ya kufikia? Nice food, clean rooms, drinks na interaction ya yale mambo yetu pendwa! Kwangu mimi Usafi na Usalama ni priority than anything!
Bajeti yangu 60-80K.
NB: Siulizii Guest House za akina Geita, Visano, Shinyanga et al. Huko nilishalala vya kutosha miaka hiyo!
Kwa kuwa Michadema ni mifisadi na inayovunja sheria.Weka picha ya hiyo hotel.....kama ni kweli basi mmiliki wake atakua kwa namna moja anajihusisha na chadema.
Hiyo budget ya Hotel za kawaida sana,hoteli gani ya kisasa utapata chini ya USD 50?labda unaota.Jamani mimi nataka niende Mwanza next week. Hotel gani ni nzuri ya kufikia? Nice food, clean rooms, drinks na interaction ya yale mambo yetu pendwa! Kwangu mimi Usafi na Usalama ni priority than anything!
Bajeti yangu 60-80K.
NB: Siulizii Guest House za akina Geita, Visano, Shinyanga et al. Huko nilishalala vya kutosha miaka hiyo!
Reli haikati kona baba reli ina nyookaDah kweli serikali haina huruma km kifo, hotel nzur km hyo wanaibomoaaa, wanashindwa kudivert hyo reli yao?
Umetapika ...ww ni muudumu wa pale nini?.....Uzushi na upuuzi mtupu hotel hiyo haiwezi bomolewa kwani IPO away 123m away kutoka hifadhi ya reli. Wadanganye wa dar. Labda use me wakiibomoa basi reli itabidi ipite ndani ya ziwa kitu ambacho ni impossible. Tafuta mada nyingine kilaza wewe.
Ila kile kiwanda nao wamesogea mno relini, pia na yale makaburi ya wahindi nayo pia wanasema yatapitiwa
Kweli umechoka mkuu. Duh!Aaaargh... Waivunje tu. Na ikibidi na mmiliki wamuue. Nimechoka kusikia habari za hovyo kila siku. Badala ya kusikia mema kiiiila siku huyu katumbuliwa, mara sukari bei juu, kule unga haukamatiki. Potelea kweusi!! !!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mmbea mwandamizi. Tangia umetaka kuibiwa na matapeli wa voda umekuwa kmyaaa....hy kalete huo ubuyuNgoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba
Wewe upo hapo unamwita aje hapo. Je wewe ni mfanyakazi au mteja?Njoo KINGDOM, WAKO VIZURI SANA
acha awe na kinyongo ila tunataka kubomoahawawezi kubomoa hawana ela ya kujenga reli wanatuletea story nyingi tu kiufupi serikali ya huyu jamaa haitafanikiwa kwani anavinyongo na watu na tambua mtu mwenye kinyongo huwa hafanikiwi hvyo kubomoa hawez ela ya reli anatoa wap
haya tunasubiri hahahahaaa
Ya karibia na reliYale ya upande wa juu au upande wa chini
Duuuh mbna iko mbali na reli mana kabla ya ryan kuna railway police n mwanza insituteWa karibia na reli
Before you seal the deal nyie asherati you have to deal with details of the deal !Before the deal we are supposed to seal the deal