Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

Kama hutojali kafikie nyegezi karibu na jembe beach kuna hotel inaitwa semanene ni ya maana kweli na pametulia alongside beach......wanazo room za 100,000....80,000 na 60,000

100,000 unapewa breakfast, lunch, evening coffee pamoja na dinner for free

80,000 unapata breakfast, lunch na evening coffee tu

60,000 ni breakfast tu

Lakini they offer a very good service...
Futa neno free! Breakfast lunch dinner includsive kwenye 100000 boarding rate!
 
tumeongea sana humu lakini wote hatuna uhakika kama hii Habari ni ya kweli au bado ni tetesi, tunaomba Habari kamili juu ya hili ili tusisugue akili zetu bure
 
Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.

Mwenye habari kamili atuhabarishe...

View attachment 532544

ryan-s-bay-hotel-28891-276d06465f019e388ce6f4d02f4713abd0e8e162.jpeg

Duu sasa nikienda Mwanza town ntalala wapi ?
 
Isije ikatokea kama ile issue ya Kituo cha mafuta?
Mpaka MTU anajenga,anakamilisha ujenzi anafungua biashara (Jiji/Wizara ya ardhi, Rahaco,TRA,Maliasili na utalii,) mlikuwa wapi?
Unless kama aliforge documents, lakini anapolipa kodi ya jengo,biashara n.k anatambulika kama nani huko wapi (plot no.....block.....),Je nyaraka zinaonesha nini?
 
I see..such a nice place... and investment.
 
Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.

Mwenye habari kamili atuhabarishe...

Sidhani..maana iko mbali na reli bwana.ukitoka kituo cha reli unaenda nyumba nyingine mbele then ndo unafika hotelini hapo na hata upande wa kule ziwani bado iko mbali.pale yataliwa makazi ya Shafik,makaburi ya wahindi,upande wa kiwanda cha Vicfish na ile GBP kituo ya mafuta,matenki ya BP pia na si hiyo Ryans Bay Hotel.
 
Ni kweli jengo limepigwa xxx Bomoa lakini hijajulikana mwisho itakuaje,ni hali ya wasiwasi kwa wafanyakazi na mmiliki.
 
Mimi sishangai maana kipindi cha dhaifu....sheria zilienda likizo. Lakini hata sisi wananchi.....utawekeza kweli hayo mabilioni bila kujiridhisha jamani? Kama alivamia ardhi ya umma aondolewe tuu. Hakuna namna.
 
Hiyo reli itakuwa inaelekea wapi, maana kwa kumbukumbu zangu hotel hii iko pembeni ya stesheni ya reli Mwanza baada ya majengo mengi tu ndo unaifikia. Kutoka pale stesheni kuna reli inayoelekea bandarini maeneo ya Kamanga, sasa reli ya kupita Ryan hotel inaenda wapi? Au ni suala la mazingira maana iko mita chache sana kutoka ziwa Victoria
 
Back
Top Bottom