IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
...Pia usisahau kama ina uhusiano wowote makamanda wa CDMNgoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba