The_Analyst
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 241
- 86
- Thread starter
- #21
Miche ya miti ya mgunga inapatikana wapi wadau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa Haa Dodoma TenaKwaiyo ile bahari posta pale huioni au mwenzetu upo dodoma
Haa Ipo Tele Dodoma, Singida, MorogoroMiche ya miti ya mgunga inapatikana wapi wadau?
nataka kuagiza mche.... nipe connection nitalipia na gharama za usafiriHaa Ipo Tele Dodoma, Singida, Morogoro
Unapata Mche Ama Mbegu Inapokuwa Mikubwa Ina Miba Hatari
Sina Connection Namna Utakavyoupatanataka kuagiza mche.... nipe connection nitalipia na gharama za usafiri
nimeserch google map sijaona sehem inaitwa mzakwe kimara... unaweza share google locationSina Connection Namna Utakavyoupata
Ila Ukipata Mtu Aende Pale Jeshini Jirani Na Mzakwe Kuna Bonde La Ufa Imejaa Tele
Kutoka Posta Dar Es Salaam Mpaka Kimara
Mkuunimeserch google map sijaona sehem inaitwa mzakwe kimara... unaweza share google location
Kwa taarifa yako ni kwamba ndege dume humjengea mpenzi wake jike na kumkabidhi, jike hukagua na akiridhika anaingia na kuishi humo, endapo hataridhika kinachofuatia ni kukibomoa kiota kwa hasira mbele ya bwana wake! Viumbe vyote hufanana kimaisha.Habari Wana jamvi,
Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.
Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.
Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.
Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165
"mtu Fulani wa miiba"! Huyo ni kiboko wa wachawi Makangarawe.Kulikuwa na mtu Fulani wa miiba ndio walijenga hapo. Ule mti nahisi ndio uliwavutia
wanaume tutafika mbinguni tumechoka sn😀😀Kwa taarifa yako ni kwamba ndege dume humjengea mpenzi wake jike na kumkabidhi, jike hukagua na akiridhika anaingia na kuishi humo, endapo hataridhika kinachofuatia ni kukibomoa kiota kwa hasira mbele ya bwana wake! Viumbe vyote hufanana kimaisha.
duhh kwanini lakin???🙄Mi nilisafiri nikarudi nkakuta kiota mlangoni
Niliwatimua
Kwani boss wakiwa ndani ya fence wapiga njia hawawezi kuwarushia mawe? Hapo southern Sun pana utulivu wa kutosha. Kwa hiyo siku ya kwanza tu walipokuja wakatulia kwenye hiyo miti hawakupata bugudha yoyote wakamua kuhamia. Hivi na kwako siku wakiwa wanakuja wasipate hiyo bugudha utawaona wameanza kujenga. Hawa sisi tuliokulia vijijini walikuwa wanajenga sana kwenye miti mkubwa majumbani shida ilikuwa manati!hapa nilipo miti ipo ndani ya fence so sio rahisi kupigwa mawe.
Arusha ipo mingi sanaaaHuu mti wa mgunga naweza kuupataje?.... nimeulizia kwa hawa wauza maua hawana..... nipe contact ntaulipia niletewe mche.
sijalelewa hapa "Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu."
kwangu pana utulivu nikikosa hii miti ya miiba ambayo inakuwa mikubwa nitaweka palms tu, fence ni ndefu kwenda juu so watoto hawawezi kuwasumbuaKwani boss wakiwa ndani ya fence wapiga njia hawawezi kuwarushia mawe? Hapo southern Sun pana utulivu wa kutosha. Kwa hiyo siku ya kwanza tu walipokuja wakatulia kwenye hiyo miti hawakupata bugudha yoyote wakamua kuhamia. Hivi na kwako siku wakiwa wanakuja wasipate hiyo bugudha utawaona wameanza kujenga. Hawa sisi tuliokulia vijijini walikuwa wanajenga sana kwenye miti mkubwa majumbani shida ilikuwa manati!
kama upo Arusha nitumie mche au mbeguArusha ipo mingi sanaaa
Unataka??Miche ya miti ya mgunga inapatikana wapi wadau?
Upo wapi ..??kama upo Arusha nitumie mche au mbegu
ndio tuongee dili nipo DarUnataka??
Nipo DarUpo wapi ..??