Booking imejaa hadi january 5,2017Huwa wanapata wateja wangapi kwa wiki?
Mkuu pesa ni maamuzi tu kutumia... Na hakuna kitu kinachoweza kupofusha kama penzi...Mkuu unamudu gharama lakini
Mkuu rudia thread utamjua mwekezaji..!jamani amewekeza mtanania ama mwekezeji wa nje? Maana kama ni mtanzania basi anaota ndoto kuweka gharama hizo ni mwizi number moja!! tena fisadi aliyekubuhu na jambazi. Hiwezekani siku moja 22,000,000
Baada tu ya kuona 22,000,000 a night hata sikuendela maana ilinichefua. naona huyo aliwekeza kabla ya MAKUFULI KUFUNGA NA KUTUPA FUNGUO. Kwa sasa kama anapata wateja labda 100% wa njeMkuu rudia thread utamjua mwekezaji..!
Kama hajakufia huko ukarudi na mwili shauli yako..M22?? Jamani dunia hii MUNGU anawaonangoja nitafute mstaafu mmoja tukakule bata huko.
Ucjaliii mkuu shuka pale mambo mazuriiiiKuna kiwanja changu goba nakiuza na hii brevis yangu nikalale hapo hata siku mbili na m bongo movie mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wahaya sifa zimewazidi kimo.Tena kwa sisi wahaya maeneo kama hayo hua hatulali tunachukua short time tu kuinjoi
Hii kali. Nimeipenda.Tena kwa sisi wahaya maeneo kama hayo hua hatulali tunachukua short time tu kuinjoi
View attachment 390027Hoteli hii iko katika kisiwa cha Thanda kusini mwa Tanzania, ina vyumba 5 vya kulala ambapo itakugharimu shilingi milioni 22 kulala hapo kwa usiku mmoja.
Hoteli hii inakadiriwa kuwa na ukubwa wa ekari 20 ikiwa imezungukwa na viumbe mbalimbali wakuvutia waliomo ndani ya maji.
Hoteli hii inapakana na kisiwa cha Mafia, unaweza kufika kwa kutumia helikopta kutokea Dar es salaam, au kwenda kwa ndege hadi Mafia na kisha kutumia Boti maalum kwa ajili ya wateja.
Ukiwa katika hoteli hii unaweza kufurahia mambo mbalimbali kama kuogelea, uvuvi, diving.
Hoteli hii inamilikiwa na Christin na Dan Olofsson kutoka nchini Sweden. Walikuwa na ndoto za kutafuta eneo ambalo halijakaliwa na watu na kutengeneza sehemu tulivu ya kupumzika na ndipo wakalipata eneo hilo Tanzania.