Hoteli mpya Tanzania, wateja hulipa shilingi milioni 22 kwa usiku mmoja

jamani amewekeza mtanania ama mwekezeji wa nje? Maana kama ni mtanzania basi anaota ndoto kuweka gharama hizo ni mwizi number moja!! tena fisadi aliyekubuhu na jambazi. Hiwezekani siku moja 22,000,000
 
jamani amewekeza mtanania ama mwekezeji wa nje? Maana kama ni mtanzania basi anaota ndoto kuweka gharama hizo ni mwizi number moja!! tena fisadi aliyekubuhu na jambazi. Hiwezekani siku moja 22,000,000
Mkuu rudia thread utamjua mwekezaji..!
 
Mkuu rudia thread utamjua mwekezaji..!
Baada tu ya kuona 22,000,000 a night hata sikuendela maana ilinichefua. naona huyo aliwekeza kabla ya MAKUFULI KUFUNGA NA KUTUPA FUNGUO. Kwa sasa kama anapata wateja labda 100% wa nje
 
Kawaida sana hizo m22..ukichange to dollars watu tunatumia zaidi ya hiyo
 
Nilikuwa huko last Week..kuko vizuriii sanaa...
 

Mh kwa wakat huu aiiseee [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji113]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…