Hoteli ya kisasa yafunguliwa JKIA huku idadi ya wasafiri ikiongezeka

Hoteli ya kisasa yafunguliwa JKIA huku idadi ya wasafiri ikiongezeka

Hivi baada ya KANU kufa mali zake ilizochuma enzi za chama kimoja hatima yake imekuwaje? Maana huku kwetu Tz ma ccm bado yameng'ang'ania mali za umma nakugeuza mali za chama chao

Mali gani za umma zilizong'ang'aniwa na CCM ? Acha wivu wa kike, angalia picha hiyo chini ukajinyonge kabisa.

UVCCM+TOWER.jpg

Jengo la kitega uchumi cha Jumuiya ya Vijana ya CCM, (UVCCM), amnbalo limejengwamkabala na jengo la zamani la jumuiya hiyo, linaonekana upance wa kulia wa jengo hilo jipya, barabara ya Morogorojijini Dar es Salaam
 
Mali gani za umma zilizong'ang'aniwa na CCM ? Acha wivu wa kike, angalia picha hiyo chini ukajinyonge kabisa.

UVCCM+TOWER.jpg

Jengo la kitega uchumi cha Jumuiya ya Vijana ya CCM, (UVCCM), amnbalo limejengwamkabala na jengo la zamani la jumuiya hiyo, linaonekana upance wa kulia wa jengo hilo jipya, barabara ya Morogorojijini Dar es Salaam

Ofisi za makao makuu Dodoma, Lumumba ,mikoani kote na viwanja vyote vya mpira ni mali ya umma.

Hilo jengo na ukimbi wenu mpya wa wachina kule Dodoma ndo mali yenu , umesikia we mla rambi rambi?
 
Ofisi za makao makuu Dodoma, Lumumba ,mikoani kote na viwanja vyote vya mpira ni mali ya umma.

Hilo jengo na ukimbi wenu mpya wa wachina kule Dodoma ndo mali yenu , umesikia we mla rambi rambi?

Mali zote za CCM hizo, punguza wivu jamaa. CCM ligi yake ni ANC ya Afrika Kusini sio vyama vya ovyo ovyo kama Chadema. Tuachane na haya mambo na turudi kwenye msingi wa mada iliyopo hapa.

23.jpg
 
Back
Top Bottom