Hoteli ya nyota Tatu inajengwa Chato, Wana-CCM mnafurahishwa na kitendo cha kupeleka kila mradi wa ujenzi Chato?

Miaka mingi sana kulikuwa na mpango wa kujenga Hotel ya Nyota Tano maeneo ya KIA ili Watalii wakija Kanda ya Kaskazini wafikie kwenye Hotel hiyo ndo waende Mbugani au Kilimanjaro na waondokee hapo. TANAPA wanajua mpango huo lakini walivyo na Akili finyu za kuongeza wanakwenda kujenga Chato ambako itachukua miaka 50 kufikia hali ya Mbuga ya Arusha, ndogo kuliko zote nchini. Burigi ni Mbuga kubwa lakini wanyama wadogowadogo waliohamashiwa huko mpaka wawe wengi kama Tarangire itachukua hata miaka 100 wasipomalizwa na Simba na Wasukuma. Kwa sababu Arusha hakuna Hotel za Nyota 5 za kutosha, Watalii wengi wanafikia Nairobi ndo waje kwetu kwa magari na waondokee tena Nairobi. Maviongozi wetu yalivyo majinga yanalalamika Wakenya wabaya wanadai vivutio vyetu vya Watalii ni vyao, Mtalii toka Ulaya mpaka Nairobi, City in the Sun toka pale apelekwe Kilimanjaro au Serengeti halafu arudishwe Nairobi aondokee Uwanja uleule mkubwa kuliko yote Afrika Mashariki, akifika kwao eti aseme alikuwa Tanzania. Kwani nyie Watanzania pamoja na ujinga wenu mkitangazia ulimwengu kuwa Nairobi ni Jiji lenu na likawa linawaingizia fedha kuna shida gani kama hamjalihamisha? Biashara ni akili siyo sawa na kuchunga mifugo!
 
Huko kumejaa fisi tupu,hujaona juzi wananchi wameua fisi 28 geita,hiyo hotel watalala fisi
 
WaTanzania tunachezewa akili mwaka huu mpaka zikae sawa
 
Waziri anatetea tumbo.The guy is there for is own life not people's life
 
Ni kweli inakera sana
 
Haswaaaa, ni ujinga mkubwa. Mobutu style.
 
Utawala wa jiwe ni utopolo mtupu. Hauna tofauti na wa Mobutu.
 
Labda mbunge ni mbwiga hujawaona wenzake Taletale wa Morogoro na Mtemvu wa Kibamba walivyochangamka!
Mkuu Wa mkoa Wa mbeya anasimamia miradi ya kuhakikisha zahanati zote zilizojengwa zinapata wagonjwa Wa kutosha kwa kuwa zilijengwa kwa ajili yao .
 
Mbuga ya Arusha, ndogo kuliko zote nchini.
Uongo. Saa Nane, iko Mwanza.
Hii hapa umeshangilia mno hadi ikakutoa akili zote.

Wewe husikii shemeji zako hao vilio vyao wanapozuiwa kuingia huku?

Ulianza vizuri, kwa kuwashutumu viongozi wasiokuwa na dira kichwani, lakini ukapitiliza hadi kuwa kama mshangiliaji wa ubovu huo!
Kwani nyie Watanzania pamoja na ujinga wenu mkitangazia ulimwengu kuwa Nairobi ni Jiji lenu na likawa linawaingizia fedha kuna shida gani kama hamjalihamisha?
Ona unavyokuwa mtupu kichwani. Tanzania inauhitaji gani na kuwa tapeli kama mlivyo huko kwenu. Hapa hatuna uhitaji wa namna hiyo. Tatizo ni hawa maviongozi tu, lakini Arusha pekee inatosha kuikabili hiyo Nairobi yako.
Biashara ni akili siyo sawa na kuchunga mifugo!
Unaendelea kujionyesha ukilaza. "Kuchunga mifugo" kwa akili yako unadhani hakuhitaji akili? Kwani biashara hakuna zinazoshindwa kwa kukosa akili kwa wanaoziendesha; kama ilivyo kwa wafugaji wanaofanikisha ufugaji kwa kutumia akili?

Bure kabisa.

Mwisho nimekudharau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…